< Maombolezo 1 >

1 Mji ambao mwanzo ulikuwa na watu wengi sasa umekaa peke yake. Amekuwa kama mjane, japo alikuwa taifa kubwa. Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa, lakini sasa amelazimishwa utumwani.
How! - she sits alone the city great of people she has become like a widow ([one] great *L(abh)*) among the nations a princess among the provinces she has become forced labor.
2 Analia na kuomboleza usiku, na machozi yake yanafunika mashavu yake. Hamna ata mpenzi wake anaye mliwaza. Marafiki wake wote wamemsaliti. wamekuwa maadui wake.
Bitterly she weeps in the night and tear[s] her [are] on cheek her not [belongs] to her a comforter from all lovers her all friends her they have dealt treacherously with her they have become of her enemies.
3 Baada ya umaskini na mateso, Yuda ameenda matekani. Anaishi miongoni mwa mataifa na hapati pumziko lolote. Wanao wakimbiza wamewapata katika upweke wake.
She has gone into exile Judah from affliction and from an abundance of servitude her she dwells among the nations not she has found a resting place all pursuers her they have overtaken her between the narrow places.
4 Barabara za Sayuni zinaomboleza kwasababu hakuna anaye kuja kwenye sherehe iliyo andaliwa. Malango yake yote ni ukiwa. Makuhani wake wote wana sononeka. Mabikra wake wana uzuni na yeye mwenyewe yupo katika ugumu.
[the] roads of Zion [are] mourning because not [those who] come an appointed feast all gates her [are] desolate priests her [are] groaning virgins her [are] grieving and she it is bitter to her.
5 Maadui wake wamekuwa bwana zake; maadui wake wana fanikiwa. Yahweh amemuadhibu kwa dhambi zake nyingi. Watoto wake wadogo wanaenda matekani kwa maadui zake.
They have become opponents her a head enemies her they are at ease for Yahweh he has caused grief to her on [the] multitude of transgressions her children her they have gone captivity before an opponent.
6 Uzuri umemwacha binti wa Sayuni. Watoto wa mfalme wamekuwa kama ayala ambaye haoni malisho, na wanaenda bila uwezo kwa wanao wakimbiza.
And it has gone out (from from [the] daughter of *Q(K)*) Zion all splendor her they have become princes her like deer [which] not they have found pasture and they have gone with not strength before a pursuer.
7 Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba, Yerusalemu itakumbuka hazina zake za dhamani alizo kuwa nazo awali. Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui, hakuna aliye msaidia. Maadui waliwaona na kucheka maangamizo yake.
She has remembered Jerusalem [the] days of affliction her and homelessness her all precious things her which they were from days of antiquity when fell people her in [the] hand of an opponent and not a helper [belonged] to her they saw her opponents they laughed at annihilation her.
8 Yerusalemu ili tenda dhambi sana, hivyo basi, amedhalillika kama kitu kichafu. Wote walio mheshimu sasa wana mdharau kwa kuwa wameona uchi wake. Anasononeka na kujaribu kugeuka pembeni.
Sin she has sinned Jerusalem there-fore impurity she has become all [those who] honored her they despise her for they have seen nakedness her also she has groaned and she has turned away backward.
9 Amekuwa mchafu chini ya sketi yake. Hakuwaza hatima yake. Anguko lake lilikuwa baya. Hakukuwa na wakumliwaza. Alilia, “Angalia mateso yangu, Yahweh, kwa kuwa adui amekuwa mkuu sana.”
Uncleanness her [was] on skirts her not she remembered outcome her and she has come down wonders not a comforter [belonged] to her see O Yahweh affliction my for it has magnified itself [the] enemy.
10 Adui ameeka mkono wake kwenye hazina zetu za dhamani. Ameona mataifa yakiingia sehemu yake takatifu, japo uliamuru wasiingie katika sehemu yako ya kukusanyikia.
Hand his he has spread out [the] opponent over all precious things her for it saw nations [which] they went sanctuary its which you had commanded not they will come in the assembly of you.
11 Watu wote wana sononeka wanapo tafuta mkate. Wametoa hazina zao za dhamani kwa ajili ya chakula cha kurejesha uhai wao. Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi, kwa kuwa nimekuwa sina faida.
All people its [are] groaning [are] seeking bread they have given (precious things their *Q(K)*) for food to restore life see O Yahweh and look! for I am despised.
12 Sio kitu kwako, wote mnao pita? Angalia na uone kama kuna mtu mwenye uzuni kama uzuni ninao teswa nao, tangu Yahweh amenitesa mimi katika siku ya hasira yake kali.
Not to you O all [those who] pass by of [the] road look and see if there [is] pain like pain my which it has been done to me which he has caused grief Yahweh on [the] day of [the] burning of anger his.
13 Ni kutoka juu ndipo alipo tuma moto kwenye mifupa yangu na umenishinda. Ametanda nyavu kwa miguu yangu na kunigeuza. Amenifanya ukiwa na dhahifu.
From a high place he sent fire in bones my and he mastered it he spread out a net for feet my he made turn back me backward he made me desolate all the day faint.
14 Nira ya makosa yangu imefungwa na mikono yake. Zimesokotwa na kuekwa shingoni mwangu. Amefanya uweza wangu kushindwa. Bwana amenikabidhi mikononi mwa, na siwezi kusimama.
It has been bound on [the] yoke of transgressions my by hand his they are woven together they have come up on neck my he has made feeble strength my he has given me [the] Lord in [the] hands of [those whom] not I am able to stand.
15 Bwana ametupa pembeni wanaume wangu hodari walio niokoa. Ameitisha kusanyiko dhidi yangu kuponda wanaume wangu imara. Bwana amewakanyaga binti bikra wa Yuda kwenye chombo cha kusagia mvinyo.
He has thrown away all mighty [ones] my - [the] Lord in midst my he has proclaimed on me an appointed meeting to break young men my a winepress he has trodden [the] Lord for [the] virgin of [the] daughter of Judah.
16 Kwa vitu hivi ninalia. Macho yangu, maji yanashuka chini ya macho yangu tangu mfariji aliye paswa kurejesha maisha yangu yuko mbali na mimi. Watoto wangu wamekuwa ukiwa kwasababu adui yangu ameshinda.
On these [things] - I [am] weeping eye my - eye my [is] going down water for he is far from me a comforter [one who] restores life my they are children my desolate for he has prevailed [the] enemy.
17 Sayuni ametandaza mikono yake; hakuna wakuwa mliwaza. Yahweh ameamuru hao karibu na Yakobo wawemaadui wake. Yerusalemu ni kitu kichafu kwao.
It has spread out Zion hands its not a comforter [belongs] to it he has commanded Yahweh of Jacob [those] around him [will be] opponents his it has become Jerusalem an impure thing between them.
18 Yahweh ni mwenye haki, kwa kuwa nimeasi dhidi ya amri zake. Sikia, ninyi watu, na muone uzuni wangu. Mabikra wangu na wanaume imara wameenda matekani.
[is] righteous He Yahweh for mouth his I have been rebellious listen please O all (the peoples *Q(K)*) and see pain my young women my and young men my they have gone in captivity.
19 Niliita marafiki zangu, lakini walikuwa na hila kwangu. Makuhani wangu na wazee waliangamia kwenye mji, walipo kuwa wanatafuta chakula cha kurejesha uhai wao.
I called to lovers my they they deceived me priests my and elders my in the city they perished for they sought food for themselves so they may be restored life their.
20 Tazama, Yahweh, kwa kuwa nipo kwenye ugumu; tumbo langu lina nguruma, moyo wangu umetibuka ndani yangu, kwa kuwa nimekuwa muasi sana. Nje, upanga umemliza mama, ndani ya nyumba kuna mauti tu.
See O Yahweh for distress [belongs] to me inward parts my they are in turmoil it has been overturned heart my in inner being my for extremely I have been rebellious from outside it has bereaved a sword [is] in the house like death.
21 Wamesikia sononeko langu, lakini hakuna wakuni liwaza. Maadui zangu wote wamesikia shida zangu na wamefurahi umenifanyia hivi. Umeleta siku uliyo ahidi; sasa acha wawe kama mimi.
They heard that [was] groaning I not a comforter [belonged] to me all enemies my they heard distress my they rejoiced for you you have acted you have brought [the] day [which] you proclaimed and they may be like me.
22 Acha uovu wote uje mbele zako. Shughulika nao kama ulivyo shughulika na mimi kwasababu ya makosa yangu yote. Masononeko yangu ni mengi na moyo umezimia.
May it come all wickedness their before you and deal severely to them just as you have dealt severely to me on all transgressions my for [are] many groaning my and heart my [is] faint.

< Maombolezo 1 >