< Waamuzi 8 >

1 Watu wa Efraimu wakamwambia Gideoni, “Ni nini hiki umetutenda? Haukuita wakati ulipokwenda kupigana na Midiani.” Wakamwambia kwa nguvu.
Efrayimoğulları Gidyon'a, “Midyanlılar'la savaşmaya gittiğinde bizi çağırmadın; bize neden böyle davrandın?” diyerek onu sert bir dille eleştirdiler.
2 Akawaambia, “Nimefanya nini sasa kulinganisha na mlichofanya ninyi? Je! Mavuno ya zabibu za Efraimu si bora zaidi kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?
Gidyon, “Sizin yaptığınızın yanında benim yaptığım ne ki?” diye karşılık verdi, “Efrayim'in bağbozumundan artakalan üzümler, Aviezer'in bütün bağbozumu ürününden daha iyi değil mi?
3 Mungu amewapa ushindi juu ya wakuu wa Midiani-Orebu na Zeeb! Mimi nimefanya nini ukilinganisha na ninyi?” Hasira yao ikashuka chini aliposema hili.
Tanrı Midyan önderlerini, Orev'i ve Zeev'i elinize teslim etti. Sizin yaptıklarınıza kıyasla ben ne yapabildim ki?” Gidyon'un bu sözleri onların öfkesini yatıştırdı.
4 Gideoni alikuja Yordani na akavuka juu yake, yeye na watu mia tatu waliokuwa pamoja naye. Walikuwa wamechoka, lakini bado waliendelea kufuatilia.
Gidyon bitkin olmalarına karşın Midyanlılar'ı kovalamayı sürdüren üç yüz adamıyla Şeria Irmağı'na ulaşıp karşıya geçti.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali wape mikate kwa watu wanaonifuata, kwa kuwa wamechoka, nami niwafuatilia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.
Sukkot'a vardıklarında kent halkına, “Lütfen ardımdaki adamlara ekmek verin, bitkin haldeler” dedi, “Ben Midyan kralları Zevah ve Salmunna'yı kovalıyorum.”
6 Na wakuu wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako? Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?”
Sukkot önderleri, “Zevah ile Salmunna'yı tutsak aldın mı ki, orduna ekmek verelim?” dediler.
7 Gideoni akasema, “Bwana akitupa ushindi juu ya Zeba na Salmunna, nitainyunyiza ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
Gidyon, “Öyle olsun!” diye karşılık verdi, “RAB Zevah ile Salmunna'yı elime teslim edince, bedenlerinizi çöl dikenleriyle, çalılarla yaracağım.”
8 Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
Gidyon oradan Penuel'e gitti ve oranın halkından da aynı şeyi istedi. Penuel halkı da Sukkot halkının verdiği yanıtın aynısını verdi.
9 Akawaambia pia watu wa Penieli, akasema, “Nitakapokuja kwa amani, nitauangusha mnara huu.”
Gidyon onlara, “Esenlik içinde döndüğüm zaman bu kuleyi yıkacağım” dedi.
10 Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
Zevah ile Salmunna doğulu halkların ordularından artakalan yaklaşık on beş bin kişilik bir orduyla birlikte Karkor'daydılar. Eli kılıç tutan yüz yirmi bin savaşçı ölmüştü.
11 Gideoni akapanda barabara iliyochukuliwa na wakaazi wa hema, Noba na Yogbena. Akalishinda jeshi la adui, kwa sababu hawakuwa wanatarajia shambulio.
Gidyon Novah ve Yogboha'nın doğusundan, göçebelerin yolundan geçerek düşman ordugahına saldırdı. Adamlar hazırlıksız yakalandılar.
12 Zeba na Salmuna walikimbia, na Gideoni alipowafuata, akawatwaa wafalme wawili wa Midiani-Zeba na Salmunna- na kulifanya jeshi lote kuwa na hofu.
Zevah ile Salmunna kaçtıysa da Gidyon peşlerine düştü. Bu iki Midyan kralını, Zevah ile Salmunna'yı yakalayıp bütün ordularını bozguna uğrattı.
13 Gideoni, mwana wa Yoashi, alirudi kutoka kwenye vita kwenda kupitia Heresi.
Yoaş oğlu Gidyon Heres Geçidi yoluyla savaştan döndü.
14 Akamkimbilia kijana mmoja wa watu wa Sukothi na kutafuta ushauri kutoka kwake. Kijana huyo alimwelezea viongozi wa Sukothi na wazee wake, watu sabini na saba.
Yolda Sukkot'tan genç bir adamı yakalayıp sorguya çekti. Adam Sukkot önderleriyle ileri gelenlerinin adlarını, toplam yetmiş yedi kişinin adını yazıp Gidyon'a verdi.
15 Gideoni akaja kwa watu wa Sukothi, akasema, “Tazameni Zeba na Salmuna, ambao mlinidhihaki kwa ajili yao, nikasema, 'Je! mmemshinda Zeba na Salmuna? Hatujui kwamba tunapaswa kulipa jeshi lako mkate.”
Gidyon Sukkot'a gidip halka şöyle dedi: “‘Zevah ile Salmunna'yı tutsak aldın mı ki bitkin adamlarına ekmek verelim’ diyerek beni aşağıladınız. İşte Zevah ile Salmunna!”
16 Gideoni akawachukua wazee wa mji, naye akawaadhibu watu wa Sukothi pamoja na miiba ya jangwa na michongoma.
Sonra kentin ileri gelenlerini topladı; Sukkot halkını çöl dikenleriyle, çalılarla döverek cezalandırdı.
17 Akaangusha mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji huo.
Ardından Penuel Kulesi'ni yıkıp kent halkını kılıçtan geçirdi.
18 Gideoni akamwambia Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliwauawa Tabori?” Wakajibu, “Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa. Kila mmoja wao alionekana kama mwana wa mfalme.”
Sonra Zevah ile Salmunna'ya, “Tavor'da öldürdükleriniz nasıl adamlardı?” diye sordu. “Tıpkı senin gibiydiler, hepsi kral oğullarına benziyordu” yanıtını verdiler.
19 Gideoni akasema, 'Wao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Bwana anaishivyo, kama mngewaacha hai, nisingewauwa.”
Gidyon, “Onlar kardeşlerimdi, öz annemin oğullarıydı” dedi, “Yaşayan RAB'bin adıyla ant içerim ki, onları sağ bıraksaydınız sizi öldürmezdim.”
20 Akamwambia Yetheri (mzaliwa wake wa kwanza), “Simama uwaue!” Lakini kijana huyo hakutoa upanga wake kwa kuwa aliogopa, kwa sababu alikuwa bado kijana mdogo.
Sonra büyük oğlu Yeter'e, “Haydi, öldür onları” dedi. Ne var ki, henüz genç olan Yeter korktu, kılıcını çekmedi.
21 Ndipo Zeba na Salmuna wakasema, simama mwenyewe, utuue! Kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Gideoni akasimama na kumwua Zeba na Salmuna. Pia aliondoa mapambo yaliyokuwa juu ya shingo za ngamia zao.
Bunun üzerine Zevah ile Salmunna Gidyon'a, “Sen öldür bizi” dediler, “Erkeğin işini ancak erkek yapar.” Böylece Gidyon varıp Zevah ile Salmunna'yı öldürdü. Develerinin boyunlarındaki hilal biçimi süsleri de aldı.
22 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, mtoto wako, na mjukuu wako; kwa sababu umetuokoa mikononi mwa Midiani.”
İsrailliler Gidyon'a, “Sen, oğlun ve torunun bize önderlik edin” dediler. “Çünkü bizi Midyanlılar'ın elinden sen kurtardın.”
23 Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala mtoto wangu hatatawala juu yenu. Bwana atatawala juu yenu.”
Ama Gidyon, “Ben size önderlik etmem, oğlum da etmez” diye karşılık verdi, “Size RAB önderlik edecek.”
24 Gideoni akawaambia, “Nina haja yangu niitakayo kwenu kwamba kila mmoja wenu atanipe pete kutoka kwenye nyara zake.” (Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)
Sonra, “Yalnız sizden bir dileğim var” diye sözünü sürdürdü, “Ele geçirdiğiniz ganimetin içindeki küpeleri bana verin.” –İsmaililer altın küpeler takarlardı.–
25 Wakamjibu, “Tunafurahi kukupa.” Wakatandika vazi na kila mtu akatupa pete kutoka kwenye nyara zake.
İsrailliler, “Seve seve veririz” diyerek yere bir üstlük serdiler. Herkes ele geçirdiği küpeleri üstlüğün üzerine attı.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
Hilaller, kolyeler, Midyan krallarının giydiği mor giysiler ve develerin boyunlarından alınan zincirler dışında, Gidyon'un aldığı altın küpelerin ağırlığı bin yedi yüz şekel tuttu.
27 Gideoni akafanya efodi kutoka katika pete na kuiweka katika mji wake, huko Ofra, na Israeli wote wakaiandama kwa ukahaba na kuabudu. Ilikuwa mtego kwa Gideoni na kwa wale walio nyumbani kwake.
Gidyon bu altından bir efod yaparak onu kendi kenti olan Ofra'ya yerleştirdi. Bütün İsrailliler bu put yüzünden RAB'be vefasızlık ettiler. Böylece efod Gidyon ile ailesi için bir tuzak oldu.
28 Kwa hiyo Midiani ilishindwa mbele ya watu wa Israeli na hawakuinua vichwa vyao tena. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini siku za Gideoni.
İsrailliler'e yenilen Midyanlılar bir daha toparlanamadılar. Ülke Gidyon zamanında kırk yıl barış içinde yaşadı.
29 Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda akakaa nyumbani kwake.
Yoaş oğlu Yerubbaal dönüp kendi evinde yaşamını sürdürdü.
30 Gideoni alikuwa na wana sabini, waliokuwa uzao wake, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
Çok sayıda kadınla evlendi ve yetmiş oğlu oldu.
31 Mwanamke wake, aliyekuwa Shekemu, akamzaa pia mwana, na Gideoni akampa jina lake Abimeleki.
Ayrıca Şekem'de bir cariyesi vardı. Bundan da bir oğlu oldu, adını Avimelek koydu.
32 Gideoni, mwana wa Yoashi, akafa katika uzee mzuri, akazikwa huko Ofra katika kaburi la baba yake Joashi, wa jamaa ya Abiyezeri.
Yoaş oğlu Gidyon iyice yaşlanıp öldü. Aviezerliler'e ait Ofra Kenti'nde, babası Yoaş'ın mezarına gömüldü.
33 Ikawa, Gideoni alipokufa, watu wa Israeli wakageuka tena na kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali. Wamlifanya Baali Berith kuwa mungu wao.
Gidyon ölünce İsrailliler yine RAB'be vefasızlık ettiler. Baallar'a taptılar. Baal-Berit'i ilah edinerek
34 Watu wa Israeli hawakukumbuka kumtukuza Bwana, Mungu wao, aliyewaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao kila upande.
kendilerini çevrelerindeki düşmanlarının elinden kurtaran Tanrıları RAB'bi unuttular.
35 Hawakuweka ahadi zao kwa nyumba ya Yerubaali (yaani Gidioni), kwa ajili ya mema yote aliyoyafanya katika Israeli.
İsrail'e büyük iyilikler yapan Yerubbaal'ın –Gidyon'un– ev halkına vefasızlık ettiler.

< Waamuzi 8 >