< Waamuzi 8 >

1 Watu wa Efraimu wakamwambia Gideoni, “Ni nini hiki umetutenda? Haukuita wakati ulipokwenda kupigana na Midiani.” Wakamwambia kwa nguvu.
Ephraim ni nang ni Midiannaw na tuk navah, Bangkongmaw kaimanaw hai na kaw awh hoeh vaw. Kaimouh bangmaw ka sak telah thouk a kâoun awh.
2 Akawaambia, “Nimefanya nini sasa kulinganisha na mlichofanya ninyi? Je! Mavuno ya zabibu za Efraimu si bora zaidi kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?
Gideon ni nangmouh ni na sak e patetlah kai ni bangmaw ka sak. Abiezer misur khi e hlakvah Ephraim misur pâkhueng e ahawihnawn.
3 Mungu amewapa ushindi juu ya wakuu wa Midiani-Orebu na Zeeb! Mimi nimefanya nini ukilinganisha na ninyi?” Hasira yao ikashuka chini aliposema hili.
Cathut ni Midiannaw e ransabawi Oreb hoi Zeeb teh nangmae kut dawk na poe toung nahoehmaw. Nangmouh ni na sak awh e patetlah kai ni bangmaw ka sak tie lawk bout a dei pouh e lawk ahnimouh ni a thai torei teh a lungupti awh.
4 Gideoni alikuja Yordani na akavuka juu yake, yeye na watu mia tatu waliokuwa pamoja naye. Walikuwa wamechoka, lakini bado waliendelea kufuatilia.
Gideon ni Jordan tui koe a pha awh torei teh, ama koe kaawm e tami 300 touh ni pueng hoi tawn nalaihoi a pâlei teh Jordan a raka awh.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali wape mikate kwa watu wanaonifuata, kwa kuwa wamechoka, nami niwafuatilia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.
Sukkoth khonaw hanelah kai ka hnukkâbangnaw hah vaiyei poe haw. Ahnimouh teh nget a tawn awh toe, Midian siangpahrang Zebah hoi Zalmunna hah atu ka pâlei awh atipouh.
6 Na wakuu wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako? Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?”
Sukkoth bawinaw ni Zebah hoi Zalmunna hah na kut dawk kaawm tangcoung e patetlah maw ransanaw hah vaiyei ka poe han vaw telah ati awh.
7 Gideoni akasema, “Bwana akitupa ushindi juu ya Zeba na Salmunna, nitainyunyiza ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
Gideon ni hete hno kecu dawk BAWIPA ni Zebah hoi Zalmunna ka kut dawk na poe toteh kahrawng kawthaknaw hoi na tak dawk kâpawnrayak lah na hem han telah atipouh.
8 Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
Hahoi Penuel kho lah a cei teh, hot patetvanlah, ahnimouh koe a dei pouh eiteh, Penuelnaw ni hai Sukkoth khonaw ni a dei e patetlah a dei pouh awh.
9 Akawaambia pia watu wa Penieli, akasema, “Nitakapokuja kwa amani, nitauangusha mnara huu.”
Gideon ni kai karoum lahoi bout ka tho toteh, hete imrasang heh he ka raphoe han atipouh.
10 Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
Hahoi tahloi ka patuem e tami 120000 a due awh toe. Kanîtholae ransanaw thung dawk e ka cawi rae 15000 tabang a hrawi teh Zebah hoi Zalmunna teh Kakor kho ao awh.
11 Gideoni akapanda barabara iliyochukuliwa na wakaazi wa hema, Noba na Yogbena. Akalishinda jeshi la adui, kwa sababu hawakuwa wanatarajia shambulio.
Gideon ni Nobah kho hoi Jobehah kanîtholah im dawk kho ka sak e naw a cei teh a roenae rim hah ring laipalah onae tueng dawk ransanaw hah a tuk awh.
12 Zeba na Salmuna walikimbia, na Gideoni alipowafuata, akawatwaa wafalme wawili wa Midiani-Zeba na Salmunna- na kulifanya jeshi lote kuwa na hofu.
Zebah hoi Zalmunna a yawng roi toteh Gideon ni a pâlei teh rim a raphoe pouh. Midian siangpahrang kahni touh Zebah hoi Zalmunna a man awh teh, ransanaw pueng teh koung a kayei awh.
13 Gideoni, mwana wa Yoashi, alirudi kutoka kwenye vita kwenda kupitia Heresi.
Hahoi, Joash capa Gideon teh kanîtho hoehnahlan tarantuknae koehoi bout a ban teh,
14 Akamkimbilia kijana mmoja wa watu wa Sukothi na kutafuta ushauri kutoka kwake. Kijana huyo alimwelezea viongozi wa Sukothi na wazee wake, watu sabini na saba.
Sukkoth kho e thoundoun buet touh a man awh teh lawk a pacei. Ahni niyah Sukkoth kho e kaawm bawinaw a lungkahanaw e tami min 77 touh a dei pouh.
15 Gideoni akaja kwa watu wa Sukothi, akasema, “Tazameni Zeba na Salmuna, ambao mlinidhihaki kwa ajili yao, nikasema, 'Je! mmemshinda Zeba na Salmuna? Hatujui kwamba tunapaswa kulipa jeshi lako mkate.”
Gideon ni Sukkoth khonaw koe a cei teh, Zebah hoi Zalmunna teh khenhaw! hete taminaw ni maw Zebah Zalmunna teh na kut dawk kaawm e patetlah a tha a tawn nah vaiyei na poe han maw na ka tet ni teh, na ka pacekpahlek e khe atipouh.
16 Gideoni akawachukua wazee wa mji, naye akawaadhibu watu wa Sukothi pamoja na miiba ya jangwa na michongoma.
Hahoi kho dawk e a lungkahanaw a kaw teh, kahrawngum e kawthak hoi Sukkoth kho e taminaw hah a hem.
17 Akaangusha mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji huo.
Penuel kho imrasang hai a raphoe pouh awh teh, khocanaw hai be a thei awh.
18 Gideoni akamwambia Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliwauawa Tabori?” Wakajibu, “Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa. Kila mmoja wao alionekana kama mwana wa mfalme.”
Zebah hoi Zalmunna koevah Tabor kho dawk e na thei e naw tami nâyittouh maw ka phat telah ati. Ahnimouh ni nang nama patet doeh. Siangpahrang capa hoi koung a kâvan awh atipouh.
19 Gideoni akasema, 'Wao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Bwana anaishivyo, kama mngewaacha hai, nisingewauwa.”
Ahnimouh ni ka hmaunawngha anu e capa doeh, BAWIPA a hring e patetlah ahnimouh teh pâhlung awh pawiteh kai ni na thet awh mahoeh ei atipouh.
20 Akamwambia Yetheri (mzaliwa wake wa kwanza), “Simama uwaue!” Lakini kijana huyo hakutoa upanga wake kwa kuwa aliogopa, kwa sababu alikuwa bado kijana mdogo.
Hahoi a camin Jether koevah, thaw nateh thet haw atipouh. Hatei ahni ni a tahloi rayu hoeh. Bangkongtetpawiteh, a naw rah ni teh a taki.
21 Ndipo Zeba na Salmuna wakasema, simama mwenyewe, utuue! Kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Gideoni akasimama na kumwua Zeba na Salmuna. Pia aliondoa mapambo yaliyokuwa juu ya shingo za ngamia zao.
Hathnukkhu hoi Zebah hoi Zalmunna ni nang nama thaw nateh na thet leih. Bangkongtetpawiteh tongpa na tho e patetlah na thayung hai te lah doeh ao rah atipouh. Hahoi Gideon ni a thaw teh, Zebah hoi Zalmunna teh a thei teh, ahnimae kalauk lahuen dawk awi sak e dingyin hah a rading pouh.
22 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, mtoto wako, na mjukuu wako; kwa sababu umetuokoa mikononi mwa Midiani.”
Hot patetlah Isarelnaw niyah Gideon koe nang nama ni na uk awh leih, na capa hoi na ca catoun ditouh. Bangkongtetpawiteh, Midiannaw e kut dawk hoi na rungngang toe atipouh awh.
23 Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala mtoto wangu hatatawala juu yenu. Bwana atatawala juu yenu.”
Hateiteh, Gideon ni kai ni na uk awh mahoeh. Ka capa ni hai na uk awh mahoeh. BAWIPA ni na uk awh han atipouh.
24 Gideoni akawaambia, “Nina haja yangu niitakayo kwenu kwamba kila mmoja wenu atanipe pete kutoka kwenye nyara zake.” (Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)
Gideon ni nangmouh koe hno buet touh hei han ka ngai. Tami pueng ni na tarannaw kut dawk e na lae hnâpacapnaw hah be na poe haw atipouh. Bangkongtetpawiteh, tarannaw teh Ishmael miphun lah ao awh dawkvah sui hnâpacap koung a tawn awh.
25 Wakamjibu, “Tunafurahi kukupa.” Wakatandika vazi na kila mtu akatupa pete kutoka kwenye nyara zake.
Ahnimouh ni lungthocalah hoi na poe han atipouh awh. Hahoi hni a phai pouh awh teh taminaw pueng ni amamouh ni a la awh e hnâpacapnaw hah a poe awh.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
Sui hnâpacap a hei e naw teh Shekel 17000 touh a pha. Dingyin hoi laikaw, Midian siangpahrangnaw ni a kâkhu awh e hni paling hoi kalauk ni a lahuen dawk awi e naw hai bout a hmu sin.
27 Gideoni akafanya efodi kutoka katika pete na kuiweka katika mji wake, huko Ofra, na Israeli wote wakaiandama kwa ukahaba na kuabudu. Ilikuwa mtego kwa Gideoni na kwa wale walio nyumbani kwake.
Gideon ni a poe awh e sui hoi Ephod a sak teh a onae Ophrah kho vah a ta. Hote hmuen koe Isarelnaw pueng ni a yon awh. Gideon hoi imthungkhunaw hanelah hai karap lah ao.
28 Kwa hiyo Midiani ilishindwa mbele ya watu wa Israeli na hawakuinua vichwa vyao tena. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini siku za Gideoni.
Hot patetlah Midiannaw teh Isarel catounnaw koe a sung awh teh kâroe thai awh hoeh toe. Hahoi Gideon a hring na thung hote ram teh kum 40 touh thung karoumcalah ao.
29 Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda akakaa nyumbani kwake.
Joash capa Jerubbaal teh a cei teh ama im vah ao.
30 Gideoni alikuwa na wana sabini, waliokuwa uzao wake, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
Gideon ni a ma thung hoi ka tâcawt e capa 70 touh a tawn. Bangkongtetpawiteh, a yu moi a pap dawkvah.
31 Mwanamke wake, aliyekuwa Shekemu, akamzaa pia mwana, na Gideoni akampa jina lake Abimeleki.
Shekhem kho kaawm e ado ni hai capa a khe teh a min lah Abimelek a phung.
32 Gideoni, mwana wa Yoashi, akafa katika uzee mzuri, akazikwa huko Ofra katika kaburi la baba yake Joashi, wa jamaa ya Abiyezeri.
Joash capa Gideon a matawng toteh a due teh, Abiezrit tami Ophrah kho e Joash tangkom dawk a pakawp awh.
33 Ikawa, Gideoni alipokufa, watu wa Israeli wakageuka tena na kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali. Wamlifanya Baali Berith kuwa mungu wao.
Joash capa Gideon a due tahma hoi Isarel catounnaw Baal cathut koe a kâyo awh dawkvah, Baalberith hah a cathut lah a ta awh.
34 Watu wa Israeli hawakukumbuka kumtukuza Bwana, Mungu wao, aliyewaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao kila upande.
A tengpam e tarannaw kut dawk hoi ka rasat e amamae BAWIPA Cathut hah a pahnim awh.
35 Hawakuweka ahadi zao kwa nyumba ya Yerubaali (yaani Gidioni), kwa ajili ya mema yote aliyoyafanya katika Israeli.
Isarelnaw lathueng vah hawinae ka sak e Jerubbaal (Gideon) imthungkhu koe boehai pahrennae kamnuek sak ngai awh hoeh.

< Waamuzi 8 >