< Waamuzi 7 >

1 Ndipo Yerubaali (yaani Gideoni) akainuka mapema, na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaweka kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Midiani ilikuwa kaskazini mwao katika bonde karibu na kilima cha More.
И обутренева Иероваал, сей есть Гедеон, и вси людие иже с ним, и ополчишася у источника Арад: и полк Мадиамль и Амаликов бяше ему с севера на холме Мосе Гавааф-Аморе в долине.
2 Bwana akamwambia Gideoni, Kuna askari wengi sana kwa mimi kukupa ushindi juu ya Wamidiani, ili Waisraeli wasijisifu juu yangu, wakisema, 'Nguvu zetu zimetuokoa'.
И рече Господь к Гедеону: мнози людие иже с тобою, сего ради не предам Мадиама в руку их, да не когда похвалится Израиль на Мя, глаголя: рука моя спасе мя:
3 Basi, tangaza masikioni mwa watu, ukisema, Yeyote anayeogopa, anayetetemeka, arudi na atoke katika mlima Gileadi. 'Basi, watu elfu ishirini na mbili wakaondoka, na elfu kumi wakabaki.
и ныне рцы во ушы людем, глаголя: кто боязлив и ужастив, да возвратится и да отидет от горы Галаадовы. И возвратишася от людий двадесять две тысящы, и десять тысящ осташася.
4 Bwana akamwambia Gideoni, 'Watu bado ni wengi sana. Wapeleke chini kwenye maji, na nitafanya idadi yao iwe ndogo kwa ajili yako. Kama nikisema, 'Huyu atakwenda pamoja nawe,' atakwenda pamoja nawe; lakini kama nikisema, 'Huyu hawezi kwenda pamoja nawe,' hatakwenda. '
И рече Господь к Гедеону: еще людие мнози суть: сведи я на воду, и искушу тебе их тамо: и будет егоже аще реку тебе, сей да идет с тобою, той да пойдет с тобою: и всяк егоже аще реку тебе, сей да не пойдет с тобою, той да не пойдет с тобою.
5 Gideoni akawapeleka watu kwenye maji; Bwana akamwambia, “Ondoa kila mtu atakayelamba maji, kama mbwa alambavyo, kutoka kwa wale wanaopiga magoti na kunywa.”
И сведе люди на воду, и рече Господь к Гедеону: всяк иже полочет языком своим от воды, якоже лочет пес, да поставиши его особь: и всяк иже на колену падет пити, отлучи его особь.
6 Wanaume mia tatu walilamba. Wengine wote walipiga magoti kunywa maji.
И бысть число в горстех локавших языком триста мужей: и вси оставшии людие преклонишася на колена своя пити воду.
7 Bwana akamwambia Gideoni, “Kwa watu hawa mia tatu waliokwisha kulamba maji, nitakuokoa na kukupa ushindi juu ya Wamidiani. Acha kila mtu arudi mahali pake.”
И рече Господь к Гедеону: треми сты мужей локавшими воду спасу вас, и предам Мадиама в руку твою: и вси людие да пойдут, кийждо на место свое.
8 Kwa hiyo wale waliochaguliwa walichukua vifaa vyao na tarumbeta zao. Gideoni akawarudisha watu wote wa Israeli, kila mtu kwenda kwenye hema yake, lakini akawaweka watu mia tatu. Basi kambi ya Midiani ilikuwa chini yake katika bonde.
И взяша себе брашно от людий в руку свою и роги своя: и всякаго мужа Израилтеска отпусти коегождо в кущу свою, а триста мужей удержа: полк же Мадиамль бяше ниже его в долине.
9 Usiku huo huo Bwana akamwambia, “Simama! Kavamie kambi, kwa maana nitakupa ushindi juu yake.
И бысть в ту нощь, и рече к нему Господь: востав сниди отсюду скоро в полк, яко предах их в руку твою:
10 Lakini ikiwa unaogopa kushuka, shka kwenye kambi pamoja na Purh mtumishi wako,
и аще боишися ты снити, сниди ты и Фара раб твой в полк,
11 na usikilize kile wanachosema, na ujasiri wako utaimarishwa kushambulia kambi.” Basi Gidioni akaenda pamoja na Pura mtumishi wake, mpaka chini kwa walinzi wa kambi.
и услышиши, что возглаголют: и по сем укрепятся руце твои, и снидеши в полк. И сниде сам и Фара раб его в часть пятьдесятников, иже быша в полце.
12 Wamidiani, Waamaleki, na watu wote wa mashariki walikaa karibu na bonde, wengi kama wingu la nzige. Ngamia zao walikuwa zaidi ya mawingu; walikuwa zaidi kuliko idadi ya mchanga katika bahari.
И Мадиам и Амалик и вси сынове востоков стояху в долине яко прузи множеством, и велблюдом их не бяше числа, но бяху яко песок на краи морстем множеством.
13 Gideoni alipofika huko, mtu alikuwa akimwambia mwenzake ndoto. Mtu huyo akasema, “Angalia! Niliota ndoto, na nikaona mkate wa shayiri umeanguka ndani ya kambi ya Midiani. Ukaja hemani, na kuipiga kwa nguvu sana hata ikaanguka chini ikapinduka na kulala chini. '
И вниде Гедеон, и се, муж поведаше сон подругу своему, и рече: сей сон егоже видех, и се, тесто хлеба ячна валяющееся в полце Мадиамли, и привалися к кущи Мадиамли, и поби ю, и преврати ю, и паде куща.
14 Mtu mwingine akasema, 'Hii si kitu kingine isipokuwa upanga wa Gideoni (mwana wa Yoashi), Mwisraeli. Mungu amempa ushindi juu ya Midiani na jeshi lake lote. '
И отвеща подруг его и рече: несть (сие тесто), но мечь Гедеона сына Иоасова мужа Израилева: предаде Бог в руку его Мадиама и весь полк.
15 Gideoni aliposikia habari ya ile ndoto na tafsiri yake, akainama chini na kuabudu. Alirudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Simameni! Bwana ametupa ushindi juu ya jeshi la Midiani.”
И бысть яко услыша Гедеон поведание сна и разсуждение его, и поклонися Господеви, и возвратися в полк Израилев и рече: востаните, яко предаде Господь в руки нашя полк Мадиамль.
16 Akawagawa watu mia tatu katika makundi matatu, na akawapa tarumbeta zote na mitungi tupu, na taa ndani ya kila mtungi.
И раздели триста мужей на три началства, и вдаде роги в руце всем, и водоносы тщы, и свещы среде водоносов,
17 Akawaambia, 'Niangalieni mimi na kufanya yale ninayoyafanya. Tazama! Ninapofika kwenye mwisho wa kambi, ni lazima mfanye kile ninachofanya.
и рече им: мене смотрите, и такожде творите: и се, аз вниду в часть полка, и будет якоже сотворю, такожде сотворите:
18 Nitakapopiga tarumbeta, mimi na wote Mlio pamoja nami, basi mtapiga tarumbeta zenu katika kila upande wa kambi nzima na kupiga kelele, “Kwa Bwana na Gideoni!”
и аз вострублю рогом, и вси иже со мною, да вострубите и вы в роги окрест всего полка, и да речете: (мечь) Богу и Гедеону.
19 Basi Gideoni na watu mia moja waliokuwa pamoja naye walifika mwisho wa kambi, hapo mwanzoni mwa saa ya kati. Wakati Wamidiani walikuwa wakibadilisha walinzi, walipiga tarumbeta na kuvunja mitungi iliyokuwa mikononi mwao.
И вниде Гедеон и сто мужей иже с ним в часть полка в начале стражи средния: и убужением возбудиша стрегущих, и вострубиша в роги, и сразиша водоносы иже в руках их.
20 Vikosi vitatu vilipiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Walikuwa na taa katika mikono yao ya kushoto na tarumbeta katika mikono yao ya kulia ili kuwapiga. Walipiga kelele, “Upanga wa Bwana na wa Gideoni.”
И вострубиша три началства в роги и сокрушиша водоносы, и удержаша в левых руках своих свещы, и в десных руках их роги, в няже трубити: и возопиша: мечь Господеви и Гедеону.
21 Kila mtu alisimama mahali pake kando ya kambi na jeshi la Midiani likakimbia. Walipiga kelele na kukimbia
И сташа кийждо о себе окрест полка: и смятеся весь полк, и возопиша, и побегоша.
22 Walipopiga tarumbeta mia tatu, Bwana akaweka upanga wa kila mtu wa Midiani dhidi ya wenzake na dhidi ya jeshi lake lote. Jeshi likimbia mpaka Bethshita kuelekea Serera, mpaka mpaka wa Abel Mehola, karibu na Tabathi.
И вострубиша в триста рогов: и положи Господь мечь мужа на подруга его во всем полце, и пробеже полк до Вифасетта, и собрася до страны Авелмаула и к Тавафу.
23 Watu wa Israeli kutoka Naftali, Asheri, na Manase wote waliitwa nje, nao wakawafuata Midiani.
И возопиша мужие Израилтестии от Неффалима и от Асира и от всего Манассии, и погнаша вслед Мадиама.
24 Gideoni akatuma wajumbe katika nchi zote za mlima wa Efraimu, akisema, “Nenda chini dhidi ya Midiani na umiliki Mto Yordani mpaka Bethbara, ukawazuie.” Basi wanaume wote wa Efraimu walikusanyika pamoja na kuimiliki maji, mpaka Bethbara na Mto Yordani.
И посла послы Гедеон во всю гору Ефремлю, глаголя: снидите во сретение Мадиаму и удержите им воду до Вефира и Иордана. И воззва всяк муж Ефремль, и предотяша воду до Вефира и Иордана,
25 Wakawatwaa wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamwua Orebu kwenye mwamba wa Orebu, nao wakamwua Zeebu katika shinikizo la divai la Zeebu. Wakawafuata Wamidiani, wakamletea Gideoni vichwa vya Orebu na Zeebu, ng'ambo ya pili ya Yordani.
и яша два князя Мадиамля, Орива и Зива: и убиша Орива в Суре, и Зива убиша во Иакефзиве: и погнаша Мадиама, и главу Орива и Зива принесоша к Гедеону от оноя страны Иордана.

< Waamuzi 7 >