< Waamuzi 7 >

1 Ndipo Yerubaali (yaani Gideoni) akainuka mapema, na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaweka kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Midiani ilikuwa kaskazini mwao katika bonde karibu na kilima cha More.
Ainsi Jérobaal, c’est-à-dire, Gédéon, se levant de nuit, et tout le peuple avec lui, vint à la fontaine qui est appelée Harad. Or, le camp de Madian était dans la vallée vers le côté septentrional de la colline fort élevée.
2 Bwana akamwambia Gideoni, Kuna askari wengi sana kwa mimi kukupa ushindi juu ya Wamidiani, ili Waisraeli wasijisifu juu yangu, wakisema, 'Nguvu zetu zimetuokoa'.
Et le Seigneur dit à Gédéon: Il y a avec toi un peuple nombreux; mais Madian ne sera point livré en ses mains; de peur qu’Israël ne se glorifie contre moi, et ne dise: C’est par mes propres forces que j’ai été délivré.
3 Basi, tangaza masikioni mwa watu, ukisema, Yeyote anayeogopa, anayetetemeka, arudi na atoke katika mlima Gileadi. 'Basi, watu elfu ishirini na mbili wakaondoka, na elfu kumi wakabaki.
Parle au peuple, et, tous l’entendant, publie: Que celui qui est craintif et timide s’en retourne. Et vingt-deux mille hommes du peuple se retirèrent de la montagne de Galaad et s’en retournèrent; et seulement dix mille restèrent.
4 Bwana akamwambia Gideoni, 'Watu bado ni wengi sana. Wapeleke chini kwenye maji, na nitafanya idadi yao iwe ndogo kwa ajili yako. Kama nikisema, 'Huyu atakwenda pamoja nawe,' atakwenda pamoja nawe; lakini kama nikisema, 'Huyu hawezi kwenda pamoja nawe,' hatakwenda. '
Alors le Seigneur dit à Gédéon: Le peuple est encore nombreux; mène-les près de l’eau, et là, je les éprouverai: et celui dont je te dirai, qu’il aille avec toi, que celui-là parte; que celui à qui je défendrai d’aller, s’en retourne.
5 Gideoni akawapeleka watu kwenye maji; Bwana akamwambia, “Ondoa kila mtu atakayelamba maji, kama mbwa alambavyo, kutoka kwa wale wanaopiga magoti na kunywa.”
Et lorsque le peuple fut descendu près de l’eau, le Seigneur dit à Gédéon: Ceux qui de la langue laperont l’eau comme les chiens ont coutume de laper, tu les mettras à part; mais ceux qui, les genoux courbés, boiront, seront d’un autre côté.
6 Wanaume mia tatu walilamba. Wengine wote walipiga magoti kunywa maji.
Or, le nombre de ceux qui lapèrent l’eau, leur main la portant à leur bouche, fut de trois cents hommes; mais tout le reste de la multitude avait bu, le genou fléchi.
7 Bwana akamwambia Gideoni, “Kwa watu hawa mia tatu waliokwisha kulamba maji, nitakuokoa na kukupa ushindi juu ya Wamidiani. Acha kila mtu arudi mahali pake.”
Et le Seigneur dit à Gédéon: C’est par les trois cents hommes qui ont lapé l’eau que je vous délivrerai, et que je livrerai en votre main Madian; mais que tout le reste de la multitude s’en retourne dans ses foyers.
8 Kwa hiyo wale waliochaguliwa walichukua vifaa vyao na tarumbeta zao. Gideoni akawarudisha watu wote wa Israeli, kila mtu kwenda kwenye hema yake, lakini akawaweka watu mia tatu. Basi kambi ya Midiani ilikuwa chini yake katika bonde.
C’est pourquoi, ayant pris des vivres et des trompettes en proportion du nombre de ces hommes, il ordonna au reste de la multitude de se retirer dans ses tabernacles; et lui-même avec les trois cents hommes se réserva pour le combat. Or le camp de Madian était en bas dans la vallée.
9 Usiku huo huo Bwana akamwambia, “Simama! Kavamie kambi, kwa maana nitakupa ushindi juu yake.
La même nuit, le Seigneur lui dit: Lève-toi, et descends dans le camp, parce que je les ai livrés en ta main;
10 Lakini ikiwa unaogopa kushuka, shka kwenye kambi pamoja na Purh mtumishi wako,
Mais si tu crains d’aller seul, que Phara, ton serviteur, descende avec toi.
11 na usikilize kile wanachosema, na ujasiri wako utaimarishwa kushambulia kambi.” Basi Gidioni akaenda pamoja na Pura mtumishi wake, mpaka chini kwa walinzi wa kambi.
Et lorsque tu auras entendu ce qu’ils disent, tes mains se fortifieront, et tu descendras plus rassuré dans le camp des ennemis. Il descendit donc, lui et Phara, son serviteur, dans la partie du camp où étaient les postes des hommes armés.
12 Wamidiani, Waamaleki, na watu wote wa mashariki walikaa karibu na bonde, wengi kama wingu la nzige. Ngamia zao walikuwa zaidi ya mawingu; walikuwa zaidi kuliko idadi ya mchanga katika bahari.
Or, Madian et Amalec et tous les peuples orientaux étaient couchés épars dans la vallée, comme une multitude de sauterelles: les chameaux aussi étaient innombrables comme le sable qui est sur le rivage de la mer.
13 Gideoni alipofika huko, mtu alikuwa akimwambia mwenzake ndoto. Mtu huyo akasema, “Angalia! Niliota ndoto, na nikaona mkate wa shayiri umeanguka ndani ya kambi ya Midiani. Ukaja hemani, na kuipiga kwa nguvu sana hata ikaanguka chini ikapinduka na kulala chini. '
Et lorsque Gédéon se fut avancé, quelqu’un racontait ainsi à son voisin un songe qu’il avait vu: J’ai vu un songe; or, je voyais comme un pain d’orge cuit sous la cendre rouler, et descendre dans le camp de Madian, et lorsqu’il est parvenu à la tente, il l’a frappée, l’a renversée et jetée entièrement à terre.
14 Mtu mwingine akasema, 'Hii si kitu kingine isipokuwa upanga wa Gideoni (mwana wa Yoashi), Mwisraeli. Mungu amempa ushindi juu ya Midiani na jeshi lake lote. '
Celui à qui il parlait répondit: Cela n’est pas autre chose que le glaive de Gédéon, fils de Joas, homme d’Israël; car le Seigneur a livré en ses mains Madian et tout son camp.
15 Gideoni aliposikia habari ya ile ndoto na tafsiri yake, akainama chini na kuabudu. Alirudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Simameni! Bwana ametupa ushindi juu ya jeshi la Midiani.”
Et lorsque Gédéon eut entendu le songe et son interprétation, il adora; et il retourna au camp d’Israël, et dit: Levez-vous, car le Seigneur a livré en nos mains le camp de Madian.
16 Akawagawa watu mia tatu katika makundi matatu, na akawapa tarumbeta zote na mitungi tupu, na taa ndani ya kila mtungi.
Alors il divisa les trois cents hommes en trois parties, et il mit des trompettes en leurs mains, et des cruches vides et des lampes au milieu des cruches.
17 Akawaambia, 'Niangalieni mimi na kufanya yale ninayoyafanya. Tazama! Ninapofika kwenye mwisho wa kambi, ni lazima mfanye kile ninachofanya.
Et il leur dit: Ce que vous me verrez faire, faites-le: j’entrerai dans une partie du camp, et ce que je ferai, imitez-le.
18 Nitakapopiga tarumbeta, mimi na wote Mlio pamoja nami, basi mtapiga tarumbeta zenu katika kila upande wa kambi nzima na kupiga kelele, “Kwa Bwana na Gideoni!”
Quand la trompette sonnera dans ma main, vous aussi sonnez autour du camp, et criez ensemble: Au Seigneur et à Gédéon!
19 Basi Gideoni na watu mia moja waliokuwa pamoja naye walifika mwisho wa kambi, hapo mwanzoni mwa saa ya kati. Wakati Wamidiani walikuwa wakibadilisha walinzi, walipiga tarumbeta na kuvunja mitungi iliyokuwa mikononi mwao.
Gédéon entra donc et les trois cents hommes qui étaient avec lui, dans une partie du camp, les veilles du milieu de la nuit commençant, puis, les gardes étant réveillés, ils commencèrent à sonner des trompettes, et à heurter leurs cruches l’une contre l’autre.
20 Vikosi vitatu vilipiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Walikuwa na taa katika mikono yao ya kushoto na tarumbeta katika mikono yao ya kulia ili kuwapiga. Walipiga kelele, “Upanga wa Bwana na wa Gideoni.”
Et ayant sonné autour du camp en trois endroits, et ayant brisé les cruches, ils tinrent les lampes de la main gauche, sonnant des trompettes de la droite, et ils crièrent: Le glaive du Seigneur et de Gédéon!
21 Kila mtu alisimama mahali pake kando ya kambi na jeshi la Midiani likakimbia. Walipiga kelele na kukimbia
Se tenant chacun à son poste autour du camp des ennemis. C’est pourquoi tout le camp fut troublé; et vociférant et hurlant ils s’enfuirent.
22 Walipopiga tarumbeta mia tatu, Bwana akaweka upanga wa kila mtu wa Midiani dhidi ya wenzake na dhidi ya jeshi lake lote. Jeshi likimbia mpaka Bethshita kuelekea Serera, mpaka mpaka wa Abel Mehola, karibu na Tabathi.
Et néanmoins les trois cents hommes continuaient à sonner des trompettes. Alors le Seigneur envoya le glaive dans tout le camp, et ils se tuaient les uns les autres.
23 Watu wa Israeli kutoka Naftali, Asheri, na Manase wote waliitwa nje, nao wakawafuata Midiani.
Fuyant jusqu’à Bethsetta et au bord d’Abelméhula en Tebbath. Mais les hommes d’Israël des tribus de Nephthali, d’Aser et de toute la tribu de Manassé, criant ensemble, poursuivaient Madian.
24 Gideoni akatuma wajumbe katika nchi zote za mlima wa Efraimu, akisema, “Nenda chini dhidi ya Midiani na umiliki Mto Yordani mpaka Bethbara, ukawazuie.” Basi wanaume wote wa Efraimu walikusanyika pamoja na kuimiliki maji, mpaka Bethbara na Mto Yordani.
Et Gédéon envoya des messagers sur toute la montagne d’Ephraïm, disant: Descendez à la rencontre de Madian, et emparez-vous des eaux jusqu’à Bethbéra et jusqu’au Jourdain. Et tout Ephraïm cria et s’empara des eaux et du Jourdain jusqu’à Bethbéra.
25 Wakawatwaa wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamwua Orebu kwenye mwamba wa Orebu, nao wakamwua Zeebu katika shinikizo la divai la Zeebu. Wakawafuata Wamidiani, wakamletea Gideoni vichwa vya Orebu na Zeebu, ng'ambo ya pili ya Yordani.
Et ayant pris deux hommes de Madian, Oreb et Zeb, ils tuèrent Oreb, au rocher d’Oreb, mais Zeb au pressoir de Zeb. Et ils poursuivirent Madian, portant les têtes d’Oreb et de Zeb à Gédéon au-delà des courants du Jourdain.

< Waamuzi 7 >