< Waamuzi 5 >
1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
Nisabo ty hoe amy andro zay t’i Deborae naho i Barak’ ana’ i Abinoame:
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
Andriaño t’Iehovà te nonjoneñe ty lohà’ Israele, naho nanolo-batañe an-tsatri’e ondatio.
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Mijanjiña ry mpanjaka, manokilaña ravembia ry roandriañeo; izaho eka izaho ty hisabo am’Iehovà, ho rengeko an-tsabo t’Iehovà, Andrianañahare’ Israele.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
Ry Iehovà, ihe nionjoñe boake Seire ao ihe niroborobo boak’an-tete’ i Edome ao, nanginikinike i taney, nifororoake o an-dikerañeo, eka nampikojojoake rano o rahoñeo.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
Nitranak’ aolo’ Iehovà o vohitseo, naho i Sinaiy añatrefa’ Iehovà Andrianañahare’ Israele eo.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
Ie tañ’andro i Samgare ana’ i Anate, faha’ Iaele, ie nikoake o damokeo; ninokitse an-dalan-tsileke ze atao mpañavelo.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Hene nijihetse o mpimone’ o tanañeo, nijohañe t’Israele ampara’ te nitroatse t’i Deborae, ie niongake ho rene’ Israele.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Fe nijoboñe ‘ndrahare vao iereo, vaho an-dalambey eo ty aly; nitendrek’ amo efats’ ale’ Israeleo hao ty fikalandefo ndra ty lefoñe?
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Mitolik’ amo roandria’ Israeleo ty troko, o nanolo-batañe an-tsatri’e boak’ am’ondati’eo; andriaño t’Iehovà.
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
Misaontsia ry mpiningi-borìke fotio, o mpiaolo an-jakao, naho mañavelo amy lalañey.
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
Ambone’ ty feom-pitàm-pale am-pitarihan-drano eo, ty hitalilia’ iareo o fitoloñam-banta’ Iehovào, ty asa’e mahity amo tanàñe e Israeleo, le hizotso mb’an-dalam-bey mb’eo ondati’ Iehovào henane zao.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Mivañona, mivañona, ry Deborae, mitroara, mitroara, le andaharo sabo, miongaha ry Barake, le kozozoto mb’ am-pandrohizam-b’eo o mpirohi’oo ry ana-dahi’ i Abinoame.
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Nizotso mb’etoa o fanalolahy sehanga’eo; nampifehe’ Iehovà ahy o maozatseo.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Niboake Efraime i vaha’ey hiatreke i Amaleke; nanonjohy aze t’i Beniamine haname ondati’oo; niakatse i Makire o mpandilio; naho boake Zebolone o mahafitan-tsatilòm-panokitseo.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Nindre amy Deborae ka o roandria’ Isakareo nañorik’ an-tomi’ i Barake t’Isakare mb’am-bavatane mb’eo; toe ra’elahy ty fitsakorean’ arofo’ o mpirai-lia’ i Reobeneo.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Ino ty nimoneña’o an-goloboñ’ ao, hijanjiña’o ty fibabababà’ o lia-raikeo? Toe ra’elahy ty fitsikarahan’ arofo’ o mpirai-lia’ i Reobeneo.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Nitambatse alafe’ Iordaney t’i Gilade, nañino ka ty fitsoloha’ i Dane ankalo’ o lakañeo? Nidoñe añolon-driake añe t’i Asere, nimoneñe am-pitolian-dakañe eo.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
I Zebolone ty rofoko namoe’aiñe ampara’ ty fivetrahañe, naho i Naftalý an-kaboa’ o hivokeo.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
Nimb’eo o mpanjakao nialy; nañotakotake e Taanake o mpanjaka’ i Khanàne marine’ o rano’ i Megidòo, tsy nandrambe vola ho tambe.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
Nialy o boak’ an-dikerañeo, nialy amy Siserà o vasiañeo boak’ amo lala’eo.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Sinao’ ty saka Kisone iereo, i saka haehaey, i saka’ Kisoney. Mañitsaha an-kaozarañe, ry troko.
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Hotron-tsoavala amy zao, godogodoin-drimatse, ty fandrimata’ o fanalohahi’eo.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Afatse t’i Meroze hoe ty anjeli’ Iehovà, ozoño mena o mpimone’eo, amy t’ie tsy niavy hañolotse Iehovà, tsy nolora’iareo t’Iehovà hiatrek’ o lahidefoñeo.
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Haha amo rakembao t’Iaele, tañanjomba’ i Kevere, nte-Keny; haha re amo rakemba an-kibohotseo.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Rano ty nihalalie’e fe ronono ty nazotso’e; nanjotsoa’e dero am-pinga mañeva.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Rinambem-pità’e i tsatokey, ty fità’e havana rekets’ ana-batom-pitoloñañe; finofo’e amy ana-batoy t’i Sisera, nampipotire’e ty añambone’e, Eka, tinombo’e naho trinofa’e o fitendrean’aoli’eo.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
Am-pandia’e eo ty nibokobokoa’e; nikorovoke, nandre; am-pandia’e eo ty niondreha’e, nilantsiñe eo, amy nihotraha’ey, teo ty nidona’e mate.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Nitalake an-dalan-kede’e añe ty rene’ i Siserà nikoaik’ an-tsingarakarake: Ino ty nahatambatse i sarete’ey añe? Akore te mihenekenek’ añe avao o laròn-tsarete’eo?
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
Nanoiñe aze o ana-donak’ ampela’e mahihitseo, Eka nifanointoiñe ama’e o fivola’eo,
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
Hera t’ie nitendreke fikopahañe, vaho mifanjara? Songa ondaty aman-tsomondrara’e ndra roe; le amy Siserà ty vara maro volo; fikopahañe am-bolo’e ankafankafa, satam-pitrebeke, volom-pitoloñam-pitrebeke ami’ty lafi’e roe, mañeva ty fititia’ o mpamaokeo?
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Izay ty hivetraha’ o rafelahi’o iabio ry Iehovà; le hanahake i àndroy am-pionjona’e an-kaozarañe, o mikoko Azeo. Le nitofa efa-polo taoñe i taney.