< Waamuzi 5 >

1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
In len sac Deborah ac Barak, wen natul Abinoam, yuk on soko inge:
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
Kaksakin LEUM GOD! Mwet Israel elos akola na, Ac sifacna eisalosyang in wi mweun.
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Porongo, O kowos tokosra! Lohang, kowos mwet leum! Nga ac on ac srital ke mwe on Nu sin LEUM GOD, su God lun Israel.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
LEUM GOD, ke kom tuku liki Fineol Seir, Ke kom tuku liki facl Edom, Faclu kusrusr, ac af kahkla inkusrao me. Aok, kof uh tuku in pukunyeng uh me.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
Eol uh kusrusr ye mutun LEUM GOD lun Sinai, Ye mutun LEUM GOD lun Israel.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
In len lal Shamgar, wen natul Anath, In pacl lal Jael, Wanginla un mwet wi ap lalos sifil fufahsryesr in acn se inge, Supuseni mwet forfor, ac elos ut na inkanek srisrik wut uh.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Deborah, wanginla mwet muta fin acn lun mwet Israel. Acn inge oanna wangin koano nwe ke na kom tuku, Ac kom tuku oana sie nina nu sin Israel.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Na sifilpa oasr mweun in acn we Ke mwet Israel elos sifil sulela in oasr god sasu lalos. Inmasrlon tausin angngaul mwet mweun lun Israel, Ya oasr mwet utuk mwe loeyuk ku osra?
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Insiuk engan sin mwet kol lun un mwet mweun lun Israel, Ac selos su sifacna eisalosyang in mweun. Kaksakin LEUM GOD!
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
Srumun ma inge, kowos su muta fin donkey fasrfasr, Su muta fin mwe loeyuk wolana, Ac kowos su fahsr inkanek uh.
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
Porongo! Wowon lun un mwet su muta raunela luf in kof uh, Elos srumun ke kutangla lun LEUM GOD, Ac ke kutangla lun mwet Israel. Na mwet lun LEUM GOD elos fahsr oatui liki siti selos.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Fahsr nu meet, Deborah, fahsrot na! Fahsrot, yuk soko on ac fahsr nu meet! Fahsrot, Barak wen natul Abinoam, Pwanuloswot mwet sruoh lom an!
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Na mwet suwoswos su lula elos oatui nu yurin mwet kol lalos; Pa inge mwet lun LEUM GOD su tuku nu yorol ac akola nu ke mweun.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Mwet inge tuku Ephraim me nu infahlfal uh, Elos fahsr tukun mwet in sruf lal Benjamin. Mwet kol elos tuku Machir me, Mwet leum lun mwet mweun elos tuku Zebulun me.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Mwet kol lun mwet Issachar elos welul Deborah tuku. Aok, Issachar ac Barak tuku pac, Ac elos fahsr tokol nu infahlfal uh. Tusruktu sruf lal Reuben elos tia nunak se. Elos kofla wotela lah elos ac wi tuku.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Efu elos ku mutana yurin sheep natulos? Ya in lohng ke mwet shepherd elos pangon sheep uh? Aok, sruf lal Reuben elos tia nunak se. Elos kofla wotela lah elos ac wi tuku.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Sruf lal Gad elos muta lefahl kutulap in Infacl Jordan. Sruf lal Dan elos mutana ke oak uh. Sruf lal Asher elos mutana wekof uh.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
A funu ke mwet in sruf lal Zebulun ac Naphtali Elos asang moul lalos in mweun.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
In acn Taanach, sisken infacl srisrik Megiddo, Tokosra elos tuku ac mweun; Tokosra lun mwet Canaan elos mweun sie sin sie, Tusruktu, wangin silver elos usla we lac.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
Itu uh mweun inkusrao me Lainul Sisera Ke elos fahsr inkanek lalos yen engyeng uh.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Sie sronot lulap ke Infacl Kishon pahtkakunulosla — Aok, asr upa ke Infacl Kishon. Nga ac fah fahsr, fahsrna nu meet, ke ku!
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Na horse uh srosroyak tuku, Ac futung infohk uh ke nialos.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Sie lipufan lun LEUM GOD El selngawi acn Meroz ac fahk, “Sang kas in selnga nu fin mwet su muta we. Elos tuh tia wi tuku kasru LEUM GOD, In mweuni mwet lokwalok kulana.”
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Jael, mutan kial Heber, Pa insewowo emeet inmasrlon mutan uh, El pa wo nu se oemeet sin mutan nukewa ma muta in lohm nuknuk uh.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Sisera el siyuk ke kof, a Jael el sang milk; Jael el sang milk nu sel luin sie ahlu wolana.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Ke lac paol lasa Jael el sruokya soko osra in lohm nuknuk, Ac ke lac paol layot el sruokya sie hammer lulap lun mwet orekma. El faksilya Sisera ac fukulya ahlunsifal; El patikya osra soko ah sasla insifal.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
Sisera el putati nu ke intwel, El putatla nu infohk uh sisken nial Jael ac tia mukuikui. Sisera el putati nu ke intwel sisken nial Jael; El putatla nu infohk uh ac misa.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Nina kial Sisera ah yorla liki winto ah; El wowoyak in winto ah lac ac siyuk, “Efu ku chariot natul Sisera ah pahtlac fuk in tuku? Efu ku horse natul ah sumui fuk in foloko?”
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
Mutan kasru lalmwetmet lal elos topuk nu sel, Tusruktu el kalwenina kas inge insial sifacna:
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
“Sahp elos srakna kite ma elos sruokya ke mweun ah inmasrlolos — Mutan se ku luo nu sin kais sie mwet mweun, Nuknuk wowo ac fah ma lal Sisera, Mwe yun kato ac fah nawela inkwawen kasra.”
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
O LEUM GOD, lela tuh mwet lokoalok lom nukewa in misa ouingan, A mwet kawuk lom in saromrom oana faht ke takak uh! Ouinge oasr misla in acn we ke lusen yac angngaul.

< Waamuzi 5 >