< Waamuzi 5 >

1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
Niin veisasi Debora ja Barak Abinoamin poika sinä päivänä, sanoen:
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
Että Israelin puolesta on täydellisesti kostettu ja että kansa antoi itsensä mieluisesti siihen, sentähden kiittäkäät Herraa.
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Kuulkaat te kuninkaat ja ottakaat vaari te päämiehet: minä, minä veisaan Herralle, ja Herralle Israelin Jumalalle minä veisaan.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
Herra, kuin sinä läksit Seiristä ja kävit Edomin kedolta, silloin maa vapisi, taivaat myös tiukkuivat, ja pilvet pisaroitsivat vettä.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
Vuoret vuosivat Herran edessä, itse Sinai Herran, Israelin Jumalan edessä.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
Samgarin Anatin pojan aikana ja Jaelin aikana tiet katosivat, ja ne kuin kohdastansa käymän piti, kävivät vääriä polkuja.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Talonpojat puuttuivat Israelista, ne puuttuivat siihenasti kuin minä Debora tulin, siihenasti kuin minä tulin äidiksi Israeliin.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Hän valitsi uusia jumalia: silloin oli sota porteissa: ei siellä nähty kilpeä eikä keihästä neljänkymmenen tuhannen seassa Israelissa.
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Minun sydämelläni on ilo Israelin valtamiehistä: he ovat hyväntahtoiset kansan seassa; kiittäkäät Herraa.
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
Te jotka ajatte kaunisten aasein päällä, te jotka istutte oikeudessa, te jotka käytte teitä myöten, puhukaat näistä.
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
Kussa ampujat huusivat vedenkantajain seassa, siellä julistettakaan Herran vanhurskautta ja hänen talonpoikainsa vanhurskautta Israelissa; silloin meni Herran kansa porttein tykö.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Nouse, nouse, Debora: nouse, nouse ja veisaa virsiä, valmista itses, Barak, vangiksi ota sinun vangitsiat, sinä Abinoamin poika.
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Silloin rupesi se jäänyt vallitsemaan voimallista kansaa: Herra on hallinnut väkeviä minun kauttani.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Ephraimista oli heidän juurensa Amalekia vastaan, ja sinun jälkees BenJamin sinun kansoissas; Makirista ovat tulleet hallitsiat ja Sebulonista kirjoittajat.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Isaskarin päämiehet olivat myös Deboran kanssa, ja Isaskar oli niinkuin Barak laaksoon lähetetty jalkaväkinensä; Rubenin eroituksessa ovat suuret sydämen ajatukset.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Miksis istuit kahden joukon välillä, kuullakses laumain määkynätä? Rubenin eroituksessa ovat suuret sydämen ajatukset.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Gilead jäi toiselle puolelle Jordania, ja miksi Dan asui haahtein seassa? Asser istui meren satamissa ja asui langenneissa kylissänsä.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
Sebulonin kansa antoi henkensä alttiiksi kuolemaan, Naphtali myös, kedon korkeudella.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
Kuninkaat tulivat ja sotivat; silloin sotivat Kanaanin kuninkaat Taanakissa Megiddon veden tykönä: ei he saaneet rahaa saaliiksensa.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
Taivaasta sotivat tähdet juoksussansa, he sotivat Siseraa vastaan.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Kisonin ojan kieritti heitä, Kedumin oja, Kisonin oja; minun sieluni tallaa väkeviä.
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Silloin sotkuivat hevosten kaviot heitä, heidän väkeväinsä hätäisessä paossa.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Kirotkaat Merosta, sanoi Herran enkeli, kiroten kirotkaat hänen asuvaisiansa, ettei he tulleet Herran avuksi, Herran avuksi sankarien seassa.
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Siunattu olkoon Jael vaimoin seassa, Heberin Keniläisen emäntä, siunattu olkoon hän majoissansa vaimoin seassa.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Kuin hän vettä anoi, niin hän rieskaa antoi; hän kantoi voita kalliissa maljassa.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Hän otti naulan käteensä ja sepän vasaran oikiaan käteensä, ja löi Siseran ja runteli hänen päänsä, musersi ja lävisti hänen korvainsa juuren.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
Hänen jalkainsa juureen kumarsi hän maahan, hän lankesi maahan ja pani maata: hänen jalkainsa juureen kumarsi hän itsensä ja lankesi maahan, siinä kuin hän kumarsi itsensä, siinä hän myös makasi hukutettuna.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Siseran äiti katsoi akkunasta ja itki huutain häkistä: miksi viipyy hänen vaununsa tulemasta? miksi ovat hänen vaununsa pyörät niin jääneet jälkeen?
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
Ne viisaimmat hänen ylimmäisistä vaimoistansa vastasivat häntä, että hän sanojansa kertoi.
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
Eikö he löydä ja jaa saalista, jokaiselle miehelle piian taikka kaksi, ja Siseralle kirjavia ja ommeltuja vaatteita, neulalla ommeltuja vaatteita, kirjavia molemmin puolin kaulan ympäri, saaliiksi.
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Kaikki sinun vihollises niin hukkukoon, Herra! Mutta ne, kuin sinua rakastavat, olkoon niinkuin ylöskäypä aurinko voimassansa. Ja maa oli levossa neljäkymmentä ajastaikaa.

< Waamuzi 5 >