< Waamuzi 5 >

1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
And she sang Deborah and Barak [the] son of Abinoam on the day that saying.
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
When acted as leaders heads in Israel when volunteers a people bless Yahweh.
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Hear O kings give ear O rulers I to Yahweh I I will sing I will sing praises to Yahweh [the] God of Israel.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
O Yahweh when going out you from Seir when marching you from [the] region of Edom [the] earth it shook both [the] heavens they dropped as well as [the] clouds they dropped water.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
[the] mountains They flowed from before Yahweh this Sinai from before Yahweh [the] God of Israel.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
In [the] days of Shamgar [the] son of Anath in [the] days of Jael they ceased roads and walkers of paths they walked roads twisting.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
They ceased rural people in Israel they ceased until that I arose Deborah that I arose a mother in Israel.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
It chose gods new then bread gates a shield if it was seen and a spear among forty thousand in Israel.
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Heart my [is] for [the] commanders of Israel those [who] volunteered among the people bless Yahweh.
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
O riders of female donkeys tawny O [you who] sit on cloth garments and O walkers on [the] road tell out.
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
From [the] sound of archers between [the] places for drawing water there they will recount [the] righteousness of Yahweh [the] righteousness of rural people his in Israel then they went down to the gates [the] people of Yahweh.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Awake awake O Deborah awake awake speak a song arise O Barak and take captive captive[s] your O son of Abinoam.
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Then he went down [the] survivor[s] of [the] nobles [the] people Yahweh he went down to me among the mighty [ones].
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Some of Ephraim root their [was] in Amalek after you Benjamin [was] among people your from Makir they came down commanders and from Zebulun [those who] march with [the] staff of a muster-officer.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
And princes my in Issachar [were] with Deborah and Issachar so Barak in the valley he was sent at feet his among [the] divisions of Reuben [were] great resolves of heart.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Why? did you sit between the fire-places to hear [the] whistling of [the] flocks to [the] divisions of Reuben [were] great searchings of heart.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Gilead on [the] other side of the Jordan he dwelt and Dan why? did he sojourn ships Asher he remained to [the] coast of [the] seas and at landing places his he dwelt.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
Zebulun [was] a people [which] it despised life its to die and Naphtali on [the] heights of [the] field.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
They came kings they fought then they fought [the] kings of Canaan at Taanach at [the] waters of Megiddo profit of silver not they took.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
From heaven they fought the stars from highways their they fought with Sisera.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
[the] wadi of Kishon it swept away them a wadi of ancient times [the] wadi of Kishon you will march O self my strength.
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Then they struck [the] heels of horse[s] from [the] galloping [the] galloping of mighty [horses] his.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Curse Meroz he says [the] angel of Yahweh curse continuously inhabitants its for not they came to [the] help of Yahweh to [the] help of Yahweh on the mighty [ones].
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
She will be blessed more than women Jael [the] wife of Heber the Kenite more than women in the tent she will be blessed.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Water he asked milk she gave in a bowl of nobles she brought near curd.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Hand her to the peg they stretched out and right [hand] her to a hammer of workmen and she struck Sisera she shattered head his and she smashed and she pierced temple his.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
Between feet her he bowed down he fell he lay down between feet her he bowed down he fell at where he bowed down there he fell destroyed.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Through the window she looked down and she lamented [the] mother of Sisera through the widow-lattice why? has it delayed chariot his to come why? have they delayed [the] hoof-beats of chariots his.
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
[the] wise [women] of Noble ladies her they answered also she she brought back words her to herself.
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
¿ Not are they finding are they dividing up? plunder a womb two wombs for [the] head of a man plunder of colored cloth for Sisera plunder of colored cloth embroidered material colored cloth embroidered material for [the] necks of plunder.
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
So may they perish all enemies your O Yahweh and [those who] love him [be] as [the] going out of the sun in strength its and it was at peace the land forty year[s].

< Waamuzi 5 >