< Waamuzi 5 >
1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
Amo esohaga, Debola amola Bela: ge (Abinoa: me egefe) da amo gesami hea: i.
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
“Hina Godema nodoma! Isala: ili dunu da gegemusa: dawa: iou, ilia da gegesu hahawane fidimu sia: i.
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Dilia hina bagade nabima! Noga: le dawa: ma! Na da ninia Isala: ili Hina Godema gesami hea: mu amola gesami hea: su liligi dumu.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
Hina Gode! Di da Sie goumi fisili, amola Idome soge amoga ahoanoba, osobo bagade da fofogolalu yagugui amola gibu da muagadodili sa: i. Dafawane, hano da mu mobi amo ganodini dialu, osobo bagadega sa: i.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
Sainai Hina Gode da manebeba: le, goumi huluane da fofogoi. Hina Gode! Isala: ili dunu ilia Gode!
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
Sia: maga (Anade egefe) amola Ya: iele da esalea, dunu amola ga: mele amola bidi lasu dunu da Isala: ili sogega hame misi. Ilia da logo fonobahadi la: ididili asi.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Debola! Isala: ili moilai gilisisu da dunu hame esalebe agoane ba: i. Amalalu, di da misi. Di da Isala: ili fi ilia ame defele misi dagoi.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Isala: ili dunu da gaheabolo ogogosu ‘gode’ liligi ilima fa: no bobogebeba: le, gegesu bagade ilia soge ganodini ba: i. Isala: ili dunu 40,000 agoane gilisi amo ganodini, lobo danoma: ne gala: su goge agei amola da: igene gaga: su liligi hame ba: i.
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Na da Isala: ili ouligisu dunu ilima bagade asigisa. Amola dunu da mae hihini hahawane fidimusa: misi, na da ilima bagade asigisa. Hina Godema nodoma!
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
Dilia! Dunu da ahea: iya: i dougi amoga fila heda: su dunu! Amo sia: olelema! Amola dili emoga fawane ahoasu dunu! Dilia sia: ma!
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
Nabima! Dunu bagohame da gu hano amogai gilisili wele sia: nana. Ilia da Hina Gode Ea hasalasu hou amola Isala: ili dunu ilia hasalasu hou olelesa. Amalalu, Hina Gode Ea fi dunu da ilia moilai fisili, mogodigili gudu sa: i.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Debola! Bisima! Bisima! Gesami hea: ma! Bisima! Bela: ge, Abinoa: me egefe di! Ba: le gaidi godiwane masa! Dia ha lai dunu di afugili lai, amo oule masa!
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Amalalu, fa: no noga: le bobogesu dunu da ilia ouligisu dunuma gagadomusa: gudu sa: i. Ilia da gegemusa: momagele, Hina Godema gilisi.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Ilia da Ifala: ime soge fisili, fagoa gudu misi. Ilia da Bediamini fi dunu ilima fa: no bobogei. Dadi gagui ouligisu dunu da Ma: igie soge fisili misi. Amola, ilia fidisu ouligisu dunu da Sebiula: ne sogega misi.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Isaga fi ouligisu dunu da Debola amo sigi misi. Dafawane! Isaga fi da misi dagoi. Bela: ge da misiba: le, ilia da ema fa: no bobogele, fagoa gudu doaga: i. Be Liubene fi dunu da afafai. Ilia da misunu o hame misunu, hame dawa: i galu.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Ilia da abuliba: le mae misini, sibi ouligima: ne ouesalula: ? Ilia abuliba: le, sibi ouligisu dunu sibima wele sia: su amo nabima: ne, ouesalula: ? Ma! Liubene fi da afafai dagoi ba: i. Ilia da misunu o hame misunu, hame dawa: i galu.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Ga: de fi dunu da Yodane Hano eso mabe la: ididili esalebe ba: i. Da: ne fi dunu da ilia dusagai ouligima: ne esalebe ba: i. A: sie fi dunu da hano bagade bega: ouesalebe ba: i.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
Be Sebiula: ne fi dunu amola Na: fadalai dunu da bogosa: besa: le mae dawa: le, gegesu amoga gilisi.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
Hina bagade dunu da Da: ina: ge moilai bai bagade, Megido Hano bega: dialu, amoga gegemusa: misi. Ga: ina: ne hina bagade dunu da gegei, be hame hasalasiba: le, silifa noga: i liligi hame gaguli asi.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
Fedege sia: agoane, gasumuni da muagado asili, amoga gegei. Ilia da hina bagade Sisela ema gegei.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Gaisione Hano da filigala: le neda: le, amo dunu huluane mini asili, gaguli asi. Na da gasawane mogodigili masunu!
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Amalalu, hosi da hehenane misini, osoboga ha: giwane osa: i.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Hina Gode Ea a: igele dunu da amane sia: sa, “Milose soge amo aligima: ne gagabuma. Dunu huluane amogawi esala, amo aligima: ne gagabuma. Ilia da Hina Godemagale gegemusa: hame misi.”
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Hibe (Ginaide dunu) amo ea uda da hahawane bagade. E da uda huluane abula diasu amo ganodini esalebe uda, amo ilia hahawane hou baligisa.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Sisela da ema hano edegei. Be e da dodo maga: me ema i. E da gebo sefe gugu, yaeya noga: iwane amo ganodini sali, gaguli misini ema i.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
E da abula diasu goge agei, lobo afae amo ganodini gaguli, hawa: hamosu dunu ea ha: ma, lobo eno amo ganodini gagui. E da Sisela fane, ea dialuma goudai. E da ea dialuma amo abula goge agei amoga soi dagoi.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
E da muguni bugili, diasa: ili, amo uda ea emo gadenene osoboga sa: ili, bogoi dagoi.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Sisela ea ame da fo misa: ne agenesi amoga ba: i. E da ifa gigiadomai hobea: ga gadili ba: lalu. E amane adole ba: i, “Ea sa: liode da abuliba: le hedolo hame maha? Ea hosi da abuliba: le hedolo hame buhagisala: ?”
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
Ea bagade dawa: su fidisu uda ilia da ema amane adole i, amola e da hisu hima adole ialala, amane,
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
“Ilia da liligi lama: ne amola afafane ima: ne hogolala. Dadi gagui dunu da afae afae a: fini afae o aduna lamu. Sisela da abula ida: iwane lamu. Amola abula ida: iwane amuni liligi, ea uda galogoa gisa: gima: ne, amo lamusa: hogolala.”
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Hina Gode! Dima ha lai dunu huluane da Sisela ea bogoi defele bogomu da defea. Be Dima dogolegei dunu da eso mabe ea diga: i defele diga: mu da defea.” Amalalu, Isala: ili soge ganodini da ode 40 amoga olofosu fawane ba: i.