< Waamuzi 21 >

1 Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko Mispa, “Hakuna hata mmoja wetu atakayempa binti yake kuolewa na Mbenyamini.”
İsrailliler Mispa'da, “Bizden hiç kimse Benyaminoğulları'na kız vermeyecek” diye ant içmişlerdi.
2 Ndipo watu wakaenda Betheli, wakakaa huko mbele ya Mungu hata jioni; wakalia kwa sauti kubwa.
Halk Beytel'e geldi. Akşama dek orada, Tanrı'nın önünde oturup hıçkıra hıçkıra ağladılar.
3 Walipiga kelele, “Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?”
“Ey İsrail'in Tanrısı RAB!” dediler, “Bugün İsrail'den bir oymağın eksilmesine yol açan böyle bir şey neden oldu?”
4 Siku iliyofuata watu waliamka mapema na wakajenga madhabahu huko na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.
Ertesi gün erkenden kalkıp bir sunak yaptılar, orada yakmalık sunular ve esenlik sunuları sundular.
5 Watu wa Israeli wakasema, “Ni nani kati ya kabila zote za Israeli hawakuja katika mkutano wa Bwana?” Kwa kuwa walikuwa wamefanya ahadi muhimu juu ya mtu yeyote ambaye hakuja kwa Bwana huko Mispa. Wakasema, “Hakika yeye atauawa.”
İsrailliler, “RAB'bin önüne çıkmak üzere toplandığımızda İsrail oymaklarından bize kimler katılmadı?” diye sordular. Çünkü Mispa'da, RAB'bin önünde toplandıklarında kendilerine katılmayanların kesinlikle öldürüleceğine dair ant içmişlerdi.
6 Watu wa Israeli walikuwa na huruma kwa ndugu yao Benyamini. Wakasema, “Leo hii kabila moja limekatiliwa mbali kutoka Israeli.
İsrailliler Benyaminli kardeşleri için çok üzülüyorlardı. “İsrail bugün bir oymağını yitirdi” dediler,
7 Ni nani atakayewapa wale walioachwa wake, kwa kuwa tumeahidi kwa Bwana kwamba hatuwezi kuwaruhusu yeyote kati yao aoe binti zetu?”
“Sağ kalanlara eş olacak kızları bulmak için ne yapsak? Çünkü kızlarımızdan hiçbirini onlara eş olarak vermeyeceğimize RAB'bin adına ant içtik.”
8 Wakasema, “Ni nani kati ya kabila za Israeli hawakuja kwa Bwana huko Mispa? Ilionekana kuwa hakuna mtu aliyekuja kwenye mkusanyiko kutoka Jabeshi-Gileadi.
Sonra, “Mispa'ya, RAB'bin önüne İsrail oymaklarından kim çıkmadı?” diye sordular. Böylece Yaveş-Gilat'tan toplantıya, ordugaha kimsenin gelmediği ortaya çıktı.
9 Kwa maana watu walipokuwa wamepangwa kwa utaratibu, tazama, hakuna hata mmoja wa wenyeji wa Yabeshi Gileadi.
Çünkü gelenler sayıldığında Yaveş-Gilat'tan kimsenin olmadığı anlaşılmıştı.
10 Mkutano huo uliwatuma watu kumi na wawili wa watu wao wenye ujasiri kwa maagizo ya kwenda Jabeshi-gileadi na kuwaangamiza, na kuwaua, hata wanawake na watoto.
Bunun üzerine topluluk Yaveş-Gilat halkının üzerine on iki bin yiğit savaşçı gönderdi. “Gidin, Yaveş-Gilat halkını, kadın, çoluk çocuk demeden kılıçtan geçirin” dediler,
11 “Fanya hivi unapaswa kuua kila mume na kila mwanamke aliyelala na mwanaume.”
“Yapacağınız şu: Her erkeği ve erkek eli değmiş her kadını öldüreceksiniz.”
12 Watu wale walikuta watu kati ya hao waliokaa Yabeshi-gileadi, wanawake mia nne ambao hawakulala na mwanaume, wakawapeleka kwenye kambi huko Shilo, huko Kanaani.
Yaveş-Gilat halkı arasında erkek eli değmemiş dört yüz kız bulup Kenan topraklarında bulunan Şilo'daki ordugaha getirdiler.
13 Mkutano wote ukatuma ujumbe na kuwaambia watu wa Benyamini waliokuwa kwenye mwamba wa Rimoni kwamba walikuwa wanawapa amani.
Ardından bütün topluluk Rimmon Kayalığı'ndaki Benyaminoğulları'na aracılar göndererek barış yapmayı önerdi.
14 Wabenyamini walirudi wakati huo na walipewa wanawake wa Yabeshi Gileadi, lakini hapakuwa na wanawake wa kutosha kwa wote.
Bunun üzerine Benyaminoğulları döndü. Topluluk Yaveş-Gilat halkından sağ bırakılan kızları onlara eş olarak verdi. Ama kızların sayısı Benyaminoğulları için yine de yeterli değildi.
15 Watu waliomboleza kwa kile kilichotokea Benyamini, kwa kuwa Bwana alifanya mgawanyiko kati ya makabila ya Israeli.
İsrail halkı Benyaminoğulları'nın durumuna çok üzülüyordu. Çünkü RAB İsrail oymakları arasında birliği bozmuştu.
16 Kisha wakuu wa mkutano wakasema, “Tutafanyaje ili Wabenyamini wapate wake, kwa kuwa wanawake wa Benyamini wameuawa?”
Topluluğun ileri gelenleri, “Benyaminoğulları'nın kadınları öldürüldüğüne göre, kalan erkeklere eş bulmak için ne yapsak?” diyorlardı,
17 Wakasema, 'Lazima kuwe na urithi kwa Wabenyamini waliosalia, ili kabila lisiharibiwe kutoka Israeli.
“İsrail'den bir oymağın yok olup gitmemesi için sağ kalan Benyaminoğulları'nın mirasçıları olmalı.
18 Hatuwezi kuwapa wake kutoka kwa binti zetu, kwa kuwa wana wa Israeli walikuwa wametoa ahadi, 'Na alaaniwe mtu atakayempa Benyamini mke.'”
Biz onlara kızlarımızdan eş veremeyiz. Çünkü Benyaminoğulları'na kız veren her İsrailli lanetlenecek diye ant içtik.”
19 Wakasema, “Mnajua kuwa kuna sikukuu kwa Bwana kila mwaka huko Shilo ( ambayo ni kaskazini ya Betheli, mashariki ya barabara inayopanda kutoka Betheli hadi Shekemu, na kusini mwa Lebona).
Sonra, “Bakın, Şilo'da her yıl RAB adına bir şölen düzenleniyor” diye eklediler. Şilo Beytel'in kuzeyinde, Beytel'den Şekem'e giden yolun doğusunda, Levona'nın güneyindedir.
20 Wakawaagiza wana wa Benyamini, wakisema, “Nendeni, mjifiche kwa siri, na kusubiri katika mashamba ya mizabibu.
Böylece Benyaminoğulları'na, “Gidip bağlarda gizlenin” diye öğüt verdiler,
21 Tazama wakati ambapo wasichana kutoka Shilo watatoka kucheza, Tokeni nje ya mizabibu na kila mmoja wenu anapaswa kunyakua mke kutoka kwa wasichana wa Shilo, kisha kurudi kwenye nchi ya Benyamini.
“Gözünüzü açık tutun. Şilolu kızlar dans etmeye kalkınca bağlardan fırlayıp onlardan kendinize birer eş kapın ve Benyamin topraklarına götürün.
22 Wakati baba zao au ndugu zao watakapokuja kutupinga, tutawaambia, 'Tupeni neema! Waache wabaki kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita. Na ninyi hamna hatia juu ya ahadi, kwa sababu hamkuwapa wao binti zenu.'”
Kızların babaları ya da erkek kardeşleri bize yakınmaya gelirse, ‘Benyaminoğulları'nı hatırımız için bağışlayın’ diyeceğiz, ‘Savaşarak aldığımız kızlar hepsine yetmedi. Siz de kendi kızlarınızı isteyerek vermediğinize göre suçlu sayılmazsınız.’”
23 Watu wa Benyamini walifanya hivyo. Walichukua idadi ya wake waliowahitaji kutoka kwa wasichana waliokuwa wakicheza, nao wakawachukua ili wawe wake zao. Wakaenda na kurudi mahali pa urithi wao; wakajenga tena miji, na wakaishi ndani yao.
Benyaminoğulları da böyle yaptılar. Kızlar dans ederken her erkek bir kız kapıp götürdü. Kendi topraklarına gittiler, kentlerini onarıp yerleştiler.
24 Kisha watu wa Israeli wakatoka mahali hapo na kwenda nyumbani, kila mmoja kwa kabila lake na ukoo, na kila mmoja kwa urithi wake mwenyewe.
Ardından İsrailliler de oradan ayrılıp kendi topraklarına, oymaklarına, ailelerine döndüler.
25 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe.
O dönemde İsrail'de kral yoktu. Herkes kendince doğru olanı yapıyordu.

< Waamuzi 21 >