< Waamuzi 21 >

1 Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko Mispa, “Hakuna hata mmoja wetu atakayempa binti yake kuolewa na Mbenyamini.”
Torej možje iz Izraela so v Micpi prisegli, rekoč: »Nihče izmed nas svoje hčere ne bo dal Benjaminu za ženo.«
2 Ndipo watu wakaenda Betheli, wakakaa huko mbele ya Mungu hata jioni; wakalia kwa sauti kubwa.
Ljudstvo je prišlo k Božji hiši in tam so ostali do večera pred Bogom in povzdignili svoje glasove in bridko jokali
3 Walipiga kelele, “Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?”
in rekli: »Oh Gospod, Izraelov Bog, zakaj se je to zgodilo v Izraelu, da danes manjka en rod v Izraelu.«
4 Siku iliyofuata watu waliamka mapema na wakajenga madhabahu huko na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.
Pripetilo se je naslednji dan, da je ljudstvo zgodaj vstalo, tam zgradilo oltar in darovalo žgalne daritve in mirovne daritve.
5 Watu wa Israeli wakasema, “Ni nani kati ya kabila zote za Israeli hawakuja katika mkutano wa Bwana?” Kwa kuwa walikuwa wamefanya ahadi muhimu juu ya mtu yeyote ambaye hakuja kwa Bwana huko Mispa. Wakasema, “Hakika yeye atauawa.”
Izraelovi otroci so rekli: »Kdo je tam med vsemi Izraelovimi rodovi, ki s skupnostjo ni prišel gor h Gospodu?« Kajti sklenili so veliko prisego glede tistega, ki ne pride gor h Gospodu v Micpo, rekoč: »Ta bo zagotovo usmrčen.«
6 Watu wa Israeli walikuwa na huruma kwa ndugu yao Benyamini. Wakasema, “Leo hii kabila moja limekatiliwa mbali kutoka Israeli.
Izraelovim otrokom je bilo žal zaradi Benjamina, njihovega brata in rekli so: »Ta dan je iz Izraela iztrebljen en rod.
7 Ni nani atakayewapa wale walioachwa wake, kwa kuwa tumeahidi kwa Bwana kwamba hatuwezi kuwaruhusu yeyote kati yao aoe binti zetu?”
Kako bomo storili zaradi žena za tiste, ki so ostali, glede na to, da smo pri Gospodu prisegli, da jim ne bomo dali izmed svojih hčera za žene?«
8 Wakasema, “Ni nani kati ya kabila za Israeli hawakuja kwa Bwana huko Mispa? Ilionekana kuwa hakuna mtu aliyekuja kwenye mkusanyiko kutoka Jabeshi-Gileadi.
Rekli so: »Kateri izmed Izraelovih rodov je, ki ni prišel v Micpo h Gospodu?« Glej, iz Jabéš Gileáda ni nihče prišel v tabor k zboru.
9 Kwa maana watu walipokuwa wamepangwa kwa utaratibu, tazama, hakuna hata mmoja wa wenyeji wa Yabeshi Gileadi.
Kajti ljudstvo je bilo prešteto in glej, tam ni bilo nobenega prebivalca iz Jabéš Gileáda.
10 Mkutano huo uliwatuma watu kumi na wawili wa watu wao wenye ujasiri kwa maagizo ya kwenda Jabeshi-gileadi na kuwaangamiza, na kuwaua, hata wanawake na watoto.
Skupnost je tja poslala dvanajst tisoč mož izmed najhrabrejših in jim zapovedala, rekoč: »Pojdite in udarite prebivalce Jabéš Gileáda z ostrino meča, z ženskami in otroki.
11 “Fanya hivi unapaswa kuua kila mume na kila mwanamke aliyelala na mwanaume.”
To je stvar, ki jo boste storili: ›Popolnoma boste uničili vsakega moškega in vsako žensko, ki je ležala z moškim.‹«
12 Watu wale walikuta watu kati ya hao waliokaa Yabeshi-gileadi, wanawake mia nne ambao hawakulala na mwanaume, wakawapeleka kwenye kambi huko Shilo, huko Kanaani.
Med prebivalci Jabéš Gileáda so našli štiristo mladih devic, ki nobenega moškega niso spoznale z ležanjem s katerimkoli moškim. Privedli so jih v tabor do Šila, ki je v kánaanski deželi.
13 Mkutano wote ukatuma ujumbe na kuwaambia watu wa Benyamini waliokuwa kwenye mwamba wa Rimoni kwamba walikuwa wanawapa amani.
Celotna skupnost je poslala nekatere, da govorijo Benjaminovim otrokom, ki so bili v Rimónovi skali in da miroljubno kličejo k njim.
14 Wabenyamini walirudi wakati huo na walipewa wanawake wa Yabeshi Gileadi, lakini hapakuwa na wanawake wa kutosha kwa wote.
Ob tistem času je ponovno prišel Benjamin in izročili so jim žene, ki so jih žive rešili izmed žensk Jabéš Gileáda in vendar jim to ni zadoščalo.
15 Watu waliomboleza kwa kile kilichotokea Benyamini, kwa kuwa Bwana alifanya mgawanyiko kati ya makabila ya Israeli.
Ljudstvo se je pokesalo zaradi Benjamina, zato ker je Gospod naredil vrzel v Izraelovih rodovih.
16 Kisha wakuu wa mkutano wakasema, “Tutafanyaje ili Wabenyamini wapate wake, kwa kuwa wanawake wa Benyamini wameuawa?”
Potem so starešine skupnosti rekli: »Kako bomo storili glede žena za tiste, ki ostanejo, glede na to, da so ženske uničene iz Benjamina?«
17 Wakasema, 'Lazima kuwe na urithi kwa Wabenyamini waliosalia, ili kabila lisiharibiwe kutoka Israeli.
Rekli so: » Mora biti dediščina za tiste, ki pobegnejo iz Benjamina, da iz Izraela ne bo uničen rod.«
18 Hatuwezi kuwapa wake kutoka kwa binti zetu, kwa kuwa wana wa Israeli walikuwa wametoa ahadi, 'Na alaaniwe mtu atakayempa Benyamini mke.'”
Vendar jim ne moremo dati žene izmed svojih hčera, kajti Izraelovi otroci so prisegli, rekoč: »Preklet bodi, kdor daje ženo Benjaminu.«
19 Wakasema, “Mnajua kuwa kuna sikukuu kwa Bwana kila mwaka huko Shilo ( ambayo ni kaskazini ya Betheli, mashariki ya barabara inayopanda kutoka Betheli hadi Shekemu, na kusini mwa Lebona).
Potem so rekli: »Glej, tam je letno Gospodovo praznovanje v Šilu, na kraju, ki je na severni strani Betela, na vzhodni strani glavne ceste, ki gre gor od Betela do Sihema in na vzhodni strani Lebóne.«
20 Wakawaagiza wana wa Benyamini, wakisema, “Nendeni, mjifiche kwa siri, na kusubiri katika mashamba ya mizabibu.
Zato so Benjaminovim otrokom zapovedali, rekoč: »Pojdite in prežite v zasedi v vinogradih.
21 Tazama wakati ambapo wasichana kutoka Shilo watatoka kucheza, Tokeni nje ya mizabibu na kila mmoja wenu anapaswa kunyakua mke kutoka kwa wasichana wa Shilo, kisha kurudi kwenye nchi ya Benyamini.
Glejte in opazujte, če hčere iz Šila pridejo ven, da plešejo v plesih, potem pridite iz vinogradov in zgrabite vsak mož svojo ženo izmed hčera v Šilu in pojdite v Benjaminovo deželo.«
22 Wakati baba zao au ndugu zao watakapokuja kutupinga, tutawaambia, 'Tupeni neema! Waache wabaki kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita. Na ninyi hamna hatia juu ya ahadi, kwa sababu hamkuwapa wao binti zenu.'”
Zgodilo se bo, da ko pridejo k nam njihovi očetje ali njihovi bratje, da se pritožujejo, jim bomo rekli: »Bodite jim naklonjeni zaradi nas, ker v vojni nismo prihranili vsakemu možu svoje žene, kajti ob tistem času jim jih vi niste dali, tako ste sedaj krivi.«
23 Watu wa Benyamini walifanya hivyo. Walichukua idadi ya wake waliowahitaji kutoka kwa wasichana waliokuwa wakicheza, nao wakawachukua ili wawe wake zao. Wakaenda na kurudi mahali pa urithi wao; wakajenga tena miji, na wakaishi ndani yao.
Benjaminovi otroci so tako storili in si vzeli žene, glede na njihovo število izmed tistih, ki so plesale, ki so jih ujeli in odšli ter se vrnili v svojo dediščino in popravili mesta in prebivali v njih.
24 Kisha watu wa Israeli wakatoka mahali hapo na kwenda nyumbani, kila mmoja kwa kabila lake na ukoo, na kila mmoja kwa urithi wake mwenyewe.
Ob tem času so Izraelovi otroci odšli od tam, vsak mož k svojemu rodu in k svoji družini in odšli so od tam, vsak mož k svoji dediščini.
25 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe.
V tistih dneh ni bilo kralja v Izraelu. Vsak mož je počel to, kar je bilo pravilno v njegovih lastnih očeh.

< Waamuzi 21 >