< Waamuzi 21 >
1 Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko Mispa, “Hakuna hata mmoja wetu atakayempa binti yake kuolewa na Mbenyamini.”
Nadto každý z mužů Izraelských přísahou se byli zavázali v Masfa, řkouce: Žádný z nás nedá dcery své Beniaminským za manželku.
2 Ndipo watu wakaenda Betheli, wakakaa huko mbele ya Mungu hata jioni; wakalia kwa sauti kubwa.
Protož všel lid do domu Boha silného, a seděli tam až do večera před Bohem, a pozdvihše hlasu svého, plakali pláčem velikým.
3 Walipiga kelele, “Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?”
A řekli: Proč Hospodine, Bože Izraelský, stalo se toto v Izraeli, aby dnes ubylo jedno pokolení z Izraele?
4 Siku iliyofuata watu waliamka mapema na wakajenga madhabahu huko na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.
Nazejtří pak ráno vstal lid, a vzdělali tam oltář, a obětovali oběti zápalné a pokojné.
5 Watu wa Israeli wakasema, “Ni nani kati ya kabila zote za Israeli hawakuja katika mkutano wa Bwana?” Kwa kuwa walikuwa wamefanya ahadi muhimu juu ya mtu yeyote ambaye hakuja kwa Bwana huko Mispa. Wakasema, “Hakika yeye atauawa.”
Řekli pak synové Izraelští: Jest-li kdo, ješto nepřišel do shromáždění tohoto ze všech pokolení Izraelských k Hospodinu? (Nebo se byli velice zapřisáhli proti tomu, kdož by nepřišel k Hospodinu do Masfa, řkouce: Bez milosti ať umře.
6 Watu wa Israeli walikuwa na huruma kwa ndugu yao Benyamini. Wakasema, “Leo hii kabila moja limekatiliwa mbali kutoka Israeli.
Nebo litujíce synové Izraelští Beniamina bratra svého, řekli: Dnes vyhlazeno jest jedno pokolení z Izraele.
7 Ni nani atakayewapa wale walioachwa wake, kwa kuwa tumeahidi kwa Bwana kwamba hatuwezi kuwaruhusu yeyote kati yao aoe binti zetu?”
Jakž tedy učiníme s těmi ostatky, aby ženy měli, poněvadž jsme se přísahou zavázali skrze Hospodina, že jim nedáme dcer svých za manželky?)
8 Wakasema, “Ni nani kati ya kabila za Israeli hawakuja kwa Bwana huko Mispa? Ilionekana kuwa hakuna mtu aliyekuja kwenye mkusanyiko kutoka Jabeshi-Gileadi.
Řekli tedy: Jest-li kdo z pokolení Izraelských, ješto nepřišel k Hospodinu do Masfa? A aj, nepřišel byl žádný do vojska z Jábes Galád do shromáždění.
9 Kwa maana watu walipokuwa wamepangwa kwa utaratibu, tazama, hakuna hata mmoja wa wenyeji wa Yabeshi Gileadi.
Nebo když sečten byl lid, a aj, nebylo tam žadného z obyvatelů Jábes Galád.
10 Mkutano huo uliwatuma watu kumi na wawili wa watu wao wenye ujasiri kwa maagizo ya kwenda Jabeshi-gileadi na kuwaangamiza, na kuwaua, hata wanawake na watoto.
Protož poslalo tam shromáždění to dvanácte tisíc mužů nejsilnějších, a přikázali jim, řkouce: Jděte a pobíte obyvatele Jábes Galád ostrostí meče, ženy i děti.
11 “Fanya hivi unapaswa kuua kila mume na kila mwanamke aliyelala na mwanaume.”
Toto pak učiníte: Všecky mužského pohlaví, a každou ženu, kteráž muže poznala, zamordujete.
12 Watu wale walikuta watu kati ya hao waliokaa Yabeshi-gileadi, wanawake mia nne ambao hawakulala na mwanaume, wakawapeleka kwenye kambi huko Shilo, huko Kanaani.
Nalezli tedy mezi obyvateli Jábes Galád čtyři sta děveček panen, kteréž nepoznaly muže, a přivedli je do vojska v Sílo, kteréž bylo v zemi Kananejské.
13 Mkutano wote ukatuma ujumbe na kuwaambia watu wa Benyamini waliokuwa kwenye mwamba wa Rimoni kwamba walikuwa wanawapa amani.
Tedy poslalo všecko to shromáždění, a mluvili k synům Beniamin, kteříž byli v skále Remmon, a povolali jich v pokoji.
14 Wabenyamini walirudi wakati huo na walipewa wanawake wa Yabeshi Gileadi, lakini hapakuwa na wanawake wa kutosha kwa wote.
Protož navrátili se Beniaminští toho času. I dali jim ženy, kteréž živé zachovali z žen Jábes Galád, ale ani tak se jim nedostávalo jich.
15 Watu waliomboleza kwa kile kilichotokea Benyamini, kwa kuwa Bwana alifanya mgawanyiko kati ya makabila ya Israeli.
Lidu pak líto bylo Beniamina, proto že učinil Hospodin mezeru v pokoleních Izraelských.
16 Kisha wakuu wa mkutano wakasema, “Tutafanyaje ili Wabenyamini wapate wake, kwa kuwa wanawake wa Benyamini wameuawa?”
Řekli tedy starší shromáždění toho: Jak učiníme s těmi pozůstalými, aby měli ženy? Nebo vyhlazeny jsou ženy z pokolení Beniamin.
17 Wakasema, 'Lazima kuwe na urithi kwa Wabenyamini waliosalia, ili kabila lisiharibiwe kutoka Israeli.
Řekli také: Dědictví Beniaminovo pozůstalým náleží, aby nezahynulo pokolení z Izraele.
18 Hatuwezi kuwapa wake kutoka kwa binti zetu, kwa kuwa wana wa Israeli walikuwa wametoa ahadi, 'Na alaaniwe mtu atakayempa Benyamini mke.'”
My pak nemůžeme jim dáti dcer svých za manželky; (nebo se byli přísahou zavázali synové Izraelští, řkouce: Zlořečený buď, kdož by dal manželku synům Beniamin.)
19 Wakasema, “Mnajua kuwa kuna sikukuu kwa Bwana kila mwaka huko Shilo ( ambayo ni kaskazini ya Betheli, mashariki ya barabara inayopanda kutoka Betheli hadi Shekemu, na kusini mwa Lebona).
Potom řekli: Aj, slavnost Hospodinova bývá v Sílo každého roku na místě, kteréž jest s půlnoční strany domu Boha silného, k východu slunce cestě, kterouž se chodí od domu Boha silného do Sichem, a Lebnu jest na poledne.
20 Wakawaagiza wana wa Benyamini, wakisema, “Nendeni, mjifiche kwa siri, na kusubiri katika mashamba ya mizabibu.
Přikázali tedy synům Beniamin, řkouce: Jděte a skrejte se v vinicích.
21 Tazama wakati ambapo wasichana kutoka Shilo watatoka kucheza, Tokeni nje ya mizabibu na kila mmoja wenu anapaswa kunyakua mke kutoka kwa wasichana wa Shilo, kisha kurudi kwenye nchi ya Benyamini.
A šetřte, a aj, když vyjdou dcery Sílo plésati v houfích, tedy vyskočíte z vinic a pochytíte sobě každý manželku svou ze dcer Sílo, a odejdete do země Beniamin.
22 Wakati baba zao au ndugu zao watakapokuja kutupinga, tutawaambia, 'Tupeni neema! Waache wabaki kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita. Na ninyi hamna hatia juu ya ahadi, kwa sababu hamkuwapa wao binti zenu.'”
Když pak přijdou otcové jejich aneb bratří jejich, aby se před námi soudili, tedy řekneme jim: Slitujte se nad námi místo nich, nebo v té válce nevzali jsme pro každého z nich manželky; také jste vy jim nedali jich, a tak nebudete nic vinni.
23 Watu wa Benyamini walifanya hivyo. Walichukua idadi ya wake waliowahitaji kutoka kwa wasichana waliokuwa wakicheza, nao wakawachukua ili wawe wake zao. Wakaenda na kurudi mahali pa urithi wao; wakajenga tena miji, na wakaishi ndani yao.
Tedy učinili tak synové Beniamin, a přivedli sobě manželky vedlé počtu svého z těch plésajících, kteréž uchvátili; a odšedše, navrátili se k dědictví svému, a vzdělavše zase města svá, bydlili v nich.
24 Kisha watu wa Israeli wakatoka mahali hapo na kwenda nyumbani, kila mmoja kwa kabila lake na ukoo, na kila mmoja kwa urithi wake mwenyewe.
A tak odešli odtud synové Izraelští toho času, jeden každý k svému pokolení a k čeledi své; a vrátili se odtud jeden každý k dědictví svému.
25 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe.
Těch dnů nebylo krále v Izraeli, ale každý, což se mu vidělo, to činil.