< Waamuzi 20 >

1 Ndipo watu wote wa Israeli wakatoka kama mtu mmoja, toka Dani mpaka Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi; nao wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
Hagi anante noti kaziga Daniti vuno Berseba uhanatigeno sauti kazigati'ene, Jodani timofo kantu kaziga Giliatiti'ene maka Israeli vahera emeri tru hu'naze. Hagi ana maka Israeli vahera Ra Anumzamofo avuga Mispa kumateke ome atru hu'naze.
2 Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
Hagi Israeli naga'mofonte'ma ugagota hu'naza maka kva vahetmimo'za Anumzamofo vahe'mo'zama atruma hazafi umani'naze. Hagi anampina kazinteti'ma ha'ma hu sondia vahe'tmina 400 tausenia vahe mani'naze.
3 Basi wana wa Benyamini waliposikia kwamba watu wa Israeli walikuwa wamepanda Mispa. Wana wa Israeli wakasema, “Tuambieni ni kwa namna gani huu uovu umefanyika.”
Hagi Israeli naga'mo'za Mispa kumate'ma atruma haza nanekemo'a ko Benzameni nagatera vu'ne. Hagi Israeli vahetmimo'za amanage hu'naze. Inankna huno ama ana kefo avu'ava zana fore hu'nefi hugeta antahimneno.
4 Mlawi, mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu, Nilikuja Gibea katika nchi ya Benyamini, mimi na suria wangu, ili tulale.
Hazageno nenaroma ahe fri'naza Livae ne'mo'a amanage huno kenona hu'ne, Benzameni nagamofo kumate Gibea masenaku a'ni'ane nagranena emani'no'e.
5 Wakati wa usiku, viongozi wa Gibea walinishambulia, wakizunguka nyumba na wakakusudia kuniua. Walimkamata na kumbaka suria wangu, naye akafa.
Hianagi ana kenagera Gibea kumate vahe'mo'za eme tavazagigagi'za nahe'za nehu'za, a'ni'a avre'za monko'zana hunentazageno fri'ne.
6 Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
E'ina hazage'na ana a'mofo avufga'a taga hu'na 12fu'a Israeli naga nofima mani'nazarega, atrogeno vuno eno hu'ne. Na'ankure Israeli mopamofo agu'afina kasrino havizantfa huno zamagazegu huga monko avu'avaza hu'naze.
7 Sasa, ninyi Waisraeli wote, toeni maneno na ushauri wenu hapa.”
Hagi menina maka Israeli vahe'motma na'a hugahumpi nanekea hiho.
8 Watu wote wakaondoka pamoja kama mtu mmoja, wakasema, Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake, wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
Hagi anagema hige'za, maka Israeli vahe'mo'za magoke zamagi ante'za amanage hu'naze, Mago'mo'e huno seli noma'arega ovuge, noma'arega ovuge hugahie.
9 Lakini sasa hivi ndivyo tutakavyoifanyia Gibea tutaishambulia kama kura inavyotuongoza.
Hianagi amanahu'za Gibea vahera huzamantegahune. Satu zokagoreta kesunkeno, zamagimo'ma efore'ma hania vahe'mo'za hatera vu'za hara ome hugahaze.
10 Tutachukua watu kumi katika mia moja katika makabila yote ya Israeli, na mia moja katika elfu, na elfu moja katika elfu kumi, kuwapa chakula kwa ajili ya watu hawa, ili waweze kufika Gibea katika Benyamini, watawaadhibu kwa uovu wao waliofanya katika Israeli.
Hagi 100'a Israeli vahepintira 10ni'a vaheke nezamavareta, 1tauseni'a vahepintira 100'a vahe nezamavareta, 10 tauseni'a vahepintira 1tauseni'a vahetami zamavaresunke'za Gibea kumate vahe'mo'zama Israeli vahe amu'nompima kasrino havizantfama hu'nea monko avu'avazama hu'nazare'ma ha'ma ome huzmante'za zamavu'za zamagesazama hanaza sondia vahe'mokizmi ne'zana eri'za vugahaze.
11 Basi askari wote wa Israeli wakakusanyika juu ya mji, kama mtu mmoja.
E'ina hige'za maka Israeli emerimago hu'za Gibea kumate vahera hara ome huzmante'naze.
12 Makabila ya Israeli waliwatuma watu kwa kabila lote la Benyamini, wakisema, “Uovu huu uliofanywa kati yenu ni nini?
Ana nehu'za Israeli vahe'mo'za Benzameni nagatega amanage hu'za kea atrazageno vu'ne. Nankna kefo avu'avaza amu'nontamifina fore hu'ne?
13 Kwa hiyo, tupeni watu hao waovu wa Gibea, tupate kuwaua, na hivyo tutaondoa kabisa uovu huu kutoka kwa Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakusikiliza sauti ya ndugu zao, watu wa Israeli,
E'ina hazenke vahetmina Gibea kumapintira avre taminketa zamahe frisunkeno, Israeli mopamo'a agru hino. Hianagi zamafuhe'zama Israeli vahe'mo'za hazankea Benjamen naga'mo'za ontahi'naze.
14 Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika kutoka mijini kwenda Gibea, wakajiandaa kupigana na wana wa Israeli.
Ana nehu'za maka Benzameni mopafima me'nea ranra kumatamimpinti vahe'mo'za Israeli vahera hara huzamantenaku Gibea kumate emeritru hu'naze.
15 Watu wa Benyamini wakakusanya kutoka miji yao ili kupigana siku ile, askari elfu ishirini na sita waliopangwa kupigana na upanga. Walakini, kuna watu mia saba waliochaguliwa kutoka kwa wenyeji wa Gibea.
Hagi Benzameni naga'mofo kumatamimpintira kazinteti'ma ha'ma hu vahera 26 tauseni'a vahe eritru hazageno, Gibea kumatetira anampina 700'a hankave sondia vahetami eritru hu'naze.
16 Miongoni mwa askari wote hawa walikuwa watu mia saba waliochaguliwa ambao walikuwa wenye shoto. Kila mmoja wao angeweza kupiga unywele kwa mawe na asikose.
Hagi e'i ana 700'a ha' vahetmina hoga kazigati hara hu vahetminkino, kumi atifima havema ante'zama osi'zama ahesazana hantaga osugahaze.
17 Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
Hagi kazinteti'ma ha'ma hu vahera 400 tauseni'a Israeli vahera eritru hu'za, Benzameni nagara hara huzmante'naku hu'naze.
18 Watu wa Israeli waliondoka, wakaenda Betheli, wakaomba ushauri kutoka kwa Mungu. Wakauliza, “Ni nani kwanza atakayewaangamiza watu wa Benyamini kwa ajili yetu?” Bwana akasema, “Yuda atashambulia kwanza.”
Hagi Israeli vahe'mo'za henka hara ome hugahunanki hu'za nehu'za, esera Beteli kumate vu'za Anumzamofona amanage hu'za ome antahige'naze. Ina naga nofimo'za vugota hurantesageta Benzameni nagara hara ome huzmantegahune? Hu'za hazageno, Ra Anumzamo'a amanage huno zamasami'ne, Juda naga'mo'za vugota hu'za vugahaze.
19 Watu wa Israeli waliamka asubuhi na wakahamisha kambi yao karibu na Gibea.
Hagi anagema hutege'za Israeli vahe'mo'za nantera otiza Gibea kuma tava'onte vu'za seli nonkumazmia ome ki'za mani'naze.
20 Watu wa Israeli walikwenda kupigana na Benyamini. Wakaweka nafasi zao za vita dhidi yao huko Gibea.
Hagi anante Israeli vahe'mo'za Benzameni nagara ha' ome huzamante'naku Gibea kumate ome erimpi hu'za oti'naze.
21 Watu wa Benyamini wakatoka Gibea, nao wakawaua watu elfu ishirini na mbili wa jeshi la Israeli siku ile.
Hagi anama hazageno'a Benzameni naga'mo'za Gibea kumapintira atiramiza Israeli vahe'enena hara eme nehu'za, ana zupa 22 tauseni'a Israeli sondia vahera zamahe fri'naze.
22 Wana wa Israeli walijitia nguvu wenyewe, na wakaunda mstari wa vita mahali pale walipokwisha kuchukua nafasi siku ya kwanza.
Hianagi Israeli vahe'mo'za ana zankura zamagesa ontahi ko'ma hate'ma vunaku'ma emeritru hu'naza kumapi ete hate vunaku atruhu'za mani'ne'za nanekea hu'za ozeri hankaveti azeri hankaveti hu'naze.
23 Na wana wa Israeli wakaenda, wakalia mbele za Bwana hata jioni. Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana “Je, tunapaswa kwenda tena kupigana na ndugu zetu, watu wa Benyamini?” Naye Bwana akasema, “Wapigeni!”
Ana hute'za Israeli vahe'mo'za Beteli kumate mareri'za, Ra Anumzamofontega zavi krafa ome nehazageno vuno kinagase'ne. Hagi zavima nete'za amanage hu'za Ra Anumzamofona antahige'naze. Tafuhe'mofona Benzameni nagara ete hara ome huzamantenumpi atrenune? Hu'za hazageno, Ra Anumzamo'a amanage huno hu'ne, Vuta hara ome huzamanteho.
24 Basi watu wa Israeli wakapigana na askari wa Benyamini siku ya pili.
Anagema hige'za mase'za anante nanterana vu'za Benzameni nagara hara ome huzamante'naze.
25 Siku ya pili, Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea, nao wakawaua watu wa Israeli elfu kumi na nane. Wote walikuwa watu ambao walijifunza kupigana na upanga.
Hagi Benzameni naga'mo'za ete mago'ane Gibea kumapintira atirami'za 18 tauseni'a Israeli vahetamina kazinteti'ma ha'ma nehaza vahera zamahe fri'naze.
26 Basi askari wote wa Israeli na watu wote wakaenda Betheli, wakalia, wakakaa mbele za Bwana; nao wakafunga siku hiyo hata jioni, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
Hagi anama hige'za maka Israeli vahe'mo'za arimpa fru ofane kresramnama vu ofanena e'neriza, Beteli kumate mareri'za ofa ome nehu'za, ne'zana a'o hu'za mani'ne'za tusi zavi Ra Anumzamofontega netazageno vuno kinagase'ne.
27 Wana wa Israeli wakamwomba Bwana, - kwa sababu ya sanduku la agano la Mungu lilikuwapo siku hizo;
Hagi Israeli vahe'mo'za Ra Anumzamofo antahintahi'a erinaku Beteli vu'naze. Na'ankure e'ina knafina Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisimo'a Beteli kumate me'nege'za anara hu'naze.
28 na Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, aliyekuwa akihudumia mbele ya sanduku siku hizo. “Je twende vitani tena dhidi ya watu wa Benyamini, ndugu zetu, au tuache?” Bwana akasema, “Wapigeni, kwa maana kesho nitawasaidia kuwashinda.
Aroni negeho Eleaza nemofo Finiasi ana knafina pristia mani'ne. Hagi Israeli vahe'mo'za amanage hu'za Ra Anumzamofona antahige'naze. Tafuhe'mofona Benzameni nagara hara ome huzmantenumpi atrenune? Hu'za hazageno Ra Anumzamo'a amanage huno hu'ne, Okina zamavarena tamazampi antegahuanki vuta hara ome huzamanteho.
29 Basi Israeli akaweka watu mahali pa siri karibu na Gibea.
Anagema hige'za Israeli vahe'mo'za Gibea Kumate vu'za kafona ome antegagi'naze.
30 Watu wa Israeli wakapigana na wana wa Benyamini kwa siku ya tatu, nao wakajenga vita vyao juu ya Gibea, kama walivyotangulia.
Hagi ana'ma hute'za namba 3 knarera ko'ma nehazaza hu'za hahunaku Gibea kumate vu'naze.
31 Watu wa Benyamini wakaenda kupigana na watu, nao wakachukuliwa mbali na mji. Walianza kuua baadhi ya watu. Kulikuwa na watu thelathini wa Israeli ambao walikufa katika mashamba na barabara. Njia moja ilienda Betheli, na nyingine ikaenda Gibea.
Hagi anante Benzameni naga'mo'za kumazmifintira atirami'za Israeli nagara hara eme huzamantage'za Israeli naga'mo'za zamimi hu'za kumazmimofona afete vu'naze. Hagi Israeli vahera 30'a vahe Betelima vu kantegane Gibeama vu kanteganena zamahe fri'naze.
32 Ndipo wana wa Benyamini wakasema, “Wameshindwa na wanatukimbia, kama hapo awali.” Lakini askari wa Israeli wakasema, “Hebu tukimbie na kuwavuta mbali na mji hadi barabarani.”
Hagi Benzameni naga'mo'za amanage hu'naze, kote'ma hu'nonaza huta Israeli vahera zamahone. Hianagi Israeli vahe'mo'za amange hu'naze, Atreta nefreta zami'mi huta karanka vanunke'za, kumazmia atre'za afete egahaze.
33 Watu wote wa Israeli waliondoka kutoka mahali pao na wakajipanga kwa vita huko Baal-Tamari. Basi askari wa Israeli waliokuwa wakijificha mahali pa siri walikimbia kutoka Maare-Geba.
Hagi anagema hute'za, maka Israeli vahe'mo'za Ba'al-tamar kumate unehanati'za ete rukrahe hu'za ha'huzamanteku ha'zana ome retro hu'za manizageno, mago'a Israeli vahe'ma Ma'ar-Geba kumate'ma kafoma ante'za mani'nazaretira hahunaku kafona hage'za atirami'naze.
34 Wakatoka juu ya Gibea watu kumi elfu waliochaguliwa kutoka Israeli yote, na vita vilikuwa kali, lakini Wabenjamini hawakujua kwamba msiba ulikuwa karibu nao.
Hagi 10tauseni'a Israeli sondia vahe'ma knare'ma hu'za ha'ma nehaza vahe'mo'za, Gibea kumatera hara eme hu'naze. Hagi ha'mo'a tusiza huno hankavetino vu'neanagi, Israeli vahe'mo'zama zamahe hana'ma huzankura Benzameni naga'mo'za ontahi'naze.
35 Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
Ana'ma hazageno'a Ra Anumzamo'a Israeli vahera zamaza hige'za' Benzameni nagara 25tausen 100'a kazinteti'ma ha'ma hu'ama antahini'ma hu'naza vahera zamahe'naze.
36 Basi askari wa Benyamini waliona wameshindwa. Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.
Hagi ana'ma hazage'za Benzameni naga'mo'za kazana Israeli vahe'mo'za hara huzmagatere'naze. Na'ankure kafoma ante'naza nagaku Israeli vahe'mo'za zamagesa nentahi'za Benzameni nagara zami'mi hu'za Gibea kumara atre'za afete e'naze.
37 Ndipo watu waliokuwa wameficha wakainuka na haraka na wakamkimbia Gibea. Nao wakauawa kila mtu aliyeishi mjini kwa upanga wao.
Hagi ana'ma hazageno'a, kafoma ante'za mani'naza Israeli sondia vahe'mo'za zamagare'za Gibea kumapi ufre'za, ana kumapima mani'naza vahera kazinteti zamahehana nehu'za,
38 Ishara iliyopangwa kati ya askari wa Israeli na watu waliojificha kwa siri itakuwa wingu kubwa la moshi litatokea nje ya mji.
ana kumara teve tagintazageno teve kumo'a vemagu vemagu huno marerige'za, mago'a Israeli sondia vahe'mo'za nege'za hara agaterone hu'za hu'naze.
39 Ishara ilipokuja askari wa Israeli wakageuka kutoka kwenye vita. Basi Benyamini wakaanza kushambulia na wakawaua watu wa Israeli thelathini, wakasema, “Hakika wanapigwa mbele yetu, kama katika vita vya kwanza.”
Hagi Israeli vahe'mo'zama ana tevegu'ma nege'za ete rukrahe hu'za Benzameni nagara zamarotgo hu'naze. Hagi ana zupa Benzameni naga'mo'za 30'a Israeli vahe nezmahe'za amanage hu'naze. Ko'ma hu'nonaza huta Israeli vahera hara hago huzamagaterone.
40 Lakini wakati nguzo ya moshi ilipoanza kuinuka nje ya mji, Wabenjamini waligeuka na kuona moshi ukitanda mbinguni kutoka mji mzima.
Hianagi Benzameni naga'mo'zama rukrahe hu'zama kazana teve kumo'a kumazmifintira vemagu vemagu huno hampompi marerige'za ke'naze.
41 Ndipo watu wa Israeli wakawageuka. Wana wa Benyamini waliogopa, kwa sababu waliona kwamba maafa yaliwajia.
Ana'ma hige'za Israeli vahe'mo'za rukrahe hu'za Benzameni nagara hara huzamantage'za, Benzameni naga'mo'za tusi koro hu'naze. Na'ankure zamagrama antahi'za ke'zama hazana ra hazenkefi ufrone hu'naze.
42 Basi wakakimbia kutoka kwa wana wa Israeli, kuelekea njia ya jangwani. Lakini vita viliwapata. Askari wa Israeli walitoka mijini na wakawaua pale waliposimama.
Hagi anantetira rukrahe hu'za ka'ma kokampi Israeli vahe'mokizmi korora fre'naze. Hianagi kumazmima omeri havizama hute'za aza vahe'mo'za zamavatga hu'naze.
43 Waliwalzungukia wana wa Benjamini na wakawafuata. Nao wakawakanyaga huko Noha, wakawaua mpaka upande wa mashariki wa Gibea.
Hagi Benzameni nagara Noha kumateti agafa hute'za zamaratgo hu'za manigasa osu Gibea kuma'mofona kantu zage hanati kaziga vu'naze.
44 Kutoka kabila la Benyamini, watu kumi na nane elfu walikufa, wote walikuwa wanaume waliojulikana katika vita.
Hagi ana knarera Benzameni nagara hankavetiza ha'ma huga sondia vahetamina, 18tauseni'a vahe zamahe'naze.
45 Wakageuka na kukimbia kuelekea jangwani hadi mwamba wa Rimoni. Waisraeli waliuawa zaidi ya elfu tano kati yao barabarani. Waliendelea kuwafuata, wakifuata kwa njia kuu kwenda Gidomu, na huko waliuawa elfu mbili zaidi.
Hagi maniza naga'mo'za hagage kokampi Rimon havema me'nerega fre'za nevazageno 5tauseni'a vahera karanka ome zamahe'naze. Hagi mago'a vahera zamarotgo hu'za Gidomu kumate 2tauseni'a vahe ome zamahe'naze.
46 Askari wote wa Benyamini walioshuka siku hiyo walikuwa watu ishirini na tano waliokuwa wamejifunza kupigana kwa upanga; wote walikuwa wanajulikana katika vita.
Hagi ana maka vahe'ma ha'ma huga vahe'ma zamahe'neana 25tauseni'a vahe Benzameni nagara zamahe'naze.
47 Lakini watu mia sita wakageuka na kukimbilia jangwani, kuelekea mwamba wa Rimoni. Wakakaa katika mwamba wa Rimoni kwa muda wa miezi minne.
Hianagi 600'a vahe'mo'za rukrahe hu'za fre'za hagege kokampi vu'za Rimon havefi 4'a ika umani'naze.
48 Askari wa Israeli waliwarudia watu wa Benyamini na wakawashinda na kuwaua-mji mzima, ng'ombe, na kila kitu walichopata. Pia walichoma moto kila mji katika njia yao.
Hagi Israeli vahe'mo'za Benzameni nagamofo kumatamimpintira maka vahe'ene bulimakao afu'zaminena zamahe vaganere'za ana kumatmina teve taginte vagare'naze.

< Waamuzi 20 >