< Waamuzi 20 >
1 Ndipo watu wote wa Israeli wakatoka kama mtu mmoja, toka Dani mpaka Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi; nao wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
於是以色列全體子民出動,從丹到貝爾舍巴,以及基肋阿得地,全會眾集合起來好像一個人一樣,來到米茲帕上主面前。
2 Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
全民眾,即以色列各支派的首領,都參與天主百姓的集會;拿刀的步兵,共有四十萬。
3 Basi wana wa Benyamini waliposikia kwamba watu wa Israeli walikuwa wamepanda Mispa. Wana wa Israeli wakasema, “Tuambieni ni kwa namna gani huu uovu umefanyika.”
本雅明子孫也聽說以色列子民上到了米茲帕。以色列子民說:「這件惡事是怎樣發生的,請你們述說一遍! 」
4 Mlawi, mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu, Nilikuja Gibea katika nchi ya Benyamini, mimi na suria wangu, ili tulale.
那被殺的女子的丈夫肋末人就回答說:「我與我的妾來到屬本雅明的基貝亞,要在那裏過夜,
5 Wakati wa usiku, viongozi wa Gibea walinishambulia, wakizunguka nyumba na wakakusudia kuniua. Walimkamata na kumbaka suria wangu, naye akafa.
基貝亞的公民起來攻擊我,夜間包圍我過夜的住宅,企圖殺害我,並把我的妾強姦致死。
6 Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
因為他們在以色列中間行了這窮兇極惡的醜事,我遂將我的妾切成碎塊,遍送以色列基業各地。
7 Sasa, ninyi Waisraeli wote, toeni maneno na ushauri wenu hapa.”
以色列子孫,請你們說出你們的意見和對策。」
8 Watu wote wakaondoka pamoja kama mtu mmoja, wakasema, Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake, wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
那時全體民眾好像一個人一樣都起來說:「我們中誰也不要返回自己的帳幕,誰也不要回自己的家,
9 Lakini sasa hivi ndivyo tutakavyoifanyia Gibea tutaishambulia kama kura inavyotuongoza.
現在我們就要這樣對付基貝亞,抽籤進攻,
10 Tutachukua watu kumi katika mia moja katika makabila yote ya Israeli, na mia moja katika elfu, na elfu moja katika elfu kumi, kuwapa chakula kwa ajili ya watu hawa, ili waweze kufika Gibea katika Benyamini, watawaadhibu kwa uovu wao waliofanya katika Israeli.
由以色列各支派中,每百人抽十人,每千人抽百人,每萬人抽千人,給民眾運送軍糧;待眾人到達本雅明的基貝亞後,按照那城在以色列中間所行醜事報復它。」
11 Basi askari wote wa Israeli wakakusanyika juu ya mji, kama mtu mmoja.
於是以色列人聯合起來攻擊那城,彼此合作有如一人。本雅明備戰
12 Makabila ya Israeli waliwatuma watu kwa kabila lote la Benyamini, wakisema, “Uovu huu uliofanywa kati yenu ni nini?
以色列眾支派差人往本雅明支派的各家說:「你們中間怎樣發生了這樣的惡事﹖
13 Kwa hiyo, tupeni watu hao waovu wa Gibea, tupate kuwaua, na hivyo tutaondoa kabisa uovu huu kutoka kwa Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakusikiliza sauti ya ndugu zao, watu wa Israeli,
現在你們把那些人,即基貝亞的無賴之徒,交出來,我們好處死他們,從以色列中鏟除這邪惡。」本雅明子孫卻不肯聽從他兄弟們以色列子民的呼聲;
14 Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika kutoka mijini kwenda Gibea, wakajiandaa kupigana na wana wa Israeli.
本雅明子孫反而從各城聚集起來,來到基貝亞,要與以色列子民交戰。
15 Watu wa Benyamini wakakusanya kutoka miji yao ili kupigana siku ile, askari elfu ishirini na sita waliopangwa kupigana na upanga. Walakini, kuna watu mia saba waliochaguliwa kutoka kwa wenyeji wa Gibea.
那一天,本雅明人從各城來的共計兩萬六千拿刀的,基貝亞的居民尚未計算在內。
16 Miongoni mwa askari wote hawa walikuwa watu mia saba waliochaguliwa ambao walikuwa wenye shoto. Kila mmoja wao angeweza kupiga unywele kwa mawe na asikose.
在這些人中,還有特選的七百精兵,能左右開弓,個個能用機絃拋石,毫釐不爽。
17 Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
本雅明人除外,以色列人共有四十萬拿刀的,個個都是戰士。兩次進攻失利
18 Watu wa Israeli waliondoka, wakaenda Betheli, wakaomba ushauri kutoka kwa Mungu. Wakauliza, “Ni nani kwanza atakayewaangamiza watu wa Benyamini kwa ajili yetu?” Bwana akasema, “Yuda atashambulia kwanza.”
以色列子民起身上到貝特耳,求問天主說:「我們中誰該先上去與本雅明子孫作戰﹖」上主答說:「猶大先去。」
19 Watu wa Israeli waliamka asubuhi na wakahamisha kambi yao karibu na Gibea.
於是以色列子明早晨起來,對著基貝亞安營。
20 Watu wa Israeli walikwenda kupigana na Benyamini. Wakaweka nafasi zao za vita dhidi yao huko Gibea.
以色列人出來要與本雅明人交戰,遂在基貝亞前面擺陣等待他們。
21 Watu wa Benyamini wakatoka Gibea, nao wakawaua watu elfu ishirini na mbili wa jeshi la Israeli siku ile.
本雅明子孫從基貝亞出來迎戰,那一天殺死了兩萬兩千以色列人。
22 Wana wa Israeli walijitia nguvu wenyewe, na wakaunda mstari wa vita mahali pale walipokwisha kuchukua nafasi siku ya kwanza.
以後,眾以色列又鼓起勇氣,又在前一日布陣的地方布陣。
23 Na wana wa Israeli wakaenda, wakalia mbele za Bwana hata jioni. Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana “Je, tunapaswa kwenda tena kupigana na ndugu zetu, watu wa Benyamini?” Naye Bwana akasema, “Wapigeni!”
事前,以色列子民先上到貝特耳,在上主面前哀哭,一直到晚上,然後求問上主說:「我們可否再去與我們的弟兄本雅明交戰﹖」上主答說:「可上去攻打。」
24 Basi watu wa Israeli wakapigana na askari wa Benyamini siku ya pili.
於是第二天,以色列子民又去攻打本雅明子孫。
25 Siku ya pili, Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea, nao wakawaua watu wa Israeli elfu kumi na nane. Wote walikuwa watu ambao walijifunza kupigana na upanga.
本雅明人第二天也從基貝亞出來與以色列人交戰,又殺死一萬八千以色列子民,都是拿刀的人。
26 Basi askari wote wa Israeli na watu wote wakaenda Betheli, wakalia, wakakaa mbele za Bwana; nao wakafunga siku hiyo hata jioni, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
以色列眾子民,即全民眾,又上到貝特耳,坐在上主面前哀哭,整日禁食到晚上;以後,在上主面前獻了全燔祭與和平祭。【
27 Wana wa Israeli wakamwomba Bwana, - kwa sababu ya sanduku la agano la Mungu lilikuwapo siku hizo;
那時天主的約櫃正在那裏,同時有亞郎的子孫厄肋阿匝爾的兒子丕乃哈斯在約櫃前供職。】以色列子民又求問上主說:「我們是否應再去與我們的弟兄本雅明人交戰﹖或是休戰﹖」上主答說:「你們應上去,因為我明天必將他們交在你們手中。」
28 na Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, aliyekuwa akihudumia mbele ya sanduku siku hizo. “Je twende vitani tena dhidi ya watu wa Benyamini, ndugu zetu, au tuache?” Bwana akasema, “Wapigeni, kwa maana kesho nitawasaidia kuwashinda.
以色列人就在基貝亞四周設下伏兵。
29 Basi Israeli akaweka watu mahali pa siri karibu na Gibea.
第三天以色列子民上去攻打本雅明子孫,在基貝亞對面布陣,像前兩次一樣。
30 Watu wa Israeli wakapigana na wana wa Benyamini kwa siku ya tatu, nao wakajenga vita vyao juu ya Gibea, kama walivyotangulia.
本雅明子孫出來迎敵,被引出城外,在兩條大路上,─一條通往貝特耳,一條通往基貝紅,─像前兩次一樣,開始殺敵,在田野就殺死了約有三十個以色列人。
31 Watu wa Benyamini wakaenda kupigana na watu, nao wakachukuliwa mbali na mji. Walianza kuua baadhi ya watu. Kulikuwa na watu thelathini wa Israeli ambao walikufa katika mashamba na barabara. Njia moja ilienda Betheli, na nyingine ikaenda Gibea.
本雅明子孫遂說:「他們像前次一樣,在我們面前打敗了。」但以色列子民卻說:「我們不如後退,引他們遠離城,到大路上來。」
32 Ndipo wana wa Benyamini wakasema, “Wameshindwa na wanatukimbia, kama hapo awali.” Lakini askari wa Israeli wakasema, “Hebu tukimbie na kuwavuta mbali na mji hadi barabarani.”
當以色列眾人從他們的地方起來,在巴耳塔瑪爾布陣的時候,以色列的伏兵從革巴西邊埋伏的地方衝出來;
33 Watu wote wa Israeli waliondoka kutoka mahali pao na wakajipanga kwa vita huko Baal-Tamari. Basi askari wa Israeli waliokuwa wakijificha mahali pa siri walikimbia kutoka Maare-Geba.
全以色列中所選出的一萬精兵齊來攻打基貝亞,戰爭非常激烈,但是本雅明人還不知道大禍臨頭。
34 Wakatoka juu ya Gibea watu kumi elfu waliochaguliwa kutoka Israeli yote, na vita vilikuwa kali, lakini Wabenjamini hawakujua kwamba msiba ulikuwa karibu nao.
上主在以色列前打擊本雅明人,那一天以色列子民殺死本雅明人共有二萬五千一百,都是拿刀的人。
35 Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
這樣,本雅明子孫看出自己失敗。原來以色列人依仗在基貝亞所設下的伏兵,先在本雅明人前退怯;
36 Basi askari wa Benyamini waliona wameshindwa. Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.
伏兵急速衝入基貝亞,衝進之後,用刀屠殺了全城的人。
37 Ndipo watu waliokuwa wameficha wakainuka na haraka na wakamkimbia Gibea. Nao wakauawa kila mtu aliyeishi mjini kwa upanga wao.
原先以色列人與伏兵約定,在城內放火,以煙火上騰為號。
38 Ishara iliyopangwa kati ya askari wa Israeli na watu waliojificha kwa siri itakuwa wingu kubwa la moshi litatokea nje ya mji.
以色列人在戰場上撤退的時候,本雅明動手殺死以色列人約有三十人,他們想:「的確,他們如前一仗一樣,在我們前殺敗了。」
39 Ishara ilipokuja askari wa Israeli wakageuka kutoka kwenye vita. Basi Benyamini wakaanza kushambulia na wakawaua watu wa Israeli thelathini, wakasema, “Hakika wanapigwa mbele yetu, kama katika vita vya kwanza.”
當煙柱信號從城中上騰的時候,本雅明人轉過身來,見全城煙火沖天;
40 Lakini wakati nguzo ya moshi ilipoanza kuinuka nje ya mji, Wabenjamini waligeuka na kuona moshi ukitanda mbinguni kutoka mji mzima.
那時以色列人也轉身回來;本雅明人大為驚慌,因為看見大禍臨頭,
41 Ndipo watu wa Israeli wakawageuka. Wana wa Benyamini waliogopa, kwa sababu waliona kwamba maafa yaliwajia.
遂在以色列人面前轉向曠野的路上逃去,但戰士卻追蹤而至,從城裏出來的人也夾擊他們;
42 Basi wakakimbia kutoka kwa wana wa Israeli, kuelekea njia ya jangwani. Lakini vita viliwapata. Askari wa Israeli walitoka mijini na wakawaua pale waliposimama.
這樣,以色列人擊潰了本雅明人,追擊他們,從諾哈蹂躪他們,直到革巴對面的東方之地。
43 Waliwalzungukia wana wa Benjamini na wakawafuata. Nao wakawakanyaga huko Noha, wakawaua mpaka upande wa mashariki wa Gibea.
本雅明人陣亡一萬八千,都是勇士。
44 Kutoka kabila la Benyamini, watu kumi na nane elfu walikufa, wote walikuwa wanaume waliojulikana katika vita.
其餘的人都轉身向著曠野逃往黎孟岩石,以色列人在路上又掃蕩了他們中五千人;以後,直追到革巴,擊殺了二千人。
45 Wakageuka na kukimbia kuelekea jangwani hadi mwamba wa Rimoni. Waisraeli waliuawa zaidi ya elfu tano kati yao barabarani. Waliendelea kuwafuata, wakifuata kwa njia kuu kwenda Gidomu, na huko waliuawa elfu mbili zaidi.
那一日,本雅明中陣亡的,共有二萬五千人,
46 Askari wote wa Benyamini walioshuka siku hiyo walikuwa watu ishirini na tano waliokuwa wamejifunza kupigana kwa upanga; wote walikuwa wanajulikana katika vita.
所剩下的六百人,
47 Lakini watu mia sita wakageuka na kukimbilia jangwani, kuelekea mwamba wa Rimoni. Wakakaa katika mwamba wa Rimoni kwa muda wa miezi minne.
轉身逃往曠野,直到黎孟岩石,在黎孟岩石中住了四個月。
48 Askari wa Israeli waliwarudia watu wa Benyamini na wakawashinda na kuwaua-mji mzima, ng'ombe, na kila kitu walichopata. Pia walichoma moto kila mji katika njia yao.
以色列人又回到本雅明子孫那裏,把各城的人和牲畜,以及所遇見的都用刀殺盡;並將所經過的城池放火燒燬。