< Waamuzi 2 >

1 Malaika wa Bwana akatoka Gilgali, akaenda Bokimu, akasema, “Nimekuleta kutoka Misri, na nimekuleta katika nchi niliyoapa kuwapa baba zako.
Vstoupil pak anděl Hospodinův z Galgala do Bochim a řekl: Vyvedl jsem vás z Egypta a uvedl jsem vás do země, kterouž jsem s přísahou zaslíbil otcům vašim, a řekl jsem: Nezruším smlouvy své s vámi na věky.
2 Nikasema, 'Sitakuvunja kamwe agano langu na wewe. Usifanye agano na wale wanaoishi katika nchi hii. Ziangushe madhabahu zao. Lakini hukusikiliza sauti yangu. Je! ni nini hiki ulichokifanya?
Vy také nečiňte smlouvy s obyvateli země této, oltáře jejich rozkopejte; ale neposlechli jste hlasu mého. Co jste to učinili?
3 Basi sasa nasema, “Sitawafukuza Wakanaani mbele yenu, nao watakuwa miiba kwenu, na miungu yao itakuwa mtego kwa ajili yenu.”
Pročež také jsem řekl: Nevyhladím jich před tváří vaší, ale budou vám jako trní, a bohové jejich budou vám osídlem.
4 Malaika wa Bwana alipowaambia maneno hayo kwa watu wote wa Israeli, watu wakapiga kelele na kulia.
I stalo se, když mluvil anděl Hospodinův slova tato všechněm synům Izraelským, že pozdvihl hlasu svého lid a plakal.
5 Waliita mahali hapo Bokimu. Hapo wakatoa dhabihu kwa Bwana.
I nazvali jméno místa toho Bochim, a obětovali tu Hospodinu.
6 Yoshua alipowaruhusu watu waende zao, wana wa Israeli kila mmoja akaenda mahali alipopewa, wakiwa na umiliki wa ardhi yao.
Rozpustil pak byl Jozue lid, a rozešli se synové Izraelští, jeden každý do dědictví svého, aby vládli zemí.
7 Watu walimtumikia Bwana wakati wa maisha ya Yoshua na wazee walioendelea baada yake, ni wale waliokuwa wameona matendo yote makuu ya Bwana aliyoyafanya kwa Israeli.
I sloužil lid Hospodinu po všecky dny Jozue, a po všecky dny starších, kteříž dlouho živi byli po Jozue, jenž viděli všecky skutky veliké Hospodinovy, kteréž učinil Izraelovi.
8 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, alikufa akiwa na umri wa miaka 110.
Ale když umřel Jozue syn Nun, služebník Hospodinův, jsa ve stu a desíti letech,
9 Wakamzika ndani ya mpaka wa nchi aliyopewa huko Timnath Heresi, katika mlima wa Efraimu, kaskazini mwa Mlima Gaash.
A pochovali ho v krajině dědictví jeho, v Tamnatheres, na hoře Efraim, k straně půlnoční hory Gás;
10 Kizazi hicho chote kilikusanyika kwa baba zao. Kizazi kingine kilichofuata baada yao ambao hakikumjua Bwana au kile alichokifanya kwa Israeli.
Také když všecken věk ten připojen jest k otcům svým, a povstal jiný věk po nich, kteříž neznali Hospodina, ani skutků, kteréž učinil Izraelovi:
11 Watu wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, nao wakawatumikia Mabaali.
Tedy činili synové Izraelští to, což jest zlého před očima Hospodinovýma, a sloužili modlám,
12 Wakaondoka kwa Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewatoa kutoka Misri. Wakaifuata miungu mingine, miungu ya watu waliokuwa karibu nao, nao wakaisujudia. Wakamkasirisha BWANA kwa sababu
Opustivše Hospodina Boha otců svých, kterýž je vyvedl z země Egyptské, a odešli za bohy cizími, bohy těch národů, kteříž byli vůkol nich, a klaněli se jim; pročež popudili Hospodina.
13 waliondoka kwa Bwana na kumwabudu Baal na Maashtoreti.
Nebo opustivše Hospodina, sloužili Bálovi i Astarotům.
14 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawapa washambuliaji walioiba mali zao kutoka kwao. Aliwauza kama watumwa waliofanyika kwa nguvu za maadui zao waliowazunguka, hivyo hawakuweza kujikinga dhidi ya adui zao.
I rozpálila se prchlivost Hospodinova na Izraele, a vydal je v ruku loupežníků, kteříž je zloupili; vydal je, pravím, v ruku nepřátel jejich vůkol, tak že nemohli více ostáti před nepřátely svými.
15 Israeli walipokwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa dhidi yao kuwashinda, kama alivyowaapia. Na walikuwa katika shida kali.
Kamžkoli vycházeli, ruka Hospodinova byla proti nim ke zlému, jakož byl mluvil Hospodin, a jakož byl zapřisáhl jim Hospodin; i ssouženi byli náramně.
16 Ndipo Bwana akawainua waamuzi, waliowaokoa katika mikono ya wale waliokuwa wakiba mali zao.
Vzbuzoval pak Hospodin soudce, kteříž vysvobozovali je z rukou zhoubců jejich.
17 Hata hivyo hawakuwasikiliza waamuzi wao. Hawakuwa waaminifu kwa Bwana na wakajitoa wenyewe kama makahaba kwa miungu mingine na kuabudu. Waligeuka upesi na kuiacha njia waliyoishi baba zao-wale waliotii amri za Bwana-lakini wao wenyewe hawakufanya hivyo.
Ale ani soudců svých neposlouchali, nebo smilnili, odcházejíce za bohy cizími, a klaněli se jim. Odcházeli rychle s cesty, po kteréž chodili otcové jejich, tak že poslouchati majíce přikázaní Hospodinových, nečinili toho.
18 Bwana aliinua waamuzi kwa ajili yao, Bwana akawasaidia waamuzi na kuwakomboa kutoka kwa mikono ya adui zao siku zote muamuzi aliishi. Bwana aliwahurumia walipougua kwa sababu ya wale waliowadhulumu na kuwasumbua.
A když vzbuzoval jim Hospodin soudce, býval Hospodin s každým soudcím, a vysvobozoval je z ruky nepřátel jejich po všecky dny soudce; (nebo želel Hospodin naříkání jejich, k němuž je přivodili ti, kteříž je ssužovali a utiskali).
19 Lakini mwamuzi alipokufa, waligeuka na kufanya mambo ambayo yalikuwa mabaya zaidi kuliko baba zao walivyofanya. Wakaenda kuifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao yote mabaya au njia zao za ukaidi.
Po smrti pak soudce navracejíce se zase, pohoršovali cest svých více nežli otcové jejich, odcházejíce za bohy cizími, a sloužíce i klanějíce se jim; nic neulevili z skutků jejich zlých a cesty jejich převrácené.
20 Hasira ya Bwana iliwaka juu ya Israeli; akasema, Kwa sababu taifa hili limevunja masharti ya agano langu ambalo nililiweka kwa ajili ya baba zao-kwa sababu hawakuisikiliza sauti yangu.
Protož rozpálila se prchlivost Hospodinova proti Izraelovi, a řekl: Proto že přestoupil národ tento smlouvu mou, kterouž jsem učinil s otci jejich, a neposlouchali hlasu mého:
21 Tangu sasa sitaliondoa mbele yao taifa lolote aliloliacha Yoshua baada ya kufa.
Já také více nevyhladím žádného od tváři jejich z národů, kterýchž zanechal Jozue, když umřel,
22 Nitafanya hivi ili kuwajaribu Israeli, ikiwa watafuata njia ya Bwana au sivyo, kama vile baba zao walivyoifuata.
Abych skrze ně zkušoval Izraele, budou-li ostříhati cesty přikázaní Hospodinových, chodíce v nich, jakož ostříhali otcové jejich, čili nic.
23 Ndiyo sababu Bwana aliwaacha mataifa hayo, wala hakuwafukuza haraka na kuwatia mikononi mwa Yoshua.
I zanechal Hospodin národů těch, a nevyhnal jich rychle, aniž dal jich v ruku Jozue.

< Waamuzi 2 >