< Waamuzi 19 >

1 Katika siku hizo, wakati hakuna mfalme katika Israeli, kulikuwa na mtu, Mlawi, aliyekuwa akiishi kwa muda kidogo katika eneo la mbali zaidi ya nchi ya Efraimu. Alijichukulia mwanamke, masuria kutoka Bethlehemu huko Yuda.
En ce temps-là, où il n'y avait pas de roi en Israël, il y avait un Lévite qui habitait à l'autre bout de la montagne d'Éphraïm, et qui prit pour lui une concubine de Bethléhem de Juda.
2 Lakini mkewe hakuwa mwaminifu kwake; akaondoka na kurudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu ya Yuda. Alikaa huko kwa muda wa miezi minne.
Sa concubine se prostitua à lui, et s'en alla de chez son père à Bethléhem de Juda, où elle resta quatre mois.
3 Kisha mumewe akaondoka na kumfuata ili kumshawishi arudi. Mtumishi wake alikuwa pamoja naye, na punda wawili. Akamleta nyumbani kwa baba yake. Baba wa msichana alipomwona, alifurahi.
Son mari se leva et alla après elle pour lui parler avec bonté, afin de la ramener, ayant avec lui son serviteur et un couple d'ânes. Elle l'amena dans la maison de son père; et lorsque le père de la jeune femme le vit, il se réjouit de le rencontrer.
4 Baba mkwe wake, baba wa msichana, alimshawishi kukaa siku tatu. Walikula na kunywa, na walikaa usiku huko.
Son beau-père, le père de la jeune fille, le garda là, et il resta avec lui trois jours. Ils mangèrent et burent, et restèrent là.
5 Siku ya nne waliamka mapema na alijiandaa kuondoka, lakini baba wa msichana akamwambia mkwewe, “Jipe nguvu na mkate kidogo, kisha unaweza kwenda.”
Le quatrième jour, ils se levèrent de bon matin, et il se leva pour partir. Le père de la jeune femme dit à son gendre: « Fortifie ton cœur avec un morceau de pain, et ensuite tu iras ton chemin. »
6 Basi hao wawili wakaketi kula na kunywa pamoja. Kisha baba ya msichana akasema, “Tafadhali uwe tayari kukaa usiku huu na kuwa na wakati mzuri.'
Ils s'assirent donc, mangèrent et burent tous les deux ensemble. Le père de la jeune femme dit alors à l'homme: « Je te prie de rester toute la nuit, et que ton cœur soit joyeux. »
7 Mlawi alipoinuka ili aondoke, baba wa mwanamke huyo alimwomba akae, hivyo alibadili mpango wake na akalala usiku tena.
L'homme se leva pour partir, mais son beau-père le pressa et il resta là encore.
8 Siku ya tano aliamka mapema kuondoka, lakini baba wa msichana akasema, 'Jitie nguvu mwenyewe, na kusubiri mpaka alasiri.' Kwa hiyo hao wawili wakala chakula.
Le cinquième jour, il se leva de bon matin pour partir; le père de la jeune femme lui dit: « Je te prie de fortifier ton cœur et de rester jusqu'à ce que le jour décline »; et ils mangèrent tous les deux.
9 Mlawi na suria wake na mtumishi wake wakainuka ili kuondoka, baba mkwe wake, baba wa msichana akamwambia, “Angalia, sasa mchana unaelekea jioni. Tafadhali kaa usiku mwingine, na uwe na wakati mzuri. Unaweza kuamka kesho mapema na kurudi nyumbani.”
Lorsque l'homme se leva pour partir, lui, sa concubine et son serviteur, son beau-père, le père de la jeune femme, lui dirent: « Voici, le jour approche du soir, reste donc toute la nuit. Voici que le jour s'achève. Reste ici, pour que ton cœur soit joyeux; et demain, pars de bonne heure, pour que tu puisses rentrer chez toi. »
10 Lakini Mlawi hakuwa tayari kukaa usiku. Aliamka na kuondoka. Akaenda kuelekea Yebusi (hiyo ni Yerusalemu). Alikuwa na pande mbili za punda-na masuria wake alikuwa pamoja naye.
Mais l'homme ne voulut pas rester cette nuit-là, il se leva et alla près de Jébus (appelée aussi Jérusalem). Il avait avec lui un couple d'ânes sellés. Sa concubine était aussi avec lui.
11 Walipokuwa karibu na Yebusi, siku hiyo ilikuwa imeenda mno, na mtumishi akamwambia bwana wake, Haya, tupate kwenda kwa mji wa Wayebusi, tukakae ndani yake usiku huu.
Lorsqu'ils furent près de Jébus, le jour était déjà bien avancé, et le serviteur dit à son maître: « Viens, je te prie, entrons dans cette ville des Jébusiens et restons-y. »
12 Bwana wake akamwambia, “Hatuwezi kwenda katika mji wa wageni ambao si wa wana wa Israeli.” Tutakwenda Gibea.
Son maître lui dit: « Nous n'entrerons pas dans la ville d'un étranger qui n'est pas des enfants d'Israël, mais nous passerons à Guibea. »
13 Mlawi akamwambia yule kijana, “Njoo, twende sehemu moja wapo, na tukae usiku huko Gibea au Rama.”
Il dit à son serviteur: « Viens, approchons-nous de l'un de ces lieux, et nous logerons à Guibea ou à Rama. »
14 Basi, wakaenda, na jua likachwea wakiwa karibu na Gibea, katika eneo la Benyamini.
Ils passèrent donc et s'en allèrent, et le soleil se coucha sur eux près de Guibéa, qui appartient à Benjamin.
15 Wakageuka huko ili wawezenkukaa usiku huko Gibea. Naye akaingia na kukaa katika njia kuu ya jiji, maana hakuna mtu aliyewaingiza nyumbani kwake usiku.
Ils passèrent par là, pour entrer et se loger à Guibea. Il y alla, et s'assit dans la rue de la ville, car il n'y avait personne qui les reçût dans sa maison pour y rester.
16 Lakini mtu mzee alikuwa akija kutoka kazini kwake katika shamba jioni hiyo. Alikuwa kutoka mlima wa Efraimu, naye alikuwa akikaa kwa muda huko Gibea. Lakini watu wanaoishi mahali hapo walikuwa Wabenyamini.
Voici qu'un vieillard sortait du champ, le soir, après son travail. Or cet homme était de la montagne d'Ephraïm, et il habitait à Guibea; mais les gens du lieu étaient Benjamites.
17 Aliinua macho na kumwona msafiri katika njia kuu ya jiji. Huyo mzee akasema, “Unakwenda wapi? Unatoka wapi?”
Il leva les yeux, et vit le voyageur dans la rue de la ville; et le vieillard dit: « Où vas-tu? D'où viens-tu? »
18 Mlawi akamwambia, “Tunaenda kutoka Betelehemu ya Yuda mpaka sehemu ya mbali zaidi ya nchi ya kilima ya Efraimu, ambako mimi hutoka. Nilikwenda Bethlehemu huko Yuda, nami nenda nyumbani mwa Bwana; lakini hakuna mtu atakayenichukua nyumbani kwake.
Il lui dit: « Nous passons de Bethléem Juda à l'autre côté de la montagne d'Ephraïm. Je suis de là, et je suis allé à Bethléem de Juda. Je vais à la maison de Yahvé, et il n'y a personne qui m'ait accueilli dans sa maison.
19 Tuna nyasi za kulisha punda zetu, na kuna mkate na divai kwa ajili yangu na mtumishi wako mwanamke hapa, na kwa kijana huyu pamoja na watumishi wako. Hatujapungukiwa chochote. '
Mais il y a de la paille et du fourrage pour nos ânes; il y a aussi du pain et du vin pour moi, pour ton serviteur et pour le jeune homme qui est avec tes serviteurs. Il ne manque de rien. »
20 Huyo mzee akawasalimu, “Amani iwe na wewe! Nitakupatia mahitaji yako yote. Usikae usiku tu katika njia kuu.”
Le vieil homme dit: « La paix soit avec toi! Laisse-moi subvenir à tous tes besoins, mais ne dors pas dans la rue. »
21 Basi huyo mtu akamleta Mlawi nyumbani kwake, akawalisha punda. Wakaosha miguu yao na kula na kunywa.
Il le fit donc entrer dans sa maison et donna du fourrage aux ânes. Puis ils se lavèrent les pieds, mangèrent et burent.
22 Walipokuwa wakifurahisha mioyo yao, watu wengine wa jiji, watu wasiokuwa na maana, walizunguka nyumba, wakipiga mlango. Wakamwambia yule mzee, mwenye nyumba, wakisema, “Mtoe mtu aliyeingia nyumbani kwako, ili tuweze kufanya mapenzi naye.”
Comme ils étaient en train de se réjouir, voici que les hommes de la ville, des gens méchants, entourèrent la maison et frappèrent à la porte; ils s'adressèrent au maître de maison, le vieillard, en disant: « Fais sortir l'homme qui est entré dans ta maison, pour que nous puissions coucher avec lui! ».
23 Yule mtu, mwenye nyumba, akawajia, akawaambia, “Hapana, ndugu zangu, tafadhali msifanye jambo baya! Kwa kuwa mtu huyu ni mgeni nyumbani kwangu, musifanye jambo hili baya!”
L'homme, le maître de maison, sortit vers eux et leur dit: « Non, mes frères, je vous en prie, n'agissez pas si méchamment; puisque cet homme est entré dans ma maison, ne faites pas cette folie.
24 Angalia, binti yangu bikira na masuria wake hawa hapa. Ngoja niwalete sasa. Wapuuze na kufanya nao chochote mnachopenda. Lakini msifanyie jambo hili mbaya kwa mtu huyu!”
Voici ma fille vierge et sa concubine. Je vais les faire sortir maintenant. Humilie-les, et fais d'elles ce qui te semble bon; mais à l'égard de cet homme, ne fais pas cette folie. »
25 Lakini watu hawakumsikiliza, kwa hiyo huyo mwanamume akamshika yule mwanamke, akamleta nje. Walimkamata, wakambaka, na kumtendea uovu usiku mzima, na asubuhi wakamruhusu aende.
Mais les hommes ne voulaient pas l'écouter; alors l'homme saisit sa concubine et la leur amena; ils eurent des rapports sexuels avec elle et en abusèrent toute la nuit jusqu'au matin. Quand le jour commença à poindre, ils la relâchèrent.
26 Asubuhi mwanamke alikuja akaanguka chini ya mlango wa nyumba ya mtu ambapo bwana wake alikuwa, na yeye akalala pale mpaka kulipokucha.
La femme vint à l'aube et se prosterna à la porte de la maison de l'homme où se trouvait son maître, jusqu'à ce qu'il fasse jour.
27 Bwana wake akaondoka asubuhi na kufungua milango ya nyumba, akatoka kwenda njiani. Aliweza kumwona mwanamke wake amelala pale mlangoni, mikono yake ikiwa juu ya kizingiti.
Son seigneur se leva le matin, ouvrit les portes de la maison et sortit pour aller à sa rencontre; et voici que la femme, sa concubine, était tombée à la porte de la maison, les mains sur le seuil.
28 Mlawi akamwambia, “Simama twende.” Lakini hakujibiwa. Alimuweka juu ya punda, na huyo mtu akaondoka nyumbani.
Il lui dit: « Lève-toi, et allons-y! » mais personne ne répondit. Alors il la fit monter sur l'âne; l'homme se leva, et alla à sa place.
29 Mlawi alipofika nyumbani kwake, akachukua kisu, naye akamshika suria wake, akamkataa, mguu kwa mguu, akafanya vipande kumi na viwili, akapeleka vipande kila mahali katika Israeli.
Lorsqu'il fut entré dans sa maison, il prit un couteau, coupa sa concubine, la divisa en douze morceaux et l'envoya dans tout le territoire d'Israël.
30 Wote waliona hili wakasema, “Kitu hicho hakijawahi kufanyika au kuonekana tangu siku ambayo watu wa Israeli walikuja kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Fikiria juu ya hili! Tupe ushauri! Tuambie nini cha kufanya!”
Tous ceux qui virent cela dirent: « On n'a jamais vu ni fait un tel acte depuis le jour où les enfants d'Israël sont sortis du pays d'Égypte jusqu'à ce jour! Considérez-le, prenez conseil, et parlez. »

< Waamuzi 19 >