< Waamuzi 19 >

1 Katika siku hizo, wakati hakuna mfalme katika Israeli, kulikuwa na mtu, Mlawi, aliyekuwa akiishi kwa muda kidogo katika eneo la mbali zaidi ya nchi ya Efraimu. Alijichukulia mwanamke, masuria kutoka Bethlehemu huko Yuda.
and to be in/on/with day [the] they(masc.) and king nothing in/on/with Israel and to be man Levi to sojourn in/on/with flank mountain: hill country Ephraim and to take: take to/for him woman: wife concubine from Bethlehem Bethlehem Judah
2 Lakini mkewe hakuwa mwaminifu kwake; akaondoka na kurudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu ya Yuda. Alikaa huko kwa muda wa miezi minne.
and to fornicate upon him concubine his and to go: went from with him to(wards) house: home father her to(wards) Bethlehem Bethlehem Judah and to be there day four month
3 Kisha mumewe akaondoka na kumfuata ili kumshawishi arudi. Mtumishi wake alikuwa pamoja naye, na punda wawili. Akamleta nyumbani kwa baba yake. Baba wa msichana alipomwona, alifurahi.
and to arise: rise man: husband her and to go: went after her to/for to speak: speak upon heart her (to/for to return: rescue her *Q(K)*) and youth his with him and pair donkey and to come (in): bring him house: home father her and to see: see him father [the] maiden and to rejoice to/for to encounter: meet him
4 Baba mkwe wake, baba wa msichana, alimshawishi kukaa siku tatu. Walikula na kunywa, na walikaa usiku huko.
and to strengthen: hold in/on/with him relative his father [the] maiden and to dwell with him three day and to eat and to drink and to lodge there
5 Siku ya nne waliamka mapema na alijiandaa kuondoka, lakini baba wa msichana akamwambia mkwewe, “Jipe nguvu na mkate kidogo, kisha unaweza kwenda.”
and to be in/on/with day [the] fourth and to rise in/on/with morning and to arise: rise to/for to go: went and to say father [the] maiden to(wards) son-in-law his to support heart your morsel food: bread and after to go: went
6 Basi hao wawili wakaketi kula na kunywa pamoja. Kisha baba ya msichana akasema, “Tafadhali uwe tayari kukaa usiku huu na kuwa na wakati mzuri.'
and to dwell and to eat two their together and to drink and to say father [the] maiden to(wards) [the] man be willing please and to lodge and be good heart your
7 Mlawi alipoinuka ili aondoke, baba wa mwanamke huyo alimwomba akae, hivyo alibadili mpango wake na akalala usiku tena.
and to arise: rise [the] man to/for to go: went and to press in/on/with him relative his and to return: again and to lodge there
8 Siku ya tano aliamka mapema kuondoka, lakini baba wa msichana akasema, 'Jitie nguvu mwenyewe, na kusubiri mpaka alasiri.' Kwa hiyo hao wawili wakala chakula.
and to rise in/on/with morning in/on/with day [the] fifth to/for to go: went and to say father [the] maiden to support please heart your and to delay till to stretch [the] day and to eat two their
9 Mlawi na suria wake na mtumishi wake wakainuka ili kuondoka, baba mkwe wake, baba wa msichana akamwambia, “Angalia, sasa mchana unaelekea jioni. Tafadhali kaa usiku mwingine, na uwe na wakati mzuri. Unaweza kuamka kesho mapema na kurudi nyumbani.”
and to arise: rise [the] man to/for to go: went he/she/it and concubine his and youth his and to say to/for him relative his father [the] maiden behold please to slacken [the] day to/for to grow dark to lodge please behold to camp [the] day to lodge here and be good heart your and to rise tomorrow to/for way: journey your and to go: went to/for tent: home your
10 Lakini Mlawi hakuwa tayari kukaa usiku. Aliamka na kuondoka. Akaenda kuelekea Yebusi (hiyo ni Yerusalemu). Alikuwa na pande mbili za punda-na masuria wake alikuwa pamoja naye.
and not be willing [the] man to/for to lodge and to arise: rise and to go: went and to come (in): come till before Jebus he/she/it Jerusalem and with him pair donkey to saddle/tie and concubine his with him
11 Walipokuwa karibu na Yebusi, siku hiyo ilikuwa imeenda mno, na mtumishi akamwambia bwana wake, Haya, tupate kwenda kwa mji wa Wayebusi, tukakae ndani yake usiku huu.
they(masc.) with Jebus and [the] day to go down much and to say [the] youth to(wards) lord his to go: come! [emph?] please and to turn aside: turn aside to(wards) city [the] Jebusite [the] this and to lodge in/on/with her
12 Bwana wake akamwambia, “Hatuwezi kwenda katika mji wa wageni ambao si wa wana wa Israeli.” Tutakwenda Gibea.
and to say to(wards) him lord his not to turn aside: turn aside to(wards) city foreign which not from son: descendant/people Israel they(fem.) and to pass till Gibeah
13 Mlawi akamwambia yule kijana, “Njoo, twende sehemu moja wapo, na tukae usiku huko Gibea au Rama.”
and to say to/for youth his (to go: follow [emph?] *Q(K)*) and to present: come in/on/with one [the] place and to lodge in/on/with Gibeah or in/on/with Ramah
14 Basi, wakaenda, na jua likachwea wakiwa karibu na Gibea, katika eneo la Benyamini.
and to pass and to go: went and to come (in): come to/for them [the] sun beside [the] Gibeah which to/for Benjamin
15 Wakageuka huko ili wawezenkukaa usiku huko Gibea. Naye akaingia na kukaa katika njia kuu ya jiji, maana hakuna mtu aliyewaingiza nyumbani kwake usiku.
and to turn aside: turn aside there to/for to come (in): come to/for to lodge in/on/with Gibeah and to come (in): come and to dwell in/on/with street/plaza [the] city and nothing man: anyone to gather [obj] them [the] house: home [to] to/for to lodge
16 Lakini mtu mzee alikuwa akija kutoka kazini kwake katika shamba jioni hiyo. Alikuwa kutoka mlima wa Efraimu, naye alikuwa akikaa kwa muda huko Gibea. Lakini watu wanaoishi mahali hapo walikuwa Wabenyamini.
and behold man old to come (in): come from deed: work his from [the] land: country in/on/with evening and [the] man from mountain: hill country Ephraim and he/she/it to sojourn in/on/with Gibeah and human [the] place Benjaminite Benjaminite
17 Aliinua macho na kumwona msafiri katika njia kuu ya jiji. Huyo mzee akasema, “Unakwenda wapi? Unatoka wapi?”
and to lift: look eye his and to see: see [obj] [the] man [the] to journey in/on/with street/plaza [the] city and to say [the] man [the] old where? to go: went and from where? to come (in): come
18 Mlawi akamwambia, “Tunaenda kutoka Betelehemu ya Yuda mpaka sehemu ya mbali zaidi ya nchi ya kilima ya Efraimu, ambako mimi hutoka. Nilikwenda Bethlehemu huko Yuda, nami nenda nyumbani mwa Bwana; lakini hakuna mtu atakayenichukua nyumbani kwake.
and to say to(wards) him to pass we from Bethlehem Bethlehem Judah till flank mountain: hill country Ephraim from there I and to go: went till Bethlehem Bethlehem Judah and [obj] house: temple LORD I to go: went and nothing man: anyone to gather [obj] me [the] house: home [to]
19 Tuna nyasi za kulisha punda zetu, na kuna mkate na divai kwa ajili yangu na mtumishi wako mwanamke hapa, na kwa kijana huyu pamoja na watumishi wako. Hatujapungukiwa chochote. '
and also straw also fodder there to/for donkey our and also food: bread and wine there to/for me and to/for maidservant your and to/for youth with servant/slave your nothing need all word: thing
20 Huyo mzee akawasalimu, “Amani iwe na wewe! Nitakupatia mahitaji yako yote. Usikae usiku tu katika njia kuu.”
and to say [the] man [the] old peace to/for you except all need your upon me except in/on/with street/plaza not to lodge
21 Basi huyo mtu akamleta Mlawi nyumbani kwake, akawalisha punda. Wakaosha miguu yao na kula na kunywa.
and to come (in): bring him to/for house: home his (and to feed *Q(k)*) to/for donkey and to wash: wash foot their and to eat and to drink
22 Walipokuwa wakifurahisha mioyo yao, watu wengine wa jiji, watu wasiokuwa na maana, walizunguka nyumba, wakipiga mlango. Wakamwambia yule mzee, mwenye nyumba, wakisema, “Mtoe mtu aliyeingia nyumbani kwako, ili tuweze kufanya mapenzi naye.”
they(masc.) be good [obj] heart their and behold human [the] city human son: young animal Belial to turn: surround [obj] [the] house: home to beat upon [the] door and to say to(wards) [the] man master: men [the] house: home [the] old to/for to say to come out: send [obj] [the] man which to come (in): come to(wards) house: home your and to know him
23 Yule mtu, mwenye nyumba, akawajia, akawaambia, “Hapana, ndugu zangu, tafadhali msifanye jambo baya! Kwa kuwa mtu huyu ni mgeni nyumbani kwangu, musifanye jambo hili baya!”
and to come out: come to(wards) them [the] man master [the] house: home and to say to(wards) them not brother: compatriot my not be evil please after which to come (in): come [the] man [the] this to(wards) house: home my not to make: do [obj] [the] folly [the] this
24 Angalia, binti yangu bikira na masuria wake hawa hapa. Ngoja niwalete sasa. Wapuuze na kufanya nao chochote mnachopenda. Lakini msifanyie jambo hili mbaya kwa mtu huyu!”
behold daughter my [the] virgin and concubine his to come out: send please [obj] them and to afflict [obj] them and to make: do to/for them [the] pleasant in/on/with eye: appearance your and to/for man [the] this not to make: do word: thing [the] folly [the] this
25 Lakini watu hawakumsikiliza, kwa hiyo huyo mwanamume akamshika yule mwanamke, akamleta nje. Walimkamata, wakambaka, na kumtendea uovu usiku mzima, na asubuhi wakamruhusu aende.
and not be willing [the] human to/for to hear: hear to/for him and to strengthen: hold [the] man in/on/with concubine his and to come out: come to(wards) them [the] outside and to know [obj] her and to abuse in/on/with her all [the] night till [the] morning and to send: let go her (like/as to ascend: dawn *Q(K)*) [the] dawn
26 Asubuhi mwanamke alikuja akaanguka chini ya mlango wa nyumba ya mtu ambapo bwana wake alikuwa, na yeye akalala pale mpaka kulipokucha.
and to come (in): come [the] woman to/for to turn [the] morning and to fall: kill entrance house: home [the] man which lord her there till [the] light
27 Bwana wake akaondoka asubuhi na kufungua milango ya nyumba, akatoka kwenda njiani. Aliweza kumwona mwanamke wake amelala pale mlangoni, mikono yake ikiwa juu ya kizingiti.
and to arise: rise lord her in/on/with morning and to open door [the] house: home and to come out: come to/for to go: went to/for way: journey his and behold [the] woman concubine his to fall: kill entrance [the] house: home and hand her upon [the] threshold
28 Mlawi akamwambia, “Simama twende.” Lakini hakujibiwa. Alimuweka juu ya punda, na huyo mtu akaondoka nyumbani.
and to say to(wards) her to arise: rise and to go: went and nothing to answer and to take: bring her upon [the] donkey and to arise: rise [the] man and to go: went to/for place his
29 Mlawi alipofika nyumbani kwake, akachukua kisu, naye akamshika suria wake, akamkataa, mguu kwa mguu, akafanya vipande kumi na viwili, akapeleka vipande kila mahali katika Israeli.
and to come (in): come to(wards) house: home his and to take: take [obj] [the] knife and to strengthen: hold in/on/with concubine his and to cut her to/for bone her to/for two ten piece and to send: depart her in/on/with all border: area Israel
30 Wote waliona hili wakasema, “Kitu hicho hakijawahi kufanyika au kuonekana tangu siku ambayo watu wa Israeli walikuja kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Fikiria juu ya hili! Tupe ushauri! Tuambie nini cha kufanya!”
and to be all [the] to see: see and to say not to be and not to see: see like/as this to/for from day to ascend: rise son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt till [the] day: today [the] this to set: consider to/for you upon her to plan and to speak: speak

< Waamuzi 19 >