< Waamuzi 19 >

1 Katika siku hizo, wakati hakuna mfalme katika Israeli, kulikuwa na mtu, Mlawi, aliyekuwa akiishi kwa muda kidogo katika eneo la mbali zaidi ya nchi ya Efraimu. Alijichukulia mwanamke, masuria kutoka Bethlehemu huko Yuda.
And it was in the days those and [was] a king there not in Israel and he was - a man a Levite sojourning in [the] remotest parts of [the] hill country of Ephraim and he took for himself a woman a concubine from Beth-lehem Judah.
2 Lakini mkewe hakuwa mwaminifu kwake; akaondoka na kurudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu ya Yuda. Alikaa huko kwa muda wa miezi minne.
And she was angry towards him concubine his and she went from with him to [the] house of father her to Beth-lehem Judah and she was there days four months.
3 Kisha mumewe akaondoka na kumfuata ili kumshawishi arudi. Mtumishi wake alikuwa pamoja naye, na punda wawili. Akamleta nyumbani kwa baba yake. Baba wa msichana alipomwona, alifurahi.
And he arose husband her and he went after her to speak to heart her (to bring back her *Q(K)*) and servant his [was] with him and a pair of donkeys and she brought him [the] house of father her and he saw him [the] father of the young woman and he was glad to meet him.
4 Baba mkwe wake, baba wa msichana, alimshawishi kukaa siku tatu. Walikula na kunywa, na walikaa usiku huko.
And he took hold on him father-in-law his [the] father of the young woman and he remained with him three days and they ate and they drank and they spent [the] night there.
5 Siku ya nne waliamka mapema na alijiandaa kuondoka, lakini baba wa msichana akamwambia mkwewe, “Jipe nguvu na mkate kidogo, kisha unaweza kwenda.”
And it was on the day fourth and they rose early in the morning and he arose to go and he said [the] father of the young woman to son-in-law his sustain heart your a morsel of bread and after you will go.
6 Basi hao wawili wakaketi kula na kunywa pamoja. Kisha baba ya msichana akasema, “Tafadhali uwe tayari kukaa usiku huu na kuwa na wakati mzuri.'
And they sat down and they ate [the] two of them together and they drank and he said [the] father of the young woman to the man be willing please and spend [the] night so it may be good heart your.
7 Mlawi alipoinuka ili aondoke, baba wa mwanamke huyo alimwomba akae, hivyo alibadili mpango wake na akalala usiku tena.
And he arose the man to go and he urged him father-in-law his and he turned back and he spent [the] night there.
8 Siku ya tano aliamka mapema kuondoka, lakini baba wa msichana akasema, 'Jitie nguvu mwenyewe, na kusubiri mpaka alasiri.' Kwa hiyo hao wawili wakala chakula.
And he rose early in the morning on the day fifth to go and he said - [the] father of the young woman sustain please heart your and delay until declines the day and they ate [the] two of them.
9 Mlawi na suria wake na mtumishi wake wakainuka ili kuondoka, baba mkwe wake, baba wa msichana akamwambia, “Angalia, sasa mchana unaelekea jioni. Tafadhali kaa usiku mwingine, na uwe na wakati mzuri. Unaweza kuamka kesho mapema na kurudi nyumbani.”
And he arose the man to go he and concubine his and servant his and he said to him father-in-law his [the] father of the young woman here! please it is sinking the day to become evening spend [the] night please here! to decline the day spend [the] night here so it may be good heart your and you will rise early tomorrow for journey your and you will go to tent your.
10 Lakini Mlawi hakuwa tayari kukaa usiku. Aliamka na kuondoka. Akaenda kuelekea Yebusi (hiyo ni Yerusalemu). Alikuwa na pande mbili za punda-na masuria wake alikuwa pamoja naye.
And not he was willing the man to spend [the] night and he arose and he went and he came to opposite Jebus that [is] Jerusalem and [were] with him a pair of donkeys saddled and concubine his [was] with him.
11 Walipokuwa karibu na Yebusi, siku hiyo ilikuwa imeenda mno, na mtumishi akamwambia bwana wake, Haya, tupate kwenda kwa mji wa Wayebusi, tukakae ndani yake usiku huu.
They [were] near Jebus and the day it had gone down exceedingly and he said the servant to master his come! please so let us turn aside to [the] city of the Jebusite[s] this so we may spend [the] night in it.
12 Bwana wake akamwambia, “Hatuwezi kwenda katika mji wa wageni ambao si wa wana wa Israeli.” Tutakwenda Gibea.
And he said to him master his not we will turn aside to a city foreign who not [are] of [the] people of Israel they and we will pass on to Gibeah.
13 Mlawi akamwambia yule kijana, “Njoo, twende sehemu moja wapo, na tukae usiku huko Gibea au Rama.”
And he said to servant his (come! *Q(K)*) so let us drew near at one of the places and we will spend [the] night in Gibeah or in Ramah.
14 Basi, wakaenda, na jua likachwea wakiwa karibu na Gibea, katika eneo la Benyamini.
And they passed on and they went and it went for them the sun beside Gibeah which [belongs] to Benjamin.
15 Wakageuka huko ili wawezenkukaa usiku huko Gibea. Naye akaingia na kukaa katika njia kuu ya jiji, maana hakuna mtu aliyewaingiza nyumbani kwake usiku.
And they turned aside there to go to spend [the] night in Gibeah and he went and he sat in [the] open square of the city and not anyone [was] receiving them the house towards to spend [the] night.
16 Lakini mtu mzee alikuwa akija kutoka kazini kwake katika shamba jioni hiyo. Alikuwa kutoka mlima wa Efraimu, naye alikuwa akikaa kwa muda huko Gibea. Lakini watu wanaoishi mahali hapo walikuwa Wabenyamini.
And there! - a man old [was] coming from work his from the field in the evening and the man [was] from [the] hill country of Ephraim and he [was] sojourning in Gibeah and [the] men of the place [were] Ben-jaminites.
17 Aliinua macho na kumwona msafiri katika njia kuu ya jiji. Huyo mzee akasema, “Unakwenda wapi? Unatoka wapi?”
And he lifted up eyes his and he saw the man who was traveling in [the] open square of the city and he said the man old where? are you going and from where? are you coming.
18 Mlawi akamwambia, “Tunaenda kutoka Betelehemu ya Yuda mpaka sehemu ya mbali zaidi ya nchi ya kilima ya Efraimu, ambako mimi hutoka. Nilikwenda Bethlehemu huko Yuda, nami nenda nyumbani mwa Bwana; lakini hakuna mtu atakayenichukua nyumbani kwake.
And he said to him [are] passing we from Beth-lehem Judah to [the] remotest parts of [the] hill country of Ephraim [am] from there I and I went to Beth-lehem Judah and [the] house of Yahweh I [am] going and not anyone [was] receiving me the house towards.
19 Tuna nyasi za kulisha punda zetu, na kuna mkate na divai kwa ajili yangu na mtumishi wako mwanamke hapa, na kwa kijana huyu pamoja na watumishi wako. Hatujapungukiwa chochote. '
And [are] both straw as well as fodder there for donkeys our and [are] also food and wine there for me and for maidservant your and for the servant with servants your there not [is] lack of any thing.
20 Huyo mzee akawasalimu, “Amani iwe na wewe! Nitakupatia mahitaji yako yote. Usikae usiku tu katika njia kuu.”
And he said the man old peace [be] to you certainly all lack your [is] on me only in the open square may not you spend [the] night.
21 Basi huyo mtu akamleta Mlawi nyumbani kwake, akawalisha punda. Wakaosha miguu yao na kula na kunywa.
And he brought him to house his (and he fed *Q(k)*) the donkeys and they washed feet their and they ate and they drank.
22 Walipokuwa wakifurahisha mioyo yao, watu wengine wa jiji, watu wasiokuwa na maana, walizunguka nyumba, wakipiga mlango. Wakamwambia yule mzee, mwenye nyumba, wakisema, “Mtoe mtu aliyeingia nyumbani kwako, ili tuweze kufanya mapenzi naye.”
They [were] making good heart their and there! [the] men of the city men of sons of worthlessness they surrounded the house beating violently on the door and they said to the man [the] master of the house old saying bring out the man who he came to house your so we may know him.
23 Yule mtu, mwenye nyumba, akawajia, akawaambia, “Hapana, ndugu zangu, tafadhali msifanye jambo baya! Kwa kuwa mtu huyu ni mgeni nyumbani kwangu, musifanye jambo hili baya!”
And he went out to them the man [the] master of the house and he said to them may [you] not O brothers my may not you do evil please after that he has come the man this may [you] not house my may not you do the disgraceful folly this.
24 Angalia, binti yangu bikira na masuria wake hawa hapa. Ngoja niwalete sasa. Wapuuze na kufanya nao chochote mnachopenda. Lakini msifanyie jambo hili mbaya kwa mtu huyu!”
Here! daughter my the virgin and concubine his let me bring out please them and afflict them and do to them the good in view your and to the man this not you must do [the] thing of disgraceful folly this.
25 Lakini watu hawakumsikiliza, kwa hiyo huyo mwanamume akamshika yule mwanamke, akamleta nje. Walimkamata, wakambaka, na kumtendea uovu usiku mzima, na asubuhi wakamruhusu aende.
And not they were willing the men to listen to him and he took hold the man on concubine his and he brought [her] out to them outside and they knew her and they abused her all the night until the morning and they let go her (just as came up *Q(K)*) the dawn.
26 Asubuhi mwanamke alikuja akaanguka chini ya mlango wa nyumba ya mtu ambapo bwana wake alikuwa, na yeye akalala pale mpaka kulipokucha.
And she came the woman to [the] turning of the morning and she fell [the] entrance of [the] house of the man where master her [was] there until the light.
27 Bwana wake akaondoka asubuhi na kufungua milango ya nyumba, akatoka kwenda njiani. Aliweza kumwona mwanamke wake amelala pale mlangoni, mikono yake ikiwa juu ya kizingiti.
And he arose master her in the morning and he opened [the] doors of the house and he went out to go to way his and there! the woman concubine his [was] falling [the] entrance of the house and hands her [were] on the threshold.
28 Mlawi akamwambia, “Simama twende.” Lakini hakujibiwa. Alimuweka juu ya punda, na huyo mtu akaondoka nyumbani.
And he said to her get up so let us go and there not [was one who] answered and he took her on the donkey and he arose the man and he went to place his.
29 Mlawi alipofika nyumbani kwake, akachukua kisu, naye akamshika suria wake, akamkataa, mguu kwa mguu, akafanya vipande kumi na viwili, akapeleka vipande kila mahali katika Israeli.
And he came to house his and he took the knife and he took hold on concubine his and he cut in pieces her to bones her into two [plus] ten pieces and he sent out her in all [the] territory of Israel.
30 Wote waliona hili wakasema, “Kitu hicho hakijawahi kufanyika au kuonekana tangu siku ambayo watu wa Israeli walikuja kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Fikiria juu ya hili! Tupe ushauri! Tuambie nini cha kufanya!”
And it was every [one who] saw and he said not it has occurred and not it has been seen like this from [the] day came up [the] people of Israel from [the] land of Egypt until the day this set for yourselves on it take counsel and speak.

< Waamuzi 19 >