< Waamuzi 18 >

1 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kabila la Wadani lilikuwa linatafuta makazi ya kuishi, kwa maana mpaka siku hiyo hawakupokea urithi wowote kutoka miongoni mwa makabila ya Israeli.
En ce temps-là, il n'y avait point de roi en Israël, et la tribu de Dan cherchait un héritage ou elle pût demeurer, parce que, jusqu'à ces jours-là, il ne lui était point échu d'héritage au milieu des tribus d'Israël.
2 Watu wa Dani walituma watu watano kutoka kwa idadi yote ya kabila lao, wanaume wenye ujasiri kutoka Sora na kutoka Eshtaoi, ili kukagua ardhi kwa miguu, na kuiangalia. Wakawaambia, “Nendeni mkaangalie nchi.' Wakafika nchi ya mlima wa Efraimu, kwa nyumba ya Mika wakalala huko.
Les fils de Dan envoyèrent donc de Saraa et d'Esthaol cinq hommes vaillants de leurs familles, afin d'explorer la terre et de l'observer avec soin; et ils leur dirent: Allez, et observez avec soin la terre. Et les hommes allèrent dans les montagnes d'Ephraïm, jusqu'à la maison de Michas, et ils logèrent
3 Walipokuwa karibu na nyumba ya Mika, walitambua maneno ya Mlawi. Basi wakamsimama na kumwuliza, “Nani alikuleta hapa? Unafanya nini hapa? Kwa nini uko hapa?”
En la maison de Michas; là, ayant entendu la voix du jeune lévite, ils allèrent à lui, et lui dirent: Qui t'a amené ici? Que fais-tu en ce lieu? Comment y es-tu traité?
4 Akawaambia, “Hivi ndivyo Mika amefanya kwa ajili yangu Yeye aliniajiri mimi kuwa kahani wake.”
Il leur répondit: Voici comment me traite Michas: il me salarie, et je suis chez lui le prêtre.
5 Wakamwambia, “Tafadhali tafuta ushauri kwa Mungu, ili tuweze kujua kama safari tunayoendea itafanikiwa.”
Et ils lui dirent: Consulte donc Dieu, pour que nous sachions si le voyage que nous avons entrepris réussira.
6 Kuhani huyo akawaambia, “Nenda kwa amani. Bwana atakuongoza katika njia unayoiendea.”
Et le prêtre leur dit: Allez en paix, le voyage que vous faites est sous la protection du Seigneur.
7 Kisha wale watu watano wakaondoka na wakafika Laishia, na waliona watu waliokuwa pale waliishi salama- vivyo hivyo Wasidoni waliishi bila kusumbuliwa na kwa usalama. Hapakuwa na mtu aliyewashinda katika nchi hiyo, au aliyewasumbua kwa namna yoyote. Waliishi mbali na Wasidoni, na hawakuwa na ushirikiano na mtu yeyote.
Ensuite, les cinq hommes partirent; ils arrivèrent à Laïs, et ils virent un peuple qui y demeurait sans inquiétude, tranquille comme le pays des Sidoniens; il était en paix sans que personne vint l'effrayer ou le troubler en quoi que ce fût. Il n'y avait pas là de maître pour extorquer ses richesses; il était d'ailleurs éloigné des Sidoniens, et sans rapport avec les autres hommes.
8 Walirudi kwa kabila lao huko Zora na Eshtaol. Ndugu zao waliwauliza, 'Mna habari gani?'
Et les cinq hommes revinrent auprès de leurs frères en Saraa et en Esthaol, et ils dirent à leurs frères: Pourquoi restez-vous ici?
9 Wakasema, “Njoo! Hebu tuwashambulie! Tumeona ardhi na ni nzuri sana. Je hamfanyi kitu? Msiwe wavivu kushambulia na kuchukua ardhi.
Ils ajoutèrent: Levez-vous, et marchons contre eux; lorsque nous sommes allés explorer le territoire jusqu'à Laisa, nous avons vu un peuple habitant en sécurité, à la façon des Sidoniens, paisible dans sa confiance, ne pouvant appeler personne car ils sont loin de Sidon, et sans relations avec la Syrie.
10 Mnapoenda, mtakuta watu wanaofikiri wapo salama, na nchi ni pana! Mungu amewapa ninyi-mahali ambako hapajapungukiwa kitu chochote duniani. '
Aussitôt que vous serez arrivés, vous entrerez chez un peuple qui demeure sans inquiétude en une vaste terre que le Seigneur a livrée à nos mains, où rien ne manque de ce que produit la terre.
11 Watu mia sita wa kabila la Dani, wenye silaha za vita, waliondoka kutoka Sora na Eshtaoli.
Alors, six cents hommes bien armés, tous des familles de Dan, partirent de Saraa et d'Esthaol.
12 Wakasafiri, wakapanga Kiriath-yearimu, huko Yuda. Ndio maana watu walipaita mahali pale Mahane Dani hata leo; ni magharibi ya Kiriath yearimu.
Ils montèrent et ils campèrent sur le territoire de Gariathiarim en Juda. A cause de cela, ce lieu s'appelle encore de nos jours le camp de Dan; il est derrière Gariathiarim.
13 Wakaondoka huko na kwenda nchi ya mlima wa Efraimu, wakafika nyumbani kwa Mika.
Ils traversèrent ensuite les montagnes d'Ephraïm, et arrivèrent auprès de la maison de Michas.
14 Kisha watu watano waliokuwa wamekwenda kutazama nchi ya Laisha waliwaambia jamaa zao, “Je, mnajua kwamba katika nyumba hizi kuna efodi, miungu ya kaya, sanamu zilizochongwa, na sanamu za chuma? Amua sasa utakachofanya.”
Et les cinq hommes qui avaient été envoyés à la découverte en Lais, s'expliquèrent; ils dirent à leurs frères: Sachez qu'il y a en cette maison un éphod, et des théraphim, et une sculpture et un ouvrage en fonte; voyez maintenant ce que vous ferez.
15 Basi wakarudi huko, wakafika nyumbani mwa Mlawi, nyumbani mwa Mika; wakamsalimu.
Les cinq hommes y allèrent, et entrèrent dans la maison où était le jeune lévite, chez Michas, et ils questionnèrent le lévite pacifiquement.
16 Wana Daniani mia sita, wenye silaha za vita, walisimama kwenye maingilio ya lango.
Cependant, les six cents hommes en armes se tenaient près de la porte de la maison, ceux d'entre les fils de Dan
17 Wale watu watano waliokuwa wamekwenda kutembelea nchi walikwenda huko na wakachukua sanamu zilizochongwa, efodi, na miungu ya nyumba, na sanamu ya chuma, wakati kuhani alipokuwa amesimama kwenye maingilio ya lango na wanaume mia sita wenye silaha za vita.
Et les cinq hommes, qu'on avait envoyés d'abord à la découverte, étant entrés là se saisirent de l'éphod, des théraphim, et de la sculpture et l'ouvrage en fonte; et le prêtre se tenait devant la porte avec les six cents hommes en armes.
18 Walipokuwa wakiingia nyumbani kwa Mika na kuchukua sanamu zilizochongwa, efodi, miungu ya nyumba, na sanamu za chuma, kuhani akasema, “mnafanya nini?”
Et ceux-ci entrèrent dans la maison de Michas et prirent l'éphod, les théraphim, la sculpture et l'ouvrage en fonte, et le prêtre leur dit: Que faites-vous?
19 Wakamwambia, “Tulia! Weka mkono wako kwenye kinywa chako na uje nasi, na uwe kwetu baba na kuhani. Je, ni bora kuwa wewe kuhani kwa ajili ya nyumba ya mtu mmoja, au kuhani kwa kabila na jamaa katika Israeli?”
Et ils lui dirent: Garde le silence, mets ta main sur ta bouche; viens avec nous, sois pour nous un père et un prêtre; ne vaut-il pas mieux pour toi être le prêtre d'une tribu et de la maison d'une famille d'Israël, que le prêtre de la maison d'un seul homme?
20 Moyo wa kuhani ulifurahi. Akachukua efodi, miungu ya nyumba, na sanamu ya kuchongwa, akaenda pamoja na hao watu.
Le cœur du prêtre se réjouit; il prit l'éphod, et les théraphim, et la sculpture et l'ouvrage en fonte, et il se rendit au milieu de la troupe en armes.
21 Basi wakageuka wakaenda. Wameweka watoto wadogo mbele yao wenyewe, pamoja na ng'ombe na mali zao.
Tous ensemble se remirent en marche; ils s'éloignèrent ayant placé en avant les enfants, le bétail et les bagages.
22 Walipokuwa umbali mzuri kutoka kwa nyumba ya Mika, watu waliokuwa ndani ya nyumba iliyo karibu na nyumba ya Mika waliitwa, nao wakawafikia Wadani.
Ils étaient déjà a une certaine distance de la maison de Michas, quand Michas et les hommes des maisons voisines de la maison de Michas, jetant de grands cris, atteignirent les fils de Dan.
23 Waliwapigia kelele Wadani, nao wakageuka, wakamwambia Mika, “Kwa nini mmekuja pamoja?
Les fils de Dan firent volte-face, et ils dirent à Michas: Qu'as-tu? Pourquoi jettes-tu ces cris?
24 Akasema, “ninyi mmeiba miungu niliyoifanya, mmemchukua kuhani wangu, na mnaondoka. Je, nina nini tena? Unawezaje kuniuliza, 'Ni nini kinachokusumbua?'”
Et Michas répondit: Vous avez pris la sculpture que j'avais faite; vous emmenez le prêtre, et que me reste-t-il? Comment pouvez-vous me dire: Pourquoi jettes-tu ces cris?
25 'Watu wa Dani wakamwambia,” Usiruhusu tusikie chochote unachosema, au baadhi ya watu wenye hasira sana watawapiga, wewe na familia yako mtauawa.”
Et les fils de Dan lui dirent: Que ta voix n'arrive plus jusqu'à nous, de peur que des hommes irrités, courant sur vous, ne prennent ta vie et la vie de toute ta famille.
26 Ndipo watu wa Dani wakaenda zao. Mika alipoona kwamba walikuwa na nguvu sana juu yake, akageuka na kurudi nyumbani kwake.
Puis, les fils de Dan se remirent en marche; Michas, voyant qu'ils étaient les plus forts, s'en retourna chez lui.
27 Watu wa Dani walichukua kile alichokifanya Mika, pamoja na kuhani wake, na wakafika Laisha, kwa watu waliokuwa hawasumbuliwi na wenye usalama na salama wakawaua kwa upanga na kuuchoma mji huo.
Et les fils de Dan emportèrent ce qu'avait fabriqué Michas; ils emmenèrent le prêtre qui demeurait avec lui, et ils arrivèrent à Laïs chez un peuple paisible, plein de sécurité; ils le passèrent au fil de l'épée, et ils livrèrent la ville aux flammes.
28 Hapakuwa na mtu wa kuwaokoa kwa sababu palikuwa na umbali mrefu kutoka Sidoni, na hawakuwa na uhusiano na mtu yeyote. Palikuwa katika bonde lililo karibu na Beth Rehobu. Wadani wakaujenga mji na kuishi huko.
Il n'y avait là personne pour défendre ce peuple; car il était loin de Sidon, sans rapport avec les autres hommes, et il vivait dans la vallée de la maison de Rhaab; les fils de Dan rebâtirent la ville, où ils demeurèrent.
29 Wakauita jina lake Dani, jina la baba zao Dani, ambaye alikuwa mmoja wa wana wa Israeli. Lakini jina la mji hapo mwanzo ulikuwa Laisha.
Et ils appelèrent la ville: Dan, du nom de leur père, fils d'Israël, car, auparavant, elle se nommait Ulamaïs.
30 Watu wa Dani walijenga sanamu za kuchonga wenyewe. Naye Yonathani, mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, yeye na wanawe walikuwa makuhani wa kabila la Wadani mpaka siku ya uhamisho wa nchi.
Les fils de Dan y dressèrent la statue. Et Jonathan, fils de Gerson, fils de Manassé, lui et ses fils furent prêtres de la tribu de Dan, jusqu'au jour de sa captivité.
31 Basi wakaiabudu sanamu ya kuchonga ya Mika aliyoifanya wakati wa nyumba ya Mungu huko Shilo.
Et ils se servirent pour eux de la statue que Michas avait faite, tout le temps que la maison de Dieu fut à Silo. En ces jours-là, il n'y avait point de roi en Israël.

< Waamuzi 18 >