< Waamuzi 18 >
1 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kabila la Wadani lilikuwa linatafuta makazi ya kuishi, kwa maana mpaka siku hiyo hawakupokea urithi wowote kutoka miongoni mwa makabila ya Israeli.
Amo esoha, hina bagade dunu Isala: ili soge ganodini esalebe hame ba: i. Isala: ili fi dunu da ilia soge ilegei amo lai dagoi. Be Da: ne fi da soge hame lai. Amaiba: le, ilia da soge gesowale fima: ne hogoi helesu.
2 Watu wa Dani walituma watu watano kutoka kwa idadi yote ya kabila lao, wanaume wenye ujasiri kutoka Sora na kutoka Eshtaoi, ili kukagua ardhi kwa miguu, na kuiangalia. Wakawaambia, “Nendeni mkaangalie nchi.' Wakafika nchi ya mlima wa Efraimu, kwa nyumba ya Mika wakalala huko.
Da: ne dunu da ilia sosogo fi amoga bagade dawa: su dunu biyale gala amo soge hogomusa: ilegei. Ilia da amo dunu, Soula moilai bai bagade amola Esadoule soge, amoga asunasi. Ilia da Ifala: ime agolo sogega doaga: loba, Maiga ea diasuga golai.
3 Walipokuwa karibu na nyumba ya Mika, walitambua maneno ya Mlawi. Basi wakamsimama na kumwuliza, “Nani alikuleta hapa? Unafanya nini hapa? Kwa nini uko hapa?”
Amoga esalea, ilia da gobele salasu ayeligi ea sia: hisu nababeba: le, e da Lifai dunu ilia dawa: i galu. Ilia da ema asili, amane adole ba: i, “Di da guiguda: adi hamosala: ? Nowa da di guiguda: oule misibala: ?”
4 Akawaambia, “Hivi ndivyo Mika amefanya kwa ajili yangu Yeye aliniajiri mimi kuwa kahani wake.”
E bu adole i, “Na da Maiga ea hawa: hamonana. Na da ea gobele salasu hawa: hamonanebeba: le, e da nama bidi iaha.”
5 Wakamwambia, “Tafadhali tafuta ushauri kwa Mungu, ili tuweze kujua kama safari tunayoendea itafanikiwa.”
Ilia da ema bu adole i, amane, “Di Godema adole ba: ma. Ninia da logoga ahoasea, hahawane ba: ma: bela: ?”
6 Kuhani huyo akawaambia, “Nenda kwa amani. Bwana atakuongoza katika njia unayoiendea.”
Gobele salasu dunu da ilima bu adole i, “Mae dawa: ma! Dilia da se hame nabimu. Dilia ahoasea, Hina Gode da dili noga: le ouligilalumu.”
7 Kisha wale watu watano wakaondoka na wakafika Laishia, na waliona watu waliokuwa pale waliishi salama- vivyo hivyo Wasidoni waliishi bila kusumbuliwa na kwa usalama. Hapakuwa na mtu aliyewashinda katika nchi hiyo, au aliyewasumbua kwa namna yoyote. Waliishi mbali na Wasidoni, na hawakuwa na ushirikiano na mtu yeyote.
Amaiba: le, amo dunu biyale gala da fisili, asili, La: isi moilaiga doaga: i. Ilia da La: isi dunu ilia hou ba: i. Ilia da Saidounia dunu defele, hahawane, olofoiwane esalu. Ilia hanai huluane, ilia da gagui dagoi. Ilia da eno dunuma hame gegenai. Ilia da Saidounia dunu gadenene hame esalu. Ilia da eno dunu fi ilima hame gilisisu.
8 Walirudi kwa kabila lao huko Zora na Eshtaol. Ndugu zao waliwauliza, 'Mna habari gani?'
Dunu biyale gala da ilia moilaidafa amo Soula amola Esedoule amoga bu doaga: loba, ilia fi dunu da ilia ba: i liligi ilima adoma: ne sia: i.
9 Wakasema, “Njoo! Hebu tuwashambulie! Tumeona ardhi na ni nzuri sana. Je hamfanyi kitu? Msiwe wavivu kushambulia na kuchukua ardhi.
Ilia da bu adole i, “Misa! Ninia La: isi moilai fi doagala: mu da defea. Ninia da ilia soge ba: i dagoi. Soge da noga: idafa. Dilia! Udigili mae esaloma! Hedolo! Amoga asili, amo soge gesowale fima.
10 Mnapoenda, mtakuta watu wanaofikiri wapo salama, na nchi ni pana! Mungu amewapa ninyi-mahali ambako hapajapungukiwa kitu chochote duniani. '
Amoga asili dilia da ba: mu. Dunu eno da ilima doagala: mu ilia hame dawa: Soge da bagadedafa. Amo ganodini da dilia hanai huluane ba: mu. Gode da amo soge dilima i dagoi.”
11 Watu mia sita wa kabila la Dani, wenye silaha za vita, waliondoka kutoka Sora na Eshtaoli.
Amaiba: le, Da: ne fi dunu 600 da gegema: ne momagele, Soula amola Esedoule fisili asi.
12 Wakasafiri, wakapanga Kiriath-yearimu, huko Yuda. Ndio maana watu walipaita mahali pale Mahane Dani hata leo; ni magharibi ya Kiriath yearimu.
Ilia da sogebi amo Gilia: de Yialimi moilai bai bagade Yuda soge ganodini amo ea eso dabe la: ididili amoga abula diasu gaguli esalu. Amaiba: le, amo sogebi ea dio wali da Da: ne Abula Fisisu.
13 Wakaondoka huko na kwenda nchi ya mlima wa Efraimu, wakafika nyumbani kwa Mika.
Amo sogebi fisili asili, ilia da Maiga ea diasu Ifala: ime agolo soge ganodini gala, amoga doaga: i.
14 Kisha watu watano waliokuwa wamekwenda kutazama nchi ya Laisha waliwaambia jamaa zao, “Je, mnajua kwamba katika nyumba hizi kuna efodi, miungu ya kaya, sanamu zilizochongwa, na sanamu za chuma? Amua sasa utakachofanya.”
Amalalu, dunu biyale gala musa: da La: isi soge hogola asi, ilia dogolegei dunuma amane sia: i, “Diasu afae guiguda: da ifaga hamoi ‘gode’ agoaila amo silifaga dedeboi, amo dilia dawa: bela: ? ‘gode’ agoaila eno amola gala amola ‘ifode’ gala. Ninia da adi hamoma: bela: ?”
15 Basi wakarudi huko, wakafika nyumbani mwa Mlawi, nyumbani mwa Mika; wakamsalimu.
Amaiba: le, ilia da Lifai ayeligi ea esalebe Maiga diasu ganodini asili, Lifai ea hou ema adole ba: i.
16 Wana Daniani mia sita, wenye silaha za vita, walisimama kwenye maingilio ya lango.
Amoha, Da: ne dadi gagui 600, gegemusa: momagei dagoi, da diasu gagoi ga: suga lelebe ba: i.
17 Wale watu watano waliokuwa wamekwenda kutembelea nchi walikwenda huko na wakachukua sanamu zilizochongwa, efodi, na miungu ya nyumba, na sanamu ya chuma, wakati kuhani alipokuwa amesimama kwenye maingilio ya lango na wanaume mia sita wenye silaha za vita.
Desega ahoasu dunu biyale gala da diasu ganodini golili sa: ili, ilia da ifa ‘gode’ agoaila silifaga dedeboi, amola ‘gode’ agoaila eno huluane amola “ifode” lai dagoi. Lifai gobele salasu dunu amola dadi gagui dunu 600 agoane da logo holei gadenene lelu.
18 Walipokuwa wakiingia nyumbani kwa Mika na kuchukua sanamu zilizochongwa, efodi, miungu ya nyumba, na sanamu za chuma, kuhani akasema, “mnafanya nini?”
Dunu da Maiga diasuga, sema liligi wamolamusa: ahoanoba, gobele salasu dunu da ilima amane adole ba: i, “Dilia da adi hamosala: ?”
19 Wakamwambia, “Tulia! Weka mkono wako kwenye kinywa chako na uje nasi, na uwe kwetu baba na kuhani. Je, ni bora kuwa wewe kuhani kwa ajili ya nyumba ya mtu mmoja, au kuhani kwa kabila na jamaa katika Israeli?”
Ilia bu adole i, “Ouiya: ma! Maedafa sia: ma! Di amola nini sigi masa! Di da ninia gobele salasu dunu hamomu da defea. Di da dunu afae ea sosogo fi fonobahadi ilima gobele salasu hawa: hamomu da defea hame. Be di da Isala: ili fidafa bagade huluane ilima gobele salasu hawa: hamomu da defea.”
20 Moyo wa kuhani ulifurahi. Akachukua efodi, miungu ya nyumba, na sanamu ya kuchongwa, akaenda pamoja na hao watu.
Amo hou, gobele salasu dunu da hahawane ba: i. Amaiba: le, e da sema liligi huluane gaguli, ili sigi asi.
21 Basi wakageuka wakaenda. Wameweka watoto wadogo mbele yao wenyewe, pamoja na ng'ombe na mali zao.
Ilia sinidigili, logoga asi. Ilia mano, bulamagau amola liligi da ili bisili asi.
22 Walipokuwa umbali mzuri kutoka kwa nyumba ya Mika, watu waliokuwa ndani ya nyumba iliyo karibu na nyumba ya Mika waliitwa, nao wakawafikia Wadani.
Ilia da fonobahadi sedade asili, Maiga da ea gadenene fi dunu huluane amo dunuma gegemusa: fa: no bobogei. Ilia da Da: ne dunuma doaga: le,
23 Waliwapigia kelele Wadani, nao wakageuka, wakamwambia Mika, “Kwa nini mmekuja pamoja?
ilima wele sia: i dagoi. Da: ne dunu da sinidigili, Maiga ema amane adole ba: i, “Adi hou? Dunu bagade da abuli misibala: ?”
24 Akasema, “ninyi mmeiba miungu niliyoifanya, mmemchukua kuhani wangu, na mnaondoka. Je, nina nini tena? Unawezaje kuniuliza, 'Ni nini kinachokusumbua?'”
Maiga da bu adole i, “Giadofai dilia dawa: Dilia da na gobele salasu dunu amola ‘gode’ liligi na hamoi amo huluane lale, asi dagoi. Na da liligi eno hame galebe.”
25 'Watu wa Dani wakamwambia,” Usiruhusu tusikie chochote unachosema, au baadhi ya watu wenye hasira sana watawapiga, wewe na familia yako mtauawa.”
Da: ne dunu da ema bu adole i, “Di da ouiya: mu da defea. Bai agoane hame hamosea, ninia dunu da di doagala: mu. Amasea, di amola dia sosogo fi huluane da bogogia: mu.”
26 Ndipo watu wa Dani wakaenda zao. Mika alipoona kwamba walikuwa na nguvu sana juu yake, akageuka na kurudi nyumbani kwake.
Amalalu, Da: ne dunu da bu logoga ahoanu. Maiga da ba: i dagoi, ilia gasa da ea gasa baligi dagoi. Amaiba: le, e da sinidigili, hi diasuga buhagi.
27 Watu wa Dani walichukua kile alichokifanya Mika, pamoja na kuhani wake, na wakafika Laisha, kwa watu waliokuwa hawasumbuliwi na wenye usalama na salama wakawaua kwa upanga na kuuchoma mji huo.
28 Hapakuwa na mtu wa kuwaokoa kwa sababu palikuwa na umbali mrefu kutoka Sidoni, na hawakuwa na uhusiano na mtu yeyote. Palikuwa katika bonde lililo karibu na Beth Rehobu. Wadani wakaujenga mji na kuishi huko.
Da: ne dunu da gobele salasu dunu amola Maiga ea hamoi liligi huluane lalu, asili, La: isi moilai doagala: i. La: isi dunu da olofoiwane, asaboiwane noga: i dunu esalu. Ilia da fago amo ganodini esalu. Amo fago ganodini moilai eno galu amo Bedelihobe. Da: ne dunu da La: isi dunu, uda amola mano huluane medole legei. Ilia diasu huluane ilia da laluga ulagisi. La: isi dunu da gaga: su dunu hame ba: i. Bai ilia da Saidone sogega sedagawane esalu amola ilia eno dunu fi ilima hame gilisisu. Da: ne dunu da La: isi moilai bu gaguli, amo ganodini fi.
29 Wakauita jina lake Dani, jina la baba zao Dani, ambaye alikuwa mmoja wa wana wa Israeli. Lakini jina la mji hapo mwanzo ulikuwa Laisha.
Amo moilai dio La: isi ilia da fisili bu Da: ne dio asuli. Ilia siba eda Da: ne amo Ya: igobe ea mano, amo dawa: le ilia amo dio asuli.
30 Watu wa Dani walijenga sanamu za kuchonga wenyewe. Naye Yonathani, mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, yeye na wanawe walikuwa makuhani wa kabila la Wadani mpaka siku ya uhamisho wa nchi.
Da: ne dunu da moilai ganodini ogogosu ‘gode’ ilia lai amoma nodone sia: ne gadomusa: bugisi. Yonada: ne (Gesiome egefe amola Mousese ea aowa) da Da: ne fi amo ganodini gobele salasu hawa: hamosu. Egaga fi amola da e bagia amo hawa: hamonanu. Yuda dunu huluane da mugululi asi dagoiba: le fawane fisi.
31 Basi wakaiabudu sanamu ya kuchonga ya Mika aliyoifanya wakati wa nyumba ya Mungu huko Shilo.
Isala: ili dunu da Abula Diasu Siailou sogebiga gagui amoga Godema nodone sia: ne gadosu. Be amo Abula Diasu da dialea, Maiga ea ogogosu ‘gode’ da Da: ne moilai ganodini dialebe ba: i.