< Waamuzi 17 >

1 Kulikuwa na mtu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na jina lake ni Mika.
Ja yksi mies oli Ephraimin vuorelta, nimeltä Miika.
2 Akamwambia mama yake, “Shilingi 1, 100 za fedha ambazo zilichukuliwa kutoka kwako, ambazo ulizungumza kwa kiapo, na kuniambia-tazama hapa! Ninazo fedha pamoja nami. Nimeziiba.” Mama yake akasema, 'Na Bwana atakubariki, mwanangu!'
Hän sanoi äidillensä: ne tuhannen ja sata hopiapenninkiä, jotka sinulta otettiin, joiden tähden sinä kirosit ja puhuit minun korvaini kuullen: katso, ne ovat minun tykönäni, minä ne otin. Silloin sanoi hänen äitinsä: siunattu olet sinä, minun poikani, Herralle.
3 Alirejesha vipande 1, 100 vya fedha kwa mama yake na mama yake akasema, “Nimeweka fedha hii kwa Bwana, kwa ajili ya mwanangu kuifanya na kuchonga takwimu za chuma.
Niin antoi hän äidillensä ne tuhannen ja sata hopiapenninkiä jälleen. Ja hänen äitinsä sanoi: minä pyhitin kokonansa sen rahan Herralle minun kädestäni poikani edestä, tehdä kaivettua ja valettua kuvaa; ja nyt annan minä sinulle sen jällensä.
4 Kwa hiyo sasa, ninawarejesha.” Alipokuwa amrudishia mama yake fedha, mama yake alichukua vipande mia mbili za fedha na akawapa mfanyakazi wa chuma ambaye aliwafanya kuwa sanamu na kuchonga takwimu za chuma, na wakawekwa ndani ya nyumba ya Mika.
Mutta hän antoi sen rahan äidillensä jälleen. Ja hänen äitinsä otti kaksisataa hopiapenninkiä ja antoi ne hopiasepälle; hän teki kaivetun ja valetun kuvan, joka sitte oli Miikan huoneessa.
5 Mtu huyo Mika alikuwa na nyumba ya sanamu, naye akafanya efodi na nyumba ya miungu, naye akaajiri mmoja wa wanawe awe mkuhani wake.
Ja Miikalla oli Jumalan huone, ja hän teki päällisvaatteen ja epäjumalan kuvat, ja täytti yhden poikansa kädet, ja hän oli hänen pappinsa.
6 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli, na kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake.
Silloin ei ollut kuningasta Israelissa, ja itsekukin teki niinkuin heille näkyi hyväksi.
7 Kisha kulikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu huko Yuda, wa jamaa ya Yuda, ambaye alikuwa Mlawi. Alikaa huko ili kutimiza majukumu yake.
Mutta nuorukainen oli Juudan Betlehemistä, Juudan sukukunnasta, ja se oli Leviläinen, joka oli siellä muukalaisena.
8 Mtu huyo aliondoka Bethlehemu huko Yuda kwenda kutafuta mahali pa kuishi. Alipokuwa akienda, afika nyumbani kwa Mika katika nchi ya mlima wa Efraimu.
Hän meni Betlehemistä Juudan kaupungista vaeltamaan, kuhunka hän joutuis. Ja kuin hän tuli Ephraimin vuorelle Miikan huoneesen, vaeltaen,
9 Mika akamwambia, Unatoka wapi? Huyo mtu akamwambia, Mimi ni Mlawi wa Bethlehemu huko Yuda, ninakwenda kutafuta mahali nipate kuishi.
Kysyi Miika häneltä: kustas tulet? Leviläinen vastasi: minä olen Leviläinen Betlehemistä Juudan maalta, ja vaellan, kuhunka minä parhain taidan.
10 Mika akamwambia, “kaa pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu. Nitawapa vipande kumi vya fedha kwa mwaka, suti ya nguo, na chakula chako.” Basi Mlawi akaingia nyumbani mwake.
Miika sanoi hänelle: olen minun tykönäni. Sinun pitää oleman minun isäni ja pappini, ja minä annan sinulle vuosi vuodelta kymmenen hopiapenninkiä ja määrätyt vaatteet ja elatukses; ja Leviläinen meni hänen kanssansa.
11 Mlawi alikuwa na furaha ya kuishi na mtu huyo, na huyo kijana kwa Mika akawa kama mmoja wa wanawe.
Ja Leviläinen rupesi olemaan sen miehen tykönä, ja hän piti sen nuorukaisen niinkuin yhden pojistansa.
12 Mika akamtenga Mlawi kwa ajili ya kazi takatifu, na huyo kijana akawa kuhani wake, naye alikuwa katika nyumba ya Mika.
Ja Miika täytti Leviläisen käden, että hän oli hänen pappinsa, ja hän asui Miikan huoneessa.
13 Ndipo Mika akasema, Sasa najua ya kuwa Bwana atanifanyia mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.
Ja Miika sanoi: nyt minä tiedän Herran minulle hyvää tekevän, että minulla on Leviläinen pappina.

< Waamuzi 17 >