< Waamuzi 16 >

1 Samsoni alikwenda Gaza na akamwona kahaba huko, naye akalala pamoja naye.
Şimşon bir gün Gazze'ye gitti. Orada gördüğü bir fahişenin evine girdi.
2 Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja hapa.” Watu wa Gaza wakazunguka mahali hapo kwa siri, wakamngoja usiku wote katika lango la jiji. Walikaa kimya usiku wote. Wakisema, “Hebu tusubiri mpaka mchana, na kisha tumwuue.”
Gazzeliler'e, “Şimşon buraya geldi” diye haber verilince çevreyi kuşattılar. Bütün gece kentin kapısında pusuya yattılar. “Gün ağarınca onu öldürürüz” diyerek gece boyunca yerlerinden kımıldamadılar.
3 Samsoni akalala kitandani mpaka usiku wa manane. Usiku wa manane akaamka na akashika mlango wa jiji na miimo yake miwili. Akavivuta kutoka nje, komeo na vyote, akaviweka kwenye mabega yake, akavichukua hadi juu ya kilima, mbele ya Hebroni.
Şimşon gece yarısına dek yattı. Gece yarısı kalktı, kent kapısının iki kanadıyla iki direğini tutup sürgüyle birlikte yerlerinden söktü. Hepsini omuzlayıp Hevron'un karşısındaki tepeye çıkardı.
4 Baada ya hayo, Samsoni alimpenda mwanamke aliyeishi katika bonde la Soreki. Jina lake alikuwa Delila.
Bir süre sonra Şimşon Sorek Vadisi'nde yaşayan Delila adında bir kadına aşık oldu.
5 Wale wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, “mdanganye Samsoni ili uone mahali zilipo nguvu zake kuu, na kwa namna gani tunaweza kumshinda, ili tumfunge na kumtesa. Fanya hili, na kila mmoja wetu atakupa vipande 1, 100 vya fedha.”
Filist beyleri kadına gelip, “Şimşon'un üstün gücünün kaynağı nedir, onu kandırıp öğrenmeye bak” dediler, “Böylece belki onu bağlar, etkisiz hale getirip yenebiliriz. Her birimiz sana bin yüzer parça gümüş vereceğiz.”
6 Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Tafadhali, niambie ni kwa jinsi gani wewe ni mwenye nguvu sana, na kwa namna gani mtu anaweza kukufunga, ili aweze kukudhibiti?”
Bunun üzerine Delila Şimşon'a, “Lütfen, söyle bana, bu üstün gücü nereden alıyorsun?” diye sordu, “Seni bağlayıp yenmek olası mı?”
7 Samsoni akamwambia, “Ikiwa watanifunga na kamba saba safi ambazo hazijakauka, nitakuwa dhaifu na kuwa kama mtu mwingine yeyote.”
Şimşon, “Beni kurumamış yedi taze sırımla bağlarlarsa sıradan bir adam gibi güçsüz olurum” dedi.
8 Basi wakuu wa Wafilisti wakamletea Delila kamba saba ambazo hazijakauka, naye akamfunga Samsoni.
Bunun üzerine Filist beyleri Delila'ya kurumamış yedi taze sırım getirdiler. Delila bunlarla Şimşon'u bağladı.
9 Sasa alikuwa na watu waliojificha kwa siri, walikaa katika chumba chake cha ndani. Akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Lakini akazikata kamba kama uzi wakati unapogusa moto. Na hawakujifunza siri ya nguvu zake.
Adamları bitişik odada pusuya yatmıştı. Delila, “Şimşon, Filistliler geldi!” dedi. Şimşon sırımları ateş değdiğinde dağılıveren kendir lifleri gibi koparıp attı. Gücünün sırrını vermemişti.
10 Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Ndivyo ulivyonidanganya mimi na kuniambia uongo. Tafadhali, niambie kwa namna gani unaweza kufungwa.”
Delila, “Beni kandırdın, bana yalan söyledin” dedi, “Lütfen söyle bana, seni neyle bağlamalı?”
11 Akamwambia, “Ikiwa watanifunga na kamba mpya ambayo haijawahi kutumika kwa kazi, nitakuwa dhaifu na kama mtu mwingine yeyote.”
Şimşon, “Beni hiç kullanılmamış yeni urganla sımsıkı bağlarlarsa sıradan bir adam gibi güçsüz olurum” dedi.
12 Basi Delila alichukua kamba mpya akamfunga pamoja naye, akamwambia, “Wafilisti wako juu yako Samsoni!” Watu waliokuwa wakisubiri walikuwa ndani ya chumba cha ndani. Lakini Samsoni akaondoa kamba kutoka mikono yake kama kilikuwa kipande cha uzi.
Böylece Delila yeni urgan alıp Şimşon'u bağladı. Sonra, “Şimşon, Filistliler geldi!” dedi. Adamlar hâlâ bitişik odada pusu kurmuş bekliyorlardı. Şimşon urganları iplik koparır gibi koparıp kollarından sıyırdı.
13 Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa umenidanganya na kuniambia uongo. Niambie kwa namna gani unaweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, 'Ikiwa utavifuma vifungo saba vya nywele zangu na kuvifunga kwenye kitambaa, kisha kufunga kwenye msumari, nitakuwa kama mtu mwingine yeyote.”
Delila ona, “Şimdiye kadar beni hep kandırdın, bana yalan söyledin” dedi, “Söyle bana, seni neyle bağlamalı?” Şimşon, “Başımdaki yedi örgüyü dokuma tezgahındaki kumaşla birlikte dokuyup kazıkla burarsan sıradan bir adam gibi güçsüz olurum” dedi.
14 Alipokuwa amelala, Dalila akavifuma vifungo saba vya nywele zake akavifunga ndani ya kitambaa na kuzifunga kwenye msumari, akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Aliamka kutoka usingizini akang'oa kitambaa na pini zilizokuwa zimefungwa.
Şimşon uyurken Delila onun başındaki yedi örgüyü dokuma tezgahındaki kumaşla birlikte dokuyup kazıkla burdu. Sonra, “Şimşon, Filistliler geldi!” dedi. Şimşon uykusundan uyandı, saçını tezgah kazığından ve kumaştan çekip kurtardı.
15 Akamwambia, “Wawezaje kusema,” Unanipenda, wakati hushiriki siri zako na mimi? Umenidhihaki mara tatu hizi na hukukuambia ni kwa jinsi gani unazo nguvu nyingi.”
Delila, “Bana güvenmiyorsan nasıl olur da, ‘Seni seviyorum’ diyorsun?” dedi, “Üç kezdir beni kandırıyorsun, üstün gücünün nereden geldiğini söylemiyorsun.”
16 Kila siku alisisitiza kwa bidii na maneno yake, naye akamkemea sana kiasi kwamba alitamani kufa.
Bu sözlerle Şimşon'u sıkıştırıp günlerce başını ağrıttı. Sonunda Şimşon dayanamayıp
17 Basi Samsoni alimwambia kila kitu, akamwambia, “Wembe haujawahi kukata nywele juu ya kichwa changu, kwa maana nimekuwa Mnaziri kwa Mungu kutoka tumboni mwa mama yangu. Ikiwa kichwa changu kitanyolewa, basi nguvu zangu zitaniacha, nami nitakuwa dhaifu na kuwa kama kila mtu mwingine. '
yüreğini kadına tümüyle açtı. “Başıma hiç ustura değmedi” dedi, “Çünkü ben ana rahmindeyken Tanrı'ya adanmışım. Tıraş olursam gücümü yitiririm. Sıradan bir adam gibi güçsüz olurum.”
18 Delila alipoona kwamba amemwambia ukweli juu ya kila kitu, akawatuma na kuwaita watawala wa Wafilisti, akisema, “Njooni tena, kwa maana ameniambia kila kitu.” Ndipo wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakaleta fedha mkononi mwao.
Delila Şimşon'un gerçeği söylediğini anlayınca haber gönderip Filist beylerini çağırttı. “Bir kez daha gelin” dedi, “Şimşon bana gerçeği söyledi.” Kadının yanına gelen Filist beyleri gümüşü de birlikte getirdiler.
19 Alimfanya alale katika magoti yake. Alimwita mtu avinyoe vifungo saba vya kichwa chake, naye akaanza kumshinda, kwa maana nguvu zake zilikuwa zimemwacha.
Delila Şimşon'u dizleri üzerinde uyuttuktan sonra adamlardan birini çağırtıp başındaki yedi örgüyü kestirdi. Sonra alay ederek onu dürtüklemeye başladı. Çünkü Şimşon gücünü yitirmişti.
20 Alisema, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Aliamka nje ya usingizi wake akasema, “Nitatoka nje kama nyakati nyingine na kujiweka huru.” Lakini hakujua kwamba Bwana amemwacha.
Delila, “Şimşon, Filistliler geldi!” dedi. Şimşon uyandı ve, “Her zamanki gibi kalkıp silkinirim” diye düşündü. RAB'bin kendisinden ayrıldığını bilmiyordu.
21 Wafilisti walimkamata na kumng'oa macho. Wakampeleka Gaza na kumfunga kwa shaba. Alikuwa akisaga ngano katika gerezani.
Filistliler onu yakalayıp gözlerini oydular. Gazze'ye götürüp tunç zincirlerle bağladılar, cezaevinde değirmen taşına koştular.
22 Lakini nywele juu ya kichwa chake zilianza kukua tena baada ya kunyolewa.
Bu arada Şimşon'un kesilen saçları uzamaya başladı.
23 Watawala wa Wafilisti walikusanyika ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni mungu wao, na kufurahi. Walisema, “mungu wetu amemshinda Samsoni, adui yetu, na kumtia katika ufahamu wetu.”
Filist beyleri ilahları Dagon'un onuruna çok sayıda kurban kesip eğlenmek için toplandılar. “İlahımız, düşmanımız Şimşon'u elimize teslim etti” dediler.
24 Watu walipomwona, walimsifu mungu wao, kwa sababu walisema, “mungu wetu ameshinda adui yetu na kutupa sisi - mharibifu wa nchi yetu, ambaye aliwaua wengi wetu.”
Halk Şimşon'u görünce kendi ilahlarını övmeye başladı. “İlahımız ülkemizi yakıp yıkan, Birçoğumuzu öldüren Düşmanımızı elimize teslim etti” diyorlardı.
25 Walipokuwa wakisherehekea, wakasema, 'Mwite Samsoni, aje kutufurahisha.' Walimwita Samsoni nje ya jela na akawafanya wacheke. Walimsimamisha katikati ya nguzo.
İyice coşunca, “Şimşon'u getirin, bizi eğlendirsin” dediler. Şimşon'u cezaevinden getirip oynatmaya başladılar, sonra sütunların arasında durdurdular.
26 Samsoni akamwambia yule kijana ambaye alikuwa ameshika mkono wake, 'Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba hii, ili nipate kuegemea.”
Şimşon, elinden tutan gence, “Beni tapınağın damını taşıyan sütunların yanına götür de onlara yaslanayım” dedi.
27 Sasa nyumba ilikuwa imejaa wanaume na wanawake. Watawala wote wa Wafilisti walikuwa huko. Juu ya paa kulikuwa na wanaume na wanawake elfu tatu, ambao walikuwa wakiangalia wakati Samsoni alipokuwa akiwafurahisha.
Tapınak erkeklerle, kadınlarla doluydu. Bütün Filist beyleri de oradaydı. Üç bin kadar kadın erkek Şimşon'un oynayışını damdan seyrediyordu.
28 Samsoni akamwita Bwana, akasema, “Bwana MUNGU, nipe nia! Tafadhali niimarishe mara moja tu, Mungu, ili nipate kulipiza kisasi kwa Wafilisti kwa kuchukua macho yangu mawili.
Şimşon RAB'be yakarmaya başladı: “Ey Egemen RAB, lütfen beni anımsa. Ey Tanrı, bir kez daha beni güçlendir; Filistliler'den bir vuruşta iki gözümün öcünü alayım.”
29 Samsoni aliweka nguzo mbili katikati ambzo zinashikilia nyumba hiyo, naye akaegemea juu yake, nguzo moja kwa mkono wake wa kuume, na mwingine kwa kushoto kwake.
Sonra tapınağın damını taşıyan iki ana sütunun ortasında durup sağ eliyle birini, sol eliyle ötekini kavradı.
30 Samsoni akasema, “Na nife pamoja na Wafilisti!” Alipanda kwa nguvu zake na jengo likaanguka juu ya watawala na juu ya watu wote waliokuwa ndani yake. Hivyo waliouawa wakati alikufa walikuwa zaidi ya wale waliouawa wakati wa maisha yake.
“Filistliler'le birlikte öleyim” diyerek bütün gücüyle sütunlara yüklendi. Tapınak Filist beylerinin ve bütün içindekilerin üzerine çöktü. Böylece Şimşon ölürken, yaşamı boyunca öldürdüğünden daha çok insan öldürdü.
31 Kisha ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka. Wakamchukua, wakamrudisha na kumzika kati ya Sora na Eshtaoli katika mahali pa kuzikwa Manoa, baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.
Şimşon'un kardeşleriyle babası Manoah'ın bütün ailesi onun ölüsünü almaya geldiler. Şimşon'u götürüp babasının Sora ile Eştaol arasındaki mezarına gömdüler. Şimşon İsrail'i yirmi yıl süreyle yönetmişti.

< Waamuzi 16 >