< Waamuzi 16 >
1 Samsoni alikwenda Gaza na akamwona kahaba huko, naye akalala pamoja naye.
Потом отиде Самсон у Газу, и онде виде једну жену курву, и уђе к њој.
2 Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja hapa.” Watu wa Gaza wakazunguka mahali hapo kwa siri, wakamngoja usiku wote katika lango la jiji. Walikaa kimya usiku wote. Wakisema, “Hebu tusubiri mpaka mchana, na kisha tumwuue.”
И људима у Гази би казано: Дође Самсон овамо. И опколише и вребаше га целу ноћ на вратима градским; и стајаху у потаји целу ноћ говорећи: Док сване, убићемо га.
3 Samsoni akalala kitandani mpaka usiku wa manane. Usiku wa manane akaamka na akashika mlango wa jiji na miimo yake miwili. Akavivuta kutoka nje, komeo na vyote, akaviweka kwenye mabega yake, akavichukua hadi juu ya kilima, mbele ya Hebroni.
Али Самсон спавав до поноћи уста у поноћи, и шчепа врата градска с оба довратка и ишчупа их с преворницом заједно, и метну их на рамена и однесе на врх горе која је према Хеврону.
4 Baada ya hayo, Samsoni alimpenda mwanamke aliyeishi katika bonde la Soreki. Jina lake alikuwa Delila.
После тога замилова девојку на потоку Сорику, којој беше име Далида.
5 Wale wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, “mdanganye Samsoni ili uone mahali zilipo nguvu zake kuu, na kwa namna gani tunaweza kumshinda, ili tumfunge na kumtesa. Fanya hili, na kila mmoja wetu atakupa vipande 1, 100 vya fedha.”
И дођоше к њој кнезови филистејски и рекоше јој: Превари га и искушај где му стоји велика снага и како би смо му досадили да га свежемо и савладамо; а ми ћемо ти дати сваки по хиљаду и сто сребрника.
6 Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Tafadhali, niambie ni kwa jinsi gani wewe ni mwenye nguvu sana, na kwa namna gani mtu anaweza kukufunga, ili aweze kukudhibiti?”
И Далида рече Самсону: Хајде кажи ми где стоји твоја велика снага и чим би се могао свезати и савладати.
7 Samsoni akamwambia, “Ikiwa watanifunga na kamba saba safi ambazo hazijakauka, nitakuwa dhaifu na kuwa kama mtu mwingine yeyote.”
А Самсон јој рече: Да ме свежу у седам гужава сирових неосушених, онда бих изгубио снагу и био као и други човек.
8 Basi wakuu wa Wafilisti wakamletea Delila kamba saba ambazo hazijakauka, naye akamfunga Samsoni.
И донесоше јој кнезови филистејски седам гужава сирових, још неосушених, и она га свеза њима.
9 Sasa alikuwa na watu waliojificha kwa siri, walikaa katika chumba chake cha ndani. Akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Lakini akazikata kamba kama uzi wakati unapogusa moto. Na hawakujifunza siri ya nguvu zake.
А код ње беше заседа у соби; и она му рече: Ето Филистеја на те, Самсоне! А он покида гужве, као што се кида конац од кудеље кад осети ватру; и не дозна се за снагу његову.
10 Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Ndivyo ulivyonidanganya mimi na kuniambia uongo. Tafadhali, niambie kwa namna gani unaweza kufungwa.”
Потом рече Далида Самсону: Гле, преварио си ме, и слагао си ми; него хајде кажи ми чим би се могао свезати.
11 Akamwambia, “Ikiwa watanifunga na kamba mpya ambayo haijawahi kutumika kwa kazi, nitakuwa dhaifu na kama mtu mwingine yeyote.”
А он јој рече: Да ме добро свежу новим ужима којима није ништа рађено, тада бих изгубио снагу и био бих као други човек.
12 Basi Delila alichukua kamba mpya akamfunga pamoja naye, akamwambia, “Wafilisti wako juu yako Samsoni!” Watu waliokuwa wakisubiri walikuwa ndani ya chumba cha ndani. Lakini Samsoni akaondoa kamba kutoka mikono yake kama kilikuwa kipande cha uzi.
И Далида узе нова ужа, и свеза га њима, пак му рече: Ето Филистеји на те Самсоне! А заседа беше у соби. А он раскиде с руку ужа као конац.
13 Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa umenidanganya na kuniambia uongo. Niambie kwa namna gani unaweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, 'Ikiwa utavifuma vifungo saba vya nywele zangu na kuvifunga kwenye kitambaa, kisha kufunga kwenye msumari, nitakuwa kama mtu mwingine yeyote.”
Тада рече Далида Самсону: Једнако ме вараш и лажеш ми; кажи ми чим би се могао свезати? А он јој рече: Да седам прамена косе на глави мојој привијеш на вратило.
14 Alipokuwa amelala, Dalila akavifuma vifungo saba vya nywele zake akavifunga ndani ya kitambaa na kuzifunga kwenye msumari, akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Aliamka kutoka usingizini akang'oa kitambaa na pini zilizokuwa zimefungwa.
И она заглавивши вратило коцем, рече: Ево Филистеја на те, Самсоне! А он се пробуди од сна, и истрже колац и основу и вратило.
15 Akamwambia, “Wawezaje kusema,” Unanipenda, wakati hushiriki siri zako na mimi? Umenidhihaki mara tatu hizi na hukukuambia ni kwa jinsi gani unazo nguvu nyingi.”
Опет му она рече: Како можеш говорити: Љубим те, кад срце твоје није код мене? Већ си ме три пута преварио не хотећи ми казати где ти је велика снага.
16 Kila siku alisisitiza kwa bidii na maneno yake, naye akamkemea sana kiasi kwamba alitamani kufa.
И она му досађиваше својим речима сваки дан и наваљиваше на њ, и душа му пренеможе да умре.
17 Basi Samsoni alimwambia kila kitu, akamwambia, “Wembe haujawahi kukata nywele juu ya kichwa changu, kwa maana nimekuwa Mnaziri kwa Mungu kutoka tumboni mwa mama yangu. Ikiwa kichwa changu kitanyolewa, basi nguvu zangu zitaniacha, nami nitakuwa dhaifu na kuwa kama kila mtu mwingine. '
Те јој отвори цело срце своје, и рече јој: Бритва није никад прешла преко главе моје, јер сам назиреј Божји од утробе матере своје; да се обријем, оставила би ме снага моја и ослабио бих, и био бих као сваки човек
18 Delila alipoona kwamba amemwambia ukweli juu ya kila kitu, akawatuma na kuwaita watawala wa Wafilisti, akisema, “Njooni tena, kwa maana ameniambia kila kitu.” Ndipo wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakaleta fedha mkononi mwao.
А Далида видећи да јој је отворио цело срце своје, посла и позва кнезове филистејске поручивши им: Ходите сада, јер ми је отворио цело срце своје. Тада дођоше кнезови филистејски к њој и донесоше новце у рукама својим.
19 Alimfanya alale katika magoti yake. Alimwita mtu avinyoe vifungo saba vya kichwa chake, naye akaanza kumshinda, kwa maana nguvu zake zilikuwa zimemwacha.
А она га успава на крилу свом, и дозва човека те му обрија седам прамена косе с главе, и она га прва свлада кад га остави снага његова.
20 Alisema, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Aliamka nje ya usingizi wake akasema, “Nitatoka nje kama nyakati nyingine na kujiweka huru.” Lakini hakujua kwamba Bwana amemwacha.
И она рече: Ето Филистеја на те, Самсоне! А он пробудивши се од сна рече: Изаћи ћу као и пре и отећу се; јер не знаше да је Господ одступио од њега.
21 Wafilisti walimkamata na kumng'oa macho. Wakampeleka Gaza na kumfunga kwa shaba. Alikuwa akisaga ngano katika gerezani.
Тада га ухватише Филистеји, и ископаше му очи, и одведоше га у Газу и оковаше га у двоје вериге бронзане; и мељаше у тамници.
22 Lakini nywele juu ya kichwa chake zilianza kukua tena baada ya kunyolewa.
А коса на глави његовој поче расти као што је била кад га обријаше.
23 Watawala wa Wafilisti walikusanyika ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni mungu wao, na kufurahi. Walisema, “mungu wetu amemshinda Samsoni, adui yetu, na kumtia katika ufahamu wetu.”
И кнезови филистејски скупише се да принесу велику жртву Дагону богу свом, и да се провеселе, па рекоше: Предаде нам бог наш у руке наше Самсона непријатеља нашег.
24 Watu walipomwona, walimsifu mungu wao, kwa sababu walisema, “mungu wetu ameshinda adui yetu na kutupa sisi - mharibifu wa nchi yetu, ambaye aliwaua wengi wetu.”
Такође и народ видевши га хваљаше бога свог говорећи: Предаде нам бог наш у руке наше непријатеља нашег и затирача земље наше и који поби толике између нас.
25 Walipokuwa wakisherehekea, wakasema, 'Mwite Samsoni, aje kutufurahisha.' Walimwita Samsoni nje ya jela na akawafanya wacheke. Walimsimamisha katikati ya nguzo.
И кад се развесели срце њихово рекоше: Зовите Самсона да нам игра. И дозваше Самсона из тамнице да им игра, и наместише га међу два стуба.
26 Samsoni akamwambia yule kijana ambaye alikuwa ameshika mkono wake, 'Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba hii, ili nipate kuegemea.”
Тада Самсон рече момку који га држаше за руку: Пусти ме, да опипам стубове на којима стоји кућа, да се наслоним на њих.
27 Sasa nyumba ilikuwa imejaa wanaume na wanawake. Watawala wote wa Wafilisti walikuwa huko. Juu ya paa kulikuwa na wanaume na wanawake elfu tatu, ambao walikuwa wakiangalia wakati Samsoni alipokuwa akiwafurahisha.
А кућа беше пуна људи и жена и сви кнезови филистејски беху онде; и на крову беше око три хиљаде људи и жена, који гледаху како Самсон игра.
28 Samsoni akamwita Bwana, akasema, “Bwana MUNGU, nipe nia! Tafadhali niimarishe mara moja tu, Mungu, ili nipate kulipiza kisasi kwa Wafilisti kwa kuchukua macho yangu mawili.
Тада Самсон завапи ка Господу и рече: Господе, Господе! Опомени ме се, молим те, и укрепи ме, молим те, само сада, о Боже! Да се осветим једанпут Филистејима за оба ока своја.
29 Samsoni aliweka nguzo mbili katikati ambzo zinashikilia nyumba hiyo, naye akaegemea juu yake, nguzo moja kwa mkono wake wa kuume, na mwingine kwa kushoto kwake.
И загрли Самсон два стуба средња, на којима стајаше кућа, и наслони се на њих, на један десном а на други левом руком својом.
30 Samsoni akasema, “Na nife pamoja na Wafilisti!” Alipanda kwa nguvu zake na jengo likaanguka juu ya watawala na juu ya watu wote waliokuwa ndani yake. Hivyo waliouawa wakati alikufa walikuwa zaidi ya wale waliouawa wakati wa maisha yake.
Па онда рече Самсон: Нека умрем с Филистејима. И належе јако, и паде кућа на кнезове и на сав народ који беше у њој; и би мртвих које поби умирући више него оних које поби за живота свог.
31 Kisha ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka. Wakamchukua, wakamrudisha na kumzika kati ya Sora na Eshtaoli katika mahali pa kuzikwa Manoa, baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.
После дођоше браћа његова и сав дом оца његовог, и узеше га, и вративши се погребоше га између Сараје и Естола у гробу Маноја оца његовог. А он би судија Израиљу двадесет година.