< Waamuzi 15 >

1 Baada ya siku kadhaa, wakati wa mavuno ya ngano, Samsoni akachukua mbuzi mdogo akaenda kumtembelea mkewe. Akajiambia mwenyewe, “Nitaenda kwenye chumba cha mke wangu.” Lakini baba yake hakumruhusu aingie.
and to be from day in/on/with day harvest wheat and to reckon: visit Samson [obj] woman: wife his in/on/with kid goat and to say to come (in): come to(wards) woman: wife my [the] chamber [to] and not to give: allow him father her to/for to come (in): come
2 Baba yake akasema, “Nilidhani umemchukia, hivyo nikampatia rafiki yako. Dada yake mdogo ni mzuri kuliko yeye, Mchukue badala yake.”
and to say father her to say to say for to hate to hate her and to give: give(marriage) her to/for companion your not sister her [the] small pleasant from her to be please to/for you underneath: instead her
3 Samsoni akawaambia, 'Wakati huu sitakuwa na hatia juu ya Wafilisti wakati nikiwaumiza.'
and to say to/for them Samson to clear [the] beat from Philistine for to make: do I with them distress: harm
4 Samsoni akaenda na kukamata mbweha mia tatu akawafunga pamoja kila jozi, mkia hadi mkia. Kisha akachukua taa na kuzifunga katikati ya kila mkia.
and to go: went Samson and to capture three hundred fox and to take: take torch and to turn tail to(wards) tail and to set: put torch one between two [the] tail in/on/with midst
5 Alipokwisha kuviwasha moto vienge, akawaachia mbweha katika nafaka za Wafilisti zilizosimama, nao wakawasha moto nafaka zote zilizopandwa, na nafaka iliyosimama shambani, pamoja na mashamba ya mizabibu na mizeituni.
and to burn: burn fire in/on/with torch and to send: let go in/on/with standing grain Philistine and to burn: burn from stack and till standing grain and till vineyard olive
6 Wafilisti waliuliza, “Ni nani aliyefanya hili?” Wakaambiwa, “Samsoni, mkwe wa Mtimna alifanya hivyo kwa sababu Mtimna alimchukua mke wa Samsoni akampa rafiki yake.” Basi Wafilisti wakamwendea wakamchoma kwa moto yeye na baba yake.
and to say Philistine who? to make: do this and to say Samson son-in-law [the] Timnite for to take: marry [obj] woman: wife his and to give: give(marriage) her to/for companion his and to ascend: rise Philistine and to burn [obj] her and [obj] father her in/on/with fire
7 Samsoni akawaambia, “Ikiwa ndivyo mnavyofanya, nitalipiza kisasi juu yenu, na baada ya hayo, nitaacha.”
and to say to/for them Samson if to make: do [emph?] like/as this that if: except if: except to avenge in/on/with you and after to cease
8 Kisha akawakata vipande vipande, paja na mguu, kwa kuwauwa sana. Kisha akashuka chini akaishi katika pango katika mwamba wa Etamu.
and to smite [obj] them leg upon thigh wound great: large and to go down and to dwell in/on/with cleft crag Etam
9 Ndipo Wafilisti wakaja, wakajitahidi kupigana vita huko Yuda, wakaanzisha jeshi lao huko Lehi.
and to ascend: rise Philistine and to camp in/on/with Judah and to leave in/on/with Lehi
10 Watu wa Yuda wakasema, “Kwa nini mmekuja kutupiga?” Wakasema, “Tunashambulia ili tuweze kumkamata Samsoni, na tumtendee kama alivyotutendea.”
and to say man Judah to/for what? to ascend: rise upon us and to say to/for to bind [obj] Samson to ascend: rise to/for to make: do to/for him like/as as which to make: do to/for us
11 Kisha watu elfu tatu wa Yuda wakashuka hata kwenye pango la Eatamu, wakamwambia Samsoni, “Je, hujui kwamba Wafilisti hutawala juu yetu? Je! umetutendea nini?” Samsoni akawaambia, “Kwa kadili walivyonitendea mimi, vivyo hivyo nimewatendea wao.”
and to go down three thousand man from Judah to(wards) cleft crag Etam and to say to/for Samson not to know for to rule in/on/with us Philistine and what? this to make: do to/for us and to say to/for them like/as as which to make: do to/for me so to make: do to/for them
12 Wakamwambia Samsoni, “Tumeshuka kukufunga na kukutia mikononi mwa Wafilisti.” Samsoni akawaambia, “Niapieni kwamba hamtaniua ninyi wenyewe.”
and to say to/for him to/for to bind you to go down to/for to give: give you in/on/with hand: power Philistine and to say to/for them Samson to swear to/for me lest to fall on [emph?] in/on/with me you(m. p.)
13 Wakamwambia, “La, tutakufunga tu kwa kamba na kukupeleka kwao. Tunakuahidi sisi hatutakuua.” Kisha wakamfunga na kamba mbili mpya na kumleta kutoka kwenye mwamba.
and to say to/for him to/for to say not for to bind to bind you and to give: give you in/on/with hand: power their and to die not to die you and to bind him in/on/with two cord new and to ascend: establish him from [the] crag
14 Alipofika Lehi, Wafilisti walipiga kelele walipokutana naye. Kisha Roho wa Bwana akaja juu yake kwa nguvu. Kamba zilizokuwa juu ya mikono yake zikawa kama kitambaa cha kuteketezwa, na zikaanguka mikononi mwake.
he/she/it to come (in): come till Lehi (and Philistine *L(abh)*) to shout to/for to encounter: toward him and to rush upon him spirit LORD and to be [the] cord which upon arm his like/as flax which to burn: burn in/on/with fire and to melt bond his from upon hand his
15 Samsoni alipata mfupa mbichi wa taya ya punda, naye akaichukua na kuua watu elfu kwa mfupa huo.
and to find jaw donkey fresh and to send: reach hand his and to take: take her and to smite in/on/with her thousand man
16 Samsoni akasema, “Kwa taya ya punda, chungu juu ya chungu, na njaa ya punda nimewaua watu elfu.”
and to say Samson in/on/with jaw [the] donkey heap heap in/on/with jaw [the] donkey to smite thousand man
17 Samsoni alipomaliza kuzungumza, akatupa taya, na akaita mahali pale Ramath Lehi.
and to be like/as to end: finish he to/for to speak: speak and to throw [the] jaw from hand his and to call: call by to/for place [the] he/she/it Ramath-lehi Ramath-lehi
18 Samsoni alikuwa na kiu sana akamwita Bwana na kusema, “Umempa mtumishi wako ushindi mkubwa. Lakini sasa nitakufa kwa kiu na kuanguka mikononi mwa wale wasiootahiriwa?”
and to thirst much and to call: call to to(wards) LORD and to say you(m. s.) to give: give in/on/with hand: power servant/slave your [obj] [the] deliverance: victory [the] great: large [the] this and now to die in/on/with thirst and to fall: fall in/on/with hand: power [the] uncircumcised
19 Na Mungu akapafungua mahali pa shimo palipo katika Lehi, na maji yakatoka. Alipokunywa, nguvu zake zikarejea na akahuishwa. Kwa hiyo aliita jina la mahali hapo Enhakore, na ni huko Lehi hadi leo.
and to break up/open God [obj] [the] hollow which in/on/with Lehi and to come out: issue from him water and to drink and to return: return spirit his and to live upon so to call: call by name her En-hakkore En-hakkore which in/on/with Lehi till [the] day: today [the] this
20 Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli katika siku za Wafilisti kwa miaka ishirini.
and to judge [obj] Israel in/on/with day Philistine twenty year

< Waamuzi 15 >