< Waamuzi 12 >
1 Watu wa Efraimu walitoka pamoja; nao wakapitia Zafoni, wakamwambia Yeftha, Kwa nini umetangulia kupigana na wana wa Amoni, wala hukutuita twende pamoja nawe? Tutachoma nyumba yako.
Então se convocaram os homens d'Ephraim, e passaram para o norte, e disseram a Jefthe: Porque passaste a combater contra os filhos d'Ammon, e não nos chamaste para ir comtigo? queimaremos a fogo a tua casa comtigo.
2 Yeftha akawaambia, Mimi na watu wangu tulikuwa katika vita kubwa na wana wa Amoni. Nilipokuita, hukuniokoa kutoka kwao.
E Jefthe lhes disse: Eu e o meu povo tivemos grande contenda com os filhos d'Ammon: e chamei-vos, e não me livrastes da sua mão;
3 Nilipoona ya kuwa hamkuniokoa, nikaweka uhai wangu na nguvu yangu mwenyewe, na kupita kipita ili kupigana na wana wa Amoni, na Bwana alinipa ushindi. Kwa nini mmekuja kupigana nami leo?”
E, vendo eu que me não livraveis, puz a minha alma na minha mão, e passei aos filhos de Ammon, e o Senhor m'os entregou nas mãos: porque pois subistes vós hoje contra mim, para combater contra mim
4 Yeftha akawakusanya watu wote wa Gileadi na akapigana na Efraimu. Watu wa Gileadi waliwaangamiza wana wa Efraimu kwa sababu walisema, “Ninyi Wagileadi ni wakimbizi katika Efraimu-katika Efraimu na Manase.”
E ajuntou Jefthe a todos os homens de Gilead, e combateu com Ephraim: e os homens de Gilead feriram a Ephraim; porque, estando os gileaditas entre Ephraim e Manasseh, disseram: Fugitivos sois d'Ephraim.
5 Wagileadi waliteketeza ngome za Yordani zinaelekea Efraimu. Ikiwa yeyote kati ya waliopona wa Efraimu akisema, Nipe ruhusa niende juu ya mto; watu wa Gileadi wakamwambia, “Je, wewe ni Mwefraimu?” Ikiwa akasema, “Hapana,”
Porque tomaram os gileaditas aos ephraimitas os váos do Jordão: e succedeu que, quando os fugitivos d'Ephraim diziam: Passarei; então os homens de Gilead lhes diziam: Es tu ephratita? E dizendo elle: Não;
6 basi watamwambia, Sema Shiboleth. Na kama akisema 'Sibboleth' (kwa maana hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi), Wagileadi watamkamata na kumwua kwenye mabwawa ya Yordani. Waefraimu elfu arobaini waliuawa wakati huo.
Então lhe diziam: Dize pois, Shibboleth; porém elle dizia: Sibboleth, porque o não podia pronunciar assim bem: então pegavam d'elle, e o degolavam aos váos do Jordão: e cairam de Ephraim n'aquelle tempo quarenta e dois mil.
7 Yeftha alikuwa mwamuzi juu ya Israeli kwa miaka sita. Ndipo Yeftha Mgileadi akafa, akazikwa katika moja ya miji ya Gileadi.
E Jefthe julgou a Israel seis annos: e Jefthe, o gileadita, falleceu, e foi sepultado nas cidades de Gilead.
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi juu ya Israeli.
E depois d'elle julgou a Israel Ebsan de Beth-lehem.
9 Alikuwa na wana thelathini. Aliwapeleka binti thelathini katika ndoa, naye akaleta binti thelathini kutoka nje kwa ajili ya wanawe, Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba.
E tinha este trinta filhos; e enviou fóra a trinta filhas; e trinta filhas trouxe de fóra para seus filhos: e julgou a Israel sete annos.
10 Ibzani alikufa na kuzikwa huko Bethlehemu.
Então falleceu Ebsan, e foi sepultado em Beth-lehem.
11 Baada yake, Eloni wa Zabuloni akawa mwamuzi juu ya Israeli. Akawaamua Israeli kwa miaka kumi.
E depois d'elle julgou a Israel Elon, o zebulonita: e julgou a Israel dez annos.
12 Eloni wa Zabuloni akafa, akazikwa huko Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.
E falleceu Elon, o zebulonita, e foi sepultado em Ayalon, na terra de Zebulon.
13 Baada ya huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi juu ya Israeli.
E depois d'elle julgou a Israel Abdon, filho d'Hillel, o pirhathonita.
14 Alikuwa na wana arobaini na wajukuu thelathini. Walikuwa wakipanda punda sabini, naye akawaamua Israeli kwa miaka nane.
E tinha este quarenta filhos, e trinta filhos de filhos, que cavalgavam sobre setenta jumentos: e julgou a Israel oito annos.
15 Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika kilima cha Waamaleki.
Então falleceu Abdon, filho d'Hillel, o pirathonita: e foi sepultado em Pirathon, na terra de Ephraim, no monte do amalekita.