< Waamuzi 12 >

1 Watu wa Efraimu walitoka pamoja; nao wakapitia Zafoni, wakamwambia Yeftha, Kwa nini umetangulia kupigana na wana wa Amoni, wala hukutuita twende pamoja nawe? Tutachoma nyumba yako.
Efra'ims menn blev kalt til våben og drog mot nord; og de sa til Jefta: Hvorfor sendte du ikke bud efter oss da du drog avsted for å stride mot Ammons barn? Nu vil vi sette ild på huset du bor i.
2 Yeftha akawaambia, Mimi na watu wangu tulikuwa katika vita kubwa na wana wa Amoni. Nilipokuita, hukuniokoa kutoka kwao.
Da sa Jefta til dem: Jeg og mitt folk lå i en hård strid med Ammons barn; da kalte jeg på eder, men I hjalp mig ikke mot dem;
3 Nilipoona ya kuwa hamkuniokoa, nikaweka uhai wangu na nguvu yangu mwenyewe, na kupita kipita ili kupigana na wana wa Amoni, na Bwana alinipa ushindi. Kwa nini mmekuja kupigana nami leo?”
og da jeg så at I ikke vilde hjelpe, satte jeg mitt liv på spill og drog avsted mot Ammons barn, og Herren gav dem i min hånd. Hvorfor kommer I da farende mot mig idag og vil stride mot mig?
4 Yeftha akawakusanya watu wote wa Gileadi na akapigana na Efraimu. Watu wa Gileadi waliwaangamiza wana wa Efraimu kwa sababu walisema, “Ninyi Wagileadi ni wakimbizi katika Efraimu-katika Efraimu na Manase.”
Derefter samlet Jefta alle Gileads menn og stred imot Efra'im, og Gileads menn slo Efra'im; for de hadde sagt: Rømlinger fra Efra'im er I gileaditter midt i Efra'im og midt i Manasse.
5 Wagileadi waliteketeza ngome za Yordani zinaelekea Efraimu. Ikiwa yeyote kati ya waliopona wa Efraimu akisema, Nipe ruhusa niende juu ya mto; watu wa Gileadi wakamwambia, “Je, wewe ni Mwefraimu?” Ikiwa akasema, “Hapana,”
Og gileadittene stengte vadestedene over Jordan for Efra'im; og hver gang det kom en efra'imitt som hadde flyktet fra slaget og sa: La mig slippe over, da sa Gileads menn til ham: Er du en efra'imitt? Han svarte: Nei.
6 basi watamwambia, Sema Shiboleth. Na kama akisema 'Sibboleth' (kwa maana hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi), Wagileadi watamkamata na kumwua kwenye mabwawa ya Yordani. Waefraimu elfu arobaini waliuawa wakati huo.
Da sa de til ham: Si sjibbolet! Men han sa sibbolet, for han kunde ikke uttale det riktig. Så grep de ham og slo ham ihjel ved Jordans vadesteder; og det falt dengang to og firti tusen av Efra'im.
7 Yeftha alikuwa mwamuzi juu ya Israeli kwa miaka sita. Ndipo Yeftha Mgileadi akafa, akazikwa katika moja ya miji ya Gileadi.
Jefta dømte Israel i seks år; og gileaditten Jefta døde og blev begravet i en av Gileads byer.
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi juu ya Israeli.
Efter ham var Ibsan fra Betlehem dommer i Israel.
9 Alikuwa na wana thelathini. Aliwapeleka binti thelathini katika ndoa, naye akaleta binti thelathini kutoka nje kwa ajili ya wanawe, Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba.
Han hadde tretti sønner; tretti døtre giftet han bort, og tretti døtre førte han hjem som hustruer for sine sønner; og han dømte Israel i syv år.
10 Ibzani alikufa na kuzikwa huko Bethlehemu.
Og Ibsan døde og blev begravet i Betlehem.
11 Baada yake, Eloni wa Zabuloni akawa mwamuzi juu ya Israeli. Akawaamua Israeli kwa miaka kumi.
Efter ham var sebulonitten Elon dommer i Israel; han dømte Israel i ti år.
12 Eloni wa Zabuloni akafa, akazikwa huko Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.
Og sebulonitten Elon døde og blev begravet i Ajalon i Sebulons land.
13 Baada ya huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi juu ya Israeli.
Efter ham var piratonitten Abdon, Hillels sønn, dommer i Israel.
14 Alikuwa na wana arobaini na wajukuu thelathini. Walikuwa wakipanda punda sabini, naye akawaamua Israeli kwa miaka nane.
Han hadde firti sønner og tretti sønnesønner, som red på sytti asenfoler; han dømte Israel i åtte år.
15 Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika kilima cha Waamaleki.
Og piratonitten Abdon, Hillels sønn, døde og blev begravet i Piraton i Efra'ims land, på Amalekitter-fjellet.

< Waamuzi 12 >