< Waamuzi 10 >
1 Baada ya Abimeleki, Tola, mwana wa Pua, mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyekaa Shamiri, katika mlima wa Efraimu, akaondoka ili kuwaokoa Israeli.
Después de Abimelec, Tola, hijo de Fúa, hijo de Dodo, de la tribu de Isacar, se convirtió en el salvador de Israel; vivía en Samir, en la región montañosa de Efraín.
2 Akawa mwamuzi wa Israeli miaka ishirini na mitatu. Alikufa na kuzikwa Shamiri.
Fue juez sobre Israel por veintitrés años; y en su muerte su cuerpo fue enterrado en la tierra en Samir.
3 Alifuatiwa na Yairi Mgileadi. Akawa mwamuzi wa Israeli miaka ishirini na miwili.
Y después de él, vino Jair el galaadita, que había sido juez de Israel durante veintidós años.
4 Alikuwa na wana thelathini waliokuwa wakipanda kwenye punda thelathini, na walikuwa na miji thelathini, ambayo inaitwa Hawoth Yairi hata leo, iliyo katika nchi ya Gileadi.
Y tuvo treinta hijos, que montaban treinta asnos; y tenían treinta ciudades en la tierra de Galaad, que hasta hoy se llaman ciudades de Jair.
5 Yairi alikufa na kuzikwa Kamoni.
Y a la muerte de Jair su cuerpo fue enterrado en Camon.
6 Watu wa Israeli waliendelea kutenda maovu mbele za Bwana, wakaabudu Mabaali, Maashtoreti, miungu ya Aramu, miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu, miungu ya wana wa Amoni, na miungu ya Wafilisti. Wakamsahau Bwana na hawakamsujudia tena.
Y nuevamente los hijos de Israel hicieron lo malo ante los ojos del Señor, adorando a los baales y Astarte, de Siria, de Sidón, de Moab, de Amón, de los filisteos; renunciaron al Señor y ya no le sirvieron más.
7 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawauza mikononi mwa Wafilisti na katika mikono ya wana wa Amoni.
Y se encendió la ira del Señor contra Israel, y los entregó en manos de los filisteos y en manos de los amonitas.
8 Wakawaangamiza na kuwadhulumu watu wa Israeli mwaka huo, na kwa muda wa miaka kumi na nane waliwafukuza watu wote wa Israeli waliokuwa ng'ambo ya Yordani katika nchi ya Waamori, iliyoko Gileadi.
Y ese año los hijos de Israel fueron oprimidos bajo su yugo; durante dieciocho años, todos los hijos de Israel al otro lado del Jordán, en la tierra de los amorreos que se encuentra en Galaad, fueron oprimidos cruelmente.
9 Nao wana wa Amoni wakavuka Yordani, wakapigana na Yuda, na Benyamini, na nyumba ya Efraimu; Israeli akasumbuliwa sana.
Y los hijos de Amón cruzaron por el Jordán, para hacer guerra contra Judá y Benjamín y la casa de Efraín; e Israel estaba en un gran problema.
10 Ndipo wana wa Israeli wakamwita Bwana, wakisema, “Tumekukosea, kwa sababu tumemwacha Mungu wetu, tukaabudu Mabaali.”
Entonces los hijos de Israel, clamando al Señor, dijeron: Grande es nuestro pecado contra ti, porque hemos abandonado a nuestro Dios y hemos sido siervos de los baales.
11 Bwana akawaambia wana wa Israeli, “Je, sikuwatoa ninyi kutoka kwa Wamisri, na Waamori, na Waamoni, na Wafilisti,
Y él Señor dijo a los hijos de Israel: ¿No eran los egipcios y los amorreos y los hijos de Amón y los filisteos?
12 na pia kwa Wasidoni? Waamaleki na Wamaoni walipowakandamiza; mliniita, nami nikawaokoa kutoka katika nguvu zao.
Y los sidonios y Amalec y Madián que los oprimieron, y en respuesta a su clamor, ¿no fui yo quien los salvó de sus manos?
13 Lakini ninyi mliniacha tena na kuabudu miungu mingine. Kwa hiyo, sitawaokoa tena.
Pero, por todo esto, me han abandonado y han adorado otros dioses: así que, ya no seré su salvador.
14 Nendeni mkaiite miungu mnayoiabudu. Ili iwaokoe wakati wa shida.
Ve, envía tu clamor de ayuda a los dioses de tu elección; Que sean tus salvadores en el tiempo de tu problema.
15 Wana wa Israeli wakamwambia Bwana, Tumefanya dhambi. Tufanyie chochote kinachoonekana kuwa kizuri kwako. Tafadhali, tuokoe leo.
Y los hijos de Israel dijeron al Señor: Somos pecadores; Haznos lo que te parezca bien: danos la salvación este día.
16 Wakaiacha miungu ya kigeni waliyokuwa nayo, nao wakamwabudu Bwana. Naye akawa na subira juu ya taabu ya Israeli.
Entonces apartaron a los dioses extranjeros de entre ellos, para volver a adorar al Señor; y su alma ya no pudo soportar el sufrimiento de Israel.
17 Ndipo Waamoni wakakusanyika, wakaweka kambi Gileadi. Waisraeli walikutana na kuweka kambi yao huko Mispa.
Entonces los hijos de Amón se reunieron y pusieron su ejército en posición en Galaad. Y los hijos de Israel se reunieron y pusieron su ejército en posición en Mizpa.
18 Viongozi wa watu wa Gileadi wakaambiana, 'Ni nani atakayeanza kupigana na Waamoni? Yeye atakuwa kiongozi juu ya wote wanaoishi Gileadi.
Y el pueblo de Israel se dijeron unos a otros: Quién sea el primero en atacar a los hijos de Amón, Le haremos jefe de los habitantes de Galaad.