< Waamuzi 1 >

1 Baada ya kifo cha Yoshua, wana wa Israeli walimuuliza Yahweh wakisema, “Ni nani atawashambulia kwanza Wakanaani kwa ajili yetu, ili kupigana nao?
İsrailliler, Yeşu'nun ölümünden sonra RAB'be, “Bizim için Kenanlılar'la savaşmaya ilk kim gidecek?” diye sordular.
2 Yahweh akasema, “Yuda atawashambulia. Tazama, nimewapa kumiliki nchi hii.
RAB, “Yahuda oymağı gidecek” dedi, “Kenan ülkesini onun eline teslim ediyorum.”
3 Watu wa Yuda wakawaambia wana wa Simeoni, ndugu zao, “Njoo pamoja nasi katika eneo letu ambalo tumepewa ili kwa pamoja tupigane na Wakanaani. Na sisi pia tutakwenda nanyi katika eneo mlilopewa.” Basi kabila la Simeoni wakaenda pamoja nao.
Yahudaoğulları, kardeşleri Şimonoğulları'na, “Kenanlılar'la savaşmak için payımıza düşen bölgeye bizimle birlikte gelin” dediler, “Sonra biz de payınıza düşen bölgeye sizinle geliriz.” Böylece Şimonoğulları Yahudaoğulları'yla birlikte gitti.
4 Watu wa Yuda wakashinda, na Bwana akawapa ushindi juu ya Wakanaani na Waperizi. Wakawaua watu elfu kumi huko Bezeki.
Yahudaoğulları saldırıya geçti. RAB Kenanlılar'la Perizliler'i ellerine teslim etti. Bezek'te onlardan on bin kişiyi öldürdüler.
5 Wakamkuta Adoni Bezeki huko Bezeki, nao wakapigana naye na kuwashinda Wakanaani na Waperizi.
Adoni-Bezek'le orada karşılaşıp savaşa tutuştular, Kenanlılar'la Perizliler'i yenilgiye uğrattılar.
6 Lakini Adoni Bezeki akamkimbilia, wakamfuata na kumshika, nao wakavikata vidole gumba na vidole vyake vikubwa.
Adoni-Bezek kaçtı, ama peşine düşüp onu yakaladılar; elleriyle ayaklarının başparmaklarını kestiler.
7 Adoni Bezek akasema, “Wafalme sabini, ambao na vidole gumba vyako na vidole vikubwa vilivyokatwa, walikusanya chakula chao chini ya meza yangu. Kama nilivyofanya, hata hivyo Mungu amefanya kwangu.” Wakamleta Yerusalemu, naye akafa huko.
O zaman Adoni-Bezek şöyle dedi: “Elleriyle ayaklarının başparmakları kesilmiş yetmiş kral, soframdan düşen kırıntıları toplayıp yerdi. Tanrı bana onlara yaptıklarımın karşılığını veriyor.” Adoni-Bezek'i Yeruşalim'e götürdüler; orada öldü.
8 Watu wa Yuda wakapigana dhidi ya jiji la Yerusalemu na kulichukua. Walishambulia kwa makali ya upanga na wakauwasha mji kwa moto.
Yahudaoğulları Yeruşalim'e saldırıp kenti aldılar; halkı kılıçtan geçirerek kenti ateşe verdiler.
9 Baada ya hayo, watu wa Yuda walikwenda kupigana na Wakanaani waliokaa mlimani, Negebu, na magharibi mwa milima.
Sonra dağlık bölgede, Negev'de ve Şefela'da yaşayan Kenanlılar'la savaşmak üzere güneye yöneldiler.
10 Yuda akaenda dhidi ya Wakanaani waliokaa Hebroni (jina la Hebroni hapo awali ilikuwa Kiriath-arba), nao wakamshinda Sheshai, Ahimani na Talmai.
Eski adı Kiryat-Arba olan Hevron'da yaşayan Kenanlılar'ın üzerine yürüyerek Şeşay, Ahiman ve Talmay'ı yenilgiye uğrattılar.
11 Kutoka huko watu wa Yuda walipigana na wenyeji wa Debiri (jina la Debiri hapo awali ilikuwa Kiriath-seferi).
Oradan eski adı Kiryat-Sefer olan Devir Kenti halkının üzerine yürüdüler.
12 Kalebu akasema, Yeyote atakayeivamia Kiriath-seferi na kuichukua, nitampa Aksa, binti yangu, awe mkewe.
Kalev, “Kiryat-Sefer halkını yenip orayı ele geçirene kızım Aksa'yı eş olarak vereceğim” dedi.
13 Otinieli, mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa Kalebu, akaiteka Debiri, naye Kalebu akampa Aksa, binti yake, awe mkewe.
Kenti Kalev'in küçük kardeşi Kenaz'ın oğlu Otniel ele geçirdi. Bunun üzerine Kalev kızı Aksa'yı ona eş olarak verdi.
14 Ndipo Aksa alifika kwa Othnieli, naye akamsihi amuombe baba yake ampe shamba. Alipokuwa akishuka katika punda wake, Kalebu akamwuliza, “Nikufanyie nini?”
Kız Otniel'in yanına varınca, onu babasından bir tarla istemeye zorladı. Kalev, eşeğinden inen kızına, “Bir isteğin mi var?” diye sordu.
15 Akamwambia, Nibariki. Kwa kuwa umenipa nchi ya Negebu, nipe pia chemchemi za maji. Kwa hiyo Kalebu akampa chemchemi za juu na chemchemi za chini.
Kız, “Bana bir armağan ver” dedi, “Madem Negev'deki toprakları bana verdin, su kaynaklarını da ver.” Böylece Kalev yukarı ve aşağı su kaynaklarını ona verdi.
16 Kizazi cha Mkeeni shemeji yake na Musa, walikwenda kutoka mji wa Mitende pamoja na watu wa Yuda, mpaka jangwa la Yuda, ambalo liko Negevu, kuishi na watu wa Yuda karibu na Arad.
Musa'nın kayınbabasının torunları olan Kenliler, Yahudaoğulları'yla birlikte Hurma Kenti'nden ayrılıp Arat'ın güneyindeki Yahuda Çölü'nde yaşamaya gittiler.
17 Nao watu wa Yuda wakaenda pamoja na wana wa Simeoni ndugu zao, wakawaangamiza Wakanaani waliokaa Zefathi, wakaiharibu kabisa. Mji uliitwa Horma.
Bundan sonra Yahudaoğulları, kardeşleri Şimonoğulları'yla birlikte gidip Sefat Kenti'nde oturan Kenanlılar'ı yenilgiye uğrattılar. Kenti tümüyle yıktılar ve oraya Horma adını verdiler.
18 Watu wa Yuda pia waliiteka Gaza na nchi iliyoizunguka, Ashkeloni na nchi iliyoizunguka, na Ekron na nchi iliyoizunguka.
Yahudaoğulları Gazze'yi, Aşkelon'u, Ekron'u ve bunlara bağlı toprakları da ele geçirdiler.
19 Yahweh alikuwa pamoja na watu wa Yuda na wakaimiliki nchi ya milima, lakini hawakuweza kuwatoa wenyeji wa kwenye bonde kwa sababu walikuwa na magari ya chuma.
RAB Yahudaoğulları'yla birlikteydi. Yahudaoğulları dağlık bölgeyi ele geçirdilerse de ovada yaşayan halkı kovamadılar. Çünkü bunların demirden savaş arabaları vardı.
20 Hebroni alipewa Kalebu (kama Musa alivyosema), naye akawafukuza kutoka huko wana watatu wa Anaki.
Musa'nın sözü uyarınca Hevron'u Kalev'e verdiler. Kalev de Anak'ın üç torununu oradan sürdü.
21 Lakini wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu. Basi Wayebusi wakakaa na watu wa Benyamini huko Yerusalemu hata leo.
Bununla birlikte Benyaminoğulları Yeruşalim'de yaşayan Yevuslular'ı kovmadılar. Yevuslular bugün de Yeruşalim'de Benyaminoğulları'yla birlikte yaşıyorlar.
22 Nyumba ya Yusufu ilijiandaa kuishambulia Betheli, na Yahweh alikuwa pamoja nao.
Yusuf'un soyundan gelenler Beytel'in üzerine yürüdüler. RAB onlarla birlikteydi.
23 Walipeleka watu kuipeleleza Betheli (jiji lililoitwa Luzu).
Eski adı Luz olan Beytel Kenti hakkında bilgi toplamak için gönderdikleri casuslar kentten çıkan bir adam gördüler. Ona, “Kentin girişini bize gösterirsen, sana iyi davranırız” dediler.
24 Wapelelezi waliona mtu akitoka nje ya jiji, wakamwambia, “Tafadhali tuonyeshe jinsi ya kuingia ndani ya jiji, na tutakutendea mema.”
25 Aliwaonyesha njia ya kuingia kwenye mji. Waliuteka mji kwa makali ya upanga, lakini wakamuacha mtu huyo na ndugu zake wote waondoke.
Kentin girişini gösteren adamla ailesini serbest bıraktılar, kent halkını ise kılıçtan geçirdiler.
26 Na mtu huyo akaenda nchi ya Wahiti, akajenga mji, akauita Luzu, ambalo jina lake hata leo.
Adam Hitit topraklarına göç ederek Luz adında bir kent kurdu; kent bugün de bu adla anılıyor.
27 Watu wa Manase hawakuwafukuza watu waliokuwa katika miji ya Bethsheani na vijiji vyake, au Taanaki na vijiji vyake, au wale waliokaa Dori na vijiji vyake, wala wale waliokaa Ibleamu na vijiji vyake, wala walioshi Megido na vijiji vyake, kwa sababu Wakanaani walikuwa wameamua kuishi katika nchi hiyo.
Manaşşeoğulları Beytşean, Taanak, Dor, Yivleam, Megiddo ve bunların çevre köylerindeki halkı kovmadı. Çünkü Kenanlılar bu topraklarda kalmakta kararlıydı.
28 Israeli ipokuwa na nguvu, waliwalazimisha Wakanaani wawatumikie kwa kazi ngumu, lakini hawakuwafukuza kabisa.
İsrailliler Kenan halkını tümüyle kovmadılar; ama zamanla güçlenince onları angaryasına çalıştırdılar.
29 Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokaa Gezeri; kwa hiyo Wakanaani wakakaa kati yao.
Efrayimoğulları Gezer'de yaşayan Kenanlılar'ı buradan sürmediler. Kenanlılar Gezer'de İsrailliler'in arasında yaşadılar.
30 Zebuloni hakuwafukuza watu wa Kitroni, wala watu waliokuwa Nahaloli; na Wakanaani wakaendelea kuishi pamoja nao; lakini Zabuloni akawalazimisha Wakanaani wawatumikie kwa kazi ngumu.
Zevulun da Kitron ve Nahalol halklarını kovmadı. İsrailliler arasında yaşayan bu Kenanlılar angarya işler yaptılar.
31 Asheri hakuwafukuza watu wanaoishi Aka, au watu wanaoishi Sidoni, au wale wanaoishi Alabu, Akzib, Helba, Afeka, au Rehobu.
Aşeroğulları'na gelince, onlar da Akko, Sayda, Ahlav, Akziv, Helba, Afek ve Rehov halklarını kovmadılar.
32 Kwa hiyo kabila ya Asheri iliishi kati ya Wakanaani (waliokaa katika nchi hiyo), kwa sababu hawakuwafukuza.
Bu topraklardaki Kenanlılar'ı kovmayıp onlarla birlikte yaşadılar.
33 Na kabila la Naftali halikuwafukuza watu waliokuwa wakiishi Bethshemeshi, wala waliokuwa wakiishi Bethanathi. Kwa hiyo kabila la Naftali liliishi kati ya Wakanaani (watu waliokuwa wakiishi katika nchi hiyo). Hata hivyo, wenyeji wa Bethshemeshi na Bethanathi walilazimishwa kufanya kazi ngumu kwa Naphthali.
Naftali Beytşemeş ve Beytanat halkını kovmadı. Buraların halkı olan Kenanlılar'la birlikte yaşayıp onları angaryasına çalıştırdı.
34 Waamori waliwalazimisha kabila la Dani kuishi katika nchi ya kilima, hawakuwaruhusu kuja bondeni.
Amorlular Danoğulları'nı ovaya inmekten alıkoyarak dağlık bölgelerde tuttular.
35 Basi Waamori waliishi katika mlima wa Heresi, huko Aiyaloni, na Shaalbimu, lakini nguvu za kijeshi za nyumba ya Yusufu ziliwashinda, nao wakalazimishwa kuwatumikia kwa kazi ngumu.
Amorlular Heres Dağı'nda, Ayalon'da ve Şaalvim'de kalmakta kararlıydılar. Yusuf'un torunları güçlenince onları angaryasına çalıştırmaya başladılar.
36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kutoka kilima cha Akrabimu huko Sela hadi nchi ya vilima.
Amorlular'ın sınırı Akrep Geçidi'nden Sela'ya ve ötesine uzanıyordu.

< Waamuzi 1 >