< Yuda 1 >
1 Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, na ndugu yake Yakobo, kwa wale ambao wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na waliotunzwa kwa ajili ya Yesu Kristo:
Yuda, n'tumwa ghwa Yesu Kristu, ni ndongomunu Yakobo, kwa bha, a bhabhamali kukutibhwa bhaganikibhwa mu K'yara Dadi, ni bhabhatunzibhu kwandbha j'ha Yesu Kiristu:
2 rehema na amani na upendo viongezwe kwenu.
rehema ni amani ni upendo fyongesekayi kwa muenga.
3 Wapenzi, wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu sote, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waamini.
Bhalongo bhangu wakati niyele nifwanyeghe kila k'henu kubhayandikila muenga kuhusu bhwokovu bhwa y'hoto twebhoha ikanilondeka kubhayandikila kwa ndabha j'ha kubhashauri ili mushindanilayi kwa bhuaminifu imani ambayo jha yele yimali kukabidhibhwa mara yimonga tu kwa bhaamini.
4 Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu pekee na Bwana Yesu Kristo.
Kwa ndabha bhanu fulani bhak'hij'hingisi mu siri kati j'ha muenga - bhanu ambabho bhasopibhu alama kwa ndabha j'ha kuhukumulibhwa - bhanu bhabhabeli kuj'ha bhataua ambabho bhibadili neema j'ha K'yara bhitu kwa ndabha j'ha uheji, ni kum'bela Bwana bhitu muene ni Bwana Yesu Kiristu.
5 Sasa napenda kuwakumbusha ninyi ingawa kuna wakati mlijua kwa ukamilifu kwamba Bwana aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri, lakini baadaye kuwaangamiza wale ambao hawakuamini.
Henu nilonda kubhakhombosya muenga ingawa kuyele wakati mwamanyili kinofu kuj'ha Bwana abhaokuwili bhanu kuh'oma nchi j'ha Misri, lakini baadaye kubhayangamisya bhala bhoha bhabhabeli kumwamini.
6 Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios )
Ni malaika ambabho bhakailendi lepi enzi j'ha bhene lakini bhalekili makao gha bhene maalumu K'yara abhabhek'hili mu minyororo ghya milele mugati mu ngisi ndabha j'ha hukumu j'ha ligono lela libhaha. (aïdios )
7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios )
Kama yikayele ku Sodoma ni ku Gomora ni miji yayizungukibhu ambabho pia ikayiyikiyingisi yiene mu uasherati tamaa yayibeli kuj'ha ya muandi. Bhabhalasibhu kama mifuano ghya bhala ambabho bhiteseka mu hukumu j'ha muoto bhwa milele. (aiōnios )
8 Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya mtukufu.
Hata mebhwa kwa nj'hela y'helay'hela bhalota ndoto abha pia bhichafula mibhele ghya bhene, na bhibteela mamlaka na bhijobha udesi dhidi j'ha bhatukufu.
9 Lakini hata Mikaeli malaika mkuu, wakati alipokuwa akishindana na ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kuleta hukumu ya uongo dhidi yake, lakini badala yake alisema, “Bwana akukemee!”
Lakini hata Mikaeli malaika mmbaha, wakati isindana ni ibilisi ni kulongela ni muene kwa ndabha j'ha m'mbele ghwa Musa, akajaribi lepi kuleta hukumu j'ha udesi dhidi j'ha muene, lakini badala j'ha muene khujobha, “Bwana akubesiayi!”
10 Lakini watu hawa huleta uongo dhidi ya chochote wasicho kifahamu. Na kile wasicho kifahamu- kile ambacho wanyama wasio na akili hujua kwa silika- haya ndiyo yaliyo waharibu.
Lakini bhanu bha bhileta udesi j'ha kyokyokela kyabhabelili kukimanya. Na kyabhabelili kukik'heta- k'jela ambakyo bhanyama bhabhabeli kuya ni luhala yimanyikana kwa silika- agha ndigho ghaghaharibu.
11 Ole wao! Kwa kuwa wametembea katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu. Wameangamia katika uasi wa Kora.
N'ndesi bhene! Kwa kuya bhagendili mu nj'hela j'ha Kaini ni kulikesya la Baalamu. Bhayangamuli mu uasi ghwa Kora.
12 Hawa ni miamba katika sherehe zenu za upendo, wakisherehekea bila aibu, wakijilisha tu wenyewe. Ni mawingu yasiyo na maji, yanayobebwa na upepo, ni miti iliyopukutika isiyo na matunda iliyo kufa mara mbili, iliyong'olewa mizizi
Abha ndo fidonda mu sherehe sya muenga sa lugano, bhisherekela bila soni, bhikilesya tu bhene. Ni mafundii ghaghaduli masi ghaghip'hendibhwa ni mp'hongo, ni mab'hehe ghaghapoluwilii ghabeli kuya ni matunda imalikuy'homa kabhele, yayimali kudupulibhwa mizizi
13 Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn )
Ni manyengha gha munyanja ghaghayele ni njuweghu yilela soni kwa y'homu mwibhene, ndo matondo ghigendegenda ambagho utitubhwa ngisi utunzibhu kwandabha j'ha bhene milele. (aiōn )
14 Enoko, wa saba katika orodha ya Adamu, alitabiri kuhusu wao, akisema, “Tazama! Bwana anakuja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
Enoko gha saba mu orodha j'ha Adamu atabiriri kulondekana ni bhene, “Langai! Bwana ahidili ni maelfu gha maelfu gha bhatakatifu bha muene,
15 ili afanye hukumu juu ya kila mtu, na kutia hatia wote wasiomcha Mungu juu ya matendo yao yote waliyokwishafanya katika njia zisizo za kitauwa, na kwa maneno yote ya ukali ambayo wasio watauwa wameyanena dhidi yake.”
ili akhetyi lihengu panani pa kila munu, ni kubheka hatia bhoha bhabhabelili kun'kesya K'yara panani pa matendo gha bhene ghoha ghabhamalili kubhomba mu njela syasibelili kujha sya kitauwa, ni kwa malobhi ghoha gha ukali ambagho bhabhabelikujha bhatauwa bhaghajobhili dhidi jha muene.”
16 Hawa ni wale wanung'unikao, walalamikao ambao hufuata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine.
Abha ndo bhala bhabhidada, bhabhikilombosya ambabho bhikhesya tama sya bhene sya bhuovu, bhikifuna muni, ambabho kwa faida jha bhene bhikofya bhamana.
17 Lakini ninyi, wapenzi, kumbukeni maneno ambayo yalinenwa zamani na mitume wa Bwana Yesu Kristo.
Lakini muenga, bhapenzi, mukhombokayi malobhi ambagho ghajobhibhu muandi ni mitume bha Bwana Yesu Kristu.
18 Walisema kwenu, “Katika wakati wa mwisho kutakuwa na watu wanaodhihaki ambao hufuata tamaa zao zisizo za kitauwa.”
bhajobhili kwa muenga,” Mu wakati bhwa mwishu kubetakujha ni bhanu bhabhidhihaki ambabho bhikesya tamaa sya bhene ambabho syasibelili kujha sya kitauwa.”
19 Watu hawa ni watenganishaji, wanatawaliwa na tamaa za asili, na hawana Roho.
Bhanu abha ndo bhatenganisi, bhitabhwalibhwa ni tamaa sya asili, na bhajhelepi ni Roho.
20 Lakini ninyi, wapenzi, kama mjijengavyo katika imani yenu takatifu sana, na kama muombavyo katika Roho Mtakatifu,
Lakini muenga, bhapenzi, kama kyamukijenga mu amani jha muenga takatifu nesu, ni kama kya mwisoka mu Roho Mtakatifu,
21 jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios )
mukitunzayi mu bhupendo bhwa K'yara, na mulend'el'elayi rehema jha Bwana bhitu Yesu Kristu ambajho jhikabhapela uzima bhwa milele. (aiōnios )
22 Onesheni rehema kwa wale walio na shaka.
Mulasiajhi rehema kwa bhala bhabhajhele ni shaka.
23 Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.
Mubhaokolayi bhamana kwa kubhanyakula kuh'oma mu muoto kwa bhamana mulasiajhi huruma kwa kuhofela, mwidada hata liguanda lyalisopibhu lidoa ni mb'ele.
24 Sasa kwake awezaye kuwalinda msijikwae, na kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake, bila mawaa na kuwa na furaha kuu,
Henu kwa muene jhaibhwesya kubhalenda musikikungufuli ni kubhasababisya mujhemayi palongolo pa utukufu bhwa muene, bila mawaa ni kujha ni furaha mbaha,
25 kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn )
kwa muene K'yara pasima mwokozi kup'etela Yesu Kristu Bwana bhitu, bhutukufu bhujhelayi kwa muene, bhubhaha, bhuwesu ni ngofu kabla jha nyakati syoha, ni henu ni hata milele. Amina. (aiōn )