< Yuda 1 >

1 Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, na ndugu yake Yakobo, kwa wale ambao wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na waliotunzwa kwa ajili ya Yesu Kristo:
Jude Jesus Christ slave brother then James the/this/who in/on/among God father (to love *N(K)O*) and Jesus Christ to keep: protect called
2 rehema na amani na upendo viongezwe kwenu.
mercy you and peace and love to multiply
3 Wapenzi, wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu sote, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waamini.
beloved all diligence to do/make: do to write you about the/this/who common: shared (me *NO*) salvation necessity to have/be to write you to plead/comfort to contend the/this/who once to deliver the/this/who holy: saint faith
4 Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu pekee na Bwana Yesu Kristo.
to infiltrate for one a human the/this/who of old to write/designate toward this/he/she/it the/this/who judgment ungodly the/this/who the/this/who God me grace to transport toward debauchery and the/this/who alone master (God *K*) and lord: God me Jesus Christ to deny
5 Sasa napenda kuwakumbusha ninyi ingawa kuna wakati mlijua kwa ukamilifu kwamba Bwana aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri, lakini baadaye kuwaangamiza wale ambao hawakuamini.
to remind then you to plan to know you (all *N(K)O*) that/since: that (the/this/who *NK*) (lord: God *NK(O)*) once a people out from earth: country Egypt to save the/this/who secondly the/this/who not to trust (in) to destroy
6 Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios g126)
angel and/both the/this/who not to keep: observe the/this/who themself beginning but to leave the/this/who one's own/private dwelling toward judgment great day chain eternal by/under: under darkness to keep: guard (aïdios g126)
7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios g166)
as/when Sodom and Gomorrah and the/this/who about it/s/he city the/this/who like way this/he/she/it to fornicate and to go away after flesh other to set before example fire eternal condemnation to undergo (aiōnios g166)
8 Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya mtukufu.
similarly yet and this/he/she/it to dream flesh on the other hand to stain lordship then to reject glory then to blaspheme
9 Lakini hata Mikaeli malaika mkuu, wakati alipokuwa akishindana na ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kuleta hukumu ya uongo dhidi yake, lakini badala yake alisema, “Bwana akukemee!”
the/this/who then Michael the/this/who archangel when the/this/who devilish/the Devil to judge/doubt to dispute about the/this/who Moses body no be bold judgment to inflict blasphemy but to say to rebuke you lord: God
10 Lakini watu hawa huleta uongo dhidi ya chochote wasicho kifahamu. Na kile wasicho kifahamu- kile ambacho wanyama wasio na akili hujua kwa silika- haya ndiyo yaliyo waharibu.
this/he/she/it then just as/how much on the other hand no to know to blaspheme just as/how much then physically as/when the/this/who unreasonable living thing to know/understand in/on/among this/he/she/it to destroy
11 Ole wao! Kwa kuwa wametembea katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu. Wameangamia katika uasi wa Kora.
woe! it/s/he that/since: since the/this/who road the/this/who Cain to travel and the/this/who error the/this/who Balaam wage to pour out and the/this/who dispute the/this/who Korah to destroy
12 Hawa ni miamba katika sherehe zenu za upendo, wakisherehekea bila aibu, wakijilisha tu wenyewe. Ni mawingu yasiyo na maji, yanayobebwa na upepo, ni miti iliyopukutika isiyo na matunda iliyo kufa mara mbili, iliyong'olewa mizizi
this/he/she/it to be (the/this/who *no*) in/on/among the/this/who love you reef to feast with fearlessly themself to shepherd cloud waterless by/under: by wind (to take away *N(k)O*) tree autumnal unfruitful twice to die to uproot
13 Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn g165)
a wave wild sea to foam up the/this/who themself shame star wandering which the/this/who darkness the/this/who darkness toward (the/this/who *k*) an age: eternity to keep: guard (aiōn g165)
14 Enoko, wa saba katika orodha ya Adamu, alitabiri kuhusu wao, akisema, “Tazama! Bwana anakuja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
to prophesy then and this/he/she/it seventh away from Adam Enoch to say look! to come/go lord: God in/on/among holy: saint myriad it/s/he
15 ili afanye hukumu juu ya kila mtu, na kutia hatia wote wasiomcha Mungu juu ya matendo yao yote waliyokwishafanya katika njia zisizo za kitauwa, na kwa maneno yote ya ukali ambayo wasio watauwa wameyanena dhidi yake.”
to do/make: do judgment according to all and (to rebuke *N(K)O*) (all *N(k)O*) (the/this/who *ko*) (soul *N(K)O*) (it/s/he *K*) about all the/this/who work ungodlinessness it/s/he which be ungodly and about all the/this/who hard which to speak according to it/s/he sinful ungodly
16 Hawa ni wale wanung'unikao, walalamikao ambao hufuata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine.
this/he/she/it to be a murmurer malcontent according to the/this/who desire (themself *N(k)O*) to travel and the/this/who mouth it/s/he to speak boastful to marvel face advantage because of
17 Lakini ninyi, wapenzi, kumbukeni maneno ambayo yalinenwa zamani na mitume wa Bwana Yesu Kristo.
you then beloved to remember the/this/who declaration the/this/who to predict by/under: by the/this/who apostle the/this/who lord: God me Jesus Christ
18 Walisema kwenu, “Katika wakati wa mwisho kutakuwa na watu wanaodhihaki ambao hufuata tamaa zao zisizo za kitauwa.”
that/since: since to say you that/since: that (upon/to/against last/least *N(k)O*) (the/this/who *n*) (time *N(k)O*) to be a mocker according to the/this/who themself desire to travel the/this/who ungodlinessness
19 Watu hawa ni watenganishaji, wanatawaliwa na tamaa za asili, na hawana Roho.
this/he/she/it to be the/this/who to divide natural spirit/breath: spirit not to have/be
20 Lakini ninyi, wapenzi, kama mjijengavyo katika imani yenu takatifu sana, na kama muombavyo katika Roho Mtakatifu,
you then beloved to build up/upon themself the/this/who holy you faith in/on/among spirit/breath: spirit holy to pray
21 jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios g166)
themself in/on/among love God to keep: observe to wait for/welcome the/this/who mercy the/this/who lord: God me Jesus Christ toward life eternal (aiōnios g166)
22 Onesheni rehema kwa wale walio na shaka.
and which on the other hand (to have mercy *NK(O)*) (to judge/doubt *N(k)O*)
23 Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.
which then to save out from (the/this/who *k*) fire to seize (which then to have mercy *NO*) in/on/among fear to hate and the/this/who away from the/this/who flesh to stain tunic
24 Sasa kwake awezaye kuwalinda msijikwae, na kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake, bila mawaa na kuwa na furaha kuu,
the/this/who then be able to keep/guard: protect (you *NK(O)*) without falling and to stand before the/this/who glory it/s/he blameless in/on/among joy
25 kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn g165)
alone (wise *K*) God savior me (through/because of Jesus Christ the/this/who lord: God me *NO*) glory (and *k*) majesty power and authority (before all the/this/who an age: eternity *NO*) and now and toward all the/this/who an age: eternity amen (aiōn g165)

< Yuda 1 >