< Yoshua 8 >
1 Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope; usivunjike moyo. Chukua pamoja nawe watu wa vita. Pandeni kwenda Ai. Tazama nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai, watu wake, mji wake na nchi yake.
Perwerdigar Yeshuagha: — Sen héch qorqma, hem hoduqmighin. Turup, barliq jengchilerni özüng bilen élip, Ayi shehirige chiqqin. Mana, Men Ayining padishahi, xelqi, shehiri we zéminini qoshup séning qolunggha tapshurdum.
2 Mtafanya hivyo pia huko Ai na mfalme wake kama mlivyofanya kwa Yeriko na mfalme wake, isipokuwa mtachukua nyara na mifugo kwa ajili yenu. Pangeni mashambulizi ya uviziaji nyuma ya mji.”
Sen Yérixo bilen uning padishahigha qandaq qilghan bolsang Ayi shehiri bilen uning padishahighimu shundaq qilisen. Peqet siler bu qétim sheherdin olja we charpaylarni alsanglar bolidu. Emdi sen sheherning keyni teripige hujum qilishqa pistirma qoyghin, — dédi.
3 Basi Yoshua aliinuka na akawachukua kwenda Ai watu wote wa vita. Kisha Yoshua akachagua watu elfu thelathini - wenye nguvu na ujasiri - na aliwatuma waende wakati wa usiku.
Shuning bilen, Yeshua bilen hemme jengchiler qozghilip, ayigha hujum qilishqa chiqti. Yeshua ottuz ming batur jengchini ilghap kéchide ularni mangdurdi
4 Aliwaamuru, “Tazama, mtalala katika hali ya mashambulizi ya uviziaji dhidi ya mji, kwa nyuma yake. Usiende mbali sana na mji, lakini ninyi nyote muwe tayari.
we ulargha mundaq tapilidi: — «Siler agah bolup, sheherdin bek néri ketmey sheherning keynide mökünüp turup, hemminglar böktürme hujumgha teyyar turunglar.
5 Mimi pamoja na watu wote walio pamoja nami tutaukaribia mji. Na wakati watakapokuja kutushambulia sisi, tutawakimbia kama tulivyofanya hapo mwanzo.
Men özüm bilen qalghan hemme kishilerni élip sheherge yéqin barimen; shundaq boliduki, ular baldurqidek aldimizgha chiqip hujum qilghanda, biz ularning aldidin qachimiz;
6 Watatoka nje watukimbize mpaka hapo tutakapokuwa tumewavuta mbali sana na mji, watasema, “Wanatukimbia kama walivyofanya mara ya mwisho.' Hivyo tutawakimbia na kwenda mbali.
ular jezmen bizning keynimizdin qoghlaydu; ular: «Israillar baldurqidek aldimizdin qéchip ketti» dep oylaydu, biz ularni azdurup sheherdin yiraq élip chiqimiz. Shuning üchün biz ularning aldidin qachimiz.
7 Kisha mtapanda kutoka sehemu mliyojificha, na mtauteka mji. Yahweh Mungu wenu atawapa mkononi mwenu.
U waqitta siler böktürmidin qopup chiqip, sheherni ishghal qilinglar; chünki Perwerdigar Xudayinglar bu sheherni silerning qolunglargha tapshuridu.
8 Tazama nimewaamuru, mtakapouteka mji, mtauchoma moto. Mtayafanya haya wakati mtakapotii agizo lililotolewa katika neno la Yahweh.”
Sheherni ishghal qilghandin kéyin Perwerdigarning tapilighini boyiche u sheherni ot yéqip köydüriwétinglar. Mana, men silerge emr berdim».
9 Yoshua akawatuma, na wakaenda sehemu ya uviziajia, na wakajificha kati ya Betheli na Ai sehemu ya magharibi ya Ai. Yoshua akalala miongoni mwa watu usiku ule.
Yeshua ularni yolgha saldi, ular bérip Beyt-El bilen Ayining otturisida, Ayining gherb teripide böktürme sélip marap olturdi. Yeshua bolsa u kéchisi xelqning arisida qondi.
10 Yoshua aliamka asubuhi na mapema na akawaandaa tayari wanajeshi wake, Yoshua na wazee wa Israeli walishambuliwa watu wa Ai.
Etisi seher Yeshua qopup, xelqni yighip tekshürdi; andin u Israilning aqsaqalliri bilen bille xelqning aldida Ayigha qarshi mangdi.
11 Watu wote wa vita waliokuwa pamoja naye walipanda na kuukaribia mji. Walisogea karibu na mji na wakapiga kambi sehemu ya kasikazini mwa Ai. Kulikuwa na bonde kati yao na Ai.
Uning bilen bille bolghan hemme jengchilermu uning bilen chiqip, sheherning aldigha yéqin bérip, Ayining shimal teripide chédir tikti. Ular chüshken jay bilen Ayining otturisida bir jilgha bar idi.
12 Alichukua watu wapatao elfu tano hivi na akawaweka katika hali ya kuvizia katika upande wa magharibi mwa mji kati ya Betheli na Ai.
Yeshua besh mingche ademni tallap élip bérip, Beyt-El bilen Ayining otturisida, sheherning gherb teripide böktürme turghuzghanidi.
13 Waliwapanga wanajeshi wote, jeshi kuu katika upande wa kasikazini mwa mji, na walinzi wa nyuma upande wa magharibi mwa mji. Yoshua alilala bondeni usiku ule.
Shundaq qilip, barliq xelq, yeni sheherning shimal teripidiki bargahtiki qoshun bilen gherb teripidiki pistirma qoshun orunlashturup bölündi. Shu kéchisi Yeshua özi jilghining otturisigha chüshti.
14 Na ilikuwa alipoona hilo mfalme wa Ai, yeye pamoja na jeshi lake, waliamka asubuhi na mapema na walitoka kwa haraka kwenda kuwashambulia Israeli katika eneo linalokabili bonde la Mto Yordani. Hakujua kuwa kulikuwa na shambulizi la kuvizia lilikuwa linasubiria kushambulia kutokea kwa nyuma ya mji.
Ayining padishahi shu ehwalni kördi we sheherdikiler aldirap seher qopushti; padishah bilen barliq xelqi Israil bilen soqushush üchün belgilen’gen waqitta Arabah tüzlenglikige chiqti. Lékin padishahning sheherning keynidiki pistirma qoshundin xewiri yoq idi.
15 Yoshua na Waisraeli wote walikubali wenyewe kushindwa mbele yenu, na wakakimbia kuelekea nyikani.
Yeshua bilen barliq Israil bolsa özlirini ulardin yéngilgen’ge sélip, chöl terepke qachti.
16 Watu wote waliokuwa kwenye mji waliitwa kwa pamoja waende mbele yao, na walienda mbele ya Yoshua na kwa jinsi hiyo walivutwa mbali na mji.
Sheherde bar xelqning hemmisi ularni qoghlashqa chaqirildi; ular kélip Yeshuani qoghlighanda, ular azdurulup sheherdin yiraq qilindi.
17 Hapakuwa na mtu mme aliyesalia Ai na Betheli ambaye alikuwa hajaenda nje kuwafuatilia waisraeli. Na walipokuwa wanawafuatilia Waisraeli, Wakatoka na waliuacha mji wazi.
Ayi bilen Beyt-Elning ichide Israilni qoghlashqa chiqmighan héchbir er kishi qalmidi; ular sheherni ochuq qoyup, hemmisi Israilni qoghlap chiqip ketti.
18 Yahweh akamwambia Yoshua, “Nyosha mkuki huo ulio mkononi mwako kuelekea Ai, kwa kuwa nitaitia Ai mikononi mwako.” Yoshua akaunyosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea mji.
U waqitta Perwerdigar Yeshuagha: — Qolungdiki neyzini ayigha qaritip uzatqin; chünki Men uni séning qolunggha tapshurdum, — déwidi, Yeshua qolidiki neyzini sheherge qaritip uzatti.
19 Wanajeshi waliojificha katika hali ya kuvizia walitoka upesi katika eneo lao mara tu alipounyosha mkono wake. Walikimbia mbio na kuuingia mji na kuuteka. Na kwa haraka wakauchoma moto mji.
U qolidiki neyzini uzatqan haman pistirmida yatqanlar jayidin tézla chiqip, yügürginiche sheherge étilip kirip, uni ishghal qilip shuan ot yéqip köydürüwetti.
20 Watu wa Ai waligeuka na kuangalia nyuma. Waliona moshi kutoka katika mji ukipanda kwenda angani, na hawakuweza kutoroka kwa njia hii au ile. Kwa kuwa wanajeshi wa Israelei waliokuwa wamekimbia katika nyika, sasa walirudi kuwakabili wale waliokuwa wanawafuatilia.
Ayining ademliri burulup qariwidi, mana sheherdin asman-pelek örlewatqan tütünni kördi, ya u yaqqa ya bu yaqqa qachayli dése, héch hali qalmighanidi; chöl terepke qachqan Israillar burulup özlirini qoghlap kéliwatqanlargha hujum qildi.
21 Na wakati Yoshua na Israeli wote walipoona kuwa wale watu wa kuvizia wameuteka mji kwa ule moshi uliokuwa ukipanda, waligeuka nyuma na kuwaua watu wa Ai.
Yeshua bilen barliq Israil pistirma qoshunning sheherni élip bolghanliqini, shundaqla sheherdin tütünning örlep chiqqinini körüp, yénip kélip, Ayining ademlirini öltürgili turdi.
22 Na wanajeshi wengine wa Israeli, wale waliokuwa wameingia ndani ya mji, walitoka nje ili kuwashambulia. Hivyo, watu wa Ai walikamatwa katikati ya majeshi ya Israeli, baadhi katika upande huu na wengine katika upande ule.
Shuning bilen bir waqitta sheherni alghanlarmu sheherdin chiqip ulargha hujum qildi. Shuning bilen ular Israillarning otturisida, beziliri bu tereptin, beziliri u tereptin qapsilip qaldi. Israillar ularning héchbirini qoymay, hemmisini öltürüwetti.
23 Lakini walimhifadhi mfalme wa Ai, ambaye walimteka akiwa hai, na kisha wakamleta kwa Yoshua.
Ular Ayining padishahini tirik tutup, Yeshuaning aldigha élip bardi.
24 Ilikuwa baada ya Israeli walipokuwa wamemaliza kuuwaua wenyeji wote wa Ai katika uwanda kariibu na nyika mahali walipowafuata, na baada ya wao wote, hata yule wa mwisho, walipokuwa wamekwisha kulala kwa ncha ya upanga, Waisraeli wote walirudi Ai. Waliuteka mji kwa ncha ya upanga.
Israil dalada uchrighan barliq ayiliqlarni, yeni özlirini chölgiche qoghlap kelgenlerni qirip yoqatqandin kéyin (ularning hemmisi qilichlinip yoqitilghanidi), barliq Israil Ayigha yénip kélip, u yerdikilerni qilichlap öltürdi.
25 Wale wote walikufa siku hiyo walikuwa watu elfu kumi na mbili elfu, wanaume na wanawake, wote ni watu wa Ai.
Shundaq boldiki, shu künide öltürülgen er-ayallar, yeni ayiliqlarning hemmisi on ikki ming adem idi.
26 Yoshua hakuukunja mkono wake ambao alikuwa ameunyosha huku akishikilia mkuki wake, mpaka pale alipowateketeza kabisa watu wote wa Ai.
Chünki Yeshua Ayida turuwatqan hemme adem yoqitilmighuche qolidiki uzutup turghan neyzisini yighmighanidi.
27 Waisraeli walichukua tu wanyama na nyara kutoka katika mji kwa ajili yao wenyewe, kama Yahweh alivyokuwa amemwagiza Yoshua.
Halbuki, Perwerdigarning Yeshuagha buyrughan sözi boyiche Israillar sheherdiki charpay bilen oljini özliri üchün aldi.
28 Yoshua aliichoma Ai na kuigeuza kuwa kichuguu cha mapango. Ni mahali palipoachwa ukiwa hata leo.
Andin Yeshua Ayi shehirini köydürüp, uni ebedgiche Xarabilik döwisige aylanduruwetti; taki bügün’giche u shundaq turmaqta.
29 Alimtundika mfalme wa Ai juu ya mti mpaka jioni. Na jua lilipokuwa linaenda kuzama, Yoshua aliwaagiza na wakautoa mwili wa mfalme wakaushusha chini ya mti na kuutupa mbele ya malango ya mji. Huko wakaweka kichuguu kikubwa cha mawe juu yake. Kichuguu hicho kimebaki huko hata leo.
Ayining padishahini bolsa, u bir derexqe asturup, u yerde kechkiche turghuzdi. Kün patqanda Yeshua emr qiliwidi, kishiler uning ölükini derextin chüshürüp, uni sheherning qowuqining aldigha tashlap, üstige chong bir döwe tashni döwiliwetti; bu tash döwisi bügün’giche turmaqta.
30 Kisha Yoshua akajenga madhabahu kwa Yahweh, Mungu wa Israeli katika Mlima wa Ebali,
Andin Yeshua Ébal téghida Israilning Xudasi Perwerdigargha qurban’gah yasidi.
31 kama vile Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza watu wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa: “Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo juu yake hakuna mtu yeyote aliyetumia zana ya chuma.” Na allimtolea Yahweh sadaka ya kuteketezwa juu yake na wakatoa sadaka ya amani.
Perwerdigarning quli Musaning Israilgha buyrughini boyiche, Musagha nazil qilin’ghan qanun kitabida pütülgendek, qurban’gah héchbir tömür eswab tegküzülmigen pütün tashlardin yasalghanidi. Uning üstide xelq Perwerdigargha atap köydürme qurbanliqlar we inaqliq qurbanliqliri sunup turdi.
32 Na huko aliandika juu ya mawe nakala ya sheria za Musa mbele ya watu wa Israeli.
Shu yerde Yeshua uning tashlirining üstige pütkül Israilning aldida Musa pütken qanunni köchürüp pütüp qoydi.
33 Waisraeli wote, wazee wao, maafisa, na waamuzi wao walisimama katika sehemu mbili za sanduku mbele ya makuhani na Walawi ambao hulibeba sanduku la Agano la Yahweh - wageni pamoja na wazalia, nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu na nusu walisimama mbele ya Mlima Ebali. Waliwabariki watu wa Israeli kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza hapo mwanzo.
Andin pütkül Israil xelqi, ularning aqsaqalliri, emeldarliri bilen hakimliri, meyli musapirlar bolsun yaki ularning arisida tughulghanlar bolsun, hemmisi Perwerdigarning ehde sanduqining ikki teripide, ehde sanduqini kötürgen kahinlar bolghan Lawiylarning aldida öre turdi; Perwerdigarning quli Musaning deslepte buyrughini boyiche, Israillarning bext-berikitini tileshke xelqning yérimi Gerizim téghi aldida, yene bir yérimi Ébal téghi aldida turdi.
34 Baada ya hayo, Yoshua alisoma maneno yote ya sheria, baraka na laana, kama zilivyoandikwa katika kitabu cha sheria.
Andin Yeshua qanun kitabida pütülgenning hemmisige muwapiq qanundiki hemme sözlerni, jümlidin bext-beriket sözliri we lenet sözlirini oqup berdi.
35 Halikusalia hata neno moja katika yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua ambalo halikusomwa mbele ya kusanyiko la Waisraeli lilojumuisha wanawake, watoto wadogo na wageni walioishi miongoni mwao.
Yeshua bularni pütkül Israil jamaitige, jümlidin ayallar, balilar we ularning arisida turuwatqan musapirlargha oqup berdi; Musaning barliq buyrughanliridin héchbir sözni qaldurmidi.