< Yoshua 8 >
1 Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope; usivunjike moyo. Chukua pamoja nawe watu wa vita. Pandeni kwenda Ai. Tazama nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai, watu wake, mji wake na nchi yake.
И рече Господь ко Иисусу: не бойся, ниже ужасайся: поими с собою вся мужы воинския, и востав взыди в Гай: се, предах в руце твои царя Гайска и землю его, и люди его и град его:
2 Mtafanya hivyo pia huko Ai na mfalme wake kama mlivyofanya kwa Yeriko na mfalme wake, isipokuwa mtachukua nyara na mifugo kwa ajili yenu. Pangeni mashambulizi ya uviziaji nyuma ya mji.”
и да сотвориши Гаю и царю его, якоже сотворил еси Иерихону и царю его: и плен его и скоты его да плениши себе: устрой же себе подсаду граду за собою.
3 Basi Yoshua aliinuka na akawachukua kwenda Ai watu wote wa vita. Kisha Yoshua akachagua watu elfu thelathini - wenye nguvu na ujasiri - na aliwatuma waende wakati wa usiku.
И воста Иисус и вси мужие воинстии, да внидут в Гай: и избра Иисус тридесять тысящ мужей воинских сильных крепостию и посла их нощию,
4 Aliwaamuru, “Tazama, mtalala katika hali ya mashambulizi ya uviziaji dhidi ya mji, kwa nyuma yake. Usiende mbali sana na mji, lakini ninyi nyote muwe tayari.
и заповеда им, глаголя: вы скрыйтеся за градом: не далече будите от града зело, и будите вси готови:
5 Mimi pamoja na watu wote walio pamoja nami tutaukaribia mji. Na wakati watakapokuja kutushambulia sisi, tutawakimbia kama tulivyofanya hapo mwanzo.
аз же и вси людие иже со мною приступим ко граду: и будет егда изыдут живущии в Гаи в сретение нам, якоже и прежде, и побегнем от лица их:
6 Watatoka nje watukimbize mpaka hapo tutakapokuwa tumewavuta mbali sana na mji, watasema, “Wanatukimbia kama walivyofanya mara ya mwisho.' Hivyo tutawakimbia na kwenda mbali.
и егда изыдут вслед нас, отторгнем их от града: и рекут: бежат сии от лица нашего, якоже и прежде:
7 Kisha mtapanda kutoka sehemu mliyojificha, na mtauteka mji. Yahweh Mungu wenu atawapa mkononi mwenu.
вы же востанете от подсады, и пойдете во град, и предаст его Господь Бог наш в руце ваши:
8 Tazama nimewaamuru, mtakapouteka mji, mtauchoma moto. Mtayafanya haya wakati mtakapotii agizo lililotolewa katika neno la Yahweh.”
и будет егда возмете град, запалите его огнем, по словеси сему сотворите: се, заповедаю вам.
9 Yoshua akawatuma, na wakaenda sehemu ya uviziajia, na wakajificha kati ya Betheli na Ai sehemu ya magharibi ya Ai. Yoshua akalala miongoni mwa watu usiku ule.
И посла их Иисус, и идоша в подсаду: и седоша между Вефилем и между Гаием, от моря Гаиа.
10 Yoshua aliamka asubuhi na mapema na akawaandaa tayari wanajeshi wake, Yoshua na wazee wa Israeli walishambuliwa watu wa Ai.
И востав Иисус заутра, согляда люди: и взыде сам и старцы Израилтестии пред людьми в Гай.
11 Watu wote wa vita waliokuwa pamoja naye walipanda na kuukaribia mji. Walisogea karibu na mji na wakapiga kambi sehemu ya kasikazini mwa Ai. Kulikuwa na bonde kati yao na Ai.
И вси людие воинстии с ним взыдоша, и идуще приидоша сопротив града от востоков: и подсады града от моря.
12 Alichukua watu wapatao elfu tano hivi na akawaweka katika hali ya kuvizia katika upande wa magharibi mwa mji kati ya Betheli na Ai.
И ополчишася от севера Гаиа, и (бысть) дебрь между ими и между Гаием. И взя яко пять тысящ мужей, и положи их на подсаду между Вефилем и Гаием от запада Гаиа.
13 Waliwapanga wanajeshi wote, jeshi kuu katika upande wa kasikazini mwa mji, na walinzi wa nyuma upande wa magharibi mwa mji. Yoshua alilala bondeni usiku ule.
И поставиша людие весь полк от севера града, а прочая его от моря града. И пойде Иисус в нощь ону посреде дебри.
14 Na ilikuwa alipoona hilo mfalme wa Ai, yeye pamoja na jeshi lake, waliamka asubuhi na mapema na walitoka kwa haraka kwenda kuwashambulia Israeli katika eneo linalokabili bonde la Mto Yordani. Hakujua kuwa kulikuwa na shambulizi la kuvizia lilikuwa linasubiria kushambulia kutokea kwa nyuma ya mji.
И бысть егда увиде царь Гайский, потщася, и воста рано и изыде в сретение им прямо на брань, сам и вси людие его с ним во время, пред лицем подсады: он же не ведяше, яко подсада ему есть за градом (его).
15 Yoshua na Waisraeli wote walikubali wenyewe kushindwa mbele yenu, na wakakimbia kuelekea nyikani.
И увиде, и отиде Иисус и весь люд от лица их, и побеже путем пустыни,
16 Watu wote waliokuwa kwenye mji waliitwa kwa pamoja waende mbele yao, na walienda mbele ya Yoshua na kwa jinsi hiyo walivutwa mbali na mji.
и укрепися весь люд гнати вслед их, и погнаша вслед сынов Израилевых, и отступиша от града.
17 Hapakuwa na mtu mme aliyesalia Ai na Betheli ambaye alikuwa hajaenda nje kuwafuatilia waisraeli. Na walipokuwa wanawafuatilia Waisraeli, Wakatoka na waliuacha mji wazi.
(И) не остася никтоже в Гаи и Вефили, иже не погна вслед Израиля: и оставиша град отверст, и гнаша вслед Израиля.
18 Yahweh akamwambia Yoshua, “Nyosha mkuki huo ulio mkononi mwako kuelekea Ai, kwa kuwa nitaitia Ai mikononi mwako.” Yoshua akaunyosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea mji.
И рече Господь ко Иисусу: простри руку твою с копием, еже в руце твоей, на град, зане в руку твою предах его: и подсады востанут вскоре от места своего. И простре Иисус руку свою и с копием на град.
19 Wanajeshi waliojificha katika hali ya kuvizia walitoka upesi katika eneo lao mara tu alipounyosha mkono wake. Walikimbia mbio na kuuingia mji na kuuteka. Na kwa haraka wakauchoma moto mji.
И подсады восташа скоро от места своего: и изыдоша, егда простре руку, и внидоша во град, и взяша его: и потщавшеся запалиша град огнем.
20 Watu wa Ai waligeuka na kuangalia nyuma. Waliona moshi kutoka katika mji ukipanda kwenda angani, na hawakuweza kutoroka kwa njia hii au ile. Kwa kuwa wanajeshi wa Israelei waliokuwa wamekimbia katika nyika, sasa walirudi kuwakabili wale waliokuwa wanawafuatilia.
И озревшеся обитатели Гайстии вспять себе, узреша дым восходящь от града до небесе, и ктому не имеша камо побегнути, семо или овамо: людие же бегущии в пустыню обратишася на гонящих.
21 Na wakati Yoshua na Israeli wote walipoona kuwa wale watu wa kuvizia wameuteka mji kwa ule moshi uliokuwa ukipanda, waligeuka nyuma na kuwaua watu wa Ai.
Иисус же и весь Израиль увидеша, яко взяша подсады град, и яко восходит дым градный до небесе: и обратившеся избиша мужей Гайских.
22 Na wanajeshi wengine wa Israeli, wale waliokuwa wameingia ndani ya mji, walitoka nje ili kuwashambulia. Hivyo, watu wa Ai walikamatwa katikati ya majeshi ya Israeli, baadhi katika upande huu na wengine katika upande ule.
И сии изыдоша из града противу им, и быша посреде полка Израилева, сии отсюду и сии отюнуду: и избиша их, дондеже не остася ни един от них цел, ни убежа.
23 Lakini walimhifadhi mfalme wa Ai, ambaye walimteka akiwa hai, na kisha wakamleta kwa Yoshua.
И царя Гайска яша жива, и приведоша его ко Иисусу.
24 Ilikuwa baada ya Israeli walipokuwa wamemaliza kuuwaua wenyeji wote wa Ai katika uwanda kariibu na nyika mahali walipowafuata, na baada ya wao wote, hata yule wa mwisho, walipokuwa wamekwisha kulala kwa ncha ya upanga, Waisraeli wote walirudi Ai. Waliuteka mji kwa ncha ya upanga.
И бысть егда престаша сынове Израилевы секуще всех сущих в Гаи и сущих на полях и на горе исхода, идеже гониша их, и падоша вси острием меча на ней до конца: и обратися Иисус в Гай и посече их мечем.
25 Wale wote walikufa siku hiyo walikuwa watu elfu kumi na mbili elfu, wanaume na wanawake, wote ni watu wa Ai.
И быша вси падшии в той день от мужеска полу и до женска дванадесять тысящ, вси живущии в Гаи.
26 Yoshua hakuukunja mkono wake ambao alikuwa ameunyosha huku akishikilia mkuki wake, mpaka pale alipowateketeza kabisa watu wote wa Ai.
Иисус же не обрати руки своея, юже простре с копием, дондеже прокля всех обитающих в Гаи.
27 Waisraeli walichukua tu wanyama na nyara kutoka katika mji kwa ajili yao wenyewe, kama Yahweh alivyokuwa amemwagiza Yoshua.
Кроме скотов (их) и имения, яже во граде онем, вся плениша себе сынове Израилевы по повелению Господню, якоже повеле Господь Иисусу.
28 Yoshua aliichoma Ai na kuigeuza kuwa kichuguu cha mapango. Ni mahali palipoachwa ukiwa hata leo.
И запали град Иисус огнем: землю необитаему во век положи его даже до сего дне.
29 Alimtundika mfalme wa Ai juu ya mti mpaka jioni. Na jua lilipokuwa linaenda kuzama, Yoshua aliwaagiza na wakautoa mwili wa mfalme wakaushusha chini ya mti na kuutupa mbele ya malango ya mji. Huko wakaweka kichuguu kikubwa cha mawe juu yake. Kichuguu hicho kimebaki huko hata leo.
И царя Гайска повеси на древе сугубем: и бяше на древе до вечера: и заходящу солнцу повеле Иисус, и сняша тело его с древа, и повергоша и в ров пред враты града: и насыпа над ним громаду велику камения даже до сего дне.
30 Kisha Yoshua akajenga madhabahu kwa Yahweh, Mungu wa Israeli katika Mlima wa Ebali,
Тогда созда Иисус олтарь Господу Богу Израилеву на горе Гевал,
31 kama vile Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza watu wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa: “Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo juu yake hakuna mtu yeyote aliyetumia zana ya chuma.” Na allimtolea Yahweh sadaka ya kuteketezwa juu yake na wakatoa sadaka ya amani.
якоже заповеда Моисей раб Господень сыном Израилевым, и якоже написася в законе Моисеове, олтарь от камений всецелых, на нихже не возложися железо: и вознесе тамо всесожжения Господу и жертву спасения.
32 Na huko aliandika juu ya mawe nakala ya sheria za Musa mbele ya watu wa Israeli.
И написа Иисус на камениих вторый закон, закон Моисеов, егоже написа пред сыны Израилевыми.
33 Waisraeli wote, wazee wao, maafisa, na waamuzi wao walisimama katika sehemu mbili za sanduku mbele ya makuhani na Walawi ambao hulibeba sanduku la Agano la Yahweh - wageni pamoja na wazalia, nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu na nusu walisimama mbele ya Mlima Ebali. Waliwabariki watu wa Israeli kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza hapo mwanzo.
И весь Израиль, и старцы их и судии их и книгочия их предходяху сюду и сюду пред кивотом, и жерцы и левити воздвизаша кивот завета Господня, пришелец же и туземец: иже быша половина их близ горы Гаризин, и половина их близ горы Гевал, якоже заповеда Моисей раб Господень благословити людий Израилевых в первых.
34 Baada ya hayo, Yoshua alisoma maneno yote ya sheria, baraka na laana, kama zilivyoandikwa katika kitabu cha sheria.
И по сих тако прочте Иисус вся словеса закона сего, благословения и клятвы, по всему написанному в законе Моисеове.
35 Halikusalia hata neno moja katika yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua ambalo halikusomwa mbele ya kusanyiko la Waisraeli lilojumuisha wanawake, watoto wadogo na wageni walioishi miongoni mwao.
Не бяше словесе от всех, яже заповеда Моисей Иисусу, егоже не прочте Иисус во уши всего сонма сынов Израилевых, мужем и женам, и детем и пришелцем приходящым ко Израилю.