< Yoshua 8 >
1 Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope; usivunjike moyo. Chukua pamoja nawe watu wa vita. Pandeni kwenda Ai. Tazama nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai, watu wake, mji wake na nchi yake.
Подир това Господ рече на Исуса: Не бой се нито се ужасявай; вземи със себе си всичките военни мъже, и стани та се изкачи в Гай; ето, Аз предадох в ръката ти гайския цар, людете му, града му и земята му;
2 Mtafanya hivyo pia huko Ai na mfalme wake kama mlivyofanya kwa Yeriko na mfalme wake, isipokuwa mtachukua nyara na mifugo kwa ajili yenu. Pangeni mashambulizi ya uviziaji nyuma ya mji.”
и да сториш на Гай и на царя му, както стори на Ерихон и на царя му; само че ще заплените за себе си користите му и добитъка му. Постави против града засада от задната му страна.
3 Basi Yoshua aliinuka na akawachukua kwenda Ai watu wote wa vita. Kisha Yoshua akachagua watu elfu thelathini - wenye nguvu na ujasiri - na aliwatuma waende wakati wa usiku.
Тогава Исус стана с всичките военни люде, за да отидат в Гай; и Исус избра тридесет хиляди мъже силни и храбри изпрати ги нощем,
4 Aliwaamuru, “Tazama, mtalala katika hali ya mashambulizi ya uviziaji dhidi ya mji, kwa nyuma yake. Usiende mbali sana na mji, lakini ninyi nyote muwe tayari.
и заповяда им, казвайки: Гледайте, поставете засада против града от задната страна на града; да се не отдалечите много от града, и да бъдете всички готови;
5 Mimi pamoja na watu wote walio pamoja nami tutaukaribia mji. Na wakati watakapokuja kutushambulia sisi, tutawakimbia kama tulivyofanya hapo mwanzo.
а аз и всичките люде, които са с мене, ще се приближим до града; и когато излязат против нас, както изпърво, тогава ние ще побегнем от тях.
6 Watatoka nje watukimbize mpaka hapo tutakapokuwa tumewavuta mbali sana na mji, watasema, “Wanatukimbia kama walivyofanya mara ya mwisho.' Hivyo tutawakimbia na kwenda mbali.
Те ще излязат след нас догде ги отдалечим от града; защото ще си рекат: Те бягат от нас, както по-напред; и ние ще побегнем от тях.
7 Kisha mtapanda kutoka sehemu mliyojificha, na mtauteka mji. Yahweh Mungu wenu atawapa mkononi mwenu.
Тогава вие станете от засадата и превземете града; защото Господ вашият Бог ще го предаде в ръката ви.
8 Tazama nimewaamuru, mtakapouteka mji, mtauchoma moto. Mtayafanya haya wakati mtakapotii agizo lililotolewa katika neno la Yahweh.”
И като превземете града да запалите града, да сторите според Господното повеление; ето, заповядах ви.
9 Yoshua akawatuma, na wakaenda sehemu ya uviziajia, na wakajificha kati ya Betheli na Ai sehemu ya magharibi ya Ai. Yoshua akalala miongoni mwa watu usiku ule.
И тъй, Исус ги изпрати; и те отидоха в засада, като седнаха между Ветил и Гай, на западната страна от Гай; а Исус остана през оная нощ всред людете.
10 Yoshua aliamka asubuhi na mapema na akawaandaa tayari wanajeshi wake, Yoshua na wazee wa Israeli walishambuliwa watu wa Ai.
И Исус, като стана рано на сутринта и прегледа людете, отиде, той и Израилевите старейшини, пред людете за Гай.
11 Watu wote wa vita waliokuwa pamoja naye walipanda na kuukaribia mji. Walisogea karibu na mji na wakapiga kambi sehemu ya kasikazini mwa Ai. Kulikuwa na bonde kati yao na Ai.
И всичките военни люде, които бяха с него, отидоха и се приближиха, дойдоха срещу града, и разположиха стан на северната страна от Гай; а между тях и Гай имаше долина.
12 Alichukua watu wapatao elfu tano hivi na akawaweka katika hali ya kuvizia katika upande wa magharibi mwa mji kati ya Betheli na Ai.
И той взе около пет хиляди мъже и ги постави в засада между Ветил и Гай на западната страна от града.
13 Waliwapanga wanajeshi wote, jeshi kuu katika upande wa kasikazini mwa mji, na walinzi wa nyuma upande wa magharibi mwa mji. Yoshua alilala bondeni usiku ule.
И като наредиха людете - цялото войнство, което беше на север от града, и засадата му на запад от града - Исус отиде през оная нощ всред долината.
14 Na ilikuwa alipoona hilo mfalme wa Ai, yeye pamoja na jeshi lake, waliamka asubuhi na mapema na walitoka kwa haraka kwenda kuwashambulia Israeli katika eneo linalokabili bonde la Mto Yordani. Hakujua kuwa kulikuwa na shambulizi la kuvizia lilikuwa linasubiria kushambulia kutokea kwa nyuma ya mji.
А гайският цар, като видя това, побърза, той и всичките му люде, мъжете на града, та станаха рано, и в определен час излязоха на полето на бой против Израиля; но той не знаеше, че имаше засада против него зад града.
15 Yoshua na Waisraeli wote walikubali wenyewe kushindwa mbele yenu, na wakakimbia kuelekea nyikani.
А Исус и целият Израил се престориха на разбити пред тях и бягаха през пътя за пустинята.
16 Watu wote waliokuwa kwenye mji waliitwa kwa pamoja waende mbele yao, na walienda mbele ya Yoshua na kwa jinsi hiyo walivutwa mbali na mji.
И всичките люде, които бяха в Гай, бяха свикани, за да го гонят; и гониха Исуса, и отдалечиха се от града.
17 Hapakuwa na mtu mme aliyesalia Ai na Betheli ambaye alikuwa hajaenda nje kuwafuatilia waisraeli. Na walipokuwa wanawafuatilia Waisraeli, Wakatoka na waliuacha mji wazi.
Така в Гай и Ветил не остана човек, който не излезе след Израиля; и те оставиха града отворен и гониха Израиля.
18 Yahweh akamwambia Yoshua, “Nyosha mkuki huo ulio mkononi mwako kuelekea Ai, kwa kuwa nitaitia Ai mikononi mwako.” Yoshua akaunyosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea mji.
Тогава Господ каза на Исуса: Простри към Гай копието, което държиш в ръката си; защото ще предам града в ръката ти. Исус, прочее, простря към града копието, което държеше в ръката си.
19 Wanajeshi waliojificha katika hali ya kuvizia walitoka upesi katika eneo lao mara tu alipounyosha mkono wake. Walikimbia mbio na kuuingia mji na kuuteka. Na kwa haraka wakauchoma moto mji.
И щом простря ръката си засадата стана бързо от мястото си, завтекоха се изведнъж и влязоха в града и го превзеха; и побързаха та запалиха града.
20 Watu wa Ai waligeuka na kuangalia nyuma. Waliona moshi kutoka katika mji ukipanda kwenda angani, na hawakuweza kutoroka kwa njia hii au ile. Kwa kuwa wanajeshi wa Israelei waliokuwa wamekimbia katika nyika, sasa walirudi kuwakabili wale waliokuwa wanawafuatilia.
А когато гайските мъже се огледаха надире, видяха, и, ето че дим се издигаше от града към небето; и нямаха где да бягат ни тук ни там, понеже людете, които бягаха към пустинята, се обърнаха назад против гонителите.
21 Na wakati Yoshua na Israeli wote walipoona kuwa wale watu wa kuvizia wameuteka mji kwa ule moshi uliokuwa ukipanda, waligeuka nyuma na kuwaua watu wa Ai.
А Исус и целият Израил, като видяха, че засадата беше превзела града, и че се издигаше дим от града, обърнаха се назад и поразиха гайските мъже.
22 Na wanajeshi wengine wa Israeli, wale waliokuwa wameingia ndani ya mji, walitoka nje ili kuwashambulia. Hivyo, watu wa Ai walikamatwa katikati ya majeshi ya Israeli, baadhi katika upande huu na wengine katika upande ule.
Другите също излязоха из града против тях; и тъй, те се намериха всред израилтяните, които бяха едни отсам а едни оттам; и тия ги поразиха така щото не оставиха никой от тях да живее или да побегне.
23 Lakini walimhifadhi mfalme wa Ai, ambaye walimteka akiwa hai, na kisha wakamleta kwa Yoshua.
А царя на Гай хванаха жив, о го доведоха при Исуса.
24 Ilikuwa baada ya Israeli walipokuwa wamemaliza kuuwaua wenyeji wote wa Ai katika uwanda kariibu na nyika mahali walipowafuata, na baada ya wao wote, hata yule wa mwisho, walipokuwa wamekwisha kulala kwa ncha ya upanga, Waisraeli wote walirudi Ai. Waliuteka mji kwa ncha ya upanga.
И като изби Израил всичките жители на Гай в полето и пустинята, гдето ги гониха, и те всички паднаха от острото на ножа догде се изтребиха, тогава целият Израил се върна в Гай и поразиха го с острото на ножа.
25 Wale wote walikufa siku hiyo walikuwa watu elfu kumi na mbili elfu, wanaume na wanawake, wote ni watu wa Ai.
И всичките паднали в оня ден, мъже и жени, бяха дванадесет хиляди души, всичките гайски люде.
26 Yoshua hakuukunja mkono wake ambao alikuwa ameunyosha huku akishikilia mkuki wake, mpaka pale alipowateketeza kabisa watu wote wa Ai.
Защото Исус не оттегли ръката си, с който бе прострял копието, догде не изтреби като обречени, всичките жители на Гай.
27 Waisraeli walichukua tu wanyama na nyara kutoka katika mji kwa ajili yao wenyewe, kama Yahweh alivyokuwa amemwagiza Yoshua.
Само че Израил плени за себе си добитък и користите на оня град, според думата, която Господ заповяда на Исуса.
28 Yoshua aliichoma Ai na kuigeuza kuwa kichuguu cha mapango. Ni mahali palipoachwa ukiwa hata leo.
И така, Исус изгори Гай и го направи всегдашен куп развалини, както е до днес.
29 Alimtundika mfalme wa Ai juu ya mti mpaka jioni. Na jua lilipokuwa linaenda kuzama, Yoshua aliwaagiza na wakautoa mwili wa mfalme wakaushusha chini ya mti na kuutupa mbele ya malango ya mji. Huko wakaweka kichuguu kikubwa cha mawe juu yake. Kichuguu hicho kimebaki huko hata leo.
А царя на Гай обеси на дърво и го остави да виси до вечерта; и като зайде слънцето, Исус заповяда та снеха трупа от дървото, хвърлиха го във входа на градската порта, и натрупаха на него голяма грамада камъни, която стои и до днес.
30 Kisha Yoshua akajenga madhabahu kwa Yahweh, Mungu wa Israeli katika Mlima wa Ebali,
Тогава Исус издигна олтар на Господа Израилевия Бог на хълма Гевал,
31 kama vile Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza watu wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa: “Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo juu yake hakuna mtu yeyote aliyetumia zana ya chuma.” Na allimtolea Yahweh sadaka ya kuteketezwa juu yake na wakatoa sadaka ya amani.
както Господният слуга Моисей беше заповядал на израилтяните, според написаното в книгата на Моисеевия закон, олтар от цели камъни, по които желязно сечиво не се бе издигнало; и принесоха на него всеизгаряния Господу, и пожертвуваха примирителни приноси.
32 Na huko aliandika juu ya mawe nakala ya sheria za Musa mbele ya watu wa Israeli.
И там написа на камъните един препис на Моисеевия закон, който написа пред израилтяните.
33 Waisraeli wote, wazee wao, maafisa, na waamuzi wao walisimama katika sehemu mbili za sanduku mbele ya makuhani na Walawi ambao hulibeba sanduku la Agano la Yahweh - wageni pamoja na wazalia, nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu na nusu walisimama mbele ya Mlima Ebali. Waliwabariki watu wa Israeli kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza hapo mwanzo.
И целият Израил, със старейшините им, първенците и съдиите им, чужденци и туземци, застанаха отсам и оттам ковчега, срещу левитските свещеници, които държаха ковчега на Господния завет, - едната им половина към хълма Гаризин, и другата им половина към хълма Гевал, - както Господният слуга Моисей беше заповядал по-напред, за да благославят Израилевите люде.
34 Baada ya hayo, Yoshua alisoma maneno yote ya sheria, baraka na laana, kama zilivyoandikwa katika kitabu cha sheria.
И след това прочее всичките думи на закона, благословията и проклетиите, според всичко каквото бе писано в книгата на закона.
35 Halikusalia hata neno moja katika yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua ambalo halikusomwa mbele ya kusanyiko la Waisraeli lilojumuisha wanawake, watoto wadogo na wageni walioishi miongoni mwao.
От всичко що заповяда Моисей нямаше дума, която Исус не прочете пред всичките събрани израилтяни, с жените, децата и чужденците, които се събираха между тях.