< Yoshua 6 >

1 Basi, milango yote ya Yeriko ilikuwa imefungwa kwasababu ya jeshi la Israeli. Hapakuwa na mtu wa kutoka nje au kuingia ndani.
In pacl se inge mutunpot Jericho kaul na ke sripen mwet Israel inge. Wangin mwet oatui, ac wangin mwet utyak nu we.
2 Yahweh akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeweka Yeriko katika mkono wako, mfalme wake pamoja na wanajeshi wake waliofunzwa.
Na LEUM GOD El fahk nu sel Joshua, “Liye, nga ac sot acn Jericho nu inpoum, wi pacna tokosra ac mwet mweun watwen lun acn we.
3 Ni lazima kutembea kwa kuuzunguka mji, wanaume wote wa vita wauzunguke mji mara moja. Ni lazima mfanye hivi kwa siku sita.
Kom ac mwet mweun lom in fahsr rauneak acn we pacl se ke len se. Oru ouinge ke len onkosr.
4 Makuhani saba lazima wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele za sanduku. Na katika siku ya saba, ni lazima mtembee kwa kuuzunguka mji mara saba, na makuhani lazima wapulize tarumbeta.
Sap mwet tol itkosr in fahsr meet liki Tuptup in Wuleang ac us mwe ukuk orekla ke koen kosro. Ke len se akitkosr kowos fahsr rauni pacl itkosr, ac mwet tol elos in uk mwe ukuk natulos an.
5 Kisha watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu, na mtakaposikia sauti za tarumbeta watu wote na wapige kelele kwa mshindo mkuu, na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale. Wanajeshi ni lazime washambulie, kila mmoja eende mbele moja kwa moja.
Kowos fin lohng pacl se elos ukya mwe ukuk natulos ke sie pusra na loes, na mwet nukewa in sala ke sie pusra lulap, na pot uh ac fah raki, ac mwet nukewa fah utyak nu in siti sac.”
6 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, aliwaita makuhani na kuwaambia, “Lichukueni sanduku la agano, na waacheni makuhani saba wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Yahweh.”
Ouinge Joshua el pangoneni mwet tol uh ac fahk nu selos, “Srukak Tuptup in Wuleang, ac itkosr mwet tol an in fahsr meet liki ac us mwe ukuk natulos.”
7 Yoshua aliwaambia watu, “Nendeni na mkatembee kuuzunguka mji, na watu wa vita wataenda mbele ya sanduku la Yahweh.”
Na el fahk nu sin mwet ah, “Fahsr, rauni siti an, ac ekasr mwet mweun an in fahsr meet liki Tuptup in Wuleang lun LEUM GOD.”
8 Makuhani saba walibeba tarumbeta saba za pembe za kondoo mbele ya Yahweh kama Yoshua alivyowaambia watu. Na walivyokuwa akiendelea mbele, walipuliza tarumbeta.
Ke Joshua el fahkla ma inge nu sin mwet ah, na mwet tol itkosr ma utuk mwe ukuk ah fahsryak ac uk mwe ukuk natulos, ac Tuptup in Wuleang fahsr tokolos.
9 Sanduku la Yahweh liliwafuata kwa nyuma yao. Watu wa vita walitembea mbele ya makuhani, na walipuliza tarumbeta zao, lakini walinzi wa nyuma walilifuata sanduku kwa nyuma, na makuhani waliendelea kupuliza tarumbeta zao.
Kutu sin mwet mweun fahsr meet liki mwet tol su uk mwe ukuk natulos uh, ac mwet mweun lula ah elos fahsr tukun Tuptup sac. In pacl se inge mwe ukuk ah nuna ukuk na.
10 Lakini Yoshua aliwaagiza watu, akisema, “Msipige kelele. Sauti yoyote isitoke vinywani mwenu mpaka siku nitakayowaambia kupiga kelele. Ndipo hapo mtakapopiga kelele.”
Tusruktu Joshua el fahkang nu sin mwet uh, “Nimet kowos sasa ku wowon. Nimet kaskas nwe ke na len se nga fahk mu kowos in sala. In pacl sacn na kowos tufah sala!”
11 Hivyo, alisababisha sanduku la Yahweh kuuzunguka mji mara moja kwa siku hiyo. Kisha wakaingia katika kambi yao, wakakaa usiku ule katika kambi.
Na el sap Tuptup in Wuleang in utuk rauneak siti ah ke pacl se. Na mwet uh folokla nu in lohm nuknuk selos ac mongla ke fong sac.
12 Basi Yoshua aliamka asubuhi na mapema, na makuhani wakalichukua sanduku la Yahweh.
Joshua el toang ngutalik ke len se tok ah, ac mwet tol elos srukak Tuptup in Wuleang sac.
13 Makuhani saba waliobeba tarumbeta saba za pembe za kondoo waume walikuwa mbele ya sanduku la Yahweh, wakitembea kwa ushupavu, huku wakipuliza tarumbeta. Wanajeshi wenye silaha walikuwa wakitembea mbele yao, lakini walinzi wa nyuma walitembea nyuma ya sanduku la Yahweh, huku tarumbeta ziliendelea kupigwa.
Mwet tol itkosr ma us mwe ukuk itkosr ah fahsryak ac fahsr meet liki Tuptup sac ac uk mwe ukuk natulos. Kutu mwet mweun ah fahsr meet liki Tuptup sac ac kutu toko. In pacl se inge, mwe ukuk ah na ukuk na.
14 Walitembea kuuzunguka mji mara moja katika siku ya pili na kisha wakarudi kambini. Walifanya hivi kwa siku sita.
Ouinge ke len se akluo ah elos rauneak pac siti sac pacl se, na elos folokla nu lohm nuknuk selos. Elos oru na ouinge ke len onkosr.
15 Ilikuwa ni katika siku ya saba ambayo waliamka mapema katika mapambazuko, na walitembea kuuzunguka mji kwa namna ile kama ilivyokuwa kawaida yao, katika siku hii walifanya mara saba.
Len se akitkosr ah elos ngutalik ke srakna toang ac fahsr rauni siti sac pacl itkosr oana ke elos oru meet ah, sayen ke len se akitkosr elos raun pacl itkosr.
16 Ilikuwa ni katika siku ya saba ambapo makuhani walipiga tarumbeta, na ya kwamba Yoshua aliwaagiza watu, “Pigeni kelele! Kwa kuwa Yahweh amewapa ninyi mji.
Ke mwet tol elos ukya mwe ukuk ah ke raun se akitkosr ah, Joshua el fahk nu sin mwet uh, “Sala, tuh LEUM GOD El asot nu suwos siti se inge!
17 Mji pamoja na vitu vyote ndani yake vitatengwa kwa Yahweh kwa ajili ya uharibifu. Ni Rahabu yule kahaba pekee ataishi - yeye pamoja wote waliokuwa pamoja naye katika nyumba - kwasababu aliwaficha watu tuliowatuma.
Siti sac ac ma nukewa loac ac fah kunausyukla. Rahab, mutan kosro sac, ac mwet nukewa in lohm sel elos mukena ac fah tia anwuki mweyen el tuh okanla mwet kalngeyuk su kut supwala nu we ah.
18 Lakini kwenu, iweni waangalifu juu ya kuchukua vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu, ili baada ya kuvitia alama kwa ajili ya kuharibiwa, msichukue hata kimoja wapo. Na kama mtafanya hivi, mtaifanya kambi ya Waisraeli iharibiwe na mtaleta matatizo katika kambi.
Tusruk karinginkowosyang tuh kowos in tia srukak kutena ma fal in kunausyukla. Kowos fin srukak, na kowos ac fah sang mwata nu fin mwet Israel nukewa.
19 Fedha zote, dhahabu na vitu vilivyotengenezwa kwa shaba na chuma vilitengwa kwa ajli ya Yahweh.”
Gold ac silver, ac ma orek ke osra bronze ac iron nukewa ac fah srisrila nu sin LEUM GOD. Ma inge fah utukla nu ke nien filma lun LEUM GOD.”
20 Hivyo, watu wakapiga kelele, na wakatoa sauti kwa kupuliza tarumbeta. Ilikuwa watu waliposikia sauti za tarumbeta, walipiga kelele kwa sauti kuu, na ukuta ulianguka chini kabisa na kwamba watu waliungia mji, kila mmoja alisonga mbele moja kwa moja. Na waliuteka mji.
Pacl se ma mwe ukuk uh kasla mwet nukewa sala, ac ke pusren ukuk ah kasla ac mwet uh sala, na pot uh mukukla; oru mwet nukewa yuyang ac eisla siti sac.
21 Waliteketeza kabisa kila kitu kilichokuwa katika mji kwa makali ya upanga - wanaume kwa wanawake, wadogo kwa wakubwa, ng'ombe, kondoo na punda.
Elos onela ma nukewa ke cutlass — mukul, mutan, tulik, mwet matu ac kain in kosro nukewa in siti sac.
22 Kisha Yoshua akawaambia wale watu wawili walioipeleleza nchi, “Nendeni katika nyumba ya kahaba, mtoeni mwanamke na wote walio pamoja naye, kama mlivyomwapia.”
Joshua el fahk nu sin mwet luo ma tuh som kalngeyuk in siti sac, “Fahla nu in lohm sin mutan kosro sac ac usalu, wi mwet nukewa in lohm sel an, in fal nu ke wulela lomtal nu sel.”
23 Basi, vijana wale walioipeleleza nchi waliingia ndani na kumtoa Rahabu nje. Walimtoa nje baba yake, mama, kaka, na ndugu wote waliokuwa pamoja naye. waliwaleta katika sehemu ya nje ya kambi ya Waisraeli.
Ouinge, mwet luo ah som ac usalu Rahab, papa tumal, nina kial, tamulel wial ac mwet nukewa in lohm sel. Elos use nufon mwet in sou lal, ac oakelosi in sie acn sisken acn mwet Israel elos muta we.
24 Na ndipo waliuteketeza mji na kila kitu ndani yake. Isipokuwa fedha, dhahabu na vyombo vya fedha na chuma viliwekwa kwa hazina ya nyumba ya Yahweh.
Na elos esukak siti sac nufon ac ma nukewa ma oan loac. Tusruktu gold ac silver ac ma orekla ke bronze ac iron nukewa utukla nu nien filma lun LEUM GOD.
25 Bali Yoshua alimruhusu Rahabu kahaba, nyumba ya baba yake, na wote waliokuwa pamoja naye waishi. Mpaka leo hivi anaishi Israeli kwasababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko.
Tusruktu Joshua el molella Rahab, mutan kosro sac, wi sou lal nukewa, mweyen Rahab el tuh okanla mwet kalngeyuk luo ah; na sou sac elos srakna muta inmasrlon mwet Israel nwe misenge.
26 Kisha katika kipindi hicho, Yoshua aliwaamuru kwa kiapo na kusema, “Alaaniwe machoni pa Yahweh mtu yule anayeujenga mji huu, Yeriko. Ataujenga msingi kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza, na kwa gharama ya mzaliwa wake wa pili atapachika milango yake.”
Ke pacl sac Joshua el orala sie fulahk ac fahk, “Kutena mwet fin srike in sifil musaeak siti Jericho, el ac fah selngawiyuk sin LEUM GOD. Mwet se fin sifil oakiya pwelung lun siti uh, Wen se oemeet natul ac fah misa. Mwet se fin musai mutunpot lun siti uh, Wen se oetok natul ac fah misa.”
27 Basi Yahweh alikuwa pamoja na Yoshua, na umaarufu wake ulienea katika nchi yote.
Ouinge LEUM GOD El welul Joshua, ac pweng kacl fahsrelik nu fin facl sac nufon.

< Yoshua 6 >