< Yoshua 4 >

1 Watu wote walipokwisha kuvuka Yordani, Yahweh akamwambia Yoshua,
Og det skete, der alt Folket var gaaet helt over Jordanen, da sagde Herren til Josva:
2 “Chagueni wenyewe watu waume kumi na wawili, mmoja katika kila kabila.
Tager eder tolv Mænd af Folket, een Mand af hver Stamme,
3 Wape agizo hilo: 'Chukueni mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani mahali wanaposimama makuhani katika nchi kavu, na wayalete na kuyaweka chini katika sehemu ambapo mtalala usiku wa leo.
og byder dem og siger: Optager eder herfra, midt af Jordanen, tolv Stene fra det Sted, som Præsternes Fødder staa fast paa, og bærer dem over med eder og lader dem blive paa det Sted, hvor I blive denne Nat over.
4 Kisha Yoshua akawaita wanaume kumi na wawili ambao aliwachagua kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja kutoka kila kabila.
Da kaldte Josva ad de tolv Mænd, som han havde til Rede af Israels Børn, een Mand af hver Stamme;
5 Yoshua akawaambia, “Nendeni mbele za sanduku la Yahweh Mungu wenu katikati ya Yordani. Kila mmoja wenu achukue jiwe moja mabegani mwake, kulingana na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli.
og Josva sagde til dem: Gaar over frem foran Herren eders Guds Ark til midt i Jordanen, og opløfter eder hver een Sten paa sin Skulder efter Tallet paa Israels Børns Stammer,
6 Hii itakuwa ni ishara miongoni mwenu kwa ajili yenu wakati watoto wenu watakapowauliza katika siku zijazo, 'Nini maana ya mawe haya kwenu?'
at det skal være et Tegn midt iblandt eder, naar eders Børn herefter spørge og sige: Hvad betyde eder disse Stene?
7 Ndipo mtakapowaambia, 'Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh. Lililpopitishwa katika Yordani, maji ya Yordani yalisimamishwa. Hivyo, mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.'”
Og I skulle sige til dem, at Jordanens Vand blev afskaaret for Herrens Pagts Ark; der den gik igennem Jordanen, da blev Jordanens Vand afskaaret; og disse Stene skulle være til en Ihukommelse for Israels Børn evindeligen.
8 Watu waisraeli walifanya kama Yoshua alivyowaagiza, na walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani, kama Yahweh alivyomwambia Yoshua, walipangwa sawa sawa na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli. Waliyachukua mawe mpaka mahali walipolala na wakayaweka chini huko.
Og Israels Børn gjorde saaledes, som Josva bød, og optoge tolv Stene midt af Jordanen, som Herren havde sagt til Josva, efter Tallet paa Israels Børns Stammer; og de førte dem med sig over til det Sted, hvor de bleve om Natten, og de lode dem blive der.
9 Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani, katika sehemu ambapo ilisimama miguu ya makuhani waliolichukua sanduku la agano. Na kumbukumbu hiyo ipo hadi leo.
Og tolv Stene oprejste Josva midt i Jordanen, nede, hvor Præsterne, som bare Pagtens Ark, havde staaet med deres Fødder, og de ere der indtil denne Dag.
10 Makuhani waliolichukua sanduku walisimama katikati ya Yordani mpaka pale kila kitu ambacho Yahweh alimwamuru Yoshua kuwaambia watu kilipokamilika, sawa sawa na yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua. Watu walifanya haraka na wakavuka.
Og Præsterne, som bare Arken, bleve staaende midt i Jordanen, indtil hvert Ord var fuldkommet, som Herren havde talet til Folket, efter alt det, som Mose havde befalet Josva; og Folket skyndte sig og gik over.
11 Wakati watu wote walipokwisha kuvuka, sanduku la Yahweh pamoja na makuhani walivuka mbele za watu.
Og det skete, der det ganske Folk var gaaet helt over, da kom Herrens Ark og Præsterne over, for Folkets Ansigt.
12 Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi mbele ya watu wa Israeli, kama ambavyo Musa alivyowaambia.
Og Rubens Børn og Gads Børn og Halvdelen af Manasse Stamme gik over bevæbnede, foran Israels Børns Ansigt, saaledes som Mose havde talet til dem.
13 Yapata watu watu elfu arobaini walioandaliwa kwa vita walipita mbele za Yahweh, kwa ajili ya vita katika uwanda wa Yeriko.
Ved fyrretyve Tusinde, bevæbnede til Strid, gik de over for Herrens Ansigt til Krigen paa Jerikos slette Marker.
14 Katika siku hiyo Yahweh alimfanya Yoshua kuwa mkuu katika macho ya watu wote wa Israeli. Walimheshimu - kama walivyomheshimu Musa - siku zake zote.
Paa den Dag gjorde Herren Josva stor for al Israels Øjne; og de frygtede ham, saaledes som de frygtede Mose, alle hans Livs Dage.
15 Kisha Yahweh akamwambia Yoshua,
Og Herren sagde til Josva:
16 “Waamuru makuhani wanaolibeba sanduku la ushuhuda watoke katika Yordani.”
Byd Præsterne, som bære Vidnesbyrdets Ark, at de stige op af Jordanen.
17 Hivyo Yoshua akawaamuru makuhani, '' pandeni mtoke Yordani.”
Saa bød Josva Præsterne, og sagde: Stiger op af Jordanen!
18 Wakati makuhani wenye kulibeba sanduku la agano la Yahweh walitoka katikati ya Yordani, na nyayo za miguu yao ilikuwa imeinuliwa katika nchi kavu, kisha maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake kama ilivyokuwa siku nne zilizopita.
Og det skete, der Præsterne, som bare Herrens Pagts Ark, stege op midt af Jordanen, saa snart Præsternes Fodsaaler havde betraadt det tørre, da kom Jordanens Vand tilbage til sit Sted og gik som tilforn over alle sine Bredder.
19 Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, watu walikwea kutoka Yordani. Wakakaa huko Gilgali, mashariki mwa Yeriko.
Og Folket steg op af Jordanen paa den tiende Dag i den første Maaned, og de lejrede sig i Gilgal, paa Østgrænsen af Jerikos Landemærke.
20 Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani, Yoshuua aliyasimamisha hapo Gilgali.
Og de tolv Stene, som de toge af Jordanen, oprejste Josva i Gilgal.
21 Aliwaambia watu wa Israeli, “wakati watoto wenu watakapowauliza baba zao katika wakai ujao, 'Mawe haya ni ya nini?'
Og han sagde til Israels Børn: Naar eders Børn herefter spørge deres Fædre og sige: Hvad betyde disse Stene?
22 Waambieni watoto wenu, 'Hapa ndipo Waisraeli walivuka Yordani katika nchi kavu.
da skulle I kundgøre eders Børn det og sige: Israel gik paa det tørre igennem denne Jordan,
23 Yahweh Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mpaka hapo Yahweh Mungu wako aliyoyafanya katika bahari ya mianzi, ambayo aliikausha kwa ajili yetu ili tupite juu yakes,
thi Herren eders Gud udtørrede Jordanens Vande for eders Ansigt, indtil I kom over, ligesom Herren eders Gud gjorde ved det røde Hav, hvilket han udtørrede for vort Ansigt, indtil vi kom over,
24 ili kwamba watu wote wa nchi wajue kwamba mkono wa Yahweh ni nguvu, na kwamba mtamweshimu Yahweh Mungu wenu milele.''
at alle Folk paa Jorden Skulle kende Herrens Haand, at den er stærk, at I skulle frygte Herren eders Gud alle Dage.

< Yoshua 4 >