< Yoshua 3 >

1 Yoshua aliamka asubuhi na mapema, nao walisafiri kutoka Shitimu. Walifika Yordani, yeye na watu wote wa Israeli, na wakapiga kambi hapo kabla hawajavuka ng'ambo.
سپیده دم روز بعد، قوم اسرائیل همراه یوشع حرکت کردند و از شطیم کوچ نموده، تا کنار رود اردن پیش رفتند و قبل از آنکه از رود اردن عبور کنند، چند روزی در آنجا اردو زدند.
2 Baada ya siku tatu, maafisa walienda katika kambi, wakawaagiza watu,
بعد از سه روز، رهبران قوم به میان اردو رفتند و این دستور را صادر نمودند: «وقتی دیدید که کاهنان، صندوق عهد یهوه خدایتان را بر دوش گرفته‌اند و می‌برند، شما هم به دنبال آنها حرکت کنید. کاهنان، شما را هدایت خواهند نمود، زیرا تا به حال از این راه عبور نکرده‌اید. اما باید در حدود یک کیلومتر از ایشان که صندوق عهد را حمل می‌کنند فاصله بگیرید. مواظب باشید نزدیکتر نروید!»
3 “Mtakapoona sanduku la agano la Yahweh Mungu wenu, na makuhani kutoka miongoni mwa Walawi wamelibeba, ni lazima muondoke sehemu hii na kulifuata.
4 Lazima kuwe na umbali wa dhiraa elfu moja kati yenu na sanduku. Msilisogelee karibu, ili muweze kuiona njia ya kupitia, kwakuwa hamjawahi kupita njia hii kabla.
5 Yoshua akawaambia watu, “Jitakaseni ninyi wenyewe keso, kwa kuwa Yahweh atafanya maajabu miongoni mwenu.”
یوشع هم به قوم اسرائیل گفت: «امروز خود را تقدیس کنید، چون فردا خداوند برای ما معجزهٔ بزرگی انجام خواهد داد.»
6 Kisha Yoshua akawaambia makuhani, “Chukueni sanduku la agano, na kulipitisha mbele za watu.” Hivyo, wakalichukua sanduku la agano na wakaenda mbele za watu.
صبح روز بعد، یوشع به کاهنان دستور داد که صندوق عهد را بردارند و پیشاپیش قوم اسرائیل حرکت کنند. آنها نیز چنین کردند.
7 Yahweh akamwambia Yoshua, “Siku hii nitakufanya kuwa mtu mkubwa katika macho ya Waisraeli wote. Watajua kuwa kama nilivyokuwa na Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe.
خداوند به یوشع فرمود: «از امروز تو را در نظر قوم اسرائیل بسیار سرافراز خواهم نمود تا بدانند که من با تو هستم چنانکه با موسی بودم.
8 Utawaamuru makuhani ambao hulibeba sanduku la agano, 'Mtakapofika katika ukingo wa maji ya Yordani, ni lazima msimame katika Mto Yordani.'”
به کاهنانی که صندوق عهد را حمل می‌کنند بگو وقتی به رود اردن رسیدند در کنار آن توقف کنند.»
9 Kisha Yoshu akawaambia watu wa Israeli, “Njooni hapa na msikilize maneno ya Yahweh Mungu wenu.
یوشع قوم را جمع کرد و به ایشان گفت: «بیایید آنچه را که خداوند فرموده است بشنوید.
10 Kwa hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yuko miongoni mwenu na kwamba atawaondosha mbele yenu Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagrigashi, Waamori na Wayebusi.
امروز خواهید دانست که خدای زنده در میان شماست و او قبایل کنعانی، حیتی، حِوی، فَرِزی، جرجاشی، اموری و یبوسی را از سرزمینی که به‌زودی آن را تسخیر خواهید کرد، بیرون خواهد راند.
11 Tazama! Sanduku la agano la Bwana wa nchi yote litavuka mbele yenu katika Yordani.
صندوق عهد خداوند تمام دنیا، شما را به آن سوی رود اردن راهنمایی خواهد کرد!
12 Sasa chagueni wanaume kumi na wawili kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja katika kila kabila.
وقتی کف پاهای کاهنانی که صندوق عهد یهوه را حمل می‌کنند به آب رود اردن برسد، جریان آب قطع می‌شود و آب در یک جا بر روی هم انباشته می‌گردد. حال، دوازده نفر، یعنی از هر قبیله یک نفر را برای انجام وظیفهٔ مخصوصی که در نظر دارم انتخاب کنید.»
13 Wakati nyayo za miguu ya makuhani walichukualo sanduku la Yahweh, Bwana wa nchi yote, zitakapogusa maji ya Yordani, maji ya Yordani yatatindika, na hata maji yatiririkayo kutoka juu yatakoma kutiririka nayo yatasimama kama chuguu.
14 Hivyo wakati watu walipotoka ili kuvuka Yordani, makuhani waliobeba sanduku la agano waende mbele ya watu.
قوم اسرائیل اردوگاه را ترک کرده، به سوی رود اردن روانه شدند در حالی که کاهنان، صندوق عهد را برداشته، پیشاپیش آنها حرکت می‌کردند.
15 Mara tu wale walichukuao sanduku wakiisha kufika Yordani, na miguu ya watu wale waliobeba sanduku itakapotiwa katika ukingo wa maji (maana sasa Yordani hujaa hadi katika kingo zake zote katika kipindi chote cha mavuno),
آب رود اردن در این هنگام که فصل درو بود، بالا آمده بود. ولی به محض اینکه پاهای کاهنانی که صندوق عهد را حمل می‌کردند به آب رودخانه رسید،
16 maji yote yaliyotiririka kutoka juu yalisimama katika chuguu kimoja. Maji yakakoma kutiririka kutoka katika umbali mrefu. Maji yaliacha kutiririka kutoka Adam, mji ulio karibu na Zarethani, hadi bahari ya Negevu, Bahari ya Chumvi. Na watu walivuka ng'ambo karibu na Yeriko.
ناگهان جریان آب در بالای رودخانه در شهری به نام آدم که نزدیک صرتان است متوقف شده، روی هم انباشته گردید و آبی که پایینتر از آن نقطه بود به دریای نمک ریخت، به طوری که قوم اسرائیل توانستند از آنجا که روبروی اریحا بود عبور کنند.
17 Makuhani waliolibeba sanduku la agano la Yahweh walisimama katika nchi kavu katikati ya Yordani mpaka watu wote wa Israeli walipokwisha kuvuka katika nchi kavu.
کاهنانی که صندوق عهد خداوند را حمل می‌کردند در وسط راه خشک، میان رودخانه ایستادند تا اینکه همهٔ قوم به آن طرف رودخانه رسیدند!

< Yoshua 3 >