< Yoshua 24 >
1 Kisha Yoshua aliyakusanya pamoja makabila yote ya Israeli huko Shekemu na aliwaita wazee wa Israeli, viongozi, waamuzi na maafisa wao, nao wakajihudhurisha mbele za Mungu.
Potem Jozue zebrał wszystkie pokolenia Izraela w Sychem i zwołał starszych Izraela, jego naczelników, jego sędziów i jego przełożonych, a ci stawili się przed Bogiem.
2 Yoshua akawaambia watu wote, “Hiki ndicho Yahweh, Mungu wa Israeli anachokisema, 'Mababu zenu kwa miaka mingi iliyopita waliishi ng'ambo ya mto Frati - Tera, baba wa Ibrahimu na baba wa Nahori - nao waliabudu miungu mingine.
I Jozue powiedział do całego ludu: Tak mówi PAN, Bóg Izraela: Po drugiej stronie rzeki mieszkali od dawnych czasów wasi ojcowie, Terach, ojciec Abrahama i Nachora, i służyli obcym bogom.
3 Lakini nilimchukua baba yenu kutoka ng'ambo ya Frati na nikamwongoza mpaka katika nchi ya Kanaani, na nilimpa watoto wengi kupitia kwa Isaka mwanaye.
Wtedy zabrałem waszego ojca Abrahama z drugiej strony rzeki i prowadziłem go przez całą ziemię Kanaan, i rozmnożyłem jego potomstwo, dając mu Izaaka.
4 Na Isaka nikampa Yakobo na Esau. Nilimpa Esau nchi ya milima ya Seiri ili aimiliki, lakini Yakobo na watoto wake walishuka kwenda Misri.
Dałem też Izaakowi Jakuba i Ezawa, a Ezawowi dałem górę Seir, aby ją posiadł, ale Jakub i jego synowie zeszli do Egiptu.
5 Nilimtuma Musa na Haruni, na niliwapiga Wamisri kwa mapigo. Baada ya hapo, niliwatoa ninyi.
I posłałem Mojżesza i Aarona, i ukarałem Egipt plagami, które uczyniłem pośród niego. Potem wyprowadziłem was.
6 Niliwatoa baba zenu nje ya nchi ya Misri, nanyi mkafika hata katika bahari. Wamisri waliwafuata kwa magari na wapanda farasi hata katika bahari ya matete.
I wyprowadziłem waszych ojców z Egiptu, i przybyliście nad morze, a Egipcjanie ścigali waszych ojców na rydwanach i koniach aż do Morza Czerwonego.
7 Na baba zenu walipomwita Yahweh, aliweka giza kati yenu na Wamisri. Aliileta bahari ije juu yao na kuwafunika. Mliona yale niliyoyakifanya huko Misri. Kisha mliishi jangwaani kwa muda mrefu.
Wtedy wołali do PANA, a on uczynił ciemność między wami a Egipcjanami i sprowadził na nich morze, które ich okryło. Wasze oczy widziały, co uczyniłem w Egipcie. I przebywaliście na pustyni przez długi czas.
8 Niliwaleta katika nchi wa Waamori, ambao waliishi katika upande mwingine mwa Yordani. Walipigana nanyi, nami niliwatia katika mkono wenu. Mliimiliki nchi yao, nami niliwaangamiza mbele yenu.
Potem przyprowadziłem was do ziemi Amorytów mieszkających za Jordanem, którzy walczyli przeciwko wam; ale oddałem ich w wasze ręce i posiedliście ich ziemię, a zgładziłem ich przed wami.
9 Kisha Balaki mwana wa Zipori, mfalme wa Moabu, aliinuka na kuishambulia Israeli. Alimwita na kumtuma Baalamu mwana wa Beori, ili kuwalaani ninyi.
Powstał też Balak, syn Sippora, król Moabu, aby walczyć przeciw Izraelowi. Posłał też i wezwał Balaama, syna Beora, aby was przeklinał.
10 Lakini sikumsikiliza Balaamu. Kwa hakika, aliwabarikia ninyi. Basi, niliwaokoa na mkono wake.
I nie chciałem słuchać Balaama; dlatego raczej błogosławił wam. I tak wybawiłem was z jego rąk.
11 Mlivuka Yordani na mkafika Yeriko. Viongozi wa Yeriko waliinuka wapigane nanyi, pamoja na Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi na Wayebusi. Niliwapa ninyi ushindi dhidi yao na niliwaweka chini ya mamlaka yenu.
Przeprawiliście się potem przez Jordan i przyszliście do Jerycha. I walczyli przeciwko wam ludzie z Jerycha, [a także] Amoryci, Peryzzyci, Kananejczycy, Chetyci, Girgaszyci, Chiwwici i Jebusyci, ale oddałem ich w wasze ręce.
12 Nilituma manyingu mbele yenu, ambayo yaliwafukuzia mbali na wafalme wawili wa Waamori watoke mbele yenu. Haikutokea kwa sababu ya upanga wenu wala kwa upinde wenu.
I wysłałem przed wami szerszenie, które wypędziły przed wami dwóch królów amoryckich – nie twoim mieczem ani twoim łukiem.
13 Niliwapeni ninyi nchi ambayo hamkuifanyia kazi na miji ambayo hamkuijenga, na sasa mnaishi ndani yake. Mnakula matunda ya mizabibu na na mashamba ya mizeituni ambayo hamkuyapanda'.
I dałem wam ziemię, na której nie trudziliście się, i miasta, których nie budowaliście, a w których mieszkacie; spożywacie z winnic i sadów oliwnych, których nie sadziliście.
14 Basi sasa mcheni Yahweh na kumwabudu yeye kwa uadilifu na uaminifu wote; jitengeni na miungu ambayo baba zenu waliiabudu ng'ambo ya Frati na katika Misri, na mkamwabudu Yahweh.
Teraz więc bójcie się PANA i służcie mu w szczerości i prawdzie. Usuńcie bogów, którym służyli wasi ojcowie za rzeką i w Egipcie, a służcie PANU.
15 Na kama inaonekana kuwa ni vibaya machoni penu kumwabudu Yahweh, chagueni ninyi katika siku hii ya leo ni nani mtakayemtumikia, kama ni miungu ambayo baba zenu waliiabudu ng'ambo ya Frati, au miungu ya Waamori, ambao ninyi mnakaa ndani ya nchi yao. Lakini kwangu mimi na nyumba yangu, tutumwabudu Yahweh.”
A jeśli wam się zdaje, że źle jest służyć PANU, wybierzcie sobie dziś, komu będziecie służyć: czy bogom, którym służyli wasi ojcowie po drugiej stronie rzeki, czy bogom Amorytów, w których ziemi mieszkacie. Lecz ja i mój dom będziemy służyli PANU.
16 Watu walijibu na kusema, “Hatutaweza kumwacha Yahweh na kuitumikia miungu mingine,
I lud odpowiedział: Nie daj Boże, byśmy mieli opuścić PANA, a służyć cudzym bogom.
17 kwa kuwa ni Yahweh Mungu wetu ambaye alitutoa sisi na baba zetu kutoka katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa, na ambaye alifanya hizo ishara kubwa mbele yetu, na ambaye alituhifadhi sisi katika njia zote ambazo sisi tuliziendea, na miongoni mwa mataifa yote ambayo tulipita kati kati yake,
PAN bowiem, nasz Bóg, to on wyprowadził nas i naszych ojców z ziemi Egiptu, z domu niewoli, i uczynił na naszych oczach te wielkie znaki, i strzegł nas przez całą drogę, którą szliśmy, i wśród wszystkich ludów, między którymi przechodziliśmy;
18 Na Yahweh aliwaondoa mbele yetu watu wote, na Waamori walioishi katika nchi hii. Hivyo, tutamwabudu Yahweh pia, kwa kuwa ni Mungu wetu”
I PAN wypędził przed nami wszystkie ludy i Amorytów mieszkających na tej ziemi. Tak więc będziemy służyli PANU, bo on [jest] naszym Bogiem.
19 Lakini Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Yahweh, kwa kuwa ni Mungu mtakatifu; ni Mungu mwenye wivu; hatawasamehe makosa na dhambi zenu.
Wtedy Jozue powiedział do ludu: Nie możecie służyć PANU, gdyż on jest Bogiem świętym, Bogiem zazdrosnym, nie przebaczy waszych przestępstw ani waszych grzechów.
20 Kama mtamwacha Yahweh na kuabudu miungu ya kigeni, basi atageuka na kuwaharibu. Atawaangamizeni baada ya kuwa amewatendea mema.”
Jeśli opuścicie PANA, a będziecie służyli cudzym bogom, odwróci się [od was], ześle na was nieszczęście i zniszczy was, choć przedtem dobrze wam czynił.
21 Lakini watu walimwambia Yoshua, “Hapana, tutamwabudu Yahweh.”
I lud odpowiedział Jozuemu: Nie tak, ale PANU będziemy służyć.
22 Kisha Yoshua akawaambia watu, “Ninyi ni mashahidi dhidi yenu wenyewe kuwa mmemchagua Yahweh ninyi wenyewe, ili mmwabudu yeye.” Watu walijibu, “Sisi ni mashahidi.”
Wtedy Jozue powiedział do ludu: Sami jesteście świadkami przeciwko sobie, że wybraliście sobie PANA, aby mu służyć. A oni powiedzieli: Jesteśmy świadkami.
23 “Sasa wekeni mbali miungu ya kigeni iliyoko kwenu, na geuzeni moyo wenu umwelekee Yahweh, Mungu wa Israeli.”
[I powiedział]: Teraz więc usuńcie cudzych bogów, którzy są pośród was, i zwróćcie wasze serca ku PANU, Bogu Izraela.
24 Watu wakamwambia Yoshua, “Tutamwabudu Yahweh Mungu wetu. Tutaisikiliza sauti yake.
I lud odpowiedział Jozuemu: PANU, naszemu Bogu, będziemy służyć i jego głosu będziemy słuchać.
25 Yoshua alifanya agano na watu siku hiyo. Aliziweka maagizo na sheria huko Shekemu.
Tak zawarł Jozue w tym dniu przymierze z ludem i nadał mu w Sychem prawo i nakaz.
26 Yoshua aliyaandika maneno haya katika kitabu cha sheria za Mungu. Alichukua jiwe kubwa na kulisimamisha hapo chini ya mti wa mwaloni uliokuwa karibu na mahali pa takatifu pa Yahweh.
I Jozue spisał te słowa w księdze Prawa Bożego, wziął też wielki kamień i postawił go pod dębem, który był przy świątyni PANA.
27 Yoshua akawaambia watu, “Tazama, jiwe hili litakuwa ushuhuda dhidi yenu. Limeyasikia maneno yote ambayo Yahweh alitwambia. Hivyo, litakuwa ni shahidi dhidi yenu, hamtakiwi kumkana Mungu wenu.”
Wtedy Jozue powiedział do całego ludu: Oto ten kamień będzie dla nas świadkiem, gdyż słyszał wszystkie słowa PANA, które powiedział do nas, i będzie świadkiem przeciwko wam, byście się nie wyparli swojego Boga.
28 Basi Yoshua aliwaacha watu waende zao, kila mmoja alienda kwenye urithi wake.
Potem Jozue odesłał lud, każdego do swego dziedzictwa.
29 Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Yahweh, alikufa akiwa na miaka 110.
Po tych wydarzeniach umarł Jozue, syn Nuna, sługa PANA, mając sto dziesięć lat.
30 Walimzika katika mpaka wa urithi wake mwenyewe huko Timnathi Sera, ambayo iko kwenye nchi ya milima ya Efraimu, upande wa Mlima Gaashi.
I pogrzebali go na obszarze jego dziedzictwa w Timnat-Serach, które znajduje się na górze Efraim, na północ od góry Gaasz.
31 Israeli ilimwabudu Yahweh siku zote za maisha ya Yoshua, na siku zote za wazee ambao walidumu pamoja na Yoshua, wale ambao waliona kila kitu ambacho Yahweh alikuwa ameifanyia Israeli.
Izrael służył PANU przez wszystkie dni Jozuego i przez wszystkie dni starszych, którzy przeżyli Jozuego, a którzy znali wszystkie dzieła PANA, jakie czynił dla Izraela.
32 Mifupa ya Yusufu ambayo watu wa Israeli waliileta kutoka Misri, waliizika huko shekemu, katika sehemu ya nchi ambayo Yakobo alikuwa ameinunua kutoka kwa wana wa Hamori, baba wa Shekemu. Aliinunua kwa vipande mia moja vya fedha, na ulikuwa urithi kwa wazawa wa Yusufu.
A kości Józefa, które synowie Izraela przenieśli z Egiptu, pogrzebali w Sychem, na części pola, które Jakub kupił od synów Chamora, ojca Sychema, za sto monet. I stało się ono dziedzictwem synów Józefa.
33 Eliazeri mwana wa Haruni alikufa pia. Walimzika huko Gibea, katika mji wa ambao alikuwa amepewa Finehasi mwanaye, na ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu.
Umarł również Eleazar, syn Aarona, i pogrzebali go na pagórku Pinchasa, jego syna, który został mu dany na górze Efraim.