< Yoshua 23 >

1 Na baada ya siku nyingi, kipindi ambacho Yahweh alikuwa ameipa Israeli pumziko kutoka maadui zao waliowazunguka,
Bertahun-tahun telah berlalu, dan TUHAN sudah membuat bangsa Israel aman dari semua musuh mereka. Ketika Yosua sudah sangat tua,
2 Joshua alikuwa mzee sana. Yoshua aliwaita Waisraeli wote, na wazee wao, na viongozi, na waamuzi, na kwa maafisa, na kisha akawaambia, “Mimi nimezeeka sana.
dia mengumpulkan para tua-tua, kepala suku, hakim, dan pengatur pasukan seluruh bangsa Israel, lalu berkata kepada mereka, “Saya sudah sangat tua.
3 Mmeshaona kila kitu ambacho Yahweh Mungu wenu ameshafanya kwa mataifa haya yote kwa ajili yenu, kwa kuwa ni Yahweh Mungu wenu ambaye amewapigania ninyi.
Selama ini kalian sudah melihat segala yang TUHAN lakukan bagi kita. TUHAN Allah kita, Dialah yang berperang melawan semua bangsa di sini demi kita.
4 Tazama! Nimeshawakabidhi kwenu mataifa yaliyosalia ili kuyateka kwa ajili ya kupata urithi ya makabila yenu, sambasamba na mataifa yote ambayo tayari nimeshayaangamiza, tangu Yordani hadi Bahari kuu katika upande wa magharibi.
Ingatlah, saya sudah membagi dengan undian seluruh daerah di sebelah barat sungai Yordan sampai ke Laut Tengah sebagai tanah warisan suku-suku kalian, baik daerah yang masih ditinggali bangsa-bangsa setempat, maupun daerah yang bangsa-bangsanya sudah kita kalahkan.
5 Yahweh Mungu wenu atayaondoa. Atayafukuzia mbali kutoka kwenu. Ataiteka nchi yao, nanyi mtaimiliki nchi yao, kama vile Yahweh Mungu wenu alivyowaahidi ninyi.
TUHANlah yang akan mengusir mereka dari hadapan kalian, sehingga kalian dapat menguasai tanah mereka seperti yang TUHAN janjikan kepadamu.
6 Hivyo, iweni jasiri, ili kwamba mtunze na kuyafanya yale yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa, msikengeuke upande wa kulia wala upande wa kushoto,
“Karena itu, kalian harus benar-benar kuat dan taat dalam melakukan semua yang ditulis dalam kitab Taurat. Janganlah menyimpang dari semuanya itu.
7 basi msichanganyikane na mataifa haya ambayo yamesalia miongoni mwenu, wala msiyataje majina ya miungu yao, wala msiape kwayo, wala msiiabudu, wala msiipigie magoti.
Jangan bercampur dengan bangsa-bangsa yang masih tinggal di antaramu. Kalian tidak boleh bersumpah memakai nama dewa mereka, bahkan jangan menyebut nama dewa mereka sama sekali! Kalian tidak boleh mengabdi ataupun bersujud menyembah dewa mereka!
8 Badala yake, mnatakiwa kumshika sana Yahweh Mungu wenu kama vile mlivyofanya siku hii ya leo.
Kalian harus setia kepada TUHAN Allahmu, seperti yang selama ini kalian lakukan sampai sekarang.
9 Kwa kuwa Yahweh ameyafukuzia mbali mbele yenu mataifa makubwa yenye nguvu. Hakuna hata mmoja aliyeweza kusimama mbele yenu hata siku hii ya leo.
“TUHAN sudah mengusir dari hadapan kalian bangsa-bangsa yang besar dan kuat. Sampai hari ini, tidak ada satu pun bangsa yang dapat bertahan melawan kalian.
10 Mtu yeyote mmoja wa kwenu atawafanya watu elfu wakimbie mbali, kwa kuwa Yahweh Mungu wenu, ndiye anayepigania ninyi, kama vile alivyowaahidi.
Satu orang dari kalian dapat mengalahkan seribu orang, karena TUHAN Allahmu berperang bagi kalian, seperti yang Dia janjikan kepadamu.
11 Zingatieni kwa uangalifu ili mmpende Yahweh Mungu wenu.
Karena itu, pastikanlah baik-baik untuk mengasihi TUHAN Allahmu!
12 Lakini kama mkiegeuka na kushikamana na watu walioalia wa mataifa haya waliobaki miongoni mwenu, au kuoana nao, au kama mkishirikiana pamoja nao, na wao pamoja nanyi,
“Kalau kalian tidak setia kepada-Nya dan berbaur dengan bangsa-bangsa lain yang tersisa di antara kalian, menikah dengan mereka, dan bergaul dengan mereka,
13 jueni kwa hakika kwamba Yahweh Mungu wenu hatayafukuzia mbali mataifa haya yatoke kati yenu. Badala yake, watakuwa kitanzi na mtego kwenu, viboko migongoni mwenu na miiba machoni mwenu, mpaka pale mtakapoangamia katika nchi hii nzuri ambayo Yahweh Mungu wenu amewapeni ninyi.
ketahuilah, TUHAN Allahmu pasti tidak akan mengusir bangsa-bangsa ini dari hadapan kalian lagi. Mereka akan menjadi jerat atau perangkap bagi kalian. Mereka akan membuat kalian menderita, seperti cambuk pada punggung dan duri pada mata, hingga kalian binasa dari tanah yang baik ini, yang diberikan TUHAN kepada kalian.
14 Na sasa ninaenda katika njia ya dunia yote, na mnajua kwa moyo na roho zenu zote kwamba hakuna hata neno moja ambalo halijatimia kati ya mambo yote mazuri ambayo Yahweh Mungu wenu aliyaahidi juu yenu. Vitu hivi vyote vimetokea kwa ajili yenu. Hakuna hata moja lililoshindikana.
“Sebentar lagi saya akan mati. Kalian semua tahu benar bahwa TUHAN Allahmu sudah memenuhi semua hal baik yang Dia janjikan kepadamu. Tidak ada satu pun yang tidak dipenuhi.
15 Lakini kama kila neno ambalo Yahweh Mungu wenu alilowaahidi limekwisha kutimia, hivyo Yahweh atawaletea juu yenu mabaya yote mpaka pale atakapokuwa amewaangamiza katika nchi hii nzuri ambayo Yahweh Mungu wenu amewapeni ninyi.
Tetapi sebagaimana TUHAN Allahmu sudah memberikan segala yang baik kepada kalian, Dia pasti juga akan menggenapi kutukan-Nya bila kalian melanggar perjanjian-Nya dengan menyembah dewa-dewa. Dia akan sangat marah dan segera membinasakan kalian dari negeri yang baik ini, yang sudah Dia berikan kepadamu.”
16 Atafanya hivi kama mtalivunja agano la Yahweh Mungu wenu, ambalo aliwaagizeni kulitunza. Kama mtaenda na kuiabudu miungu mingine na kuiinamia, ndipo hasira ya Yahweh itawaka kinyume nanyi, na ninyi mtaangamia upesi katika nchi nzuri ambayo amekwisha kuwapeni ninyi.”

< Yoshua 23 >