< Yoshua 23 >

1 Na baada ya siku nyingi, kipindi ambacho Yahweh alikuwa ameipa Israeli pumziko kutoka maadui zao waliowazunguka,
Und es geschah nach vielen Tagen, nachdem Jehovah Israel von allen seinen Feinden ringsumher zur Ruhe gebracht, und Joschua alt und betagt war,
2 Joshua alikuwa mzee sana. Yoshua aliwaita Waisraeli wote, na wazee wao, na viongozi, na waamuzi, na kwa maafisa, na kisha akawaambia, “Mimi nimezeeka sana.
Da rief Joschua ganz Israel, seine Ältesten und seine Häupter und seine Richter und seine Vorsteher und sprach zu ihnen: Ich bin alt geworden und betagt,
3 Mmeshaona kila kitu ambacho Yahweh Mungu wenu ameshafanya kwa mataifa haya yote kwa ajili yenu, kwa kuwa ni Yahweh Mungu wenu ambaye amewapigania ninyi.
Und ihr habt gesehen alles, was Jehovah, euer Gott, all diesen Völkerschaften vor euch her getan hat; denn Jehovah, euer Gott, war es, Der für euch stritt.
4 Tazama! Nimeshawakabidhi kwenu mataifa yaliyosalia ili kuyateka kwa ajili ya kupata urithi ya makabila yenu, sambasamba na mataifa yote ambayo tayari nimeshayaangamiza, tangu Yordani hadi Bahari kuu katika upande wa magharibi.
Sehet, ich habe euch diese Völkerschaften, die verbleiben, nach euren Stämmen zum Erbe zufallen lassen, vom Jordan an, und alle Völkerschaften, die ich ausgerottet habe, bis an das große Meer, wo die Sonne untergeht.
5 Yahweh Mungu wenu atayaondoa. Atayafukuzia mbali kutoka kwenu. Ataiteka nchi yao, nanyi mtaimiliki nchi yao, kama vile Yahweh Mungu wenu alivyowaahidi ninyi.
Und Jehovah, euer Gott, Er wird sie vertreiben, vor euch her und sie vor euch austreiben, daß ihr deren Land einnehmet, wie Jehovah, euer Gott, zu euch geredet hat.
6 Hivyo, iweni jasiri, ili kwamba mtunze na kuyafanya yale yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa, msikengeuke upande wa kulia wala upande wa kushoto,
So seid denn sehr stark und haltet und tut alles, was in Moses Buche des Gesetzes geschrieben ist, daß ihr davon nicht abweichet weder zur Rechten, noch zur Linken;
7 basi msichanganyikane na mataifa haya ambayo yamesalia miongoni mwenu, wala msiyataje majina ya miungu yao, wala msiape kwayo, wala msiiabudu, wala msiipigie magoti.
Auf daß ihr nicht unter diese Völkerschaften eingeht, die noch bei euch verbleiben, und nicht des Namens ihrer Götter gedenkt, noch bei ihnen schwört und ihnen nicht dient, noch sie anbetet;
8 Badala yake, mnatakiwa kumshika sana Yahweh Mungu wenu kama vile mlivyofanya siku hii ya leo.
Sondern nur Jehovah, eurem Gotte, anhanget, wie ihr getan habt bis auf diesen Tag.
9 Kwa kuwa Yahweh ameyafukuzia mbali mbele yenu mataifa makubwa yenye nguvu. Hakuna hata mmoja aliyeweza kusimama mbele yenu hata siku hii ya leo.
Und Jehovah trieb große und mächtige Völkerschaften vor euch aus, und ihr, kein Mann bestand vor euch, bis auf diesen Tag.
10 Mtu yeyote mmoja wa kwenu atawafanya watu elfu wakimbie mbali, kwa kuwa Yahweh Mungu wenu, ndiye anayepigania ninyi, kama vile alivyowaahidi.
Ein Mann von euch setzt Tausenden nach; denn Jehovah, euer Gott, ist es, Der für euch streitet, wie Er zu euch geredet hat.
11 Zingatieni kwa uangalifu ili mmpende Yahweh Mungu wenu.
So hütet euch sehr für eure Seelen, daß ihr Jehovah, euren Gott, liebt.
12 Lakini kama mkiegeuka na kushikamana na watu walioalia wa mataifa haya waliobaki miongoni mwenu, au kuoana nao, au kama mkishirikiana pamoja nao, na wao pamoja nanyi,
Denn wenn ihr euch wieder zurückwendet und euch hängt an diese übrigen Völkerschaften, die unter euch verblieben, und euch verschwägert mit ihnen und unter sie eingehet und sie unter euch;
13 jueni kwa hakika kwamba Yahweh Mungu wenu hatayafukuzia mbali mataifa haya yatoke kati yenu. Badala yake, watakuwa kitanzi na mtego kwenu, viboko migongoni mwenu na miiba machoni mwenu, mpaka pale mtakapoangamia katika nchi hii nzuri ambayo Yahweh Mungu wenu amewapeni ninyi.
So werdet ihr erfahren, daß Jehovah, euer Gott, diese Völkerschaften nicht ferner austreibt vor euch, daß sie euch zur Schlinge und zum Fallstrick werden und zur Geißel an euren Seiten und zu Stacheln in euren Augen, bis daß ihr umkommt von diesem guten Boden, den euch Jehovah, euer Gott, gegeben hat.
14 Na sasa ninaenda katika njia ya dunia yote, na mnajua kwa moyo na roho zenu zote kwamba hakuna hata neno moja ambalo halijatimia kati ya mambo yote mazuri ambayo Yahweh Mungu wenu aliyaahidi juu yenu. Vitu hivi vyote vimetokea kwa ajili yenu. Hakuna hata moja lililoshindikana.
Und siehe, ich gehe heute den Weg aller Erde; ihr aber sollt wissen von eurem ganzen Herzen und von eurer ganzen Seele, daß kein einziges Wort von all den guten Worten, die Jehovah, euer Gott, über euch geredet hat, weggefallen, daß alle über euch gekommen sind, kein einziges Wort davon ist weggefallen.
15 Lakini kama kila neno ambalo Yahweh Mungu wenu alilowaahidi limekwisha kutimia, hivyo Yahweh atawaletea juu yenu mabaya yote mpaka pale atakapokuwa amewaangamiza katika nchi hii nzuri ambayo Yahweh Mungu wenu amewapeni ninyi.
Und es wird geschehen, daß, sowie jedes gute Wort, das Jehovah, euer Gott, zu euch geredet hat, über euch kam, so Jehovah über euch jedes böse Wort kommen läßt, bis daß Er euch von diesem guten Boden, den euch Jehovah, euer Gott, gegeben hat, vernichtet hat.
16 Atafanya hivi kama mtalivunja agano la Yahweh Mungu wenu, ambalo aliwaagizeni kulitunza. Kama mtaenda na kuiabudu miungu mingine na kuiinamia, ndipo hasira ya Yahweh itawaka kinyume nanyi, na ninyi mtaangamia upesi katika nchi nzuri ambayo amekwisha kuwapeni ninyi.”
So ihr den Bund Jehovahs, eures Gottes, überschreitet, den Er euch geboten, und hingeht und anderen Göttern dient und sie anbetet, so wird der Zorn Jehovahs wider euch entbrennen, und ihr werdet eilends umkommen von dem guten Land, das Er euch gegeben hat.

< Yoshua 23 >