< Yoshua 22 >

1 Kwa wakati huo, Yoshua aliwaita Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase.
Тогда созва Иисус сыны Рувимли и сыны Гадовы и полплемене Манассиина, и рече им:
2 Aliwaambia, “Mmefanya kila kitu ambacho Musa mtumishi wa Yahweh aliwaagiza ninyi. Mmeitii sauti yangu katika yote niliyowaagiza.
вы слышасте вся, елика заповеда вам Моисей раб Господень, и послушасте гласа моего, по всему елика заповедах вам:
3 Bado hamjawaacha ndugu zenu hawa kwa siku zote hizi, mpaka siku hii ya leo. Na mmetimiza wajibu unaotakiwa na amri za Yahweh Mungu wenu.
не остависте братии вашея в сия дни и множайшыя, даже до дне сего: сохранисте заповедь Господа Бога вашего:
4 Sasa Yahweh Mungu wenu amewapa pumziko ndugu zenu, kama alivyowaahidi. Hivyo basi, rudini na mwende katika hema zenu katika nchi mnayoimiliki, ambayo Musa mtumishi wa Yahweh aliwapeni katika upande mwingine wa Yordani.
ныне же упокои Господь Бог ваш братию вашу, якоже рече им: ныне убо возвратившеся отидите в домы вашя и в землю обдержания вашего, юже даде вам Моисей раб Господень об ону страну Иордана:
5 Lakini zingatieni kuzishika amri na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yahweh aliwaagiza ninyi, kumpenda Yahweh Mungu wenu, kutembea katika njia zake, kuzitunza amri zake, na kuambatana naye na kumwabudu yeye kwa moyo wenu wote na kwa roho zenu zote.
но сохраните зело творити заповеди и закон, егоже заповеда вам Моисей раб Господень, любити Господа Бога вашего и ходити во всех путех Его, хранити заповеди Его и прилежати Ему и служити Ему от всего сердца вашего и от всея души вашея.
6 Basi Yoshua akawabariki na kisha akawaacha waende zao, nao wakarudi katika hema zao.
И благословив их Иисус отпусти их: и отидоша в домы своя.
7 Na kwa nusu ya kabila la Manase, Musa alikuwa amewapa urithi katika Bashani, lakini kwa nusu ya kabila hilo, Yoshua aliwapa urithi karibu na ndugu zao katika nchi magharibi mwa Yordani. Yoshua aliwaaga waende katika hema zao; aliwabarikia,
И полу (племене) Манассиину даде Моисей (обдержание) в Васане, и половине даде Иисус с братиею их у Иордана к морю. И егда отпусти их Иисус в домы их, и благослови их:
8 na kisha akawaambia, “Rudini katika hema zenu mkiwa na pesa nyingi, na mkiwa na mifugo mingi, pamoja na na fedha, na dhahabu, na shaba na chuma, na nguo nyingi. Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua kutoka kwa maadui zenu.
и со имением многим отидоша в домы своя: и скоты многи зело, и сребро и злато, и медь и железо, и ризы многи зело, и разделиша плен врагов своих с братиею своею.
9 Hivyo, wazawa wa Rubeni, wazawa wa Gadi na nusu ya kabila la Manase walirudi nyumbani, waliwaacha watu wa Isaeli hapo Shilo, ambayo imo ndani ya nchi ya Kanaani. Waliondoka wakaenda katika mkoa wa Gileadi, katika nchi yao, ambayo wao wenyewe waliimiliki, katika utiifu wa amri za Yahweh, kwa mkono wa Musa.
И возвратившеся отидоша сынове Рувимли и сынове Гадовы и полплемене Манассиина от сынов Израилевых, от Силома земли Ханаани, отити в землю Галаадску, в землю обдержания своего, юже наследиша по повелению Господню рукою Моисеовою.
10 Nao walipofika hapo Yordani iliyo katika nchi ya Kanaani, Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase walijenga madhabahu karibu na Yordani, madhabahu kubwa na iliyotokeza na mashuhuri.
И приидоша в Галилоф Иорданск, иже есть в земли Ханаани: и создаша сынове Рувимли и сынове Гадовы и полплемене Манассиина тамо олтарь у Иордана, олтарь велик еже видети.
11 Watu wa Israeli walisikia habari hizo na wakaseam, “Tazama! Watu wa Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu mbele ya nchi ya Kanaani, huko Gelilothi, katika mkoa karibu na Yordani, katika upande ambao ni miliki ya watu wa Israeli.”
И услышаша сынове Израилевы глаголющих: се, создаша сынове Рувимли и сынове Гадовы и полплемене Манассиина олтарь у пределов земли Ханаани, в галилофе у Иордана об ону страну сынов Израилевых.
12 Wakati watu wa Israeli waliposikia hivyo, kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika kwa pamoja huko Shilo ili wapande kupigana vita nao.
И услышаша сынове Израилевы, и собрашася вси сынове Израилевы в Силон, еже возшедше воевати их.
13 Kisha watu wa Israeli walituma wajumbe kwa Warubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi. Walimtuma pia Finehasi mwana wa Eliezari, kuhani,
И послаша сынове Израилевы к сыном Рувимлим и к сыном Гадовым и к полуплемени Манассиину в землю Галаадску Финееса сына Елеазара, сына Аарона жерца,
14 na viongozi kumi pamoja naye, mmoja kutoka katika familia za mababa wa Israeli, na kila mmoja wao alikuwa ni kiongozi wa ukoo miongoni mwa watu wa Israeli.
и десять князей с ним: князь един от дому отечества, от всех племен сынов Израилевых: мужие князи домов отечеств их, иже суть тысященачалницы Израилевы.
15 Walienda kwa watu wa Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi, na wakawaambia:
И приидоша к сыном Рувимлим и к сыном Гадовым и к полуплемени Манассиину в землю Галаадову, и реша к ним, глаголюще:
16 “Kusanyiko lote la Yahweh linasema kuwa, ' Ni jambo gani hili lisilo la uaminifu ambalo mmelitenda kinyume na Mungu wa Israeli, kwa kugeuka badala ya kumfuata Yahweh siku hii na kujijengea wenyewe madhabahu katika uasi kinyume na Yahweh katika siku hii?
сия глаголет весь сонм Господень: кое прегрешение сие, имже согрешисте пред Господем Богом Израилевым, отвратитися днесь от Господа Бога Израилева, создавше себе требище, еже отступником вам быти днесь от Господа?
17 Je dhambi zetu huko Peori hazikututosha? Bado hata sasa hatujajitakasa wenyewe kwa dhambi hiyo. Kwa ajili ya dhambi ile lilikuja pigo kwa kusanyiko lote la Yahweh.
Еда мал вам грех Фогоров, яко не очистихомся от него даже до сего дне? И бысть язва в сонме Господни:
18 Je, nanyi leo pia mwageuka na kuacha kumfuata Yahweh? Kama mtaasi kinyume na Yahweh leo, kesho atakuwa na hasira na kusanyiko lote la Israeli.
и вы отвратистеся днесь от Господа: и будет егда отступите днесь от Господа, и заутра на всем Израили будет гнев Господень:
19 Na kama nchi ambayo mnaimiliki imetiwa unajisi, basi mwaweza kuvuka katika nchi ambayo Sanduku la Yahweh lasimama na mjichukulie kwa ajili yenu umiliki miongoni mwetu. Hamtakiwi kuasi kinyume na Yahweh tu, wala kuasi kinyume chetu kwa kujenga madhabahu kwa ajili yenu wenyewe badala ya madhabahu ya Yahweh Mungu wa wetu.
и ныне аще мала вам земля обдержания вашего, прейдите вы в землю обдержания Господня, идеже пребывает скиния Господня, и наследите среде нас, и не будите отступницы от Господа, и от нас не отступите, за еже создати вам требище кроме олтаря Господа Бога нашего:
20 Je hakuwa Akani mwana wa Zera aliyeivunja imani kwa vitu vile ambavyo vilikuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu? Na je ghadhabu ya Mungu haikushuka kwa watu wote wa Israeli? Mtu yule hakuangamia peke yake kwa uovu wake.
не се ли Ахар сын Заранов прегрешением прегреши от проклятия, и бысть на весь сонм Израилев гнев? Аще и един бяше, но не един умре грехом своим.
21 Kisha makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wakawajibu wazee wa koo za Israeli:
И отвещаша сынове Рувимли и сынове Гадовы и полплемене Манассиина, и реша тысященачалником Израилевым, глаголюще:
22 “Yahweh, Mungu Mwenye nguvu! Yahweh, Mungu Mwenye nguvu! Yeye anajua, na Israeli naijue yenyewe! Kama ilikuwa ni katika uasi au katika kuvunja imani kinyume na Yahweh, msituache hai katika siku hii ya leo
Бог бог, Господь есть, и Бог бог Господь Сам весть, и Израиль сам познает, аще во отступлении прегрешихом пред Господем, да не избавит нас во днешний день:
23 kwa ajili ya kujenga madhabahu ili tugeuka na kuacha kumfuata Yahweh. Kama tumejenga madhabahu hii ili kutoa juu yake sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, au sadaka ya amani, basi Yahweh na atuadhibu.
и аще создахом себе требище, еже отступити нам от Господа Бога нашего, или вознести нам нань жертву всесожжений, или еже сотворити на нем жертву спасения, Сам Господь взыщет:
24 La hasha, tulifanya hivyo kwa sababu ya hofu kwamba katika siku zijazo watoto wenu wanaweza kuwaambia watoto wetu, ' Mna nini ninyi na Yahweh, Mungu wa Israeli?
но ради благоговения глагола сотворихом сие, глаголюще: да не рекут заутра чада ваша чадом нашым, глаголюще: что вам и Господеви Богу Израилеву?
25 Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi. Ninyi watu wa Rubeni na watu wa Gadi, hamna kitu chochote naYahweh.' Na kwa hali hiyo, watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waacha kumwabudu Yahweh.
И пределы постави Господь между вами и нами, сынове Рувимли и сынове Гадовы, Иордан, и несть вам части Господни: и отчуждят сынове ваши сынов наших, яко да не служат Господу:
26 Basi tukasema, 'Hebu na tujenge sasa madhabahu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa wala si kwa sadaka yoyote ile,
и рекохом сотворити сице, еже создати требище сие, не приношений ради, ниже жертв ради,
27 ila iwe ni ushahidi kati yetu na ninyi, na kati ya kizazi chetu baada yetu, kwamba tutafanya ibada ya Yahweh mbele yake, pamoja na sadaka zetu za kuteketezwa na dhabihu zetu na sadaka zetu za amani, ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, “Hamna sehemu katika Yahweh.”'
но да будет свидетелство сие между вами и нами и между роды нашими по нас, еже служити службу Господеви пред ним в приношениих наших и в жертвах наших и в жертвах спасений наших: и да не рекут чада ваша заутра чадом нашым: несть вам части Господни.
28 Hivyo tukasema, 'kama hili litasemwa kwa kwetu au kwa watoto wetu katika siku zijazo, tutasema, “Tazama! Huu ni mfano wa madhabahu ya Yahweh, ambayo mababu zetu waliifanya, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala si kwa dhabihu, bali kwa ajili ya ushahidi kati yetu ninyi.”
И рекохом: аще будет когда, и возглаголют к нам или к родом нашым заутра и рекут: зрите подобие жертвенника Господня, егоже сотвориша отцы наши, не приношения ради, ниже жертв ради, но свидетелство есть между нами и между вами и между сыны нашими:
29 Na iwe mbali nasi kwamba tunataka kugeuka kinyume na Yahweh, na kuacha kumfuata yeye kwa kujenga madhabahu kwa ajili sadaka ya kuteketezwa, na kwa sadaka ya nafaka, au kwa dhabihu, badala ya madhabahu ya Yahweh Mungu wetu ambayo iko mbele ya hema la kukutania.'”
да не будет убо нам отступити от Господа, еже отвратитися во днешний день от Господа, еже сотворити нам жертвенник приношением и жертвам саламин и жертве спасения, кроме олтаря Господа Бога нашего, иже есть пред скиниею Его.
30 Finehasi kuhani na viongozi wa watu, ambao ni wakuu wa koo za Waisraeli ambao walikuwa pamoja naye, waliposikia maneno amabayo watu wa Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, kwamba yalikuwa ni mazuri machoni pao.
И услышавше Финеес жрец и вси князи сонма, и тысященачалницы Израилевы, иже быша с ним, словеса сия, яже глаголаша сынове Рувимли и сынове Гадовы и полплемене Манассиина, и угодно им бысть сие.
31 Finehasi mwana wa Eliazeri kuhani aliwaambia watu wa Rubeni, Gadi na Manase, “Leo tumejua kwambaYahweh yuko miongoni mwetu, kwa kuwa hamjatenda uvunjaji wa imani kinyume naye. Sasa, mmewaokoa watu wa Israeli kutoka katika mkono wa Yahweh.”
И рече Финеес жрец сыном Рувимлим и сыном Гадовым и полуплемени Манассиину: днесь познахом, яко с нами есть Господь, иже не погрешисте пред Господем прегрешения, но днесь избависте сыны Израилевы от руки Господни.
32 Kisha Finehasi mwana wa Eliazeri kuhani, na viongozi walirudi kutoka kwa Warubeni na Wagadi, kutoka katika nchi ya Gileadi, na kurudi katika nchi ya Kanaani, kwa watu wa Israeli, na waliwaletea taarifa.
И возвратися Финеес жрец и князи отечеств от сынов Рувимлих и от сынов Гадовых и от полуплемене Манассиина от земли Галаадовы в землю Ханааню к сыном Израилевым: и отвещаша им словеса сия.
33 Taarifa yao ilikuwa nzuri katika macho ya watu wa Israeli. Watu wa Israeli walimbarikia Mungu na hawakuendelea kusema tena juu ya kuinua vita dhidi ya Warubeni na Wagadi, ili kuiharibu nchi ambayo walikuwa wanaishi.
И угодно бысть слово сие сыном Израилевым, и благословиша Бога сынове Израилевы и рекоша: ктому да не изыдем к ним на брань потребити землю сынов Рувимлих и сынов Гадовых и полуплемене Манассиина. И вселишася на ней.
34 Warubeni na Wagadi waliita ile madhabahu “Ushahidi,” kwa kuwa walisema, “Ni ushahidi miongoni mwetu kuwa Yahweh ni Mungu.”
И нарече Иисус требище сынов Рувимлих и сынов Гадовых и полуплемене Манассиина и рече: яко свидение есть между ими, яко Господь бог Бог их есть.

< Yoshua 22 >