< Yoshua 22 >

1 Kwa wakati huo, Yoshua aliwaita Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase.
Silloin kutsui Josua tykönsä Rubenilaiset, Gadilaiset ja puolen Manassen sukukuntaa:
2 Aliwaambia, “Mmefanya kila kitu ambacho Musa mtumishi wa Yahweh aliwaagiza ninyi. Mmeitii sauti yangu katika yote niliyowaagiza.
Ja sanoi heille: te piditte kaikki mitä Moses Herran palvelia teille käski, ja olette kuulleet minun ääneni kaikissa mitä minä olen teille käskenyt.
3 Bado hamjawaacha ndugu zenu hawa kwa siku zote hizi, mpaka siku hii ya leo. Na mmetimiza wajibu unaotakiwa na amri za Yahweh Mungu wenu.
Ette hyljänneet teidän veljiänne isoon aikaan tähän päivään asti, ja te piditte Herran teidän Jumalanne käskyn.
4 Sasa Yahweh Mungu wenu amewapa pumziko ndugu zenu, kama alivyowaahidi. Hivyo basi, rudini na mwende katika hema zenu katika nchi mnayoimiliki, ambayo Musa mtumishi wa Yahweh aliwapeni katika upande mwingine wa Yordani.
Ja nyt on Herra teidän Jumalanne antanut teidän veljillenne levon, niinkuin hän sanoi heille; palatkaat siis nyt ja menkäät teidän majoillenne perintömaahanne, jonka Moses Herran palvelia antoi teille tuolla puolella Jordania.
5 Lakini zingatieni kuzishika amri na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yahweh aliwaagiza ninyi, kumpenda Yahweh Mungu wenu, kutembea katika njia zake, kuzitunza amri zake, na kuambatana naye na kumwabudu yeye kwa moyo wenu wote na kwa roho zenu zote.
Ainoastaan ottakaat visusti vaari, että te teette sen käskyn ja lain jälkeen, jonka Moses Herran palvelia on teille käskenyt, että te rakastatte Herraa teidän Jumalaanne, ja vaellatte kaikissa hänen teissänsä, ja pidätte hänen käskynsä, ja riiputte hänessä kiinni, ja palvelette häntä kaikesta teidän sydämestänne ja kaikesta teidän sielustanne.
6 Basi Yoshua akawabariki na kisha akawaacha waende zao, nao wakarudi katika hema zao.
Niin Josua siunasi heitä ja antoi heidän mennä, ja he menivät majoillensa.
7 Na kwa nusu ya kabila la Manase, Musa alikuwa amewapa urithi katika Bashani, lakini kwa nusu ya kabila hilo, Yoshua aliwapa urithi karibu na ndugu zao katika nchi magharibi mwa Yordani. Yoshua aliwaaga waende katika hema zao; aliwabarikia,
Manassen puolelle sukukunnalle on Moses antanut Basanissa ja toiselle puolelle antoi Josua heidän veljeinsä keskellä tällä puolella Jordania länteen päin. Ja kuin Josua antoi heidän käydä majoillensa ja siunasi heitä,
8 na kisha akawaambia, “Rudini katika hema zenu mkiwa na pesa nyingi, na mkiwa na mifugo mingi, pamoja na na fedha, na dhahabu, na shaba na chuma, na nguo nyingi. Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua kutoka kwa maadui zenu.
Puhui hän heille, sanoen: te tulette kotia suurella saaliilla teidän majoillenne ja sangen suurella karjalaumalla, hopialla, kullalla, vaskella, raudalla ja aivan paljoilla vaatteilla; niin jakakaat teidän vihamiestenne saalis teidän veljeinne kanssa.
9 Hivyo, wazawa wa Rubeni, wazawa wa Gadi na nusu ya kabila la Manase walirudi nyumbani, waliwaacha watu wa Isaeli hapo Shilo, ambayo imo ndani ya nchi ya Kanaani. Waliondoka wakaenda katika mkoa wa Gileadi, katika nchi yao, ambayo wao wenyewe waliimiliki, katika utiifu wa amri za Yahweh, kwa mkono wa Musa.
Ja niin palasivat Rubenilaiset ja Gadilaiset ja puoli Manassen sukukuntaa, ja menivät pois Israelin lasten tyköä Silosta, joka Kanaanin maalla on, menemään Gileadin maahan, perintömaahansa, jonka he olivat perineet Herran käskyn jälkeen Moseksen kautta.
10 Nao walipofika hapo Yordani iliyo katika nchi ya Kanaani, Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase walijenga madhabahu karibu na Yordani, madhabahu kubwa na iliyotokeza na mashuhuri.
Ja kuin he tulivat Jordanin rajoille, jotka Kanaanin maassa ovat, rakensivat Rubenilaiset, Gadilaiset ja puoli Manassen sukukuntaa siinä lähes Jordania jalon suuren alttarin.
11 Watu wa Israeli walisikia habari hizo na wakaseam, “Tazama! Watu wa Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu mbele ya nchi ya Kanaani, huko Gelilothi, katika mkoa karibu na Yordani, katika upande ambao ni miliki ya watu wa Israeli.”
Ja kuin Israelin lapset kuulivat sanottavan: katso, Rubenin lapset, Gadin lapset ja puoli Manassen sukukuntaa ovat rakentaneet alttarin Kanaanin maata vastaan, lähes Jordanin rajoja Israelin lasten puolelle;
12 Wakati watu wa Israeli waliposikia hivyo, kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika kwa pamoja huko Shilo ili wapande kupigana vita nao.
Ja Israelin lapset kuulivat sen, ja koko Israelin lasten joukko kokoontui Silossa, menemään ylös sotimaan heitä vastaan.
13 Kisha watu wa Israeli walituma wajumbe kwa Warubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi. Walimtuma pia Finehasi mwana wa Eliezari, kuhani,
Ja Israelin lapset lähettivät Rubenilaisten, Gadilaisten ja puolen Manassen sukukunnan tykö Gileadin maahan Pinehaan, papin Eleatsarin pojan,
14 na viongozi kumi pamoja naye, mmoja kutoka katika familia za mababa wa Israeli, na kila mmoja wao alikuwa ni kiongozi wa ukoo miongoni mwa watu wa Israeli.
Ja kymmenen ylimmäistä päämiestä hänen kanssansa, yhden päämiehen kustakin isänsä huoneesta, kaikista Israelin sukukunnista, joista kukin oli isäinsä huonetten päämies Israelin tuhanten ylitse.
15 Walienda kwa watu wa Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi, na wakawaambia:
Ja he tulivat Rubenilaisten, Gadilaisten ja puolen Manassen sukukunnan tykö Gileadin maahan ja puhuivat heidän kanssansa, sanoen:
16 “Kusanyiko lote la Yahweh linasema kuwa, ' Ni jambo gani hili lisilo la uaminifu ambalo mmelitenda kinyume na Mungu wa Israeli, kwa kugeuka badala ya kumfuata Yahweh siku hii na kujijengea wenyewe madhabahu katika uasi kinyume na Yahweh katika siku hii?
Näin kaikki Herran kansa käski teille sanoa: mikä on se rikos, jolla te olette rikkoneet Israelin Jumalaa vastaan, kääntääksenne itsenne tänäpäivänä Herrasta pois, rakentaen itsellenne alttaria, asettaaksenne teitänne tänäpäivänä Herraa vastaan.
17 Je dhambi zetu huko Peori hazikututosha? Bado hata sasa hatujajitakasa wenyewe kwa dhambi hiyo. Kwa ajili ya dhambi ile lilikuja pigo kwa kusanyiko lote la Yahweh.
Vähäkö meillä on Peorin pahuudesta, josta emme puhtaat ole hamaan tähän päivään asti? josta myös rangaistus tuli Herran kansan päälle.
18 Je, nanyi leo pia mwageuka na kuacha kumfuata Yahweh? Kama mtaasi kinyume na Yahweh leo, kesho atakuwa na hasira na kusanyiko lote la Israeli.
Ja te käännätte itsenne tänäpäivänä Herrasta pois; niin tapahtuu, että panette itsenne tänäpänä Herraa vastaan, niin pitää huomenna hänen vihansa palaman koko Israelin kansan päälle.
19 Na kama nchi ambayo mnaimiliki imetiwa unajisi, basi mwaweza kuvuka katika nchi ambayo Sanduku la Yahweh lasimama na mjichukulie kwa ajili yenu umiliki miongoni mwetu. Hamtakiwi kuasi kinyume na Yahweh tu, wala kuasi kinyume chetu kwa kujenga madhabahu kwa ajili yenu wenyewe badala ya madhabahu ya Yahweh Mungu wa wetu.
Jos te luulette, että teidän perintömaanne on saastainen, niin tulkaat tänne ylitse Herran perintömaahan, jossa Herran maja on, ja ottakaat perintö meidän seassamme ja älkäät asettako teitänne Herraa vastaan ja meitä vastaan, rakentaen teillenne alttarin, paitsi Herran meidän Jumalamme alttaria.
20 Je hakuwa Akani mwana wa Zera aliyeivunja imani kwa vitu vile ambavyo vilikuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu? Na je ghadhabu ya Mungu haikushuka kwa watu wote wa Israeli? Mtu yule hakuangamia peke yake kwa uovu wake.
Eikö Akan Seran poika tehnyt raskaasti syntiä kirotussa, ja viha tuli koko Israelin ylitse ja ei hän yksin hukkunut pahuudessansa.
21 Kisha makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wakawajibu wazee wa koo za Israeli:
Niin vastasivat Rubenin ja Gadin lapset ja puoli Manassen sukukuntaa ja sanoivat Israelin tuhanten päämiehille:
22 “Yahweh, Mungu Mwenye nguvu! Yahweh, Mungu Mwenye nguvu! Yeye anajua, na Israeli naijue yenyewe! Kama ilikuwa ni katika uasi au katika kuvunja imani kinyume na Yahweh, msituache hai katika siku hii ya leo
Herra väkevä Jumala, Herra väkevä Jumala tietää sen, ja Israel myös mahtaa itse tietää; jos me olemme langenneet pois ja syntiä tehneet Herraa vastaan, niin älkäät auttako hän meitä tänäpäivänä.
23 kwa ajili ya kujenga madhabahu ili tugeuka na kuacha kumfuata Yahweh. Kama tumejenga madhabahu hii ili kutoa juu yake sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, au sadaka ya amani, basi Yahweh na atuadhibu.
Ja jos me olemme alttarin rakentaneet, kääntääksemme meitämme Herrasta pois ja uhrataksemme sen päällä polttouhria ja ruokauhria, taikka tehdäksemme kiitosuhria sen päällä, niin etsiköön sitä Herra.
24 La hasha, tulifanya hivyo kwa sababu ya hofu kwamba katika siku zijazo watoto wenu wanaweza kuwaambia watoto wetu, ' Mna nini ninyi na Yahweh, Mungu wa Israeli?
Ja jos emme paljo ennemmin ole sitä tehneet sen asian pelvon tähden, sanoen: tästälähin mahtaa teidän lapsenne sanoa meidän lapsillemme: mitä teidän on tekemistä Herran Israelin Jumalan kanssa?
25 Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi. Ninyi watu wa Rubeni na watu wa Gadi, hamna kitu chochote naYahweh.' Na kwa hali hiyo, watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waacha kumwabudu Yahweh.
Herra on pannut Jordanin rajamaaksi meidän ja teidän välillemme, te Rubenin ja Gadin lapset; ei ole teillä yhtään osaa Herrassa: ja niin teidän lapsenne saattavat pois meidän lapsemme Herraa pelkäämästä.
26 Basi tukasema, 'Hebu na tujenge sasa madhabahu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa wala si kwa sadaka yoyote ile,
Sentähden me sanoimme: tehkäämme se meillemme, rakentakaamme alttari, ei uhriksi eli polttouhriksi,
27 ila iwe ni ushahidi kati yetu na ninyi, na kati ya kizazi chetu baada yetu, kwamba tutafanya ibada ya Yahweh mbele yake, pamoja na sadaka zetu za kuteketezwa na dhabihu zetu na sadaka zetu za amani, ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, “Hamna sehemu katika Yahweh.”'
Mutta todistukseksi meidän ja teidän vaiheellamme, ja meidän sukumme meidän jälkeemme, tehdäksemme Herran palvelusta hänen edessänsä meidän polttouhrillamme, kiitosuhrillamme ja muilla uhreillamme; ja teidän lapsenne ei pidä tästälähin sanoman meidän lapsillemme: ei ole teillä yhtään osaa Herrassa.
28 Hivyo tukasema, 'kama hili litasemwa kwa kwetu au kwa watoto wetu katika siku zijazo, tutasema, “Tazama! Huu ni mfano wa madhabahu ya Yahweh, ambayo mababu zetu waliifanya, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala si kwa dhabihu, bali kwa ajili ya ushahidi kati yetu ninyi.”
Sillä me sanoimme: se olkoon, kuin he niin sanovat meille, taikka meidän lapsillemme tästedes, niin me taidamme sanoa: katsokaat vertausta Herran alttariin, jonka meidän vanhempamme tehneet ovat, ei polttouhriksi taikka teurasuhriksi vaan todistukseksi teidän ja meidän vaiheellamme.
29 Na iwe mbali nasi kwamba tunataka kugeuka kinyume na Yahweh, na kuacha kumfuata yeye kwa kujenga madhabahu kwa ajili sadaka ya kuteketezwa, na kwa sadaka ya nafaka, au kwa dhabihu, badala ya madhabahu ya Yahweh Mungu wetu ambayo iko mbele ya hema la kukutania.'”
Pois se meistä, että me asetamme itsemme Herraa vastaan, ja käännymme tänäpäivänä hänestä pois, ja rakennamme alttarin polttouhriksi, ruokauhriksi ja muuksi uhriksi, paitsi Herran meidän Jumalamme alttaria, joka on hänen majansa edessä.
30 Finehasi kuhani na viongozi wa watu, ambao ni wakuu wa koo za Waisraeli ambao walikuwa pamoja naye, waliposikia maneno amabayo watu wa Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, kwamba yalikuwa ni mazuri machoni pao.
Kuin Pinehas pappi ja kansan ylimmäiset ja Israelin tuhanten päämiehet, jotka olivat hänen kanssansa, kuulivat nämät sanat, jotka Rubenin, Gadin ja Manassen lapset sanoivat, kelpasi se heille sangen hyvin.
31 Finehasi mwana wa Eliazeri kuhani aliwaambia watu wa Rubeni, Gadi na Manase, “Leo tumejua kwambaYahweh yuko miongoni mwetu, kwa kuwa hamjatenda uvunjaji wa imani kinyume naye. Sasa, mmewaokoa watu wa Israeli kutoka katika mkono wa Yahweh.”
Ja Pinehas papin Eleatsarin poika sanoi Rubenin, Gadin ja Manassen lapsille: tänäpänä ymmärsimme me Herran olevan meidän kanssamme, ettette syntiä tehneet tällä rikoksella Herraa vastaan: nyt te vapahditte Israelin lapset Herran kädestä.
32 Kisha Finehasi mwana wa Eliazeri kuhani, na viongozi walirudi kutoka kwa Warubeni na Wagadi, kutoka katika nchi ya Gileadi, na kurudi katika nchi ya Kanaani, kwa watu wa Israeli, na waliwaletea taarifa.
Niin meni Pinehas papin Eleatsarin poika, ja ylimmäiset Gileadin maalta, Rubenin ja Gadin lasten tyköä Kanaanin maahan jälleen Israelin lasten tykö ja sanoi sen heille.
33 Taarifa yao ilikuwa nzuri katika macho ya watu wa Israeli. Watu wa Israeli walimbarikia Mungu na hawakuendelea kusema tena juu ya kuinua vita dhidi ya Warubeni na Wagadi, ili kuiharibu nchi ambayo walikuwa wanaishi.
Niin se kelpasi hyvin Israelin lapsille, ja Israelin lapset kunnioittivat Jumalaa ja ei enää sanoneet, että he tahtoivat sinne mennä heitä vastaan sotaväen kanssa maata hävittämään, jossa Rubenin ja Gadin lapset asuivat.
34 Warubeni na Wagadi waliita ile madhabahu “Ushahidi,” kwa kuwa walisema, “Ni ushahidi miongoni mwetu kuwa Yahweh ni Mungu.”
Ja Rubenin ja Gadin lapset kutsuivat sen alttarin, että se olis todistukseksi meidän välillämme, ja että Herra on Jumala.

< Yoshua 22 >