< Yoshua 21 >
1 Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
Levili boy başları, Kenan topraklarında, Şilo'da, Kâhin Elazar, Nun oğlu Yeşu ve İsrail oymaklarının boy başlarına giderek, “RAB, Musa aracılığıyla bize oturmak için kentler, hayvanlarımız için de otlaklar verilmesini buyurmuştu” dediler.
2 Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
Bunun üzerine İsrailliler RAB'bin buyruğu uyarınca kendi paylarından Levililer'e otlaklarıyla birlikte şu kentleri verdiler:
4 Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
İlk kura Kehat boylarına düştü. Levililer'den olan Kâhin Harun'un oğullarına kurayla Yahuda, Şimon ve Benyamin oymaklarından on üç kent verildi.
5 Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
Geri kalan Kehatoğulları'na Efrayim, Dan ve Manaşşe oymağının yarısına ait boylardan alınan on kent kurayla verildi.
6 Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
Gerşonoğulları'na kurayla İssakar, Aşer, Naftali oymaklarına ait boylardan ve Başan'da Manaşşe oymağının yarısından alınan on üç kent verildi.
7 Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
Merarioğulları'na boy sayılarına göre Ruben, Gad ve Zevulun oymaklarından alınan on iki kent verildi.
8 Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
Böylece RAB'bin Musa aracılığıyla buyurduğu gibi, İsrailliler otlaklarıyla birlikte bu kentleri kurayla Levililer'e verdiler.
9 Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
Yahuda, Şimon oymaklarından alınan ve aşağıda adları verilen kentler,
10 Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
ilk kurayı çeken Levili Kehat boylarından Harunoğulları'na ayrıldı.
11 Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
Yahuda'nın dağlık bölgesinde, Anaklılar'ın atası Arba'nın adıyla anılan Kiryat-Arba'yla –Hevron'la– çevresindeki otlaklar onlara verildi.
12 Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
Kentin tarlalarıyla köyleri ise Yefunne oğlu Kalev'e mülk olarak verilmişti.
13 Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
Kâhin Harun'un oğullarına kazayla adam öldürenler için sığınak kent seçilen Hevron, Livna,
14 Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
Yattir, Eştemoa,
15 Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
Holon, Devir,
16 Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
Ayin, Yutta ve Beytşemeş kentleriyle bunların otlakları –iki oymaktan toplam dokuz kent– verildi.
17 Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
Benyamin oymağından da Givon, Geva,
18 na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
Anatot, Almon ve bunların otlakları, toplam dört kent verildi.
19 Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
Böylece Harun'un soyundan gelen kâhinlere otlaklarıyla birlikte verilen kentlerin toplam sayısı on üçü buldu.
20 Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
Kehatoğulları'ndan geri kalan Levili ailelere gelince, kurada onlara düşen kentler Efrayim oymağından alınmıştı.
21 Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
Bunlar, Efrayim dağlık bölgesinde bulunan ve kazayla adam öldürenler için sığınak kent seçilen Şekem, Gezer,
22 na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
Kivsayim ve Beythoron olmak üzere otlaklarıyla birlikte dört kentti.
23 Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
Dan oymağından Elteke, Gibbeton, Ayalon ve Gat-Rimmon olmak üzere otlaklarıyla birlikte dört kent;
24 Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
Manaşşe oymağının yarısından da Taanak, Gat-Rimmon ve otlakları olmak üzere iki kent alındı.
26 Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
Böylece Kehatoğulları'ndan geri kalan boylara otlaklarıyla birlikte verilen kentlerin toplam sayısı onu buldu.
27 Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
Levili boylardan Gerşonoğulları'na, Manaşşe oymağının yarısına ait Başan'da kazayla adam öldürenler için sığınak kent seçilen Golan ve Beeştera, otlaklarıyla birlikte iki kent;
28 Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
İssakar oymağından alınan Kişyon, Daverat, Yarmut ve Eyn-Gannim olmak üzere otlaklarıyla birlikte dört kent;
29 Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
Aşer oymağından alınan Mişal, Avdon, Helkat ve Rehov olmak üzere otlaklarıyla birlikte dört kent;
31 Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
Naftali oymağından alınan ve kazayla adam öldürenler için sığınak kent seçilen Celile'deki Kedeş, Hammot-Dor, Kartan ve otlakları olmak üzere toplam üç kent.
33 Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
Boy sayısına göre Gerşonoğulları'na otlaklarıyla birlikte verilen kentlerin toplam sayısı on üçü buldu.
34 Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
Merarioğulları boylarına, geri kalan Levililer'e, Zevulun oymağından alınan Yokneam, Karta,
35 Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
Dimna ve Nahalal olmak üzere otlaklarıyla birlikte toplam dört kent;
36 Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
Ruben oymağından alınan Beser, Yahsa, Kedemot ve Mefaat olmak üzere otlaklarıyla birlikte dört kent;
37 na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
Gad oymağından alınan ve kazayla adam öldürenler için sığınak kent seçilen Gilat'taki Ramot, Mahanayim, Heşbon ve Yazer olmak üzere otlaklarıyla birlikte toplam dört kent verildi.
39 Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
Boy sayısına göre Merarioğulları'na, yani Levili boyların geri kalanlarına kurayla verilen kentlerin sayısı on ikiydi.
41 Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
İsrailliler'in toprakları içinde olup otlaklarıyla birlikte Levililer'e verilen kentlerin toplamı kırk sekizi buluyordu.
42 Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
Bu kentlerin hepsinin çevresinde otlakları vardı. Otlaksız kent yoktu.
43 Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
Böylece RAB atalarına vermeye ant içtiği bütün ülkeyi İsrailliler'e vermiş oldu. İsrailliler de ülkeyi mülk edinip buraya yerleştiler.
44 Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
RAB atalarına ant içtiği gibi, onları her yönden rahata erdirdi. Düşmanlarından hiçbiri onların önünde tutunamadı. RAB hepsini onların eline teslim etti.
45 Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.
RAB'bin İsrail halkına verdiği sözlerden hiçbiri boş çıkmadı; hepsi yerine geldi.