< Yoshua 21 >
1 Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
Overhodene for levittenes familier trådte frem for Eleasar, presten, og Josva, Nuns sønn, og for familie-overhodene i Israels barns stammer
2 Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
og talte til dem i Silo i Kana'ans land og sa: Herren bød ved Moses at der skulde gis oss byer å bo i med jordet omkring for vårt fe.
3 Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
Da gav Israels barn efter Herrens befaling av sine arvelodder levittene disse byer med tilhørende jorder:
4 Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
Først kom loddet ut for kahatittenes ætter, og blandt disse levitter fikk Arons, prestens, sønner ved loddkastingen tretten byer av Juda stamme og av simeonittenes stamme og av Benjamins stamme,
5 Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
og de andre Kahats barn fikk ved loddkastingen ti byer av Efra'ims stammes ætter og av Dans stamme og av den halve Manasse stamme.
6 Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
Gersons barn fikk ved loddkastingen tretten byer av Issakars stammes ætter og av Asers stamme og av Naftali stamme og av den halve Manasse stamme i Basan.
7 Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
Meraris barn fikk efter sine ætter tolv byer av Rubens stamme og av Gads stamme og av Sebulons stamme.
8 Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
Disse byer med tilhørende jorder gav Israels barn levittene ved loddkasting, således som Herren hadde befalt ved Moses.
9 Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
Av Judas barns stamme og av Simeons barns stamme avgav de de byer som nu skal nevnes:
10 Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
Arons sønner av kahatittenes ætter, de av Levis barn som loddet først kom ut for,
11 Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
fikk Arbas, anakittenes stamfars by, det er Hebron, i Juda-fjellene med tilhørende jorder rundt omkring;
12 Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
men byens mark og dens landsbyer gav de Kaleb, Jefunnes sønn, til eiendom.
13 Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
Arons, prestens, sønner fikk både Hebron, som var tilfluktsstad for manndrapere, med tilhørende jorder og Libna med jorder
14 Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Jattir med jorder og Estemoa med jorder
15 Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
og Holon med jorder og Debir med jorder
16 Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
og A'in med jorder og Jutta med jorder og Bet-Semes med jorder - ni byer av disse to stammer;
17 Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
og av Benjamins stamme: Gibeon med jorder, Geba med jorder,
18 na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
Anatot med jorder og Almon med jorder - fire byer.
19 Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
Således fikk Arons sønner, prestene, i alt tretten byer med tilhørende jorder.
20 Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
Og Kahats barns ætter av levittene - de andre av Kahats barn - fikk av Efra'ims stamme disse byer, som utgjorde deres lodd:
21 Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
De fikk Sikem, som var tilfluktsstad for manndrapere, med tilhørende jorder i Efra'im-fjellene og Geser med jorder
22 na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
og Kibsa'im med jorder og Bet-Horon med jorder - fire byer;
23 Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
og av Dans stamme: Elteke med jorder, Gibbeton med jorder,
24 Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
Ajalon med jorder, Gat-Rimmon med jorder - fire byer;
25 Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
og av den halve Manasse stamme: Ta'anak med jorder og Gat-Rimmon med jorder - to byer.
26 Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
Det var i alt ti byer med tilhørende jorder som de andre kahatitters ætter fikk.
27 Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
Og Gersons barn av levittenes ætter fikk av den halve Manasse stamme Galon i Basan, som var tilfluktsstad for manndrapere, med tilhørende jorder, og Be'estera med jorder - to byer;
28 Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
og av Issakars stamme: Kisjon med jorder, Daberat med jorder.
29 Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Jarmut med jorder, En-Gannim med jorder - fire byer;
30 Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
og av Asers stamme: Misal med jorder, Abdon med jorder,
31 Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Helkat med jorder og Rehob med jorder - fire byer;
32 Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
og av Naftali stamme: Kedes i Galilea, som var tilfluktsstad for manndrapere, med tilhørende jorder, og Hammot-Dor med jorder og Kartan med jorder - tre byer.
33 Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
Gersonittenes byer efter deres ætter utgjorde således i alt tretten byer med tilhørende jorder.
34 Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
Og Meraris barns ætter, resten av levittene, fikk av Sebulons stamme: Jokneam med jorder, Karta med jorder,
35 Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
Dimna med jorder, Nahalal med jorder - fire byer;
36 Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
og av Rubens stamme: Beser med jorder og Jahsa med jorder,
37 na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kedemot med jorder og Mefa'at med jorder - fire byer;
38 Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
og av Gads stamme: Ramot i Gilead, som var tilfluktsstad for manndrapere, med tilhørende jorder, og Mahana'im med jorder,
39 Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
Hesbon med jorder, Jaser med jorder - i alt fire byer.
40 Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
De byer som Meraris barn, resten av levittenes ætter, fikk som sin lodd efter sine ætter, var i alt tolv byer.
41 Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
I alt utgjorde levittenes byer i Israels barns eiendomsland åtte og firti byer med tilhørende jorder.
42 Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
Disse byer hadde hver for sig sine jorder rundt omkring sig; så var det med alle disse byer.
43 Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
Således gav Herren Israel hele det land han hadde svoret å ville gi deres fedre; og de inntok det og bosatte sig der.
44 Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
Og Herren lot dem ha ro på alle kanter, aldeles som han hadde tilsvoret deres fedre; og ingen av alle deres fiender kunde holde stand imot dem; alle deres fiender gav Herren i deres hånd.
45 Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.
Ikke ett ord blev til intet av alle de gode ord Herren hadde talt til Israels hus; det blev opfylt alt sammen.