< Yoshua 20 >

1 Baada ya hayo, Yahweh akamwambia Yoshua,
Och HERREN talade till Josua och sade:
2 “Waambia watu wa Israeli, na kusema, 'Chagueni miji ya makimbilio ambayo niliwaambia kupitia kwa Musa.
"Tala till Israels barn och säg: Utsen åt eder de fristäder om vilka jag har talat till eder genom Mose,
3 Fanyeni hivi ili mtu akiua mtu bila kukusudia aweze kwenda huko. Miji hii itakuwa ni sehemu ya kukimbilia kutoka kwa mtu yeyote yule anayetaka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa.
de städer till vilka en dråpare som ouppsåtligen, utan vett och vilja, har dödat någon må kunna fly; och I skolen hava dem såsom tillflyktsorter undan blodshämnaren.
4 Atakimbilia kwa mji mmoja miongoni mwa miji hiyo na atasimama mlangoni mwa lango la mji, na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule. Kisha watamwingiza ndani ya mji na watampatia sehemu yake ya kuishi miongoni mwao.
Och när någon flyr till en av dessa städer, skall han stanna vid ingången till stadsporten och omtala sin sak för de äldste i den staden; därefter må de taga honom in i staden till sig och giva honom en plats där han får bo ibland dem.
5 Na kama mtu akija akataka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa, ndipo watu wa mji hawatatakiwa kumtoa kwa wenye mamlaka mtu huyo aliyeua. Hawaruhusiwi kufanya hivyo kwasababu alimwua jirani bila kukusudia na hakuwa na chuki naye hapo awali.
Och om blodshämnaren förföljer honom, skola de icke överlämna dråparen i hans hand, eftersom han utan vett och vilja har dödat sin nästa, och utan att förut hava burit hat till honom.
6 Ni lazima akae katika mji ule mpaka pale atakapokuwa amesimama mbele ya kusanyiko kwa ajili ya kuhukumiwa, hadi pale atakapokufa mtu yule anayetumika katika nafasi ya kuhani mkuu katka siku hizo. Na kisha mtu yule aliyeua bila kukusudia aweza kurudi nyumbani kwake, katika mji ule ulikotoka.
Och han skall stanna kvar där i staden, till dess han har stått till rätta inför menigheten, och till dess den dåvarande översteprästen har dött; sedan må dråparen vända tillbaka och komma till sin stad från vilken han har flytt."
7 Kwahiyo, Waisraeli wakaichaguia Kedeshi iliyoko Galilaya katika nchi ya milima ya Nafutali, Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na Kiriathi Arba (ambayo ndio Herbroni) katika nchi ya milima ya Yuda.
Så helgade de då därtill Kedes i Galileen, i Naftali bergsbygd, Sikem i Efraims bergsbygd och Kirjat-Arba, det är Hebron, i Juda bergsbygd.
8 Katika ng'ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko, walichagua mji wa Bezeri huko nyikani katika nyanda za kabila la Rubeni; na Ramothi Gileadi kutoka kabila la Gadi; na Golani katika Bashani, kutoka katika kabila la Manase.
Och på andra sidan Jordan mitt emot Jeriko, på östra sidan, utsågo de därtill inom Rubens stam Beser i öknen på slätten, inom Gads stam Ramot i Gilead, och inom Manasse stam Golan i Basan.
9 Hii ni miji iliyochaguliwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwao, ili kwamba mtu yeyote amwuaye mtu bila kukusudia aweza kukimbilia huko kwa ajili ya kupata usalama. Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule anayetake kulipiza kisasi cha damu iliyomwagwa, mpaka hapo kwanza mtuhumiwa atakaposimama mbele ya kusanyiko la watu.
Dessa voro de städer som för alla Israels barn, och för de främlingar som bodde ibland dem, bestämdes att vara orter till vilka var och en som ouppsåtligen hade dödat någon finge fly, så att han skulle slippa dö för blodshämnarens hand, innan han hade stått till rätta inför menigheten.

< Yoshua 20 >