< Yoshua 20 >
1 Baada ya hayo, Yahweh akamwambia Yoshua,
TUHAN berkata kepada Yosua,
2 “Waambia watu wa Israeli, na kusema, 'Chagueni miji ya makimbilio ambayo niliwaambia kupitia kwa Musa.
“Sampaikanlah kepada orang Israel untuk memilih kota-kota yang akan dijadikan tempat perlindungan, seperti yang Aku perintahkan kepadamu melalui Musa.
3 Fanyeni hivi ili mtu akiua mtu bila kukusudia aweze kwenda huko. Miji hii itakuwa ni sehemu ya kukimbilia kutoka kwa mtu yeyote yule anayetaka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa.
Siapa saja yang membunuh orang lain dengan tidak sengaja berhak melarikan diri ke salah satu kota perlindungan untuk menyelamatkan diri dari pihak keluarga korban yang ingin menuntut balas sebelum kasusnya diadili.
4 Atakimbilia kwa mji mmoja miongoni mwa miji hiyo na atasimama mlangoni mwa lango la mji, na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule. Kisha watamwingiza ndani ya mji na watampatia sehemu yake ya kuishi miongoni mwao.
“Orang itu harus berdiri di depan gerbang masuk kota perlindungan dan menjelaskan peristiwa yang terjadi kepada para pemimpin kota itu. Lalu mereka akan mengizinkan dia masuk dan memberinya tempat tinggal di sana.
5 Na kama mtu akija akataka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa, ndipo watu wa mji hawatatakiwa kumtoa kwa wenye mamlaka mtu huyo aliyeua. Hawaruhusiwi kufanya hivyo kwasababu alimwua jirani bila kukusudia na hakuwa na chuki naye hapo awali.
Jika orang yang mau menuntut balas mengejar dia, para pemimpin kota tidak boleh menyerahkan orang itu. Mereka harus melindunginya karena dia membunuh dengan tidak sengaja, bukan karena benci.
6 Ni lazima akae katika mji ule mpaka pale atakapokuwa amesimama mbele ya kusanyiko kwa ajili ya kuhukumiwa, hadi pale atakapokufa mtu yule anayetumika katika nafasi ya kuhani mkuu katka siku hizo. Na kisha mtu yule aliyeua bila kukusudia aweza kurudi nyumbani kwake, katika mji ule ulikotoka.
Dia harus tinggal di kota itu sampai kasusnya diadili di depan umum, atau sampai imam besar yang menjabat waktu itu sudah meninggal. Setelah itu barulah orang tersebut boleh pulang ke rumahnya di kota asalnya.”
7 Kwahiyo, Waisraeli wakaichaguia Kedeshi iliyoko Galilaya katika nchi ya milima ya Nafutali, Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na Kiriathi Arba (ambayo ndio Herbroni) katika nchi ya milima ya Yuda.
Lalu orang Israel memilih tiga kota perlindungan di sebelah barat sungai Yordan, yaitu kota Kedes di Galilea, di daerah pegunungan Naftali, kota Sikem di pegunungan Efraim, kota Kiryat Arba (juga disebut Hebron) di pegunungan Yehuda.
8 Katika ng'ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko, walichagua mji wa Bezeri huko nyikani katika nyanda za kabila la Rubeni; na Ramothi Gileadi kutoka kabila la Gadi; na Golani katika Bashani, kutoka katika kabila la Manase.
Mereka juga memilih tiga kota di sebelah timur sungai Yordan, di seberang kota Yeriko, yaitu kota Bezer di padang belantara di dataran tinggi, milik suku Ruben, kota Ramot di Gilead milik suku Gad, kota Golan di daerah Basan milik suku Manasye.
9 Hii ni miji iliyochaguliwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwao, ili kwamba mtu yeyote amwuaye mtu bila kukusudia aweza kukimbilia huko kwa ajili ya kupata usalama. Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule anayetake kulipiza kisasi cha damu iliyomwagwa, mpaka hapo kwanza mtuhumiwa atakaposimama mbele ya kusanyiko la watu.
Itulah kota-kota perlindungan yang dipilih untuk semua orang Israel dan orang asing yang tinggal di antara mereka. Siapa saja yang tidak sengaja membunuh orang lain dapat melarikan diri ke salah satu kota itu supaya tidak dibunuh oleh penuntut balas sebelum kasusnya diadili di depan umum.