< Yoshua 20 >
1 Baada ya hayo, Yahweh akamwambia Yoshua,
Тогава Господ говори на Исуса, казвайки:
2 “Waambia watu wa Israeli, na kusema, 'Chagueni miji ya makimbilio ambayo niliwaambia kupitia kwa Musa.
Говори на израилтяните, като им речеш: Определете си прибежищните градове, за които съм ви рекъл чрез Моисея,
3 Fanyeni hivi ili mtu akiua mtu bila kukusudia aweze kwenda huko. Miji hii itakuwa ni sehemu ya kukimbilia kutoka kwa mtu yeyote yule anayetaka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa.
за да прибягва там оня убиец, който убие човек без намерение, по незнание; и те да ви бъдат прибежище от мъздовъздателя за кръвта.
4 Atakimbilia kwa mji mmoja miongoni mwa miji hiyo na atasimama mlangoni mwa lango la mji, na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule. Kisha watamwingiza ndani ya mji na watampatia sehemu yake ya kuishi miongoni mwao.
И когато оня, които побегне в един от тия градове, застане във входа на градската порта и каже работата си на всеослушание пред старейшините от оня град, те нека го приемат в града при себе си, и нека му дадат място, и той да живее между тях.
5 Na kama mtu akija akataka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa, ndipo watu wa mji hawatatakiwa kumtoa kwa wenye mamlaka mtu huyo aliyeua. Hawaruhusiwi kufanya hivyo kwasababu alimwua jirani bila kukusudia na hakuwa na chuki naye hapo awali.
И ако мъздовъздателят за кръвта го подгони, та да не предават убиеца в ръката му; защото по незнание е убил ближния си, без да го е мразил от по-напред.
6 Ni lazima akae katika mji ule mpaka pale atakapokuwa amesimama mbele ya kusanyiko kwa ajili ya kuhukumiwa, hadi pale atakapokufa mtu yule anayetumika katika nafasi ya kuhani mkuu katka siku hizo. Na kisha mtu yule aliyeua bila kukusudia aweza kurudi nyumbani kwake, katika mji ule ulikotoka.
И да живее в оня град догде се представи на съд пред обществото, и до смъртта на онзи който е първосвещеник в онова време; тогава убиецът да се върне и да отиде в града си, и в дома си, в града, от който е побягнал.
7 Kwahiyo, Waisraeli wakaichaguia Kedeshi iliyoko Galilaya katika nchi ya milima ya Nafutali, Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na Kiriathi Arba (ambayo ndio Herbroni) katika nchi ya milima ya Yuda.
И тъй, отделиха Кадес в Галилея, в хълмистата земя на Нефталима, Сихем в хълмистата земя на Ефрема, Кириат-арва (която е Хеврон) в хълмистата земя на Юда.
8 Katika ng'ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko, walichagua mji wa Bezeri huko nyikani katika nyanda za kabila la Rubeni; na Ramothi Gileadi kutoka kabila la Gadi; na Golani katika Bashani, kutoka katika kabila la Manase.
А оттатък Иордан срещу Ерихон, на изток, определиха Восор в полската пустиня на Рувимовото племе, Рамот в Галаад от Гадовото племе, и Голан във Васан от Манасиевото племе.
9 Hii ni miji iliyochaguliwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwao, ili kwamba mtu yeyote amwuaye mtu bila kukusudia aweza kukimbilia huko kwa ajili ya kupata usalama. Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule anayetake kulipiza kisasi cha damu iliyomwagwa, mpaka hapo kwanza mtuhumiwa atakaposimama mbele ya kusanyiko la watu.
Тия бяха градовете определени за всичките израилтяни, и за чужденците, които живеят между тях, тъй щото всеки, който би убил някого без намерение, за бяга там, та да не бъде убит от мъздовъздателя за кръвта, догдето се представи пред обществото.