< Yoshua 2 >

1 Kisha Yoshua mwana wa Nuni aliwatuma watu wawili kwa siri kama wapelelezi kutoka Shitimu. Akisema, “Nendeni mkaiangalie nchi, hasa Yeriko.” Walienda na wakafika katika nyumba ya kahaba ambaye jina lake ni Rahabu, na wakalala hapo.
Nunov sin Józue je iz Šitíma na skrivaj poslal ogledovat dva moža, rekoč: »Pojdita, poglejta deželo, celo Jeriho.« Odšla sta ter prišla v hišo pocestnice, po imenu Rahába in tam prenočila.
2 Mfalme wa Yeriko aliambiwa, “Tazama watu wa Israeli wamekuja kuipeleleza nchi.”
Kralju Jerihe je bilo povedano, rekoč: »Glej, nocoj sta prišla sèm moža izmed Izraelovih otrok, da preiščeta deželo.«
3 Mfalme akatuma neno kwa Rahabu kusema, “Watoe watu waliokuja kwako ambao wameingia nyumbani mwako, kwa kuwa wamekuja kuipeleleza nchi yote.”
Kralj Jerihe je poslal k Rahábi, rekoč: »Privedi naprej moža, ki sta prišla k tebi, ki sta vstopila v tvojo hišo, kajti prišla sta, da bi preiskala vso deželo.«
4 Lakini mwanamke alikuwa amekwisha kuwachukua wale watu wawili na kuwaficha. Na akasema, “Ndiyo, watu walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka.
Ženska je vzela dva moža ter ju skrila in rekla tako: »K meni sta prišla moža, toda nisem vedela od kod sta bila.
5 Ilipokuwa jioni wakati wa kufungwa kwa lango la mji, waliondoka. Sijui mahali walikoelekea. Mnaweza kuwakamata kama mtawafuata upesi.
Pripetilo se je okoli časa zapiranja velikih vrat, ko je bilo temno, da sta moža odšla ven. Kam sta moža odšla, ne vem. Hitro ju zasledujte, kajti dohiteli ju boste.«
6 Lakini yeye aliwapandisha juu darini na kuwaficha kwa mabua ya kitani ambayo alikuwa ameyalaza darini.
Toda ona ju je privedla gor na streho hiše in ju skrila s stebli lana, ki jih je razvrstila po strehi.
7 Hivyo, watu waliwafuatilia njiani iliyoeleka katika vivuko vya Yordani. Na milango ilifungwa mara tu baada ya wale watu waliofuata kutoka nje.
Možje so ju zasledovali po poti k Jordanu, k prehodom in takoj, ko so tisti, ki so ju zasledovali, odšli ven, so zaprli velika vrata.
8 Wale wanaume walikuwa hajalala usiku, wakati alipowaendea kule darini.
Preden sta se ulegla, je prišla k njima na streho
9 Akawaambia, “Ninajua kwamba Yahweh amewapa ninyi nchi na kwamba hofu juu yenu imetuingia. Watu wote wanaoishi katika nchi watayeyuka mbele yenu.
in možema rekla: »Vem, da vam je Gospod dal to deželo in da je vaša strahota padla na nas in da vsi prebivalci dežele zaradi vas slabijo.
10 Tumesikia jinsi ambavyo Yahweh alivyokausha maji ya Bahari ya Mianzi kwa ajili yenu wakati mkitoka Misri. Na tumesikia mlichokifanya kwa wafalme wawili wa Waamori walioko upande mwingine wa Yordani - Sihoni na Ogu - ambao mmewaangamiza kabisa.
Kajti slišali smo, kako je Gospod za vas posušil vode Rdečega morja, ko ste prišli iz Egipta, in kaj ste storili dvema kraljema Amoréjcev, ki sta bila na drugi strani Jordana, Sihónu in Ogu, ki ste jih popolnoma uničili.
11 Mara tu tuliposikia, mioyo yetu iliyeyuka na hapakuwa na ujasiri wowote uliosalia kwa mtu yeyote - kwa kuwa Yahweh Mungu wenu, ni Mungu aliye juu mbinguni na chini duniani.
Takoj, ko smo slišali te stvari, so se naša srca stopila niti tam zaradi vas ni ostalo nič več poguma v kateremkoli človeku, kajti Gospod, vaš Bog, on je Bog v nebesih zgoraj in na zemlji spodaj.
12 Sasa basi, tafadhali mniapie kwa Yahweh kwamba kama nilivyokuwa mwema kweu, nanyi pia mtaitendea mema nyumba ya baba yangu. Nipeni ishara ya uhakika
Zdaj torej, prosim vaju, prisezita mi pri Gospodu, ker sem vama izkazala prijaznost, da bosta tudi vidva izkazala prijaznost hiši mojega očeta in mi dala zanesljivo znamenje.
13 kwamba mtanihifadhi maisha ya baba, mama, kaka, dada zangu na famiie zao, na kwamba mtatuokoa kutoka katika kifo.
In da boste mojega očeta rešili živega in mojo mater, moje brate, moje sestre in vse, kar imajo in naša življenja osvobodili pred smrtjo.«
14 Wanaume wakamjibu, “maisha yetu kwa ajili ya yenu, hata kifo! Kama hamtasema habari zetu, na Yahweh akisha kutupa nchi hii, tutakuwa wenye huruma na waaminifu kwenu.”
Moža sta ji odgovorila: »Najina življenja za vaša, če ne izustiš te naše stvari. Zgodilo se bo, ko nam Gospod da deželo, da bomo s teboj postopali prijazno in zvesto.«
15 hivyo aliwashusha chini kwa kupitia dirishani kwa kutumia kamba. Nyumba ambayo alikuwa anaishi ilijengwa katika ukuta wa mji.
Potem ju je po vrvi spustila skozi okno, kajti njena hiša je bila na mestnem obzidju in prebivala je na obzidju.
16 Akawaambia, “Nendeni milimani la sivyo watu waliowafuata watawaona. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watu waliowafuata watakaporudi. Kisha nendeni zenu.”
Rekla jima je: »Spravita se do gore, da vaju ne bi srečali zasledovalci in tam se skrivajta tri dni, dokler se zasledovalci ne vrnejo in potem lahko gresta svojo pot.«
17 Wanaume wakamwambia, “Hatutakuwa tumefungwa na ahadi ulizotufanya tuape mbele zako, kama hautalifanya hili.
Moža sta ji rekla: »Midva bova brez krivde glede te tvoje prisege, s katero si naju prisegla.
18 Tutakapokuja katika nchi, ni lazima uifunge kamba hii nyekundu katika dirisha ulilotushushia chini, na utawakusanya katika nyumba baba yako, mama yako, kaka zako na wote wa nyumba ya baba yako.
Glej, ko pridemo v deželo, boš to škrlatno vrv privezala na okno, skozi katero si naju spustila dol in domov k sebi boš privedla svojega očeta, svojo mater, svoje brate in vso družino svojega očeta.
19 Na yeyote aendaye mtaani nje ya milango ya nyumba yako, damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao na hatutakuwa na hatia yoyote. Lakini kama mkono utanyoshwa juu ya mtu yeyote aliye pamoja nawe katika nyumba, damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu.
In zgodilo se bo, da kdorkoli bo šel ven skozi vrata tvoje hiše na ulico, bo njegova kri na njegovi glavi, midva pa bova brez krivde. In kdorkoli bo s teboj v hiši, njegova kri bo na najini glavi, če bo katerakoli roka nad njim.
20 Na ikiwa utaongea juu ya suala letu, tutakuwa huru dhidi ya kiapo ulichotuapisha.
Če izustiš to našo stvar, potem bova prosta tvoje prisege, s katero si naju primorala priseči.«
21 Rahabu akawajibu, “Yote mliyosema nayatimie.” Akawatoa mbali na wakaondoka. Kisha akaifunga kamba nyekundu katika dirisha.
Rekla je: »Glede na vajine besede, tako naj bo to.« Poslala ju je proč in sta odšla in na okno je privezala škrlatno vrv.
22 Wakaondoka na kwenda juu milimani na walikaa huko kwa siku tatu hadi pale wale waliowafuatilia waliporudi. Wale waliowafuata walitafuta njiani pote bila kuwaona.
Odšla sta in prišla h gori ter tam ostala tri dni, dokler se zasledovalci niso vrnili. Zasledovalci so ju iskali po vsej poti, toda niso ju našli.
23 Wale watu wawili walirudi na kuvuka mto na wakafika kwa Yoshua mwana wa Nuni, na walimwambia kila kitu kilichotokea kwao.
Tako sta se oba moža vrnila in spustila z gore, šla čez in prišla k Nunovemu sinu Józuetu in mu povedala vse stvari, ki so se jima pripetile.
24 Nao wakasema kwa Joshua, “kwa kweli Yahweh ametupa nchi hii. Wenyeji wote wa nchi wanayeyuka kwasababu yetu.
Józuetu sta rekla: »Resnično, Gospod je v naše roke izročil vso deželo, kajti celo vsi prebivalci dežele zaradi nas slabijo.«

< Yoshua 2 >