< Yoshua 2 >
1 Kisha Yoshua mwana wa Nuni aliwatuma watu wawili kwa siri kama wapelelezi kutoka Shitimu. Akisema, “Nendeni mkaiangalie nchi, hasa Yeriko.” Walienda na wakafika katika nyumba ya kahaba ambaye jina lake ni Rahabu, na wakalala hapo.
Sililimed ngarud a nangibaon ni Josue nga anak ni Nun iti dua a lallaki a kas espia manipud Settim. Kinunana, “Mapankayo iti entero a daga, nangnangruna iti Jerico.” Napanda ket dimtengda iti balay ti maysa a balangkantis nga agnagan iti Rahab, ket nagdagusda sadiay.
2 Mfalme wa Yeriko aliambiwa, “Tazama watu wa Israeli wamekuja kuipeleleza nchi.”
Naipakaammo daytoy iti ari ti Jerico, “Immay ditoy dagiti lallaki manipud Israel a mangsiim iti daga.”
3 Mfalme akatuma neno kwa Rahabu kusema, “Watoe watu waliokuja kwako ambao wameingia nyumbani mwako, kwa kuwa wamekuja kuipeleleza nchi yote.”
Nangipadanon ti ari iti sao kenni Rahab ket kinunana, “Iruarmo dagiti lallaki nga immay kenka a simrek iti balaymo, ta immayda a mangsiim iti entero a daga.”
4 Lakini mwanamke alikuwa amekwisha kuwachukua wale watu wawili na kuwaficha. Na akasema, “Ndiyo, watu walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka.
Ngem innalan idi ti babai dagiti dua a lallaki ket inlemmengna ida. Ket kinunana, “Wen, immay kaniak dagiti lallaki, ngem saanko nga ammo no sadino ti naggapuanda.
5 Ilipokuwa jioni wakati wa kufungwa kwa lango la mji, waliondoka. Sijui mahali walikoelekea. Mnaweza kuwakamata kama mtawafuata upesi.
Pimmanawda idi sumipnget, idi agrikep ti ruangan ti siudad. Saanko nga ammo ti napananda. Mabalin a matiliwyo ida no darasenyo ida a kamaten.”
6 Lakini yeye aliwapandisha juu darini na kuwaficha kwa mabua ya kitani ambayo alikuwa ameyalaza darini.
Ngem pinaulina idi ida iti bubungan ti balay ket inlemmengna ida kadagiti kayo ti lino nga inkabilna iti rabaw daytoy.
7 Hivyo, watu waliwafuatilia njiani iliyoeleka katika vivuko vya Yordani. Na milango ilifungwa mara tu baada ya wale watu waliofuata kutoka nje.
Kinamat ngarud dagiti lallaki dagiti dua nga espia nga agturong iti pagballasiwan ti Jordan. Ket nagrikep dagiti ruangan apaman a nakaruar dagiti mangkamkamat.
8 Wale wanaume walikuwa hajalala usiku, wakati alipowaendea kule darini.
Saan pay a nakaidda dagiti dua nga espia idi inuli ida ti babai idiay pangatepan.
9 Akawaambia, “Ninajua kwamba Yahweh amewapa ninyi nchi na kwamba hofu juu yenu imetuingia. Watu wote wanaoishi katika nchi watayeyuka mbele yenu.
Kinunana, “Ammok nga inted kadakayo ni Yahweh ti daga ta immay kadakami ti panagbuteng kadakayo. Agrunaw iti sangoananyo ti amin nga agnanaed iti daga.”
10 Tumesikia jinsi ambavyo Yahweh alivyokausha maji ya Bahari ya Mianzi kwa ajili yenu wakati mkitoka Misri. Na tumesikia mlichokifanya kwa wafalme wawili wa Waamori walioko upande mwingine wa Yordani - Sihoni na Ogu - ambao mmewaangamiza kabisa.
Nangngeganmi no kasano a pinamaga ni Yahweh ti danum ti Baybay dagiti Runo para kadakayo idi rimuarkayo manipud Egipto. Ken nangngeganmi ti inaramidyo kadagiti dua nga ari dagiti Amorreo idiay bangir ti Jordan—ni Sihon ken ni Og— a naan-anay a dinadaelyo.
11 Mara tu tuliposikia, mioyo yetu iliyeyuka na hapakuwa na ujasiri wowote uliosalia kwa mtu yeyote - kwa kuwa Yahweh Mungu wenu, ni Mungu aliye juu mbinguni na chini duniani.
Apaman a nangngeganmi daytoy, narunaw dagiti pusomi ket awan ti nabati a tured iti siasinoman—ta ni Yahweh a Diosyo ket Dios sadi-langit ken iti rabaw ti daga.
12 Sasa basi, tafadhali mniapie kwa Yahweh kwamba kama nilivyokuwa mwema kweu, nanyi pia mtaitendea mema nyumba ya baba yangu. Nipeni ishara ya uhakika
Ita ngarud, pangngaasiyo ta isapatayo kaniak babaen kenni Yahweh a kas iti panangngaasik kadakayo, kaassianyonto met iti balay ti amak. Ikkandak iti natalged a pagilasinan
13 kwamba mtanihifadhi maisha ya baba, mama, kaka, dada zangu na famiie zao, na kwamba mtatuokoa kutoka katika kifo.
nga ispalenyonto ti biag ti amak, inak, kakabsatko a lallaki ken babbai, ken dagiti amin a pamiliada, ken isalakandakaminto manipud iti ipapatay.”
14 Wanaume wakamjibu, “maisha yetu kwa ajili ya yenu, hata kifo! Kama hamtasema habari zetu, na Yahweh akisha kutupa nchi hii, tutakuwa wenye huruma na waaminifu kwenu.”
Kinuna dagiti lallaki kenkuana, “Para kenka ti biagmi, uray agingga iti patay! No saanmo a sarsaritaen ti maipapan iti rantami, maasi ken napudnokaminto ngarud kenka inton ited ni Yahweh daytoy a daga kadakami.”
15 hivyo aliwashusha chini kwa kupitia dirishani kwa kutumia kamba. Nyumba ambayo alikuwa anaishi ilijengwa katika ukuta wa mji.
Pinaulogna ngarud ida idiay tawa babaen iti tali. Ti balay a pagnanaedanna ket naikapet iti pader ti siudad.
16 Akawaambia, “Nendeni milimani la sivyo watu waliowafuata watawaona. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watu waliowafuata watakaporudi. Kisha nendeni zenu.”
Kinunana kadakuada, “Mapankayo kadagiti turturod ket aglemmengkayo ta no saan ket masarakandakayo dagiti mangkamkamat kadakayo. Aglemmengkayo sadiay iti tallo nga aldaw agingga a makasubli dagiti mangkamkamat. Ket mapankayo iti dalanyo.”
17 Wanaume wakamwambia, “Hatutakuwa tumefungwa na ahadi ulizotufanya tuape mbele zako, kama hautalifanya hili.
Kinuna dagiti dua nga espia kenni Rahab, “Awanto iti pagrebbenganmi kadagiti impasapatam kadakami, no saanmo nga aramiden daytoy:
18 Tutakapokuja katika nchi, ni lazima uifunge kamba hii nyekundu katika dirisha ulilotushushia chini, na utawakusanya katika nyumba baba yako, mama yako, kaka zako na wote wa nyumba ya baba yako.
Inton serkenmi ti daga, masapul a mangigalutka iti nalabaga a tali iti tawa a nangipaulogam kadakami, ket ummongem iti uneg ti balaymo ti ama ken inam, dagiti kakabsatmo ken amin a sangkabbalayan ti amam.
19 Na yeyote aendaye mtaani nje ya milango ya nyumba yako, damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao na hatutakuwa na hatia yoyote. Lakini kama mkono utanyoshwa juu ya mtu yeyote aliye pamoja nawe katika nyumba, damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu.
Siasinoman a rumuar manipud kadagiti ruangan ti balaymo, addanto iti rabaw ti uloda iti darada ket awanto ti pakabasolanmi. Ngem no madangran ti siasinoman kadakayo iti uneg ti balay, ti darananto ket adda iti rabaw ti ulomi.
20 Na ikiwa utaongea juu ya suala letu, tutakuwa huru dhidi ya kiapo ulichotuapisha.
Ngem no ibagam daytoy a rantami, awanto ngarud ti pagrebbenganmi a mangtungpal iti inkarimi.
21 Rahabu akawajibu, “Yote mliyosema nayatimie.” Akawatoa mbali na wakaondoka. Kisha akaifunga kamba nyekundu katika dirisha.
Simmungbat ni Rahab, “Mapasamak koma ti kinunayo.” Pinalubosanna ida ket pimmanawda. Ket nangigalut isuna iti nalabaga a tali iti tawa.
22 Wakaondoka na kwenda juu milimani na walikaa huko kwa siku tatu hadi pale wale waliowafuatilia waliporudi. Wale waliowafuata walitafuta njiani pote bila kuwaona.
Pimmanawda ket napanda idiay turturod ket nagtalinaedda sadiay iti tallo nga aldaw agingga a nagsubli dagiti mangkamkamat kadakuada. Sinapsapul ida dagiti mangkamkamat kadagiti daldalan ngem awan ti nasarakanda.
23 Wale watu wawili walirudi na kuvuka mto na wakafika kwa Yoshua mwana wa Nuni, na walimwambia kila kitu kilichotokea kwao.
Nagsubli dagiti dua a lallaki ket nagballasiwda a nagsublida kenni Josue nga anak ni Nun, ket imbagada kenkuana amin a napasamak kadakuada.
24 Nao wakasema kwa Joshua, “kwa kweli Yahweh ametupa nchi hii. Wenyeji wote wa nchi wanayeyuka kwasababu yetu.
Ket kinunada kenni Josue, “Pudno nga inted ni Yahweh daytoy a daga kadatayo. Agrunrunaw amin nga agnanaed iti daydiay a daga gapu kadatayo.