< Yoshua 2 >
1 Kisha Yoshua mwana wa Nuni aliwatuma watu wawili kwa siri kama wapelelezi kutoka Shitimu. Akisema, “Nendeni mkaiangalie nchi, hasa Yeriko.” Walienda na wakafika katika nyumba ya kahaba ambaye jina lake ni Rahabu, na wakalala hapo.
Josué, fils de Nun, envoya secrètement deux hommes de Sittim comme espions, en disant: « Allez, examinez le pays, y compris Jéricho. » Ils partirent et entrèrent dans la maison d'une prostituée qui s'appelait Rahab, et ils y dormirent.
2 Mfalme wa Yeriko aliambiwa, “Tazama watu wa Israeli wamekuja kuipeleleza nchi.”
On dit au roi de Jéricho: « Voici que des hommes des enfants d'Israël sont venus ici cette nuit pour espionner le pays. »
3 Mfalme akatuma neno kwa Rahabu kusema, “Watoe watu waliokuja kwako ambao wameingia nyumbani mwako, kwa kuwa wamekuja kuipeleleza nchi yote.”
Le roi de Jéricho envoya dire à Rahab: « Fais sortir les hommes qui sont venus chez toi, qui sont entrés dans ta maison, car ils sont venus pour espionner tout le pays. »
4 Lakini mwanamke alikuwa amekwisha kuwachukua wale watu wawili na kuwaficha. Na akasema, “Ndiyo, watu walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka.
La femme prit les deux hommes et les cacha. Puis elle dit: « Oui, les hommes sont venus à moi, mais je ne savais pas d'où ils venaient.
5 Ilipokuwa jioni wakati wa kufungwa kwa lango la mji, waliondoka. Sijui mahali walikoelekea. Mnaweza kuwakamata kama mtawafuata upesi.
Au moment de la fermeture de la porte, à la tombée de la nuit, les hommes sont sortis. Je ne sais pas où les hommes sont allés. Poursuis-les rapidement. Tu les rattraperas peut-être. »
6 Lakini yeye aliwapandisha juu darini na kuwaficha kwa mabua ya kitani ambayo alikuwa ameyalaza darini.
Mais elle les avait fait monter sur le toit et les avait cachés sous les tiges de lin qu'elle avait disposées en ordre sur le toit.
7 Hivyo, watu waliwafuatilia njiani iliyoeleka katika vivuko vya Yordani. Na milango ilifungwa mara tu baada ya wale watu waliofuata kutoka nje.
Les hommes les poursuivirent le long du chemin jusqu'aux gués du Jourdain. Dès que ceux qui les poursuivaient furent sortis, on ferma la porte.
8 Wale wanaume walikuwa hajalala usiku, wakati alipowaendea kule darini.
Avant qu'ils se soient couchés, elle monta vers eux sur le toit.
9 Akawaambia, “Ninajua kwamba Yahweh amewapa ninyi nchi na kwamba hofu juu yenu imetuingia. Watu wote wanaoishi katika nchi watayeyuka mbele yenu.
Elle leur dit: « Je sais que l'Éternel vous a donné le pays, que la crainte de votre présence nous a saisis et que tous les habitants du pays se sont enfuis devant vous.
10 Tumesikia jinsi ambavyo Yahweh alivyokausha maji ya Bahari ya Mianzi kwa ajili yenu wakati mkitoka Misri. Na tumesikia mlichokifanya kwa wafalme wawili wa Waamori walioko upande mwingine wa Yordani - Sihoni na Ogu - ambao mmewaangamiza kabisa.
Car nous avons appris comment Yahvé a mis à sec devant vous les eaux de la mer Rouge, lorsque vous êtes sortis d'Égypte, et ce que vous avez fait aux deux rois des Amoréens, qui étaient de l'autre côté du Jourdain, à Sihon et à Og, que vous avez dévoués par interdit.
11 Mara tu tuliposikia, mioyo yetu iliyeyuka na hapakuwa na ujasiri wowote uliosalia kwa mtu yeyote - kwa kuwa Yahweh Mungu wenu, ni Mungu aliye juu mbinguni na chini duniani.
Dès que nous l'avons entendu, nos cœurs se sont fondus, et il n'y avait plus d'esprit dans aucun homme, à cause de vous; car Yahvé, votre Dieu, est Dieu en haut dans les cieux et en bas sur la terre.
12 Sasa basi, tafadhali mniapie kwa Yahweh kwamba kama nilivyokuwa mwema kweu, nanyi pia mtaitendea mema nyumba ya baba yangu. Nipeni ishara ya uhakika
Maintenant, jure-moi par Yahvé, puisque je t'ai traité avec bonté, que tu traiteras aussi avec bonté la maison de mon père et que tu me donneras un signe véritable,
13 kwamba mtanihifadhi maisha ya baba, mama, kaka, dada zangu na famiie zao, na kwamba mtatuokoa kutoka katika kifo.
que tu sauveras la vie de mon père, de ma mère, de mes frères et de mes sœurs, et de tout ce qui leur appartient, et que tu délivreras nos vies de la mort. »
14 Wanaume wakamjibu, “maisha yetu kwa ajili ya yenu, hata kifo! Kama hamtasema habari zetu, na Yahweh akisha kutupa nchi hii, tutakuwa wenye huruma na waaminifu kwenu.”
Les hommes lui dirent: « Notre vie est à toi, si tu ne parles pas de cette affaire qui nous concerne; et quand l'Éternel nous donnera le pays, nous te traiterons avec bienveillance et loyauté. »
15 hivyo aliwashusha chini kwa kupitia dirishani kwa kutumia kamba. Nyumba ambayo alikuwa anaishi ilijengwa katika ukuta wa mji.
Puis elle les fit descendre par la fenêtre au moyen d'une corde, car sa maison était du côté de la muraille, et elle habitait sur la muraille.
16 Akawaambia, “Nendeni milimani la sivyo watu waliowafuata watawaona. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watu waliowafuata watakaporudi. Kisha nendeni zenu.”
Elle leur dit: « Allez à la montagne, de peur que les poursuivants ne vous trouvent. Cachez-vous là trois jours, jusqu'à ce que les poursuivants soient revenus. Après cela, vous pourrez vous en aller. »
17 Wanaume wakamwambia, “Hatutakuwa tumefungwa na ahadi ulizotufanya tuape mbele zako, kama hautalifanya hili.
Les hommes lui dirent: « Nous ne serons pas coupables de ce serment que tu nous as fait prêter.
18 Tutakapokuja katika nchi, ni lazima uifunge kamba hii nyekundu katika dirisha ulilotushushia chini, na utawakusanya katika nyumba baba yako, mama yako, kaka zako na wote wa nyumba ya baba yako.
Voici, quand nous serons entrés dans le pays, attachez ce fil de couleur écarlate à la fenêtre par laquelle vous nous faisiez descendre. Rassemble dans la maison ton père, ta mère, tes frères et toute la famille de ton père.
19 Na yeyote aendaye mtaani nje ya milango ya nyumba yako, damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao na hatutakuwa na hatia yoyote. Lakini kama mkono utanyoshwa juu ya mtu yeyote aliye pamoja nawe katika nyumba, damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu.
Quiconque sortira des portes de ta maison pour aller dans la rue aura son sang sur la tête, et nous serons innocents. Quiconque sera avec vous dans la maison, son sang retombera sur notre tête, s'il y a une main sur lui.
20 Na ikiwa utaongea juu ya suala letu, tutakuwa huru dhidi ya kiapo ulichotuapisha.
Mais si vous parlez de cette affaire qui nous concerne, nous serons innocents du serment que vous nous avez fait prêter. »
21 Rahabu akawajibu, “Yote mliyosema nayatimie.” Akawatoa mbali na wakaondoka. Kisha akaifunga kamba nyekundu katika dirisha.
Elle dit: « Qu'il en soit comme tu l'as dit. » Elle les renvoya, et ils s'en allèrent. Puis elle attacha le fil écarlate à la fenêtre.
22 Wakaondoka na kwenda juu milimani na walikaa huko kwa siku tatu hadi pale wale waliowafuatilia waliporudi. Wale waliowafuata walitafuta njiani pote bila kuwaona.
Ils partirent et arrivèrent à la montagne, où ils restèrent trois jours, jusqu'à ce que leurs poursuivants fussent revenus. Les poursuivants les cherchèrent tout le long du chemin, mais ne les trouvèrent pas.
23 Wale watu wawili walirudi na kuvuka mto na wakafika kwa Yoshua mwana wa Nuni, na walimwambia kila kitu kilichotokea kwao.
Alors les deux hommes revinrent, descendirent de la montagne, traversèrent le fleuve et vinrent trouver Josué, fils de Nun. Ils lui racontèrent tout ce qui leur était arrivé.
24 Nao wakasema kwa Joshua, “kwa kweli Yahweh ametupa nchi hii. Wenyeji wote wa nchi wanayeyuka kwasababu yetu.
Ils dirent à Josué: « En vérité, Yahvé a livré tout le pays entre nos mains. De plus, tous les habitants du pays fondent devant nous. »